Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Mohamed Said;2694530]Abdulwahid anaonekana akiwa amevaa miwani ya jua akiwa amesimama kushotokwa Dossa Aziz; wote wamevaa suti na tai. Abdulwahid anaiangalia kamera. Raismstaafu Julius Kambarage Nyerere amevaa kaptura na soksi ndefu hadi magotiniamekalia benchi mkono wa kushoto wa John Rupia. Aliyesimama nyuma ya Nyerere,Saadani Abdu Kandoro.
IngawaWaislam ndiyo walioleta uhuru wa Tanganyika, manufaa ya uhuru ni madogo sanakwao.
Christian lecturers at Dares Salaam University are discouraging students from making references to thosetwo books. Dr. Harith Ghassany's book KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyererehitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed."
Mohamed
!!!!!!?
 
Sheikh Mohamed,
Kuna maswali bado yananitatiza Hapa

Kwa Mujibu wa maelezo yako, Wazee wa Gerezani hasa Sykes walikuwa na uwezo mkubwa mno wa kuendesha na kusimamia mambo likiwemo la kuanzisha TANU

swali langu ni kuwa kwa uwezo huo waliokuwa nao Wazee wa Gerezani, Nyerere alikuwa na Faida/Umuhimu gani kwao
1) Nyerere hakuwa na utamaduni kama wao (Uislamu)
2) Nyerere alikuwa ni wa kuja
3) Nyerere alitoka kwenye Kabila lisilokuwa na Mvuto/Heshima kipindi hicho maana makabila yaliyokuwa maarufu ni Wamanyema, Wanyamwezi, Wasukuma, Wazaramu, Wandengereko, Wamatumbi....., Wazanaki walikuwa hawajulikani
4) Nyerere alikuwa na nini cha zaidi mpaka Wazee wa Gerezani wenye ujuvi (Sykes) wakaamua kumpangia Nyumba, Kumwachisha kazi (Huku wakimlipa),
 
Sheikh Mohamed,
Kuna maswali bado yananitatiza Hapa

Kwa Mujibu wa maelezo yako, Wazee wa Gerezani hasa Sykes walikuwa na uwezo mkubwa mno wa kuendesha na kusimamia mambo likiwemo la kuanzisha TANU

swali langu ni kuwa kwa uwezo huo waliokuwa nao Wazee wa Gerezani, Nyerere alikuwa na Faida/Umuhimu gani kwao
1) Nyerere hakuwa na utamaduni kama wao (Uislamu)
2) Nyerere alikuwa ni wa kuja
3) Nyerere alitoka kwenye Kabila lisilokuwa na Mvuto/Heshima kipindi hicho maana makabila yaliyokuwa maarufu ni Wamanyema, Wanyamwezi, Wasukuma, Wazaramu, Wandengereko, Wamatumbi....., Wazanaki walikuwa hawajulikani
4) Nyerere alikuwa na nini cha zaidi mpaka Wazee wa Gerezani wenye ujuvi (Sykes) wakaamua kumpangia Nyumba, Kumwachisha kazi (Huku wakimlipa),

K,

Mnakasha utachujuka.

Nyerere kaandikwa sana na anafahamika.
Mimi nimeandika ile historia ambayo haifahamiki.

Wengi hawakuwa wanamjua Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadiri
Tatu bint Mzee na wengineo watu ambao walifanya mengi na makubwa
katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ninaona raha endapo nitaulizwa michango ya watu hawa.

Kote duniani nilikoalikwa hawkuniuliza habari za Nyerere wao walikuwa
wanataka kujua yale yaliyoachwa katika historia ya Tanganyika.

Nasi tufate mfano wao.

Ushakisikia kisa cha TANU Jimbo la Kusini kwenye ngome ya Kanisa Katoliki
iliingiaje na vipi YUsuf Chembera, Salum Mpunga na Sheikh Yusuf Badi
walivyomleta Nyerere Lindi kuishambulia ngome hiyo?

Mimi napenda kueleza vitu kama hivi mnakasha unoge.

Nakutaka radhi nisamehe kwa kutokidhi haja yako.

Mohamed

PS: Ikiwa kwako wewe hayo maswali juu ya Nyerere ni muhimu sana
soma kitabu changu yote nimeeleza mle.

MS
 

Nguruvi3,

Nachukulia hizo alama kama unashangaa, unaguna nk.

Nakuongezea kitu kingine na kama unaweza fanya utafiti wako mwenyewe upate ukweli:
History in Revision
Muslims are now organising nationwide mass rallies which openly and inlive broadcasts denounce the church, criticise the government and church agentswithin the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Parliament for oppressingMuslims. Seemingly derogatory words like "pandikizi" (singular) and"mapandikizi" (plural) meaning "turncoats;" or the new coined word "MfumoKristo" roughly meaning "Christian dominance" are now part of the Muslim and Swahilivocabulary. These analogies are used freely in the Muslim media and amongMuslims in every day conversation. But what usually thrills Muslims and utterlysignificant showing that times have changed is when in the rallies and innormal discussion Muslims refer to Nyerere hitherto known respectfully as "Babawa Taifa" as "Baba wa Kanisa," meaning "Church Elder."[1] The moveby the Catholic Church to make him a saint has not helped matters. More so itproves all the allegations levelled against Nyerere that he never was anationalist but a Catholic zealot. Respect and love which Muslims once had forNyerere has been completely wiped out. The new generation of Muslims no longerbelieve in the official history of TANU and the propaganda that it was Nyererewho single handed defeated the British. Muslims instead are honouring theforgotten heroes of independence movement and in so doing invoking emotionsparticularly in the new generation to stand up against oppression as theirforefathers had done against Germans and the British. Muslim heroes of the MajiMaji War like Suleiman Mamba, Ali Songea Mbano,[2] andMuslim nationalists like Abdulwahid [3] and AllySykes,[4] DossaAziz, Sheikh Hassan bin Amir,[5] SheikhSuleiman Takadir, Sheikh Yusuf Badi, Bibi Titi Mohamed,[6] BibiTatu bint Mzee, Bilali Rehani Waikela,[7] AliMigeyo[8] andothers are now part of nationalist history which was suppressed for many years.[9] Muslimsare demanding the restoration of their history and honour as true liberators ofTanganyika. This is unprecedented. One can only speculate and wonder where thiswould lead to. Can we identify thisphenomenon as corrective and revision of history or is it a lesson of anarchyin recording history?[10] Theresult of all this is that the Church has been made to stand naked. That theChurch did not play any role during Maji Maji[11] orduring the struggle against the British or that it has worked hand in hand withthe government to sabotage Islam and Muslims is now common knowledge.

