Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Sweke34,

Ukoloni haukuwa unafanyakazi kwa namna hiyo hawakuutazama Uislam kwa jicho lilelile walilotazama Ukristo. Sasa ikiwa nitatoa mchango wa Uislam katika via hivi nitakuwa nauogopa ukweli. Hebu soma hiki kipande hapa chini:
"Vita vya Maji Maji vilipoanza kusini yaTanganyika mwaka 1905 kwa nia ya kuwafukuza Wajerumani kutoka Tanganyika, zilesehemu zenye Wakristo wengi zilikataa kujiunga na vita na badala yakewakajiunga na majeshi ya Wajerumani na kupigana bega kwa bega na dhidi ya wazalendo.Hii ilitokana na sababu ya kuwa uasi dhidi ya dhulma wa Wajerumani ulianzakatika maeneo yenye Waislam wengi na vita vikachukua sura ya vita vya Kiislamudhidi ya Wazungu ambao dini yao ni Ukristo. Kwa kuwa wamishonari walikuwawashirika wa wakoloni, walichukuliwa kama maadui na hivyo ikawa vituo vyaovinashambuliwa na wapiganaji wa Maji Maji. Kutokana mashambulizi haya, Wakristowalivichukua Vita Vya Maji Maji kama vita dhidi ya Ukristo. Harakati za MajiMaji zilishindwa na Wajerumani walifanya fisadi kubwa dhidi ya wananchi naviongozi wao. Jambo hili liliacha kovu kubwa katika fikra za wananchi na kwaupande wa Wakristo ambao walinusurika na ghadhabu ya Wajerumani, wengi waowakajiweka mbali na aina yoyote ya kupinga ukoloni. Kufuatia historia hii Waafrika waliokuwakusini ya Tanganyika sasa wakiwa chini ya utawala wa Waingereza na kuwa chiniya himaya ya wamishonari walipupazwa kiasi kiasi kwamba waliogopa siasa. Baadaya Waafrika kushindwa vita kwa silaha kali za Wazungu sasa Kanisa likaona ndaniya fadhaa ile fursa yao kutawala sehemu hiyo kwa kutoa vishawishi kama vileshule na hospitali. Kwa hiyo Wamishionari na Waingereza walionekana kamamabwana wema wenye kuwajali raia zao kinyume na serikali katili na ya kidhalimu ya Wajerumani. Vuguvugu la siasakama ilivyokuwa Vita vya Maji Maji, lilianza katika maeneo ya Waislam kufuatiamfumo ule ule kama ilivyokuwa katika upinzani wa ukoloni wa Wajerumani.Wakristo katika Jimbo la Kusini waliiona TANU kama walivyoviona Vita Vya MajiMaji, kama harakati nyingine za Waislam zilizowa zinakuja tena kwa mara ya pilikuvuruga amani na utulivu. TANU ilipoanza ikawa inavuma kuwa safari hii Waislamwalikuwa wamemua kuanzisha vita dhidi ya Waingereza kama walivyoanzisha vita naWajerumani."

Ikiwa sitafanya uchambuzi kama historia ilivyokuwa kwa kuogopa ukweli na kutaka kuwafurahisha watu historia hii itapotea.

Mohamed

Sheikh Mohamed,

Ni kweli utaendelea kuutaja uislamu kama ambavyo na sisi tutaendelea kukukatalia kwamba hao wazee walipokuwa wanapigana, hawakusukumwa na uislamu wao bali uafrika wao na utanganyika wao.

Kwakuwa umeamua kumpigia back pass sweke, ngoja na mie nikurudishie back pass.

Askari wa kimanyema, kinubi na kizulu (waislamu) walishirikiana na wazungu wajerumani (wakristo) kupambana na mwafrika mwenzao mkwawa (muislamu) na hatimaye kushinda vita na kupelekea mkwawa kujinyonga.

Kwahiyo hapa tuseme waislamu walikuwa wanapigana dhidi ya uislamu ama muislamu mwenzao? hapana, ni dhahiri kwamba waafrika(niwaite mamluki) walikuwa wanatumikia mabwana zao kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Na hawakupigana kwa mgongo wa uislamu bali walitumikia utumishi wao kwa mjerumani.

