Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Summarised

Huyu nyerere wa kanisa iweje atumie pesa za pamba, kahawa alamasi na dhahabu kujenga miundombinu ya mikoa wa dar na sio mindombinu ya mkoa wa shinyyaga au mwadui, au kahama , Nragusu.?

Una uhakika na ulisemalo au unakisia tu? Nyerere anang'atuka mitaa ya Dar haipitiki kwa tope, hata lami aliyoiacha mkoloni imebanduka banduka, benki kuu imechomwa moto, haina senti nyekundu, hakuna miundo mbinu yoyote aliyoitengeneza Nyerere Dar Es Salaam na kwa hili hata huko kwingine, watu walikuwa wakienda Mwanza tu inabidi wazunguke kwenda Kenya wakati wake, na barabara hizohizo alizikuta zikipitika na Tanganyika bus. Miundo mbinu ipi aliyoijenga Nyerere, si Tanzania hii labda akhera? Hayo maviwanda ya kutaifisha yamekufa kabla yake, dhulma inadumu?
 
Kama Nyerere alisema kilichoandikwa na Mohamed Said ni historia ya kweli na ndio anavyojua yeye sasa sijui vp unashindwa kuelewa kuwa alikuwa anatumikia kitu kilicho juu yake (yaani kanisa). Kwa ufupi hebu soma post Mohamed Said kuhusu what happened when baba wa taifa alipokisoma kitabu cha Mohamed na his first response ilikuwa nini? Hebu soma hapa

Hizo habari za Moahed said kuhusu Nyerere kukiosma itabu haziaminkii na hazina credibility. Huyo mtu hana jina ukimuuliza mwaka anaweza kukwambia kishafariki na sio vizuri uzungumzia marehemu

Lakini kuhusu miundmbinu ya Nyarugusu ni wazi Ini mibovu zaidi kuliko hata ya kisarawe, iwe ni bara bara , maji na hata umeme. Kumbuka. Kumbuka huko nyarugusu sio tu kwa wenzake na nyerere yaani wa kanisa bali ndio ilikokuwa inachinbwa dhahabu.

Sasa dhahbu hiyo ingechimbwa kisarawe na maendeleo yawa vile sijui kingekuja kitabu gani. cha mohaed Said.

Na mafuta hayo yameanza kupatikana. Na kuna vijana wengi wa mikoa ya lindi na mtwara (waisilam wengi na wakristu wenzao wachache ) naami kuna wengi hawajui hata kuna kitu kinaitwa scholarship na zinaptikana vipi.
 
Ndugu yangu Mwanakijiji mbona nishakueleza kuwa usijitaabishe nisome kisha shika shughuli zako huna haja ya kuniamini. Sasa utakuwa unaniuliza maswali hayo hayo ya kutaka niweke majina ya watu hadharani nami nitakujibu hilo sifanyi tunazunguka hapo hapo kama santuri iliyokwama.

Sitegemei kama utarudi tena na swali hilo tena.

Mohamed


Mohamed

Kwa kweli sitolirudia endapo hautarudia kutupa masimulizi ya watu wasio na majina au wasiotajika au wale ambao wajua kabisa hatuwezi kuwauliza kwani weshatangulia mbele ya haki.
 
Una uhakika na ulisemalo au unakisia tu? Nyerere anang'atuka mitaa ya Dar haipitiki kwa tope, hata lami aliyoiacha mkoloni imebanduka banduka, benki kuu imechomwa moto, haina senti nyekundu, hakuna miundo mbinu yoyote aliyoitengeneza Nyerere Dar Es Salaam na kwa hili hata huko kwingine, watu walikuwa wakienda Mwanza tu inabidi wazunguke kwenda Kenya wakati wake, na barabara hizohizo alizikuta zikipitika na Tanganyika bus. Miundo mbinu ipi aliyoijenga Nyerere, si Tanzania hii labda akhera? Hayo maviwanda ya kutaifisha yamekufa kabla yake, dhulma inadumu?
Wapi kulikuwa kunapitika kwa lami Tanzania zaidi ya dar.? Nachokuambia ni hivi pesa ya pamba, kahawa, dhahabu na almasi, tumbaku imetumika kujenga miundombinu ya dar. zaidi ya wazee wa Mohamed said.