[1] The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin's book Conflict and Harmony in Zanzibar and thewriter's book The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialismin Tanganyika, Minerva Press, London 1998 andhaving come across hitherto unknown information on Nyerere was devastatedbecause he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist. Thetwo books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and toldhim that the allegations in those two works have tarnished his image and headvised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dares Salaam University are discouraging students from making references to thosetwo books. Dr. Harith Ghassany's book KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyererehitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed.
[2] In all historical references to Maji Maji War hero and Chief of WangoniAli Songea Mbano, his Muslim name "Ali" would be omitted and he would bereferred to as Songea Mbano.
[3] MohamedSaid, The Life and Times of AbdulwahidSykes (1924 –1968), The Untold Story of the Muslim StruggleAgainst British Colonialism in Tanganyika Minerva Publishers, London, 1998.
[4] Mohamed Said, Broken Dreams, TheLife of Ally Kleist Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi 2011 (Forthcoming).
[5] Issa Ziddy, Sheikh Hassan bin Ameir (1880-1979). Also See Mohamed Said, "Sheikh Hassan bin Ameir -The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968)" (Paperpresented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly ofMuslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP]February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004.
[6] Bibi Titi was recruited into TANU by Schneider Abdillah Plantan andbegan to mobilize people particularly women to join the party even before hecame to know Nyerere.
[7] Bilali Rehani Waikela one of the TANU founder members in WesternProvince in 1955 and Regional Secretary of the East African Muslim WelfareSociety (EAMWS) was detained by Nyerere in 1964 for "mixing religion andpolitics." His personal papers were of great help in understanding the EAMWScrisis of 1968 and the reasons why Nyerere detained prominent sheikhs andbanned the society in 1968. A documentary of his political life has been madeand although not officially recognized as a patriot Muslims now consider him asone of the heroes of the independence movement. For more information seeMohamed Said, "In Praise of Ancestors," AfricaEvents (London) March/April 1977.
[8] G. Mutahaba, Portrait of aNationalist: The Life of Ali Migeyo, East African Publishing House, 1969.
[9]Maji Maji Museum in Songea which has been greatlydesecrated removing all signs of Muslim symbols during the Maji Maji War withGermans. The Maji Maji Museum at Peramiho under the Catholic Church has closedits doors to young Muslims for fear of criticism for distorting history. AllMuslim symbols in Maji Maji War against Germans have been obliterated in theMaji Maji Museum.
[10] A children's bookauthored by the current writer, Torch onKilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2007 has been blacklistedand cannot be included as a reader in schools because it contravenes the officialhistory.
[11] Yusuf Halimoja, Historia ya Masasi,East African Literature Bureau, Nairobi, 1977 pp 163 175 gives a narration howChristians fought alongside Gerrmans during Maji Maji. Also see P. GeroldRupper, OSB, Pugu Hadi Peramiho: Miaka100 wa Wamishionari Wabenediktini Katika Tanzania, BenedictinePublications, Ndanda Peramiho, 1980, pp 31- 42.

Mohamed


 
[1]The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin's book Conflict and Harmony in Zanzibar and thewriter's book The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialismin Tanganyika, Minerva Press, London 1998 andhaving come across hitherto unknown information on Nyerere was devastatedbecause he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist. Thetwo books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and toldhim that the allegations in those two works have tarnished his image and headvised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dares Salaam University are discouraging students from making references to thosetwo books. Dr. Harith Ghassany's book KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyererehitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed.

Prof. Haroub alimconfront Nyerere lini na wapi na kwa namna gani?
 
Prof. Haroub alimconfront Nyerere lini na wapi na kwa namna gani?

Mwanakijiji,

Nimekueleza siku nyingi sana usijitaabishe na wala huna sababu ya kuhoji sana utaitafisha nafsi yako bure.
Unapenda amini la unaona "porojo" ndiyo porojo unasoma unasahau.

Ila nitakupa kitu kimoja. Prof. Haroub alikuwa mtu wangu wa karibu sana katika masuala ya kisomi ni mwalimu wangu.

Kisha mmoja wa watoto wa rafiki yake kaoa kwetu kwa hiyo yale mapenzi baina yetu yakaingia na udugu. Nimepata
mengi kutoka kwake.

Kuna kitabu kuhusu yeye kimetoka kama kumbukumbu yake "Haroub Othman Farewell to the Chairman " ndani
yamezungumzwa hayo nilosema ambayo wewe una dodosa.

Najifaharisha kusema kuwa ni baada ya Prof. kunihoji sana kuhusu Nyerere kama mfanyavyo hapo ndipo likamjia wazo
kuwa ni lazima Nyerere aandike maisha yake vinginevyo itakuwa shida upande wake kwa hayo niloandika mimi na Sheikh
Ali Muhsin Barwani.

Kitafute kitabu usome kipo TPH na Univeristy Bookshop. Ukishakisoma njoo jamvini tukae tujadili Insha Allah.

Mohamed
 
Kati yetu kwenye mijadala hii inayoendelea humu JF kuna aliyetumwa na DINI yake kuchangia humu? Kwa nini Mohamed Said anadhani wazee wake wa Dar ni UISLAMU wao uliwatuma kudai uhuru? Nchi nyingi za Afrika na kwingineko zilidai uhuru. Hivi ni watu wote waliodai uhuru katika nchi hizo wengine kwa kumwaga damu wanatajwa kila mahala? Mwalimu amekuwa akiwataja kila mara wazee hawa kwenye hotuba zake. Vipi Mohamed Said anadai walisahaulika? Kwa baadhi yetu tusiosumbuliwa na DINI na hasa UDINI tunabaki kumshangaa Mohamed Said kwa jinsi anavyowaenzi wazee wetu hawa kwa kutulazimisha tuamini kuwa ni DINI yao iliwatuma kudai uhuru. Taabu moja tuliyonayo Afrika nyeusi ni kuwa WAKRISTO au WAISLAMU zaidi kuliko huko DINI hizo zilikoanzia na kuasisiwa.
 
Kati yetu kwenye mijadala hii inayoendelea humu JF kuna aliyetumwa na DINI yake kuchangia humu? Kwa nini Mohamed Said anadhani wazee wake wa Dar ni UISLAMU wao uliwatuma kudai uhuru? Nchi nyingi za Afrika na kwingineko zilidai uhuru. Hivi ni watu wote waliodai uhuru katika nchi hizo wengine kwa kumwaga damu wanatajwa kila mahala? Mwalimu amekuwa akiwataja kila mara wazee hawa kwenye hotuba zake. Vipi Mohamed Said anadai walisahaulika? Kwa baadhi yetu tusiosumbuliwa na DINI na hasa UDINI tunabaki kumshangaa Mohamed Said kwa jinsi anavyowaenzi wazee wetu hawa kwa kutulazimisha tuamini kuwa ni DINI yao iliwatuma kudai uhuru. Taabu moja tuliyonayo Afrika nyeusi ni kuwa WAKRISTO au WAISLAMU zaidi kuliko huko DINI hizo zilikoanzia na kuasisiwa.

WC,

Hayo umesema wewe na mdomo haumkatai bwana wake.

Mimi nilichofanya ni kuandika mchango wa wazee wangu
katika kupigania uhuru wa Tanganyika na jinsi walivyotumia
Uislam wao katika harakati zile.

Ni kazi ya kisomi kama vile tusomavyo mabuku jinsi Ukristo
ulivyopambana na biashara ya utumwa.

Hakuna tofauti yoyote.

Kama wewe unakereka kwa kuwa wameandikwa Waislam basi
tustahamiliane.

Mohamed
 
Ukiisoma post iliyoniliza machozi si iliyoandikwa na Mohamed Said, rejea posts.