Sasa ilipofika zamu ya waingereza kuitawala tanganyika, hawa wamanyema, wanubi na wazulu (waislamu) hawakuwa na previledge walizokuwa wakipata enzi za mjerumani kwahiyo waliunganisha nguvu na wenyeji wao katika kupigana na muingereza. Walipigana kama watanganyika na si waislamu! pamoja na kwamba walikuwa na imani ya uislamu lakini hawakusukumwa kwenda kupigania uhuru kwa sababu ya uislamu wao bali utanganyika wao na uafrika wao.

Askari hao hao wa kizulu, kinubi na kimanyema(waislamu) ndio hao hao walitumika na mkoloni kupambana na bushiri pangani (muislamu). Je hapo kulikuwa na agenda ya uislamu? hapana, walikuwa wanawatumikia mabwana zao wajerumani! Tukifika mahali pa kutenganisha uislamu na utanganyika tutakwenda pamoja vizuri sana, short of that itakuwa ni kuyumbishana tu.
 
WC,

Mimi ndiyo nishaandika kitabu hiki maktaba zote kubwa duniani kipo pamoja na Library of Congress, Washington.

Vyuo vikuu Ulaya na Marekani ni kimoja katika vitabu vya rejea katika historia ya Tanganyika.

Baadhi ya wahadhiri wa historia ya Afrika nimeonananao na wengine tumefanya minakasha katika vyuo vyao.

Ukweli ni kuwa hiki kitabu kipo njia ya kuweza kukipinga ni moja tu.

Nayo ni nyie kuandika kitabu kitakachopinga hiki changu.
Hakuna njia ya mkato.

Kwa hapa tulipofika ukweli ushajulikana kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika iliwatisha baadhi ya watu na hivyo wakaamua kuihujumu.

Si maskhara kitabu hiki kimeninyanyua kwelikweli katika uwanja wa "scholarship."
Haufanyiki mkutano mahali nikaacha kuombwa kutoa "paper."

Hivi sasa tunakwenda kwenye toleo la tatu la kitabu cha Kiswahili.
Penye ukweli uongo hujitenga.

Mohamed
Ningekuwa mmiliki wa JF mijadala hii miwili humu ningeitafsiri ikawa kitabu ikatosha kujibu kitabu chako hicho. Wazungu wanadanganyika kirahisi mno lakini wakigundua uliongozwa na hisia na vionjo vya UDINI kukiandika watakubeza sana tu.
 
Sheikh Mohamed,

Ni kweli utaendelea kuutaja uislamu kama ambavyo na sisi tutaendelea kukukatalia kwamba hao wazee walipokuwa wanapigana, hawakusukumwa na uislamu wao bali uafrika wao na utanganyika wao.

Kwakuwa umeamua kumpigia back pass sweke, ngoja na mie nikurudishie back pass.

Askari wa kimanyema, kinubi na kizulu (waislamu) walishirikiana na wazungu wajerumani (wakristo) kupambana na mwafrika mwenzao mkwawa (muislamu) na hatimaye kushinda vita na kupelekea mkwawa kujinyonga.

Kwahiyo hapa tuseme waislamu walikuwa wanapigana dhidi ya uislamu ama muislamu mwenzao? hapana, ni dhahiri kwamba waafrika(niwaite mamluki) walikuwa wanatumikia mabwana zao kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Na hawakupigana kwa mgongo wa uislamu bali walitumikia utumishi wao kwa mjerumani.

Sasa ilipofika zamu ya waingereza kuitawala tanganyika, hawa wamanyema, wanubi na wazulu (waislamu) hawakuwa na previledge walizokuwa wakipata enzi za mjerumani kwahiyo waliunganisha nguvu na wenyeji wao katika kupigana na muingereza. Walipigana kama watanganyika na si waislamu! pamoja na kwamba walikuwa na imani ya uislamu lakini hawakusukumwa kwenda kupigania uhuru kwa sababu ya uislamu wao bali utanganyika wao na uafrika wao.

Askari hao hao wa kizulu, kinubi na kimanyema(waislamu) ndio hao hao walitumika na mkoloni kupambana na bushiri pangani (muislamu). Je hapo kulikuwa na agenda ya uislamu? hapana, walikuwa wanawatumikia mabwana zao wajerumani! Tukifika mahali pa kutenganisha uislamu na utanganyika tutakwenda pamoja vizuri sana, short of that itakuwa ni kuyumbishana tu.

