Karani wa Wakala wa meli, "Mohamed Said" Kiingereza ni zero. Waandishi wa kweli wa vitabu na "papers' zake kwa lugha ya Kiingereza ni Maswahiba na Waswahilina wenzake wa gazeti la "Africa Events" waliopo London. Hata kile kitabu cha Historia cha darasa la 4 anachojidai kuandika, ukweli ni kwamba kimeandikwa na hao Wapemba na Waunguja who were behind the long defunct "Africa Events" magazine.
Niliwahi kusema hapo nyuma uwongo ukipewa nafasi ya kurudiwa rudiwa lazima tu wapo watu watanasa na hasa wale wanaoongozwa kwa hisia na mbaya kuliko zote ni hisia za dini. Lakini tatizo lingine ni kuwa hata muongo mwenyewe anaanza kuuamini uwongo alioutunga na kuuona kama ukweli kwa sababu tu wako watu ambao watameza chochote kile mradi dini yao imeguswa. Anayoyahubiri Mohamed Said siyo mageni masikioni mwa wengi wetu kama anavyodhani, wengine tuliyasikia hata kabla ya uhuru wa Tanganyika.
Ni kweli pia mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na Mohamed Said anayedai kuwa alipata malezi mema hatuna haja tena ya kujiuliza aina ya malezi aliyoyapata na anayoyaongelea. Lakini historia ina tabia moja ya kujirudia na ninaamini kwa jinsi ile ile Waislaam wema walivyowakataa wachochezi waliotaka kutuvuruga mwaka 1958, wengine wao wakiwa Wazee wa Mohamed Said ndivyo hivyo Waislaam wema wa leo watamkataa Mohamed Said na uchochezi wake kama tunavyoshuhudia humu kutoka kwa Mkandara na Nguruvi3.
Atawapata watu kama Barubaru, watu ambao kisirani chao wanashindwa hata kukificha kwani pamoja na kuukana uraia wa Tanzania bado wanafikiri utawala wa Kisultani utarejea. Nina imani kubwa na Waislaam wema ambao ninashiriki nao kila siku kwa shughuli mbali mbali na hawasiti kuwalaani hawa wachochezi ambao ni vigumu kuelezea hata wanavyoruhusiwa kupanda hizi mbegu za chuki. Mohamed Said kama anavyojisifu, atatembea sehemu nyingi ndani na nje ya nchi akieneza uwongo, lakini kwa watu makini ategemee kukwaa kisiki.
Mimi Mag3 sina haja ya kujibu hoja anazozitoa Mohamed Said kwani naamini kufanya hivyo ni kumpandisha daraja kama mwandishi wa historia na mtafiti, daraja ambalo kama wazee wake, atabaki akiiota tu kwani sifa hiyo kaipoteza kwa kusimulia uwongo. Toka miaka ya mwanzoni baada ya uhuru nimeishi jijini Dar es Salaam, najua nilivyoikuta na ilivyokuwa miaka kumi baadaye na mtu hanidanganyi hata kama alizaliwa Gerezani. Mohamed Said sasa yabidi ajitazame upya na kujiuliza, anataka kulipeleka taifa wapi na hizi porojo zake.
Bw. Said, itikadi ya chuki (an ideology of hate) itashindwa tu; haijawahi kufanikiwa mahali popote duniani. Iwe inatokana na ubaguzi wa rangi, udini, ukabila au hadhi. Watu wenye chuki hiyo Nyerere alisema hawana nafasi katika ulimwengu huu wa leo. Chuki unayojitahidi kuipandikiza ndani ya Watanzania itafunuliwa, itakataliwa na nguvu ya upendo na umoja itashinda. Kwani ni katika tofauti zetu ndio umoja hujengwa. Wamarekani wanasema "From Many, One - E pluribus unum" lakini mimi nasema "From differences, Unity - De differentiis unitatem" Sasa mzee nakuambia ukianzia kutoka tofauti na kuelekea umoja utaona jinsi ambavyo Watanzania wangeona uzuri wahoja zako. Bahati mbaya umechagua kutoka kwenye umoja kwenda kwenye utengano wa kidini. Hiki ndicho kinakataliwa na kitaendelea kukataliwa.