Mohamed Said MashAllah Mwenyeezi Mungu amzidishie kila la kheri, anayotuletea humu yameniliza zamani, hao anaowaandika wengi wao nimewaona machoni na wengi wa watoto zao nimecheza na kusoma nao na wengi wao ni marafiki zangu sana tu. Kwa mfano amemtaja Sisso, huyu Marehem Sisso alikuwa hatoki nyumbani kwetu, kutwa yupo hapo na vituko na habari zake nyingi sana nazikumbuka na alikuwa akiingia nyumbani tukimuona tu tunaanza kucheka, kumbuka, nyumbani kwetu na ofisi za TANU ni ubavu kwa ubavu. Hata Nyerere alikuwa na kawaida ya kuja kusalimia mara kwa mara alipokuja ofisi za TANU. Nalia na nawaombea Dua huko walipo Mwenyeezi Mungu awarehem na awasameh, kila wanapotajwa kwani nawaona machoni.

Haya FaizaFoxy, nimerudi. Bahati mbaya sana mimi Huyo Mohamed Said nimesema toka mwanzo, sitajibizana naye moja kwa moja kwani porojo zake na hadithi zake za kusadikika hazininyimi usingizi hata kidogo. Watanzania, Waislaam kwa Wakristo na bila kuwasahau wasiokuwa na dini, nina imani kubwa hawatazipokea hizi porojo zilizojaa fitna na chuki bila tafakari. Ukweli unabaki kuwa Watanganyika walijitolea nafsi zao bila kujali rangi, imani wala jinsia na kuungana pamoja kumpinga mkoloni kila moja kadri alivyoweza.

Anyway hayo tuyaache. Unadai huyo Mohamed kaninyamazisha baada ya kumwaga nondo, hivi kuna kipya kipi katika maelezo yake ? Kwamba Mwalimu Nyerere hangeweza kuandika hotuba mpaka aandikiwe, hivi kati ya hao wazee wa Mohamed ni yupi angeweza kusimama kwenye jukwaa na Mwalimu katika mdahalo wowote ule. Halafu eti ushahidi uwe wa wazee wake ambao walikiri wenyewe uwezo mkubwa aliokuwa nao Mwalimu, tungo zingine zinaweza tu kuwateka watu wale wale katika mazingira yale yale na nyakati zile zile. Huyo moja aliyeutaka uongozi mbona porojo za Mohamed Said hazielezi uchaguzi uliendeshwaje hadi Mwalimu Nyerere akaibuka mshindi na je, huyo mtu alitulizwaje ?

Uwezo wa Mwalimu haukuanzia Makerere, hata hapo Tabora akiwa bado mwanafunzi na akiwa kapewa Uprefect alitofautiana na wenzake na alionyesha uwezo mkubwa katika kutetea haki za wanafunzi wenzake. Akiwa Makerere alianzisha tawi la TAA na kwa kura nyingi akachaguliwa na wanafunzi wenzake kuwa kiongozi wao. Ni uenda wazimu kudai kuwa baada ya kurudi Tabora 1955 huyooo, hakujishughulisha tena na mambo ya TAA ingawa kwa wakati huo tawi la TAA likiwa limeshafunguliwa ! Halafu wapo wanaoamini hili ! Kwa nini hata watu hamjiulizi kwa je Mwanachama wa TAA alihitaji kuwa na sifa zipi ?

( NB - FaizaFoxy, pia uliwahi kusimuliwa "Operation Makuti" ilifanyika mwaka gani na kwa lengo gani. Unajua ilikokuwa "Sombrero Night Club" na vituko vyake kabla ya kufungwa baada ya kupata uhuru ? Unajua "Banda Beach" ilikuwa nini nini na kwa nini ilipigwa vita na kufungwa kwenye miaka ya sitini ? Yawezekana ulizaliwa Dar tena mtaa gani vile, lakini linapokuja historia ya hili jiji, wewe ni mtoto mdogo na heri ukae kimya. Anyway, hayo tuyaache kwa sababu Dar ya wakati huo siyo Dar hii ya leo).
 

Nguruvi3,

Kwa kuwa umei !!!!!!! hiyo picha naona nikupe hidaya kutoka kwangu kuhusu hiyo picha:

"Miakakama thelathini hivi iliyopita Kassela Bantu, mmoja wa waasisi wa TANUaliandika makala katika jarida moja kutoka Uingereza lililokuwa mashuhuru sanaTanzania katika miaka ya 1980. Katika barua ile Kasella Bantu alisema kuwa ilikuwayeye ndiye aliyeitisha mkutano mkuu wa TAA wa mwaka 1954 mkutano ambao ndiyouliasisi TANU. Kassela Bantu akaendelea kusema kuwa alikuwa yeye ndiyealiyeandika katiba ya TANU. Makala hii ilipambwa na picha ya waasisi wa TANU. Kunausemi kuwa picha huzungumza maneno elfu moja. Picha hii ya wanachama waasisi waTANU ni picha mashuhuri sana. Picha hii imetundikwa Makao Makuu ya CCM Dodoma.Katika picha hii iliyopigwa pale New Street tarehe 7 Julai 1954 wanachama watatu hawaonekani katika picha ile,Ally Sykes, Tewa Said Tewa na Kasella Bantu. Hawa walikuwa watumishi waserikali na kwa kanuni za utumishi katika serikali ya Kiingereza, watumishi waserikali walikuwa hawaruhusiwi kujihusisha na siasa. Mwafrika yoyote aliyevunjaamri hiyo kuu adhabu yake ilikuwa kufukuzwa kazi mara moja. Kwa hiyo picha hiyoilipopigwa Ally, Tewa na Kasella Bantu walijiondoa wakaa pembeni. Picha hiimaarufu ambayo imepachikwa uso wa Kasella Bantu sasa imezua ubishi kwa watukujiuliza ni nani aliyechafua picha hiyo ili ionekane kama kwamba Bantu piaalikuwepo wakati ilipopigwa wakati kwenye picha halisi hakuwepo. Hili jambo nila bahati mbaya sana. Mkono wa mtu umechafua picha ile ya kihistoria kwakuingiza kwa ustadi uso wa Kasella Bantu ndani ya picha ile ili ionekane kamakuwa na yeye alikuwemo katika ile picha ilipopigwa mwaka 1954. Uso wa KasellaBantu umebandikwa katikati ya Abdulwahid na Chifu Patrick Kunambi kwa ustadisana. Hapa ingeweza kueleweka kama picha za Ally Sykes na Tewa Said nazo zingeingizwavilevile, lakini haikuwa hvyo. Hata kama picha za hawa waasisi wenginezingeliwekwa bado picha ile ya kihistoria ingekuwa imechafuliwa. Hivi leo kunapicha mbili za kihistori kwa kwa tokeo moja. Hivi sasa ipo ile nakala halisiisiyokuwa na wale wanachama watatu waasisi; na hii nakala mpya yenye kuonyeshauso uliobandikwa wa Kasella Bantu, lakini bila ya wale wenzake Ally na Tewaambao hawakuwapo ndani ya picha toka awali. Germano Pacha muasisi wa TANUkutoka Jimbo la Magharibi ambae yumo katika amefafanua kwamba, kama isingekuwakwa picha ile kungekuwepo na wanachama wengi waasisi wa TANU kuliko wale 17 wamwanzo waliokutana mjini Dar es Salaam tarehe 7 Julai, 1954. Inasemekana kuwauso wa Kassela Bantu katika ile picha yakihistoria uliingizwa na kitengo cha upigaji picha Chuo Kikuu cha Dar es Salaammnamo Mei, 1974, miaka 20 baada ya kupigwa (picha hiyo).
Historiaya picha ile ya waasisi wa TANU ni kuwa Picha hiyo ilipigwa na Gomes mpigapicha maarufu sana wa Ki-Goa katika siku zile. Abdulwahid Sykes alikuwaamepatana na Gomes aje makao makuu ya TAA kupiga picha hiyo ya historia. Kwabahati mbaya Gomes alichelewa kufika ofisi ya TAA. Abdulwahid alikosa subirakwa hiyo, alimwomba mdogo wake Abbas kwenda kumchukua Gomes kutoka kwenyestudio yake Acacia Avenue (siku hizi Samora Avenue) katikati ya mji aje awapigepicha waasisi wa TANU. Chombo pekee cha usafiri walichokuwa nacho TAA wakatiule ilikuwa baiskeli moja iliyochakaa.Wakati Abbas ananyonga baiskeli kuelekea mjini kumchukua Gomes, Gomes alikuwakeshaondoka kwenye studio yake anakuja makao makuu ya TAA; kwa hiyowakaipishana njiani. KasellaBantu alikuwa akikerwa sana na kupotoshwa kwa historia ya TANU. Kila alipopatafursa kuanzia alipokuwa uhamishoni Ulaya na hata baada ya kurudi nyumbanikutoka uhamishoni, Kasella Bantu amekuwa akisema kila alipopata nafasi kuwa kuwayeye ndiye aliyeandika katiba ya TANU na ni mmoja wa waasisi wa TANU. Bantukama waanzilishi wengine wengi anahisi kwamba mchango wake katika harakati zauhuru wa Tanganyika haujathaminiwa. Kasella Bantu ndiyo mtu aliyempeleka JuliusNyerere kwa Abdulwahid kumtambulisha mwaka wa 1952. Bantu na Nyerere walifahamianatoka huko nyuma walipokuwa wakifundisha pamoja Tabora. TANU isingeweza kupingaukweli kwamba Kasella Bantu alikuwa miongoni mwa wale wanachama 17 waasisi waTANU. Hali kadhalika TANU isingeweza kupinga ule ukweli kuwa Kasella Bantualishiriki katika kuandika ile katiba ya TANU lakini katika hili TANUingeliweka angalizo kuwa uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya. Katiba ya TANUilinukuliwa neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya KwameNkrumah, kwa kutia TANU mahali pa CPP. "
 