Nyerere alipopata uongozi akaanza kudhulumu watanganyika wenzake waislamu kama alivyo fanya waingereza

Nyerere alipopata dhamana akaanza kuwapa previlege wakristo wenzake kama alivyofanya mwingereza

Mwingereza rule =nyerere rule
 
mzee mwanakijiji alishusha nondo hapa wakachanganyikiwa wakaanza kuitana wanafiki sijui wako wapi sasa naona sura ngeni tu sasa.
 
Sheikh Mohamed Said,

..Mjerumani alipoingia nchini aliwatumia sana watu wa Pwani[ukipenda Waislamu] ktk shughuli za utawala wake.

..nimewahi kusoma mahala kwamba Mjerumani alitumia Maliwali toka maeneo ya Pwani kwenda kutawala maeneo mbalimbali ya interior Tanganyika. Hii walikuwa wanaita "direct rule" tofauti na "indirect rule" aliyotumia Muingereza.

..kama suala hilo ni kweli, je tunaweza kusema kwamba wa-Tanganyika wa Pwani[ukipenda Waislamu] walikuwa karibu zaidi na utawala wa Mjerumani kuliko wenzao wa maeneo ya Bara?

..ningependa utuelimishe kuhusu chanzo cha ugomvi wa Mjerumani na wananchi wa maeneo ya Pwani na Kusini mpaka kupelekea vita vya Maji Maji.
 
mzee mwanakijiji alishusha nondo hapa wakachanganyikiwa wakaanza kuitana wanafiki sijui wako wapi sasa naona sura ngeni tu sasa.

Mwanakiji ana wajibu wa kuomba msamaha kwa kuandika the most precious book of Allah sivyo..

Ana wajibu wa kuomba msamaha kwa waislamu wote JF..kwakuwa kuchezea kitabu cha Allah ni kufikia level ya juu ya dharau kwa imani yetu..
 
Mwanakiji ana wajibu wa kuomba msamaha kwa kuandika the most precious book of Allah sivyo..

Ana wajibu wa kuomba msamaha kwa waislamu wote JF..kwakuwa kuchezea kitabu cha Allah ni kufikia level ya juu ya dharau kwa imani yetu..
Kwa nini wewe unkuwa sensitve sana imani yako ikiguswa lakini wewe huyo huyo mnaona sawa kugusa imani za wengine. Hapa tuko kwenye siasa . Mambo ya Allah na Qoran na Yesu na biible yanatumika katika context ya Kisiasa.
 
Ningekuwa mmiliki wa JF mijadala hii miwili humu ningeitafsiri ikawa kitabu ikatosha kujibu kitabu chako hicho. Wazungu wanadanganyika kirahisi mno lakini wakigundua uliongozwa na hisia na vionjo vya UDINI kukiandika watakubeza sana tu.

WC,

Namshukuru Allah sijabezwa ila nilitiwa katika jopo la Dictionary of African Biographies (DAB) kama mtafiti huu ni mradi wa Oxford University Press, New York.

Google hiyo DAB utapata habari zake kamili.

Waingereza wakanitia katika project nyingine ya kuandika kitabu cha historia kwa shule za msingi ili watoto wajifunze Kiingereza na historia ya nchi yao kwa pamoja.

Nimeandika kitabu "Torch on Kilimanjaro" kimechapwa na Oxford University Press, Nairobi.

Oxford Nairobi walifurahishwa na kazi hii wakanitia katika African Anthology kitabu kilichochangiwa na wandishi wengi kutoka Afrika.

Tanzania nasi tumo na mimi ndiye niliyewakilisha kazi mojawapo humo.

Na mambo mengi tu ya kunitia moyo kuwa kazi zangu ni za kisomi.

Nadhani tumefahamiana.

Lakini ukipenda kunipuuza hiyi ni khiyari yako ila ukiwa unataka kujua historia ya kweli, ahlan wasaalan.
Nilichonacho ni amana toka kwa Allah SW na mwenyewe ukijataka amana yako uadilifu ni mie kukukabidhi na hii ndiyo kazi niifanyayo humu JF.

Kuelimisha.

Mohamed
 
Sheikh Mohamed Said,

..Mjerumani alipoingia nchini aliwatumia sana watu wa Pwani[ukipenda Waislamu] ktk shughuli za utawala wake.

..nimewahi kusoma mahala kwamba Mjerumani alitumia Maliwali toka maeneo ya Pwani kwenda kutawala maeneo mbalimbali ya interior Tanganyika. Hii walikuwa wanaita "direct rule" tofauti na "indirect rule" aliyotumia Muingereza.