JokaKuu;2801686]Sheikh Mohamed,
..hizi tuhuma zote ulizoweka ulizipeleka kwa wahusika wazijibu kabla hujachapisha kitabu chako?
..kama ulifanya hivyo wahusika walikupa majibu gani?
..kama hukuwasiliana na wahusika unaweza kueleza kwanini hukufanya hivyo?
Mohamed majibu ya namna hii ayalingani na mtu anayetoa mhadhara ulaya na marekani. Kusema sijui au hapana hakumaanishi chochote zaidi ya kujenga ueledi.Mohamed Said;2801766]JK,
Hilo swali lako halikukaa vizuri.Orodhesha hizo "tuhuma" na hao watuhumiwa kwanza.
Mengine yatafuatia.Mohamed
Mohamed majibu ya namna hii ayalingani na mtu anayetoa mhadhara ulaya na marekani. Kusema sijui au hapana hakumaanishi chochote zaidi ya kujenga ueledi.
Labda nikukumbushe tuhuma, nimeangalia kabrasha langu zipo 45 kubwa na 32 madogo. Kwa kumsaidia Joka kuu na sisi sote naorodhesha zifuatazo na utupe majibu.
1. Uliwahi kumhoji marhumu Kawawa jinsi Nyerere alivyotumia udini kuwaondoa waislam katika uongozi wa TANU na serikali.
2. Umewahi kumuuliza mzee Mwinyi kuhusu tuhuma za wizi wa funguo za madroo alizoongea na Malima wakati huo akiwa Ikulu.
3. Umeshawahi kumhoji mama Maria kuhusu kitoweo alichokuwa anapelekewa na mzee Kiyate, yeye ana kauli gani kwa jambo hili jema.
4. Umewahi kumhoji Salim Ahmed Salim au Butiku kuhusu kukataa kwao kupokea picha za wazee wako.
5. Umewahi kumhoji Tewa kwanini alikubali kuwa balozi nchini China huku akijua kuwa zilikuwa njama za kudhoofisha EAMWS
6.Umewahi kumhoji padre Sivlon kuhusu aliyoandika katika kitabu chake na anasemaje katika kuyathibitisha.
7. Uliwahi kumhoji Platan kuhusu ugomvi wa AMNUT na nini kilikuwa chanzo halisi(walikuwa wanatofautiana nini)
8. Umewahi kuuliza wizara ya elimu namba za mitihani zilianza kutumika lini
9. Umewahi kumhoji mkuu au makamu mkuu wa UDSM kwanini ma lecturer wakikristo hawataki kitabu chako kitumike
10. Umeahi kumhoji Rupia kuhusu tuhuma za Nyerere kuwa mdini na alikuwa na maoni gani
11. Uliwahi kumhoji marhum Bibi Titi Mohamed kwanini aliwekwa ndani, mwaka gani na aliwekwa pamoja na akina nani
12. Uliwahi kumhoji Munaka Bhoke juu ya kiasi gani alikusanya ili kujenga chuo kikuu cha Dar es Salaam
13. Uliwahi kumhoji sheikh Himid Jongo kwanini baada ya kadhia ya mwembechai alikabidhiwa msikiti na serikali ile ile unayoituhumu
14. Umeahi kumhoji Adam Nasibu kuhusu ushiriki wake katika kuanzisha BAKWATA
Ukishayajibu haya tunaweza kuendelea kidogo kidogo.
Ukumbi wako
Tate naneee.. watu mnakumbukumbu!!
Inaonekana bado unashindwa/mnashindwa kuelewa points za mjadala huu. Let's focus on the topic.
MM,
Kajifunze mbinu na akida (principles) za utafiti ndipo urudi hapa tuhojiane.
Hili nishakueleza mara nyingi.
Ndiyo nasema wewe si wa kunihoji mie katika "academics."
Hujafika makamo hayo
Mohamed
MM,
Chuki kwa kuwaadhimisha wazee wangu?
Najua historia hii yangu imekuchoma lakini huo ndiyo ukweli wa historia ya TANU.
Mohamed
Mohamed majibu ya namna hii ayalingani na mtu anayetoa mhadhara ulaya na marekani. Kusema sijui au hapana hakumaanishi chochote zaidi ya kujenga ueledi.
