Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Alimhoji Fundikira, Mama Maria, Salim, Mwinyi, Malima, Jumbe, Natepe, Moyo, Kyaruzi, Kirlo. Umeulizwa lini aliomba kukutana na Nyerere. Kama hakuweza kumtafuta marhum Fundikira mtaani alikuwa na hoja ya kumtafuta Nyerere kweli.Nyerere amhoji nini na Mohamed Said kashusha "nyundo" wakati Nyerere yu hai na kisha kujibu Profeessor Haroub akamwambia Nyerere ajibu, Nyerere akabana, analo jibu? ulitaka ujibiwe nini zaidi? na mmoja wenu aliuliza kuhusu hilo la Nyerere kuulizwa na Professor Haroub, akapewa jibu ya kitabu na kinakopatikana yaliyopo hayo maneno, vipi mmehakiki kuwa ni sawa au si sawa? hamjarudi, mnazunguka. Hoja hujibiwa na hoja na si viroja.
Alimhoji Kitundu au Rajabu Diwani. Watu wote anaosema habari zao ni marehemu ndio nafasi ya kuwasingizia kwani hawapo.
Walio hai hawezi kwasababu msomi kama Shivji atamwambia ukweli.
Tena bahati mbaya kwa kughafilikiwa ameanza mpango wa kuwasingizi walio hai kama Nyerere Foundation. Mohamed akina Salim na Butiku wapo hai wazee wetu hawa, tafadhali ndugu yangu.
Sasa anatoa ushahidi, yeye ni kiongozi wa waislam, sijui waislam walimchagu wapi na kwanini ajifiche hadi pale maneno yanapomponyoka, maana ni huyo huyo Mohamed alisema hataki BAKWATA, sasa hao si waislam. Yeye ni kiongozi wa kundi gani katika yale ninayoyataja kila siku. Ameshakiri kuwa anaandika historia ya Wazee wake na mtaa wa kipata na Gerezani(ushahidi), akakiri kuwa anaandika historia ya Uislam. Hayo yote hakuna tabu ana haki kama raia mwingine. Asichoandika ni historia ya Tanganyika na tusichokitaka ni kutumia majina ya dini kwa ajenda za kisiasa, kutumia historia kwa kuleta mfarakano. Haya hatuyakubali Watanzania.
Anayedhani ni uongo, muulizeni Mohamed kama si kweli kakiri.