..kama suala hilo ni kweli, je tunaweza kusema kwamba wa-Tanganyika wa Pwani[ukipenda Waislamu] walikuwa karibu zaidi na utawala wa Mjerumani kuliko wenzao wa maeneo ya Bara?

..ningependa utuelimishe kuhusu chanzo cha ugomvi wa Mjerumani na wananchi wa maeneo ya Pwani na Kusini mpaka kupelekea vita vya Maji Maji.

JK,

Isikuptikie kuwa mimi najua kila kitu.
Mimi ni mtu wa kawaida tu.

Mohamed
 
Kwa nini wewe unkuwa sensitve sana imani yako ikiguswa lakini wewe huyo huyo mnaona sawa kugusa imani za wengine. Hapa tuko kwenye siasa . Mambo ya Allah na Qoran na Yesu na biible yanatumika katika context ya Kisiasa.

Sijawahi kugusa na kudharau imani ya mtu wala ku-quoate "bible ndivyo sivyo" namuomba Allah anilinde na hilo

Kutumia Bible au Quran kwenye context ya kisiasa ruksa sana tu lakini "kusema uongo" kuhusu Qur'an ni dharau kubwa sana kumsingizia Allah jambo ambalo hakusema (kufr)

Kwanini nakuwa sensive duh " nitakuwa died muslim" kama siko senstive na Kitabu chake..
 
Mdondoaji,

Nitajibu maeneo mawili katika hoja zako;

Suala la kukataliwa kwa MoU ya sheikh Ponda linaanzia kwa mzee wetu al haj ali hassan mwinyi aliyekuwa raisi wakati hiyo proposal imepelekwa.

Lakini pili, juzi wakati kikwete anawaambia na ninyi pelekeni proposal yenu ili mpate ruzuku, hapo ndio palikuwa mahali muafaka pa kumweleza muislamu mwenzenu kwamba kuna proposal ya sheikh ponda tayari na serikali haijasema ina mapungufu gani!

Sasa ukituuliza sisi hapa sababu za kukataliwa kwa hiyo proposal ya sheikh ponda wakati ukifahamu kwamba serikali haikuwahi kutoa majibu inakuwa vigumu kukujibu.
 
Tafadhali usiseme usichokijua.

Tatizo kote sio dini bali ni ukabila.

Fuatilia hilo kisha utakuja thibitisha kwetu.
Kama huko tatizo ni ukabila kwa nini kwetu tatizo liwe ni Dini? Hivi Yemen, Bahrain,Syria na Iraq hakuna misuguano kati ya washia na wassun? Iran mahujaji wake wanapokuwa Karbala na wanapokuwa Mecca mitazamo yao kuhusu Uislamu hufanana? Madhehebu yote ya Kiislamu mitizamo yao iko sawa?
 
Mkwawa kabla ya babu yake kuja Ng'uruwe inasemekana huyo babu yake alikuwa na asili ya kikamba ingawa wengine wanasema alikuwa ana asili ya Kingazija. Babu yake Mkwawa alizaa na mwanamke anayedaiwa alikuwa ni mlemavu wa viungo na baada ya kugundua kwamba kampa mimba mlemavu akatokomea kusikojulikana

Babu yake Mkwawa alizaliwa na "semduda' kutokana na ukoo wa mduda ambao ndiyo ulikuwa unatawala eneo la Udzungwa. Babu yake Mkwawa aliupata utawala wa wahehe kutoka kwa babu yake ambaye badala ya kuteua watoto wake wawe warithi akamteua mjukuu wake anayetokana na binti yake ndiye awe mrithi wa kiti cha utawala wake.

kama alikuwa ni muislamu au hakuwa na dini kesho nitakapoendelea kudadavua data nilizonazo!!
 
Mkwawa kabla ya babu yake kuja Ng'uruwe inasemekana huyo babu yake alikuwa na asili ya kikamba ingawa wengine wanasema alikuwa ana asili ya Kingazija. Babu yake Mkwawa alizaa na mwanamke anayedaiwa alikuwa ni mlemavu wa viungo na baada ya kugundua kwamba kampa mimba mlemavu akatokomea kusikojulikana

Babu yake Mkwawa alizaliwa na "semduda' kutokana na ukoo wa mduda ambao ndiyo ulikuwa unatawala eneo la Udzungwa. Babu yake Mkwawa aliupata utawala wa wahehe kutoka kwa babu yake ambaye badala ya kuteua watoto wake wawe warithi akamteua mjukuu wake anayetokana na binti yake ndiye awe mrithi wa kiti cha utawala wake.

kama alikuwa ni muislamu au hakuwa na dini kesho nitakapoendelea kudadavua data nilizonazo!!