Haya FaizaFoxy, nimerudi. Bahati mbaya sana mimi Huyo Mohamed Said nimesema toka mwanzo, sitajibizana naye moja kwa moja kwani porojo zake na hadithi zake za kusadikika hazininyimi usingizi hata kidogo. Watanzania, Waislaam kwa Wakristo na bila kuwasahau wasiokuwa na dini, nina imani kubwa hawatazipokea hizi porojo zilizojaa fitna na chuki bila tafakari. Ukweli unabaki kuwa Watanganyika walijitolea nafsi zao bila kujali rangi, imani wala jinsia na kuungana pamoja kumpinga mkoloni kila moja kadri alivyoweza.

Anyway hayo tuyaache. Unadai huyo Mohamed kaninyamazisha baada ya kumwaga nondo, hivi kuna kipya kipi katika maelezo yake ? Kwamba Mwalimu Nyerere hangeweza kuandika hotuba mpaka aandikiwe, hivi kati ya hao wazee wa Mohamed ni yupi angeweza kusimama kwenye jukwaa na Mwalimu katika mdahalo wowote ule. Halafu eti ushahidi uwe wa wazee wake ambao walikiri wenyewe uwezo mkubwa aliokuwa nao Mwalimu, tungo zingine zinaweza tu kuwateka watu wale wale katika mazingira yale yale na nyakati zile zile. Huyo moja aliyeutaka uongozi mbona porojo za Mohamed Said hazielezi uchaguzi uliendeshwaje hadi Mwalimu Nyerere akaibuka mshindi na je, huyo mtu alitulizwaje ?

Uwezo wa Mwalimu haukuanzia Makerere, hata hapo Tabora akiwa bado mwanafunzi na akiwa kapewa Uprefect alitofautiana na wenzake na alionyesha uwezo mkubwa katika kutetea haki za wanafunzi wenzake. Akiwa Makerere alianzisha tawi la TAA na kwa kura nyingi akachaguliwa na wanafunzi wenzake kuwa kiongozi wao. Ni uenda wazimu kudai kuwa baada ya kurudi Tabora 1955 huyooo, hakujishughulisha tena na mambo ya TAA ingawa kwa wakati huo tawi la TAA likiwa limeshafunguliwa ! Halafu wapo wanaoamini hili ! Kwa nini hata watu hamjiulizi kwa je Mwanachama wa TAA alihitaji kuwa na sifa zipi ?

( NB - FaizaFoxy, pia uliwahi kusimuliwa "Operation Makuti" ilifanyika mwaka gani na kwa lengo gani. Unajua ilikokuwa "Sombrero Night Club" na vituko vyake kabla ya kufungwa baada ya kupata uhuru ? Unajua "Banda Beach" ilikuwa nini nini na kwa nini ilipigwa vita na kufungwa kwenye miaka ya sitini ? Yawezekana ulizaliwa Dar tena mtaa gani vile, lakini linapokuja historia ya hili jiji, wewe ni mtoto mdogo na heri ukae kimya. Anyway, hayo tuyaache kwa sababu Dar ya wakati huo siyo Dar hii ya leo).

Mag3,

Mimi kukulazimisha ufanye mnakasha na mimi hilo sina uwezo nalo lakini ukinitaja tu jua nitakujibu sitokaa kimya. Sasa wewe salama yako ni kuacha kunitaja.

Hakuna aneweza kuthubutu kupinga kipaji cha Nyerere. Hili jambo liko wazi. Ninachosema mimi ni kuwa kuna mambo hakufanya yeye kwa kuwa wakati ule hakuwapo. Sasa kuna ubaya gani kueleza habari wazalendo wengine katika kupigania uhuru wa Tanganyika? Au historia itanoga pale tu tutakapofuta michango ya wengine?

Nataka nikuongeze kitu ambacho hata Nyerere akimuhusudu Abdulwahid. Akizungumza Kiingereza vizuri sana na baba yake Mzee Kleist alikuwa akizungumza Kiingereza na Kijerumani.

Mohamed
 

WC,

Hayo umesema wewe na mdomo haumkatai bwana wake.

Mimi nilichofanya ni kuandika mchango wa wazee wangu
katika kupigania uhuru wa Tanganyika na jinsi walivyotumia
Uislam wao katika harakati zile.

Ni kazi ya kisomi kama vile tusomavyo mabuku jinsi Ukristo
ulivyopambana na biashara ya utumwa.

Hakuna tofauti yoyote.

Kama wewe unakereka kwa kuwa wameandikwa Waislam basi
tustahamiliane.