Kama ni tope Pesa hiyo ilitumika kuweka hilo tope dar na sio kagera, geita. tabora

Hicho hicho uanochoita tope kimemfanya bubu Momehd saidi kuwa mzito wa kutoa maoni yake juu ya hoja kuhamisha makao makuu Dodoma

  • Anajua yeye hatetei uislam anatetea udarisalama . Uislam unatumika tu
  • Anajua hata hilo tope unalosema makao makuu yakihama basi litahamia dodoama na yeye atapata muda wa kutunga kitabu kingine......
 
Kwa kweli sitolirudia endapo hautarudia kutupa masimulizi ya watu wasio na majina au wasiotajika au wale ambao wajua kabisa hatuwezi kuwauliza kwani weshatangulia mbele ya haki.

Historia itahadithiwa, ukipenda usipende, labda muifute tena humu JF kwani mara ngapi mmeshaiondoa? Haijalishi.

Mohamed Said rusha Nyundo!
 
Wapi kulikuwa kunapitika kwa lami Tanzania zaidi ya dar.? Nachokuambia ni hivi pesa ya pamba, kahawa, dhahabu na almasi, tumbaku imetumika kujenga miundombinu ya dar. zaidi ya wazee wa Mohamed said.

Kama ni tope Pesa hiyo ilitumika kuweka hilo tope dar na sio kagera, geita. tabora

Hicho hicho uanochoita tope kimemfanya bubu Momehd saidi kuwa mzito wa kutoa maoni yake juu ya hoja kuhamisha makao makuu Dodoma

  • Anajua yeye hatetei uislam anatetea udarisalama . Uislam unatumika tu
  • Anajua hata hilo tope unalosema makao makuu yakihama basi litahamia dodoama na yeye atapata muda wa kutunga kitabu kingine......


Hii lami unayoiona Dar sasa hivi, yote imetengenezwa upya kuanzia wakati wa Mwinyi, kabla ya hapo ilikuwa ni lami ya mkoloni na Nyerere alipong'atuka aliacha mahandaki si barabara, tuulize tuliokuwepo.
 
Mkuu,

Elimu za enzi zile historia za zamani. Kama ana degree ungelituambia ana degree au diploma, au masters. Nafahamu darasa la 12 miaka ya mkoloni ilikuwa ni achievement sio ya kitoto but tupe mwanga please ndugu yangu ningelifurahi sana kupata in detail. Mama Maria nampenda sana ni mtu mstaarabu na ni mama wa Taifa letu la Tanzania nauliza ili nitake kufahamu mkuu sina ubaya wowote wala kushindana.
Mdondoaji,
Ningejua kwa uhakika kama alipata college degree ningesema hapa. Ninachojua kwa uhakika ni kwamba alikuwa Mwalimu wa shule ya wasichana baada ya kusoma Uganda. Nadhani itakuwa sahihi kusema alipata diploma ya kufundisha, lakini hakusoma University, kwa sababu wakati huo Uganda ilikuwa na University moja tu, Makerere, na angesoma hapo ingekuwa imeandikwa mahali. So it is safe to say she had a teaching diploma from a teacher's college in Uganda. Unfortunately, kama ilivyo na wazee wa Mohammed, historia ya Mama Maria haijaandikwa ipasavyo. Nimepitia kwenye vitabu juu ya Mwalimu the only thing you come up with on Mama Maria is their wedding date and her birthplace. You will be hard placed to find a 2 page description on her life before Mwalimu.
 
@Mohamed Said

kwa kweli mzee nasikikitika kueleza kuwa wewe sio mwanahistoria. Mwanahistoria lazima we tayari kutaja watu na miaka. Hata Kina nyerere tunawataja sana hapa sbabu ya hiyo hiyo historia.

Ukusanyajii wako data hautoshelezi kufanya takwimu za sahihi za kubainisha , kupambanua na kuchangamnua , sababu fullani, matatizo , mafanikio na suluisho la mambo mbali mbali. Naweza kusema hukusanyi data bali Unaokoteleza. Matokeo yake unalipteza jahazi.