Mkuu,

Usituletee hadithi za kwenda kulala tunaomba uwaulize wazee wetu Mkwawa alizaliwa mwaka gani, wapi? Aliishia na nani na alimuona nani. Alizaa na nani mwaka gani. rafiki zake kina nani walikuwa wanafanya nini? Dini yake ipi etc. Hizi hadithi za kusadikika hatuzitaki hebu mtafute Sheikh Mohamed Said akusaidie kujipanga. Tunakusubiri uje na taarifa zilizokamilika.
 
Mkuu,

Usituletee hadithi za kwenda kulala tunaomba uwaulize wazee wetu Mkwawa alizaliwa mwaka gani, wapi? Aliishia na nani na alimuona nani. Alizaa na nani mwaka gani. rafiki zake kina nani walikuwa wanafanya nini? Dini yake ipi etc. Hizi hadithi za kusadikika hatuzitaki hebu mtafute Sheikh Mohamed Said akusaidie kujipanga. Tunakusubiri uje na taarifa zilizokamilika.
Nina taarifa nyingi sana na za uhakika kutoka kwenye chanzo cha kuaminika zaidi kuliko za Mohamed said. Inaonyesha watu woote wewe unaona Mohamed said ndiye gwiji wa kujua kila kitu. Yeye ameongea na Abdul mimi nimeongea na watu zaid ya watano wengine ni baba zake Abdul.

Hayo niliyoyaeleza ndiyo ya kweli. sioni umuhimu wa kwenda ndani sana kwa lengo si kuelezea Historia ya Mkwawa lakini kama na hilo kwako ni gumu nitakusimulia!!
 
Nina taarifa nyingi sana na za uhakika kutoka kwenye chanzo cha kuaminika zaidi kuliko za Mohamed said. Inaonyesha watu woote wewe unaona Mohamed said ndiye gwiji wa kujua kila kitu. Yeye ameongea na Abdul mimi nimeongea na watu zaid ya watano wengine ni baba zake Abdul.

Hayo niliyoyaeleza ndiyo ya kweli. sioni umuhimu wa kwenda ndani sana kwa lengo si kuelezea Historia ya Mkwawa lakini kama na hilo kwako ni gumu nitakusimulia!!

Mie nina nitakuwa Judge wenu wa kati kwani nina articles za wajerumani na waingereza walifanya utafiti miaka ya kabla ya uhuru kuhusu maisha ya Mkwawa. Halafu tutajadili nani mkweli. Mie Mohamed Said yuko chini kabisa katika list ya references zangu. Kuna magwiji wa historia ya Tanganyika nimesoma machapisho yao wanaijua Tanganyika kuliko hata watanganyika wenyewe aibu hata kutamka saa zengine.
 
Sheikh Mohamed,

Unasema mikutano yenu miwili mliyofanya diamond jubilee haikupata coverage ya vyombo vya habari. Sababu kuu ni mfumo kristo, kwasababu ya christian dominated press!

Sasa sheikh wangu, hata magazeti ya Rostam hayakuandika hizo habari, je Rostam naye ni mkristo? Kubenea wa mwanahalisi naye muislamu, Africa media group ni ya wakristo? Raia mwema ni ya wakristo? Clouds media ni ya wakristo? Gazeti majira je?

Je radio iman na radio quran walitangaza?pamoja na magazeti ya an-nur and the likes!

MM,

Nilishakutahadharisha huko nyuma lakini inaelekea bado hujajifunza.

Nyuma kuna post nilikuwekea "hint" nikasema hupendi kujua habari za ile hotuba ya Nyerere Mtaa wa Mvita mwaka 1957 na kijembe alichowapigia machifu ambao wote usiku ule walijumuika kuwasikiliza Egyptian?

Twende awamu kwa awamu.

Nilikusudia kwa uzito wa malalamiko ya Waislam Daily News, Habari Leo, TBC hivi ndivyo vyombo ambavyo Waislam tuna haki nayo sana.

Hivi ndivyo vyombo ambavyo viko chini ya mfumokristo.

Vinajijua na Waislam tunajua hivyo.