Mohamed
Mohamed,
Nimesoma vitabu vyako. Nimesoma maandishi yako sehemu mbalimbali. Sijapata kukutana nawe wala kukuona. Uislamu wa hawa wazee wetu haujauelezea kokote jinsi ulivyochangia kudai uhuru wa NCHI yetu. Kwa taarifa yako tu, Mwalimu asingeingia TAA kama angenusa harufu ya UDINI ndani yake kama ilvyokuwa kwa vyama vingine ambavyo wewe unavifahamu. Wazee wa KIISLAMU wamebaki wengi tu ndani ya TAA, TANU hadi leo CCM. Wameshika vyeo na madaraka makubwa tu ndani ya chama hiki na serikali yake. Historia ya kweli isiyoongozwa kwa hisia za UDINI italisimamia hili.
 
Cha Ajabu Babu yangu kule Rombo wala hawafahamu hawa Wazee wa Gerezani sasa ilikuwaje wao "PEKEE" ndio walikuwa na "Mchango wa Pekee" Katika kuadi Uhuru wa Tanganyika (Rombo ikiwa Sehemu yake) halafu Warombo wenyewe hawaawafahamu hao Pioneers wenyewe LoL! Yataka moyo kusadiki hzi habarii
 
WC,

Inaelekea husemi kweli. Ungesoma kitabu changu ungekutana na "Muslim symbols" nyingi ndani lau kama TANU ilifuata "a nationalist secularist ideology." Soma hii:
"Kwa ajili ya wasiwasi huu, viongozi waTANU wa Tanga walimuomba Nyerere wawe pamoja ili ifanywe tawaswil waombe msaadawa Allah awape ushindi dhidi yaa vitimbi vya Waingereza. Maili tatu kutoka Tanga kipo kijiji chaMnyanjani ambako kulikuwako na tawi la TANU lililokuwa na nguvu sanalikiongozwa na Mmaka Omari kama mwenyekiti na Akida Boramimi bin Dai akiwakatibu. Mmaka alikuwa kijana aliyekuwa akiendesha mgahawa pale kijijini naAkida bin Dai alikuwa mwashi. Akida aliongoza tawi la vijana wa TANU ambalobaadae lilikuja kujulikana kama Tanga Volunteer Corps (TVC). TVC ilikuwasawasawa na Bantu Group, ambayo wakati huo ilikuwa imekwishaanzishwa huko Dares Salaam na Tabora. Vikundi hivi mbali na kufanya shughuli za propaganda nakuhamasisha wananchi halikadhalika viliifanyia TANU ujasusi. Nyerere naKissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani na tawaswil ikasomwa. Waliohudhuriakisomo hicho walikuwa Abdallah RashidSembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwanaaliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimi bin Dai na Mmaka Omari.Aliyechaguliwa kusoma Quran Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh AliKombora."

Nakuongeza na hii nyingine:
"Lakini matukio mawili ya kumbukumbu kubwayalikuwa katika safari ya pili ya Nyerere alipozuru tena Jimbo la Kusini.Kumbukumbu ya kwanza ilikuwa tawaswil aliyosomewa Nyerere na Sheikh Yusuf Badimwenyewe pamoja na Waislam aliowachagua yeye sheikh mwenyewe maalum kwa haflahiyo, pamoja na waliochaguliwa na masheikh wengine.[1] Kumbukumbu ya pili ni ilekaramu iliyoandaliwa kwa heshima yaNyerere na Mussa Athumani Lukundu, kiongozi wa Dockworkersí Union. Hii ilikuwaheshima kubwa aliyoonyeshwa Nyerere, ilikuwa kilele cha upendo na heshima kwaMuislamu yoyote anaweza kumfanyia asiyekuwa Muislamu.Siku ya ukumbusho mkubwa sana mjini Lindiilikuwa siku ya uhuru, tarehe 9 Desemba, 1961. Sheikh Badi, bingwa wa mashairi,aliombwa na TANU kuandika hotuba ya uhuru itakayotolewa na Yusuf Chembera mbeleya DC akiwa kama mwakilishi wa utawala wa Kiingereza uliokuwa ukingíoka. Hotubahiyo ya Sheikh Badi na iliandikwa kwa Kiarabu na Chembera. Akiwa mtoto mdogoChembera alipelekwa kwa Sheikh Yusuf Badi na baba yake kwenda kusoma elimu yadini na aliendelea kuwapo hapo chuoni kwa Sheikh Badi hadi alipohitimu. SheikhBadi hakuona kama ipo hotuba yoyote iliyoandikwa na mwanadamu iliyostahikihafla kama ile ya siku ya kujikomboa kutoka minyororo ya ukoloni. Sheikh Badialimsomea mwanafunzi wake Chembera, dua ya kunut ambayo husomwa na Waislamkatika kila sala ya alfajir. Usiku wa manane wa tarehe 9 Desemba, 1961 ulikuwausiku adhim sana kwa wote wawili, mwalimu na mwanafunzi wake, pale watuwalipokusanyika katika ule uwanja wa gofu na kumsikiliza Chembera akisoma kunutkupokea uhuru wa Tanganyika. Lakini mara tu baada ya uhuru Wakristo walianzakuuchimba ule waliouona kuwa uongozi wa Waislam katika TANU kwa kisingizio kuwauongozi ule haukuwa na elimu. Suleiman Masudi Mnonji alikamatwa na kutiwakizuizini kwa amri ya Nyerere chini ya Preventive Detention Act ya mwaka 1962kwa kile kilichoitwa ëkuchanganya dini na siasaí na Waislam wengine waanzilishiwa harakati za kudai uhuru walitupwa nje ya uongozi."
Na hii ya kuhitimisha:
"Katika mikutano ya TANU katika zile sikuza mwanzo, kabla Nyerere au Bibi Titi kuhutubia umma, Sheikh Suleiman Takadiralikuwa akisimama na kuomba dua. Kwa kawaida alikuwa akisoma ghaibu SuratFatihah, sura ya kwanza katika Qurían Tukufu: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi waRehema, Mwenye Kurehemu. Kila sifa njema ni milki yake Mwenyezi Mungu, Mola waUlimwengu wote. Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Mfalme wa siku ya Hukumu.Wewe tu ndiyo tunayekuabudu na wewe tu ndiyo tunakuomba msaada. Tuongoze katikanjia iliyonyooka, njia ambayo umewaongoza wale uliowaneemesha, si ya waleuliowaghadhibikia wala ya wale waliopotea."Hii ni dua ambayo kwa kawaida husomwa naWaislam kabla ya kuanza jambo lolote la kheri. Wakati Sheikh Takadir akisomadua hii watu walikuwa wima mikono yao juu wakimshukuru Allah. Baada ya hapoNyerere au Bibi Titi, kutegemea na ujumbe maalum uliotaka kutolewa katika sikuhiyo, alikuwa akisimama na kuhutubia.

Mohamed

 
M. Said nimekuelewa kuwa hilo la Prof. Othman kuhusu kumconfront Nyerere limeandikwa kwenye kitabu chake; swali la pili hujalibu.

Wewe ulianza kufanya utafiti wa kitabu chako cha Kiingereza lini na ulikamilisha lini hadi kikachapwa mwaka 1998. Yaani ulichukua muda gani kukamilisha uandishi wako wa kitabu cha Abdulwahid Sykes?
 