 
Rafiki yangu MS, sasa umesema "Sykes" ndio alimpatia Nyerere kadi namba 1, wewe ulitegemea apewe na nani zaidi ya wao? maana angepewa na wengine tungesikia aliwatoa waislamu akawaweka makafiri wenzake nk nk, wakati anakuja darisalama na kaptura aliwa kuta wao , wame jaa tele ndani livingstone na stanley street, hivyo ilikuwa wazi wao ndio wange mpatia hiyo kadi, pili kuwepo na uwiano wa makafir na wastaarabu? sio kundi moja lina kuwa juu ya lingine.
Halafu naomba kuuliza hivi hiyo familia ya Plantain imeishia wapi? zaidi ya Baba/babu yao kuto thaminiwa na Nyerere? je wame prove to the world kwamba wao ni wao kwa kuwa na biashara zao au kwenda shule iwe ya muingereza au ya muarabu, maana kwa kina sykes twajua vijana walijitahidi kwenda shule na wazee kufanyia kazi serikali ya tanzania na mwenye kuwa mfanya biashara akawa mfanya biashara, au nyerere aliwakandamiza pia kwenye biashara/elimu
 
Hii lami unayoiona Dar sasa hivi, yote imetengenezwa upya kuanzia wakati wa Mwinyi, kabla ya hapo ilikuwa ni lami ya mkoloni na Nyerere alipong'atuka aliacha mahandaki si barabara, tuulize tuliokuwepo.

Ni hivi hayo maahandaki ndiyo yamemfanya Mohamed saidi kuwa bubu allipulizw juuu ya maoni yake makao makuu kuhamia Dodoma. Anasema hajui wala hana maoni lakini kam mwanaharakti wa daresalmaa anayetumia dini ni itu kwake kisichokubalika. na leo hii makao makuu yangekuwa Dodoma hilo nalo lingekuwa ni moja ya fitna za nyerere.



Elewa na Mwinyi alikopa na kinacholipwa ni fedha za kigeni za kahawa , pamba almasi na dhahabu.

.................................................
Wewe umerukia mara vijana, mara kahawa, mara tumbaku mara makao makuu, nashindwa hata kukuelewa. Hebu nioneshe sehemu moja aliyofinyanga ili tuendelee kwa raha.

MS akiulizwa maswali anapachika vitu vyenye data za kufinyanga finyanga . Moja ndiyo hiyo nimeoneysha anapsema vijana wa kigoma , lindi na mtwara wanakuwa radical muslim sababu ya maendeleo duni. Hakuna evidence ya hilo evidence kama ipo iliyopo ni vijana wa dar labda kama ndio wanakuwa radical sababu ya maendeleo yao ya juu.

Alibobanwa akasema yeye alipigiwa makofi alipooeda nje. Sasa kama ni kupigiwa makofi ni kigezo.huyo nyerere anayemtuhumu si atakuwa mshindi.
 
Hii lami unayoiona Dar sasa hivi, yote imetengenezwa upya kuanzia wakati wa Mwinyi, kabla ya hapo ilikuwa ni lami ya mkoloni na Nyerere alipong'atuka aliacha mahandaki si barabara, tuulize tuliokuwepo.

Ndio maana nashindwa kujibizana na watu wa aina yako na hii itakuwa mara yangu ya mwisho kurespond kwa hizi hoja za kipuuzi na kwangu anayezileta nina jina moja tu kwake, ni mpuuzi, period. Unajua wakazi wengi wa Dar es Salaam waliishi kwenye nyumba za aina gani wakati tunapata uhuru ? Unajua nyumba za mbavu za mbwa kama alivyoziita Al Haji Ali Hasan Mwinyi ? Hapo nyuma nimekuuliza kama unaijua "Operation Makuti" ilifanyika wakati gani na lengo lake lilikuwa nini. Je unajua sura ya Dares Salaam ilivyobadilika katika kipindi cha miaka mitano baada ya uhuru ? Tuchukue mfano mdogo tu wa Magomeni;

Unajua mitaa ya Uweje, Idrisa, Sikukuu n.k ilivyokuwa wakati wa uhuru na ilivyoweza kubadilika miaka mitano baadaye. Unajua mitaa karibu yote iliwekewa lami na hali hii iliwapa shida sana Waswahili waliozoea kuchimba mashimo ya taka barabarani na walivyolalamika kuhusu hizo barabara za lami ? Je unajua hadi public toilets mitaani ilijengwa lakini tabia za uswahilini zikazaa sokomoko nyingine katika utumiaji na utunzaji wake ? FaizaFoxy, usitake twende huko, maendeleo yaliyofanyika Magomeni, Ilala hadi Temeke yalikuwa makubwa lakini watu wake hawakuwa tayari kwa hayo maendeleo.