Labda nikukumbushe tuhuma, nimeangalia kabrasha langu zipo 45 kubwa na 32 madogo. Kwa kumsaidia Joka kuu na sisi sote naorodhesha zifuatazo na utupe majibu.
1. Uliwahi kumhoji marhumu Kawawa jinsi Nyerere alivyotumia udini kuwaondoa waislam katika uongozi wa TANU na serikali.
2. Umewahi kumuuliza mzee Mwinyi kuhusu tuhuma za wizi wa funguo za madroo alizoongea na Malima wakati huo akiwa Ikulu.
3. Umeshawahi kumhoji mama Maria kuhusu kitoweo alichokuwa anapelekewa na mzee Kiyate, yeye ana kauli gani kwa jambo hili jema.
4. Umewahi kumhoji Salim Ahmed Salim au Butiku kuhusu kukataa kwao kupokea picha za wazee wako.
5. Umewahi kumhoji Tewa kwanini alikubali kuwa balozi nchini China huku akijua kuwa zilikuwa njama za kudhoofisha EAMWS
6.Umewahi kumhoji padre Sivlon kuhusu aliyoandika katika kitabu chake na anasemaje katika kuyathibitisha.
7. Uliwahi kumhoji Platan kuhusu ugomvi wa AMNUT na nini kilikuwa chanzo halisi(walikuwa wanatofautiana nini)
8. Umewahi kuuliza wizara ya elimu namba za mitihani zilianza kutumika lini
9. Umewahi kumhoji mkuu au makamu mkuu wa UDSM kwanini ma lecturer wakikristo hawataki kitabu chako kitumike
10. Umeahi kumhoji Rupia kuhusu tuhuma za Nyerere kuwa mdini na alikuwa na maoni gani
11. Uliwahi kumhoji marhum Bibi Titi Mohamed kwanini aliwekwa ndani, mwaka gani na aliwekwa pamoja na akina nani
12. Uliwahi kumhoji Munaka Bhoke juu ya kiasi gani alikusanya ili kujenga chuo kikuu cha Dar es Salaam
13. Uliwahi kumhoji sheikh Himid Jongo kwanini baada ya kadhia ya mwembechai alikabidhiwa msikiti na serikali ile ile unayoituhumu
14. Umeahi kumhoji Adam Nasibu kuhusu ushiriki wake katika kuanzisha BAKWATA
Ukishayajibu haya tunaweza kuendelea kidogo kidogo.
Ukumbi wako
Wala haichomi kwani ingekuwa na ukweli labda ingechoma.
a. Ni historia yako - siyo historia ya Tanganyika, umekaa ukaitunga na kuipendezesha nakuiuza kwa wenye kuiamini.
b. Siyo historia ya 'ukweli' ya TANU. NI masimulizi tu ya wazee ambao walikuwa wamemchukia Nyerere kwa sababu ya Ukatoliki wake tangu miaka ya mwanzo ya 1950s na ambao hadi leo bado wamekwama kwenye miaka hiyo. Ni masimulizi mazuri na yanafurahisha lakini siyo ya kuaminika.
kama ulichofanya unaweza kudai kimefuata kanuni za utafiti basi neno kanuni za utafiti limepoteza maana. Hukufuata kanuni hata moja.
Angalia unavyojicontradict mwenyewe. Hivi nani ataamini maneno unayoyasema? Unasema huna haja ya kujibu hoja za MS; wakati huo huo umeanzisha hii thread just kujibu hoja zake. WOW!!
Ogah, Karani wa Wakala wa Meli, "Mohamed Said" anapenda afahamike kama "independent scholar", kwa hiyo usishangae viwango vya "tafiti" zake zipo somewhat off and way below acceptable and respectable mainstream scholarly or academic standards, and as far as I'm concerned appear to be more in line with those of a charlatan.
Ogah, Karani wa Wakala wa Meli, "Mohamed Said" anapenda afahamike kama "independent scholar", kwa hiyo usishangae viwango vya "tafiti" zake zipo somewhat off and way below acceptable and respectable mainstream scholarly or academic standards, and as far as I'm concerned appear to be more in line with those of a charlatan.
the fact ni kwamba hiyo statement hapo juu haina UKWELI......period
Brother MS anaweza kuwa mtafiti sawa.......lakini kwa hizi hadithi za wazee wake huhitaji.......kuambiwa au kufanya utafiti kuona uongo na uchochezi wake........labda kama maana ya utafiti ya Brother MS au yako ni tofauti na tafiti ambazo zinaeleweka kitaaluma......