Haya FaizaFoxy, nimerudi. Bahati mbaya sana mimi Huyo Mohamed Said nimesema toka mwanzo, sitajibizana naye moja kwa moja kwani porojo zake na hadithi zake za kusadikika hazininyimi usingizi hata kidogo. Watanzania, Waislaam kwa Wakristo na bila kuwasahau wasiokuwa na dini, nina imani kubwa hawatazipokea hizi porojo zilizojaa fitna na chuki bila tafakari. Ukweli unabaki kuwa Watanganyika walijitolea nafsi zao bila kujali rangi, imani wala jinsia na kuungana pamoja kumpinga mkoloni kila moja kadri alivyoweza.

Anyway hayo tuyaache. Unadai huyo Mohamed kaninyamazisha baada ya kumwaga nondo, hivi kuna kipya kipi katika maelezo yake ? Kwamba Mwalimu Nyerere hangeweza kuandika hotuba mpaka aandikiwe, hivi kati ya hao wazee wa Mohamed ni yupi angeweza kusimama kwenye jukwaa na Mwalimu katika mdahalo wowote ule. Halafu eti ushahidi uwe wa wazee wake ambao walikiri wenyewe uwezo mkubwa aliokuwa nao Mwalimu, tungo zingine zinaweza tu kuwateka watu wale wale katika mazingira yale yale na nyakati zile zile. Huyo moja aliyeutaka uongozi mbona porojo za Mohamed Said hazielezi uchaguzi uliendeshwaje hadi Mwalimu Nyerere akaibuka mshindi na je, huyo mtu alitulizwaje ?

Uwezo wa Mwalimu haukuanzia Makerere, hata hapo Tabora akiwa bado mwanafunzi na akiwa kapewa Uprefect alitofautiana na wenzake na alionyesha uwezo mkubwa katika kutetea haki za wanafunzi wenzake. Akiwa Makerere alianzisha tawi la TAA na kwa kura nyingi akachaguliwa na wanafunzi wenzake kuwa kiongozi wao. Ni uenda wazimu kudai kuwa baada ya kurudi Tabora 1955 huyooo, hakujishughulisha tena na mambo ya TAA ingawa kwa wakati huo tawi la TAA likiwa limeshafunguliwa ! Halafu wapo wanaoamini hili ! Kwa nini hata watu hamjiulizi kwa je Mwanachama wa TAA alihitaji kuwa na sifa zipi ?

( NB - FaizaFoxy, pia uliwahi kusimuliwa "Operation Makuti" ilifanyika mwaka gani na kwa lengo gani. Unajua ilikokuwa "Sombrero Night Club" na vituko vyake kabla ya kufungwa baada ya kupata uhuru ? Unajua "Banda Beach" ilikuwa nini nini na kwa nini ilipigwa vita na kufungwa kwenye miaka ya sitini ? Yawezekana ulizaliwa Dar tena mtaa gani vile, lakini linapokuja historia ya hili jiji, wewe ni mtoto mdogo na heri ukae kimya. Anyway, hayo tuyaache kwa sababu Dar ya wakati huo siyo Dar hii ya leo).

WC,

Inaelekea husemi kweli. Ungesoma kitabu changu ungekutana na "Muslim symbols" nyingi ndani lau kama TANU ilifuata "a nationalist secularist ideology." Soma hii:
"Kwa ajili ya wasiwasi huu, viongozi waTANU wa Tanga walimuomba Nyerere wawe pamoja ili ifanywe tawaswil waombe msaadawa Allah awape ushindi dhidi yaa vitimbi vya Waingereza. Maili tatu kutoka Tanga kipo kijiji chaMnyanjani ambako kulikuwako na tawi la TANU lililokuwa na nguvu sanalikiongozwa na Mmaka Omari kama mwenyekiti na Akida Boramimi bin Dai akiwakatibu. Mmaka alikuwa kijana aliyekuwa akiendesha mgahawa pale kijijini naAkida bin Dai alikuwa mwashi. Akida aliongoza tawi la vijana wa TANU ambalobaadae lilikuja kujulikana kama Tanga Volunteer Corps (TVC). TVC ilikuwasawasawa na Bantu Group, ambayo wakati huo ilikuwa imekwishaanzishwa huko Dares Salaam na Tabora. Vikundi hivi mbali na kufanya shughuli za propaganda nakuhamasisha wananchi halikadhalika viliifanyia TANU ujasusi. Nyerere naKissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani na tawaswil ikasomwa. Waliohudhuriakisomo hicho walikuwa Abdallah RashidSembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwanaaliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimi bin Dai na Mmaka Omari.Aliyechaguliwa kusoma Quran Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh AliKombora."

Nakuongeza na hii nyingine:
"Lakini matukio mawili ya kumbukumbu kubwayalikuwa katika safari ya pili ya Nyerere alipozuru tena Jimbo la Kusini.Kumbukumbu ya kwanza ilikuwa tawaswil aliyosomewa Nyerere na Sheikh Yusuf Badimwenyewe pamoja na Waislam aliowachagua yeye sheikh mwenyewe maalum kwa haflahiyo, pamoja na waliochaguliwa na masheikh wengine.[1] Kumbukumbu ya pili ni ilekaramu iliyoandaliwa kwa heshima yaNyerere na Mussa Athumani Lukundu, kiongozi wa Dockworkersí Union. Hii ilikuwaheshima kubwa aliyoonyeshwa Nyerere, ilikuwa kilele cha upendo na heshima kwaMuislamu yoyote anaweza kumfanyia asiyekuwa Muislamu.Siku ya ukumbusho mkubwa sana mjini Lindiilikuwa siku ya uhuru, tarehe 9 Desemba, 1961. Sheikh Badi, bingwa wa mashairi,aliombwa na TANU kuandika hotuba ya uhuru itakayotolewa na Yusuf Chembera mbeleya DC akiwa kama mwakilishi wa utawala wa Kiingereza uliokuwa ukingíoka. Hotubahiyo ya Sheikh Badi na iliandikwa kwa Kiarabu na Chembera. Akiwa mtoto mdogoChembera alipelekwa kwa Sheikh Yusuf Badi na baba yake kwenda kusoma elimu yadini na aliendelea kuwapo hapo chuoni kwa Sheikh Badi hadi alipohitimu. SheikhBadi hakuona kama ipo hotuba yoyote iliyoandikwa na mwanadamu iliyostahikihafla kama ile ya siku ya kujikomboa kutoka minyororo ya ukoloni. Sheikh Badialimsomea mwanafunzi wake Chembera, dua ya kunut ambayo husomwa na Waislamkatika kila sala ya alfajir. Usiku wa manane wa tarehe 9 Desemba, 1961 ulikuwausiku adhim sana kwa wote wawili, mwalimu na mwanafunzi wake, pale watuwalipokusanyika katika ule uwanja wa gofu na kumsikiliza Chembera akisoma kunutkupokea uhuru wa Tanganyika. Lakini mara tu baada ya uhuru Wakristo walianzakuuchimba ule waliouona kuwa uongozi wa Waislam katika TANU kwa kisingizio kuwauongozi ule haukuwa na elimu. Suleiman Masudi Mnonji alikamatwa na kutiwakizuizini kwa amri ya Nyerere chini ya Preventive Detention Act ya mwaka 1962kwa kile kilichoitwa ëkuchanganya dini na siasaí na Waislam wengine waanzilishiwa harakati za kudai uhuru walitupwa nje ya uongozi."
Na hii ya kuhitimisha:
"Katika mikutano ya TANU katika zile sikuza mwanzo, kabla Nyerere au Bibi Titi kuhutubia umma, Sheikh Suleiman Takadiralikuwa akisimama na kuomba dua. Kwa kawaida alikuwa akisoma ghaibu SuratFatihah, sura ya kwanza katika Qurían Tukufu: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi waRehema, Mwenye Kurehemu. Kila sifa njema ni milki yake Mwenyezi Mungu, Mola waUlimwengu wote. Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Mfalme wa siku ya Hukumu.Wewe tu ndiyo tunayekuabudu na wewe tu ndiyo tunakuomba msaada. Tuongoze katikanjia iliyonyooka, njia ambayo umewaongoza wale uliowaneemesha, si ya waleuliowaghadhibikia wala ya wale waliopotea."Hii ni dua ambayo kwa kawaida husomwa naWaislam kabla ya kuanza jambo lolote la kheri. Wakati Sheikh Takadir akisomadua hii watu walikuwa wima mikono yao juu wakimshukuru Allah. Baada ya hapoNyerere au Bibi Titi, kutegemea na ujumbe maalum uliotaka kutolewa katika sikuhiyo, alikuwa akisimama na kuhutubia.

