Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Hivi hii ni Great Thinkers?mbona hatuleti hoja na marejeo yake kama alivyofanya Mohamed,tusimpinge tu kwa kua wewe ulikuwa Mwanza nk,andika hoja kwa marejeo,matusi ya nini humu kama huna cha kuandika na wewe nenda kafanye research then utuletee hapa kama alivyofanya Mohamed.
Kila la Kheri Mohamed Said.
Marejeo gani unayoyataka wewe Great thinker?
 
Hii historia ya wazee wako mamluki waliokulia na kutokea gerezani.......jinsi unavyoiweka......badala ya kutupa faraja ya kuifahamu historia amabyo hatukuifahamu....wewe unaiweka katika mtizamo wa kichochezi na kupandikiza chuki za kidini,......pamoja na kukupa wewe baadhi ya maandishi yao kutoka kwenye diaries zao.........je pia wao walikuambia uje ulete uchochezi kwa mgongo wa dini?......kama ni hivyo basi hizo familia za gerezani zina matatizo makubwa sana.......matatizo yanayotokana na mamluki hao kujiona wao wana haki zaidi ya wengine.....tena wazawa......

I declare kuwa............Mohamed Said ni mtu hatari kwa Taifa letu.......mmeambiwa!

Ogah,

Unanionea mimi bure bila sababu. Uminita mimi mamluki nikakuwekea habari uisome na uamue nani mamluki badala ya kunipa jibu unakuja na hamaki nyingi zaidi.

Sijachoka nakuwekea tena ile ile na safari hii uwanja uko wazi kwa mwanaukumbi yeyote aseme kwa hakililah nani ni mamluki:
"Hivi sasa kuna vitabu viwilivilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumianyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislam na Waislam. Jan P van Bergenkatika kitabu chake, Development and Religion in Tanzania,(1981) [1]ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao Rais Mstaafu, Nyerere dhidi ya Uislamna Waislam. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi Nyerere wakati alipokuwamadarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuwekamikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyo Nyerere aliwahakikishiaviongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabu hicho kinaeleza jinsiNyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapaWakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabu hiki kilikuwa kinauzwaCatholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwakitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidiya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. [1] Hadi hivi sasa kitabuhicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.Kitabu cha pili nicha Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi1985 (1992). [1]Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalonanafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisalilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamkati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwakwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwalinahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati zaWaislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika yaMashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake naikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha." [1]

Mohamed

 
Marejeo gani unayoyataka wewe Great thinker?
ndary

Jasusi,

Uliaga.
Karibu.

Njia bora ni hiyo uliyoshauriwa ya kuja na rejea na rejea ni kwenda kwenye chanzo iwe "primary source" au "secondary" kukiweka wazi watu wakisome na inakuwa na nguvu sana kama ikiwa imo katika "paper" au kitabu.

Kwa hii njia nyepesi ya kuandika mistari miwili mitatu katika JF hamtoweza kamwe kupambana na mimi ninakushindeni bila jasho.

Acheni uvivu pindeni migongo fanyeni utafiti njooni na kitu cha kukamatika chenye habari mpya kuhusu uhuru wa Tanganyika.

Nakuhakikishieni mkifanya hivyo mtaingia Cambridge Journal of African History kama nilivyoingia mimi na mtaalikwa katika makongamano duniani wasomi wa nchi nyingine wakiwa na hamu ya kukusikieni mubashar ("live").

Nadhani taarifa mmepata jinsi watu walivyokuwa wakilisubiri gazeti la Mwananchi kila asubuhi wakati zile makala zangu zilipokuwa zinachapishwa gazetini.

Na gazeti liliuzika si mchezo na kila nikikatiza mtaa, "Mohamed tunakusoma bwana hongera."

Mkibakia JF hamtouelimisha umma mtakuwa mnaniachia mimi uwanja.

Mohamed
 
Ogah,

Unanionea mimi bure bila sababu. Uminita mimi mamluki nikakuwekea habari uisome na uamue nani mamluki badala ya kunipa jibu unakuja na hamaki nyingi zaidi.

Sijachoka nakuwekea tena ile ile na safari hii uwanja uko wazi kwa mwanaukumbi yeyote aseme kwa hakililah nani ni mamluki:
"Hivi sasa kuna vitabu viwilivilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumianyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislam na Waislam. Jan P van Bergenkatika kitabu chake, Development and Religion in Tanzania,(1981) [1]ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao Rais Mstaafu, Nyerere dhidi ya Uislamna Waislam. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi Nyerere wakati alipokuwamadarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuwekamikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyo Nyerere aliwahakikishiaviongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabu hicho kinaeleza jinsiNyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapaWakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabu hiki kilikuwa kinauzwaCatholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwakitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidiya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. [1] Hadi hivi sasa kitabuhicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.Kitabu cha pili nicha Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi1985 (1992). [1]Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalonanafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisalilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamkati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwakwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwalinahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati zaWaislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika yaMashariki.

Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake naikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha." [1]Mohamed
Mohamed, nisaidie hapa. Tangazo hilo lilikuwa katika magazeti, majarida au radio na lilikuwa la mwaka gani. ahsante
 
ndary

Jasusi,

Uliaga.
Karibu.

Njia bora ni hiyo uliyoshauriwa ya kuja na rejea na rejea ni kwenda kwenye chanzo iwe "primary source" au "secondary" kukiweka wazi watu wakisome na inakuwa na nguvu sana kama ikiwa imo katika "paper" au kitabu.

Kwa hii njia nyepesi ya kuandika mistari miwili mitatu katika JF hamtoweza kamwe kupambana na mimi ninakushindeni bila jasho.

Acheni uvivu pindeni migongo fanyeni utafiti njooni na kitu cha kukamatika chenye habari mpya kuhusu uhuru wa Tanganyika.

Nakuhakikishieni mkifanya hivyo mtaingia Cambridge Journal of African History kama nilivyoingia mimi na mtaalikwa katika makongamano duniani wasomi wa nchi nyingine wakiwa na hamu ya kukusikieni mabashar ("live").

Nadhani taarifa mmepata jinsi watu walivyokuwa wakilisubiri gazeti la Mwananchi kila asubuhi wakati zile makala zangu zilipokuwa zinachapishwa gazetini.

Na gazeti liliuzika si mchezo na kila nikikatiza mtaa, "Mohamed tunakusoma bwana hongera."

Mkibakia JF hamtouelimisha umma mtakuwa mnaniachia mimi uwanja.

Mohamed

Kumbe hujaufahamu moto wa JF Brother MS............maana ya kupambana ni pana............hapa hata kama inatolewa mistari miwili...........au hata mmoja...............huo huo mstari mmoja unakuwa na hoja ya maana kuliko mistari ya hadithi ambazo kw akiwango kikubwa ni uongo............hao waandishi unaowa-quote na kuweka vipande vyao humu.............haileti maana yeyote ya kuwa wameandika ukweli............ukweli tunaujua sisi wenyewe Watanganyika.............sio atokee MAMLUKI eti atusemee ukweli..............mambo mengi sana umeyaandika Brother MS........nin hakika kabisa moyo wako unakusuta......kwani hayana ukweli........... mfano
1.kuhusu elimu na nambari za mitihani na kuwa iliwatenga Waislamu.......UONGO
2.kuhusu baadhi ya watu kuwa walionewa na hawakupewa nafasi eti kwa kuwa ni Waislamu......UONGO

hiyo mifano hapo juu......najitolea mimi binafsi na ndugu zangu ninakuthibitishia kuwa ni UONGO tena wa mchana kweupe.................!!
 
Ogah,

Unanionea mimi bure bila sababu. Uminita mimi mamluki nikakuwekea habari uisome na uamue nani mamluki badala ya kunipa jibu unakuja na hamaki nyingi zaidi.

Sijachoka nakuwekea tena ile ile na safari hii uwanja uko wazi kwa mwanaukumbi yeyote aseme kwa hakililah nani ni mamluki:
"Hivi sasa kuna vitabu viwilivilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumianyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislam na Waislam. Jan P van Bergenkatika kitabu chake, Development and Religion in Tanzania,(1981) [1]ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao Rais Mstaafu, Nyerere dhidi ya Uislamna Waislam. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi Nyerere wakati alipokuwamadarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuwekamikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyo Nyerere aliwahakikishiaviongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabu hicho kinaeleza jinsiNyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapaWakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabu hiki kilikuwa kinauzwaCatholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwakitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidiya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. [1] Hadi hivi sasa kitabuhicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.Kitabu cha pili nicha Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi1985 (1992). [1]Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalonanafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisalilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamkati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwakwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwalinahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati zaWaislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika yaMashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake naikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha." [1]

Mohamed


Yaani mimi nizungumzie mambo ya siri kuhusu mtu mwingine.....halfu mtu mwingine aje kuandika hiyo habari...............halafu mimi niiuze hiyo habari ili iweje, hivi hawa Wakatoliki ni wajinga kiasi hiki?.......please!
 