Mohamed, umemuuliza swali Joka kuu aorodheshe tuhuma, nasi sote kwa vile hili ni jamvi letu tumefanya hivyo.Tunategemea ujibu kama tunavyokujibu unapouliza, sasa haya mengine ya wewe una paper, umekwenda wapi na kwanini yanatoka wapi?Nguruvi3,Ukumbi ni wenu nyie.
Mimi nishaingia kumbi hata hesabu zake sizijui.Sasa hapo penye maswali hayo yenu ndipo pa kuanzia mkaandika kitabu.
Nikuelezeni hili mara ngapi ndugu zangu?Mimi nina nina "papers" makala, kitabu nyinyi mna maneno.
Dunia ya kisomi haithamini maneno.Ndiyo nakuelezeni bado hamjafikia makamo ya kusimama na mimi katika anga za kisomi.
Andikeni kwanza.Mohamed
Mohamed, umemuuliza swali Joka kuu aorodheshe tuhuma, nasi sote kwa vile hili ni jamvi letu tumefanya hivyo.Tunategemea ujibu kama tunavyokujibu unapouliza, sasa haya mengine ya wewe una paper, umekwenda wapi na kwanini yanatoka wapi?
Unaposema tuandike vitabu sijui una maana kuwa hata hao unaowapa mihadhara huko ulaya na marekani wakikuhoji nao pia unawajibu hivyo!
Na kama ni hivyo kwanini unachagua maswali ya kujibu na usikae kimya kitu.
Hata hivyo, vitabu vikiandikwa kama cha Dr Maggoti unavipiga kejeli. Kejeli ile ile usioweza kufanya tofauti. Umeuliza kwanini Dr Maggoti hakuwahi kumhoji Kawawa hadi mauti yanamfika! Ndiyo maana swali langu la kwanza likawa hilo kwa vile wewe huenda ulimhoji.
Hoja ni hizo hapo, jibu na kama huna majibu sema huna majibu si dhambi au dhalili, kukimbia kimbia na kujibu hoja unazotaka ni dalili ya wazi kuwa huna utafiti, hujui umeandika nini na hujui unatetea nini. In short kama walivyosema wengine ni porojo na propaganda, kwa mazuzu ni elimu kwa wajanja ni hekaya, ngano na tamthilia.
Anayeamini kuwa umefanya utafiti aende akamuulize mwalimu wake wa darasa la kwanza ilikuwaje akawmwezesha kuandika jina lake.
Tutaendelea kukupiga shule hadi uelewe kama ulivyoanza kuelewa kuwa Rupia ni sehemu ya wazee wako(umetaja japo kwa soni).
Maswali kama hayo hapo juu huwezi kuulizwa cambridge kwasababu wananchi ndio wenye nchi. Hapa ni Cambridge huna sababu ya kusafiri kila siku, lete mada zako zinyumbulishwe neno hadi neno ili utakapoandika tena ujue unaandika nini na kwa akina nani.
Jibu hoja Mohamed
Jibu hoja Mohamed watu hawana interest na tambo wala majigambo, usomi wako unatakiwa ujidhihiri si kukimbia maswali na kujificha katika kichaka cha andika vitabu, hilo ni jibu lisilo na usomi hata kidogo na sasa tutalitumia JF kama kibwagizo.
Nguruvi3,Huenda hujui,
Mimi kukupa wewe kujibu "papers" zangu tena za miaka na miaka ni mie kujidhalilisha.
Wewe ujibu kama nani?Unafahamika katika dunia ya usomi?Wewe hujafikia makamo ya kusimama na mimi.
Mimi siko hapa kujibishana na wewe kwa kitu usikchokijua.Mimi hapa ni Maalim.Andikeni kwanza kisha rudini hapa tujadili.
Mohamed
Jibu hoja na maswali, majibu mepesi ya majigambo yasiyo na kitu yanaondoa hata kale ka credibility kadogo kaliko baki.