Mohamed



Kama mtu atakuja na kukataa haya,alafu nakudai yeye anaijua Historia harisi ya Nchii hii ,ati sijui kwasababu yeye kazaliwa sijui mwaka gani..... lazima atakuwa na matatizo.
 
Namna hii hata maana ya mjadala inapotea, hebu tujikumbushe!

Niliandika


Mohamed Said, kabla sijafanya reference na kucomment, Je historia iliyoandikwa katika kitabu hiki ni sahihi au nayo imepotoshwa??????? Maana imezungumzwa sana hii historia iliyopotoshwa lakini vitabu vilivyopotosha havitajwi. Ila nachokiona from your side ni kwamba you have freedom to choose anywhere ku-cite references zako iwe Tanzania, Cambridge Uni Press, Amazon.com, Marekani u name it. A freedom I suspect is somehow limited to some of us thru branding na unguided limitations.

"Voices from Tanganyika:Great Britian, the United Nations and the decolonization of a Trust Territory, 1946-1961" ByUllrich Lohrmann

MS Ukanijibu hapa chini

Nyambala, Tafadhali tuelewane. Kitabu ambacho si sahihi katika historia ya TANU ni hiki:"Kivukoni Ideological College, Historia ya Chama Cha TANU 1954-1977, DaresSalaam,1981."
Ikiwa umefuatilia makala zangu katika Mwananchi na ukaja kusomakitabu hicho utapigwa na butwaa maana hiyo yao si historia ya TANU. Hayumo Abdulwahid Sykes, Dossa Aziz, Sheikh Hassan Bin Amir, Sheikh Suleima Takadir, Mshume Kiyate, Bibi Titi Mohamed, Bi Tatu Bint Mzee nk. Hiyo si historia ya TANU ni kitu kingine kabisa.
Hicho kitabu ulichotaja kwa bahati mbaya sijakisoma kwa hiyo siwezi kusema kitu. Ilani hivi vitabu vingi vilivyoandikwa kuhusu historia Tanganyika na kugusia"nationalist politics" haya niliyoandika hayamo ingawa wemeeleza mengikwa kupitia kijuujuu tu ukiondoa The Making of Tanganyika cha Judith Listowel,1965.

Nikajibu hapa chini kama ilivyoandikwa ulivyotanabaisha hapo juu, na ukakiri hujasoma kitabu hicho.

Asante sana Mohamed Said kwa kuliweka hili wazi kuhusu kitabu hiki cha "Kivukoni Ideological College, Historia yaChama Cha TANU 1954-1977,
Dar es Salaam, 1981."
Kusema ule ukweli jina tu la hicho kitabu linanifanya hata nisiwe na hamu ya kukisoma au kukitafuta.
Kitabu nilichokielezea hapo juu nimekikuta kwenye makabrasha flani na nimekisoma fasta fasta maana sikuwa na muda. Weekend hii nikipata nafasi ntakipitia tena mstari kwa mstari maana kuna vitu interesting ningependa tujadili.

Lakini pia kwa kukumbusha umewahi kutuhumu kwamba vitabu vinavyotumika mashuleni kusomeshea historia navyo vimepotosha unaweza kututajia mifano tafadhali ukiondoa hiki cha CCM
.

Mag3 akaandika hoja yake na ku-refer kitabu nilichoomba kukinukuu na ndugu MS ukakiri hujakisoma

Kabla sijaendelea nawaomba wana JF mpitie hivi vipande vifuatavyo, myasome kwa umakini muweze kujua angalau kwa kifupi tu EAMWS East African Moslem Welfare Society anayodai Mohamed Said kwamba ilivunjwa na Mwalimu Nyerere ilikuwa ni nini hasa na ilianzishwa na nani halafu
Aliyeandika haya anaitwa Ulrich Lohrmann.

- baadaye tutaendelea............

Akaibuka moja ya mashabiki na hoja hii hapa chini

Mag3
Please usituletee data za kutengenezwa, TUMEZICHOKA; KWA SABABU ZIMETENGENEZWA. Tunataka credible sources please!!

Katika hali ya kustaajabisha na kuonekana wazi unaunga mkono hoja ya shabiki hapo juu MS ukaandika ifuatavyo

Jasusi, Habari nilizoelezwa na wazee wangu naziamini kuliko vitabu elfu vya wanahistoria ambao hawakuwapo wakati wazee wangu wanapambana na ukoloni wa Waingereza.

Sasa kwa mwendo huu ambapo sisi haturuhusiwi kurejea vitabu vya historia ila wewe tu kwa sababu uliambiwa na wazee wako tutafika kweli. MS umerejea vitabu vingi sana kwenye huu mjadala na hakuna liyepinga kwa kusema "aah! Hao walioandika hawakuwapo wakati wazee wetu wanapambana na ukoloni wa Waingereza". Sasa iweje wewe uwe mwepesi kurukia upande huo. Mtazamo huu unakuondolea sifa kuwa mwanahistoria wa kuaminika na pia unaonekana wazi hauko sincere!! Hata nilichotaka kuandika kwa kurejea "Voices from Tanganyika:Great Britian, the United Nations and the decolonization of a Trust Territory, 1946-1961" ByUllrich Lohrmann inakuwa haina maana kama tayari kuna pre-emption. Na kwa mtindo huu inaonekana wazi unajadili katika perspective ya winners and loosers ambayo haisaidii kuiweka hoja isiyo kweli kuwa kweli!!!!

 
K,

Mnakasha utachujuka.

Nyerere kaandikwa sana na anafahamika.
Mimi nimeandika ile historia ambayo haifahamiki.

Wengi hawakuwa wanamjua Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadiri
Tatu bint Mzee na wengineo watu ambao walifanya mengi na makubwa
katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ninaona raha endapo nitaulizwa michango ya watu hawa.