The bottomline ni kwamba watu wa Dar walikuwa wazito katika kuitikia mabadiliko hasa katika nyanja ya maendeleo. Utalia nikikusimulia jumba la kwanza la DDC lilipojengwa Kariakoo na kuwekewa vyoo vya kisasa. Matengenezo makubwa ilibidi yafanyike baada ya muda mfupi na ramani mpya zitayarishwe kwa sababu wakazi wengi wa Kariakoo walipata taabu ku "cope" na vifaa vingi vya kisasa vilivowekwa humo. Kama kuna kitu kimoja kilichoshusha hadhi ya taifa jipya la Tanganyika ni makao makuu ya taifa kuwa Dar es Salaam. Lakini tusiende huko !
 
Mag3 we waachehao wanao jifanya watoto mujuni kumbe hamna lolote, wao wakisikia harufu ya biriani au pilau kwa jirani watasema sisi kila siku tunakula biriani/pilau. nyumba zao zote tuna zifahamu iwe gerezani, narungombe, magomeni zilikuwa za mbavu za mbwa ndio wakapelekewa nyumba za nhc, keko vivyo hivyo , sasa hivi nyumba zao za shule ya uhuru na maeneo ya kuzunguka jiji ndio hivyo wanayapiga bei na kukimbilia kimbiji kama sio rufiji, au wanapewa flat moja ni wajanja wachache saana walio fanya vizuri katika maisha zaidi ya kukimbilia oh tulikuwa tuna kaa karibu na odeon cinema au cameo halafu wahindi wanawamwagia maji toka maghorofani
 
Mdondoaji,
Ningejua kwa uhakika kama alipata college degree ningesema hapa. Ninachojua kwa uhakika ni kwamba alikuwa Mwalimu wa shule ya wasichana baada ya kusoma Uganda. Nadhani itakuwa sahihi kusema alipata diploma ya kufundisha, lakini hakusoma University, kwa sababu wakati huo Uganda ilikuwa na University moja tu, Makerere, na angesoma hapo ingekuwa imeandikwa mahali. So it is safe to say she had a teaching diploma from a teacher's college in Uganda. Unfortunately, kama ilivyo na wazee wa Mohammed, historia ya Mama Maria haijaandikwa ipasavyo. Nimepitia kwenye vitabu juu ya Mwalimu the only thing you come up with on Mama Maria is their wedding date and her birthplace. You will be hard placed to find a 2 page description on her life before Mwalimu.

Kaka tafuta kitabu cha Julius Nyerere- The Teacher of Africa kinaelezea kwa kirefu maisha ya Maria kabla ya kukutana na Nyerere...
 
Kuna mtu kaaibishwa humu. Kamwaga pumba kajibiwa lakini yeye kaona akomae na Mag3 kwamba kakimbia tobaaa bahati mbaya kwake Mag3 karudi na majibu mwanana, mazito na ya level nyingine basi bibie kachanganyikiwa anadai huo ni mlolongo mrefu kusoma tabu (very funny)... akiandika MS, tena aya ndefu kweli kweli na copy za vipengele vya kitabu chake, hapo kimyaaa huoni huo mlolongo? Kama huwezi kusoma unasubiri ufupishiwe basi kaa pembeni mnakasha huuwezi. Hizi sasa si nyundo bali makombora na hadithi ya gerezani uwongo njoo utamu kolea inakaribia tamati.
 
Nilikuonya mapema, usinijie na mlomlongo mrefu usiokuwa na mpango, umeamuwa kufanya yaleyale, hilo wala sikulaumu sana najuwa ni upeo wako ndipo ulipokufikisha.

Baada ya pumba zooote hizo, hujajibu maswali yangu yaliokuwa mepesi sana. Jee, hayajibiki niendelee kwingine?

Mwalimu wetu wa kiswahili cha Kariakoo "mlomlongo" neno jipya?
 
Kaka tafuta kitabu cha Julius Nyerere- The Teacher of Africa kinaelezea kwa kirefu maisha ya Maria kabla ya kukutana na Nyerere...
Mwanakjj,
Asante sana. Sijakisoma hicho kitabu. Kimeandikwa na nani nikitafute? Naona wote W. Edgett Smith na Judith Listowell wamemzungumzia Mama Maria kama an after thought. No details.
 
Back
Top Bottom