Mohamed
 
Mie nina nitakuwa Judge wenu wa kati kwani nina articles za wajerumani na waingereza walifanya utafiti miaka ya kabla ya uhuru kuhusu maisha ya Mkwawa. Halafu tutajadili nani mkweli. Mie Mohamed Said yuko chini kabisa katika list ya references zangu. Kuna magwiji wa historia ya Tanganyika nimesoma machapisho yao wanaijua Tanganyika kuliko hata watanganyika wenyewe aibu hata kutamka saa zengine.

Kumbe uko tayari kuamini vyanzo vya Kihistoria kutoka Wasomi wa Kiingereza na Kijerumani kuliko simulizi za Watanganyika wenzako? Naona ushang'amua kuwa Historia ni taaluma ya kisomi na siyo "hadithi za kwenda kulala" kama anazomwaga nguli wako Mohamed Said.
 
Sheikh Mohamed Said,

..Mjerumani alipoingia nchini aliwatumia sana watu wa Pwani[ukipenda Waislamu] ktk shughuli za utawala wake.

..nimewahi kusoma mahala kwamba Mjerumani alitumia Maliwali toka maeneo ya Pwani kwenda kutawala maeneo mbalimbali ya interior Tanganyika. Hii walikuwa wanaita "direct rule" tofauti na "indirect rule" aliyotumia Muingereza.

..kama suala hilo ni kweli, je tunaweza kusema kwamba wa-Tanganyika wa Pwani[ukipenda Waislamu] walikuwa karibu zaidi na utawala wa Mjerumani kuliko wenzao wa maeneo ya Bara?

..ningependa utuelimishe kuhusu chanzo cha ugomvi wa Mjerumani na wananchi wa maeneo ya Pwani na Kusini mpaka kupelekea vita vya Maji Maji.

JK,

Isikuptikie kuwa mimi najua kila kitu.
Mimi ni mtu wa kawaida tu.

Mohamed

Joka...............ikifika kwenye vipengele kama hivi vya kuonyesha udhaifu wa maandishi yake.....Brother MS hatosema/andika chochote...........ninaamini kabisa Brother MS anaujua ukweli.......lakini hatotaka kuudadavua ukweli huo kwani utamrudi..........
 
Sheikh Mohamed,

Ni kweli utaendelea kuutaja uislamu kama ambavyo na sisi tutaendelea kukukatalia kwamba hao wazee walipokuwa wanapigana, hawakusukumwa na uislamu wao bali uafrika wao na utanganyika wao.

Kwakuwa umeamua kumpigia back pass sweke, ngoja na mie nikurudishie back pass.

Askari wa kimanyema, kinubi na kizulu (waislamu) walishirikiana na wazungu wajerumani (wakristo) kupambana na mwafrika mwenzao mkwawa (muislamu) na hatimaye kushinda vita na kupelekea mkwawa kujinyonga.

Kwahiyo hapa tuseme waislamu walikuwa wanapigana dhidi ya uislamu ama muislamu mwenzao? hapana, ni dhahiri kwamba waafrika(niwaite mamluki) walikuwa wanatumikia mabwana zao kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Na hawakupigana kwa mgongo wa uislamu bali walitumikia utumishi wao kwa mjerumani.

Sasa ilipofika zamu ya waingereza kuitawala tanganyika, hawa wamanyema, wanubi na wazulu (waislamu) hawakuwa na previledge walizokuwa wakipata enzi za mjerumani kwahiyo waliunganisha nguvu na wenyeji wao katika kupigana na muingereza. Walipigana kama watanganyika na si waislamu! pamoja na kwamba walikuwa na imani ya uislamu lakini hawakusukumwa kwenda kupigania uhuru kwa sababu ya uislamu wao bali utanganyika wao na uafrika wao.

Askari hao hao wa kizulu, kinubi na kimanyema(waislamu) ndio hao hao walitumika na mkoloni kupambana na bushiri pangani (muislamu). Je hapo kulikuwa na agenda ya uislamu? hapana, walikuwa wanawatumikia mabwana zao wajerumani! Tukifika mahali pa kutenganisha uislamu na utanganyika tutakwenda pamoja vizuri sana, short of that itakuwa ni kuyumbishana tu.

Ukweli wa chuki zote za kikundi kidogo (MAMLUKI).......kinachotaka na kinachotumia Uislamu kujibinafsisha na faida za uhuru wetu Watanganyika...........upo kwenye maandishi hayo hapo juu......only vilaza ndio watashindwa kutambua hilo......
 
Back
Top Bottom