Kote duniani nilikoalikwa hawkuniuliza habari za Nyerere wao walikuwa
wanataka kujua yale yaliyoachwa katika historia ya Tanganyika.

Nasi tufate mfano wao.

Ushakisikia kisa cha TANU Jimbo la Kusini kwenye ngome ya Kanisa Katoliki
iliingiaje na vipi YUsuf Chembera, Salum Mpunga na Sheikh Yusuf Badi
walivyomleta Nyerere Lindi kuishambulia ngome hiyo?

Mimi napenda kueleza vitu kama hivi mnakasha unoge.

Nakutaka radhi nisamehe kwa kutokidhi haja yako.

Mohamed

PS: Ikiwa kwako wewe hayo maswali juu ya Nyerere ni muhimu sana
soma kitabu changu yote nimeeleza mle.

MS

Mkuu Mohamed
Hayo maswali nimekuuliza kwa sababu kwenye kitabu chako ukueleza sababu hasa ya Wazee wa Gerezani Kugharamikia Mwalimu Nyerere, kiasi cha kumlipia pango na mshahara
Kuna kitu ambacho Nyerere alikuwa nacho ambacho kilikuwa zaidi ya Wazee wako Gerezani, lakini kwa sababu zako binafsi huwezi kuzikiri hizo sababu, maana ukizikiri ni kama kuwafanya Wazee wa Gerezani wanafundishwa Ujanja na Wakuja

Mkuu ukweli huwa unajisimamia wala Haupiganiwi,
 
Namna hii hata maana ya mjadala inapotea, hebu tujikumbushe!

Niliandika




MS Ukanijibu hapa chini



Nikajibu hapa chini kama ilivyoandikwa ulivyotanabaisha hapo juu, na ukakiri hujasoma kitabu hicho.



Mag3 akaandika hoja yake na ku-refer kitabu nilichoomba kukinukuu na ndugu MS ukakiri hujakisoma



Akaibuka moja ya mashabiki na hoja hii hapa chini



Katika hali ya kustaajabisha na kuonekana wazi unaunga mkono hoja ya shabiki hapo juu MS ukaandika ifuatavyo



Sasa kwa mwendo huu ambapo sisi haturuhusiwi kurejea vitabu vya historia ila wewe tu kwa sababu uliambiwa na wazee wako tutafika kweli. MS umerejea vitabu vingi sana kwenye huu mjadala na hakuna liyepinga kwa kusema "aah! Hao walioandika hawakuwapo wakati wazee wetu wanapambana na ukoloni wa Waingereza". Sasa iweje wewe uwe mwepesi kurukia upande huo. Mtazamo huu unakuondolea sifa kuwa mwanahistoria wa kuaminika na pia unaonekana wazi hauko sincere!! Hata nilichotaka kuandika kwa kurejea "Voices from Tanganyika:Great Britian, the United Nations and the decolonization of a Trust Territory, 1946-1961" ByUllrich Lohrmann inakuwa haina maana kama tayari kuna pre-emption. Na kwa mtindo huu inaonekana wazi unajadili katika perspective ya winners and loosers ambayo haisaidii kuiweka hoja isiyo kweli kuwa kweli!!!!


Wallah hata sijuia hii shida yote inakupateni kwa kisa gani. Kama hamuamini haya niliyosema sawa hapana tabu. Mimi niliona yaliyokuwemo katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika nikaandika kitabu kueleza upande mwingine. Ikiwa nanyi mmeona haya yangu si kweli basi hakuna neno. Hapana haja ya kutabishana bila sababu.

Mohamed
 
Haya FaizaFoxy, nimerudi. Bahati mbaya sana mimi Huyo Mohamed Said nimesema toka mwanzo, sitajibizana naye moja kwa moja kwani porojo zake na hadithi zake za kusadikika hazininyimi usingizi hata kidogo. Watanzania, Waislaam kwa Wakristo na bila kuwasahau wasiokuwa na dini, nina imani kubwa hawatazipokea hizi porojo zilizojaa fitna na chuki bila tafakari. Ukweli unabaki kuwa Watanganyika walijitolea nafsi zao bila kujali rangi, imani wala jinsia na kuungana pamoja kumpinga mkoloni kila moja kadri alivyoweza.

Anyway hayo tuyaache. Unadai huyo Mohamed kaninyamazisha baada ya kumwaga nondo, hivi kuna kipya kipi katika maelezo yake ? Kwamba Mwalimu Nyerere hangeweza kuandika hotuba mpaka aandikiwe, hivi kati ya hao wazee wa Mohamed ni yupi angeweza kusimama kwenye jukwaa na Mwalimu katika mdahalo wowote ule. Halafu eti ushahidi uwe wa wazee wake ambao walikiri wenyewe uwezo mkubwa aliokuwa nao Mwalimu, tungo zingine zinaweza tu kuwateka watu wale wale katika mazingira yale yale na nyakati zile zile. Huyo moja aliyeutaka uongozi mbona porojo za Mohamed Said hazielezi uchaguzi uliendeshwaje hadi Mwalimu Nyerere akaibuka mshindi na je, huyo mtu alitulizwaje ?

Uwezo wa Mwalimu haukuanzia Makerere, hata hapo Tabora akiwa bado mwanafunzi na akiwa kapewa Uprefect alitofautiana na wenzake na alionyesha uwezo mkubwa katika kutetea haki za wanafunzi wenzake. Akiwa Makerere alianzisha tawi la TAA na kwa kura nyingi akachaguliwa na wanafunzi wenzake kuwa kiongozi wao. Ni uenda wazimu kudai kuwa baada ya kurudi Tabora 1955 huyooo, hakujishughulisha tena na mambo ya TAA ingawa kwa wakati huo tawi la TAA likiwa limeshafunguliwa ! Halafu wapo wanaoamini hili ! Kwa nini hata watu hamjiulizi kwa je Mwanachama wa TAA alihitaji kuwa na sifa zipi ?

( NB - FaizaFoxy, pia uliwahi kusimuliwa "Operation Makuti" ilifanyika mwaka gani na kwa lengo gani. Unajua ilikokuwa "Sombrero Night Club" na vituko vyake kabla ya kufungwa baada ya kupata uhuru ? Unajua "Banda Beach" ilikuwa nini nini na kwa nini ilipigwa vita na kufungwa kwenye miaka ya sitini ? Yawezekana ulizaliwa Dar tena mtaa gani vile, lakini linapokuja historia ya hili jiji, wewe ni mtoto mdogo na heri ukae kimya. Anyway, hayo tuyaache kwa sababu Dar ya wakati huo siyo Dar hii ya leo).

Mie pumba na maelezo marefu yasio na mpango huwa sipendi, niandikie nilichokiandika mimi au alichokiandika Mohamed Said kinachohusu mada na kama unalako kulisema liseme bila kutukana wala kukejeli kama huna zaidi kaa kimya. Rejea post yako iliyochapwa kofi la ki kelb aka "Nondo" na Mohamed Said halafu ijibu ile kwanza, kabla hujaendelea.

Halafu jibu post zangu zilizouliza kuhusu credentials zako. Usiruke ruke twende taratibu, tutafika.
 
Back
Top Bottom