Mohamed, nisaidie hapa. Tangazo hilo lilikuwa katika magazeti, majarida au radio na lilikuwa la mwaka gani. ahsante

Duh Nguruvii3..wacha kujiabisha mkuu wangu??

Hivi kweli huelewi maana ya maneno hayo? lini vita ya siri ikatangazwa..hivi unajua utafiti maana yake nini?
 
Mr Zero,

Uhuru ni wako wa kuichambua historia kama unavyopenda simlazimishi mtu kuamini yale niandikayo.

Lengo langu kuu ni kuieleza ile historia ambayo wengu hawakuwa wanaifahamu.

Mohamed

Brother MS.......hapa sio suala la kuamini na kumeza unachoandika..............hapa ni suala la kuchambua pumba na mchele...........tume-acknowledge mchango wa wazee wako wa gerezani (mamluki) kwenye kupigania uhuru...........lakini mengine ya udini tunasema hapana..........
 
Kumbe hujaufahamu moto wa JF Brother MS............maana ya kupambana ni pana............hapa hata kama inatolewa mistari miwili...........au hata mmoja...............huo huo mstari mmoja unakuwa na hoja ya maana kuliko mistari ya hadithi ambazo kw akiwango kikubwa ni uongo............hao waandishi unaowa-quote na kuweka vipande vyao humu.............haileti maana yeyote ya kuwa wameandika ukweli............ukweli tunaujua sisi wenyewe Watanganyika.............sio atokee MAMLUKI eti atusemee ukweli..............mambo mengi sana umeyaandika Brother MS........nin hakika kabisa moyo wako unakusuta......kwani hayana ukweli........... mfano
1.kuhusu elimu na nambari za mitihani na kuwa iliwatenga Waislamu.......UONGO
2.kuhusu baadhi ya watu kuwa walionewa na hawakupewa nafasi eti kwa kuwa ni Waislamu......UONGO

hiyo mifano hapo juu......najitolea mimi binafsi na ndugu zangu ninakuthibitishia kuwa ni UONGO tena wa mchana kweupe.................!!

Hiii sina namna bora ya kutoa ushahidi lakini kama utapenda mimi ni mfano bora niliyetumia namba badala ya majina mwaka 1988 ndipo nikafaulu kwenda sekondari ..

Kuonewa evidence ya namna nafasi zilitolewa kwa upendleo imeelezwa vizuri kitabuni na nia ya mwalimu ya kueneza na kuendeleza kanisa badala ya Taifa hiyo kama msomaji mzuri inakupa picha..
 
Hiii sina namna bora ya kutoa ushahidi lakini kama utapenda mimi ni mfano bora niliyetumia namba badala ya majina mwaka 1988 ndipo nikafaulu kwenda sekondari ..

Kuonewa evidence ya namna nafasi zilitolewa kwa upendleo imeelezwa vizuri kitabuni na nia ya mwalimu ya kueneza na kuendeleza kanisa badala ya Taifa hiyo kama msomaji mzuri inakupa picha..

........miye na ndugu zangu tulifaulu mitihani kabla ya hiyo 1988...........semeni mengine kuhusu JKN (RIP), kwa hili la elimu ni UONGO mkubwa sana...........
 
........miye na ndugu zangu tulifaulu mitihani kabla ya hiyo 1988...........semeni mengine kuhusu JKN (RIP), kwa hili la elimu ni UONGO mkubwa sana...........

Uongo kwa maneno wakati mwenzako anakupa evidence..unaweza kuendelea kama ulivyo-programmed ..who cares..
 
Duh Nguruvii3..wacha kujiabisha mkuu wangu??
Hivi kweli huelewi maana ya maneno hayo? lini vita ya siri ikatangazwa..hivi unajua utafiti maana yake nini?
Kuna siri nzito kuliko maongezi ya Ikulu kati ya Rais Mwinyi na Profesa Malima? Mbona Mohamed ameweka wazi, kama ni utafiti ina maana alipata ridhaa yao.

Linapokuja swali gumu, basi tutasikia kila aina ya visingizio. Kumbuka Mohamed hakubainisha mahali kuwa alikuwa na chanzo ambacho hatakitaja.

Sidhani kama tangazo linalowahusu wakristo hasa viongozi wao kwa mamia linaweza kuwa siri.

Swali hili limeelekezwa kwa mwandishi ambaye amenitahadharisha kutowasiliana nawe ( rejea maswali niliyokupa na majibu ya Mohamed).
Nami naafikiana naye kwasababu kuna alichokiona cha maana.
 
Mohamed Sadi; Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake naikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha
Maswali yanajitokeza kwa sababu mtafiti hakuwasiliana na hadhira yake katika taratibu za uandishi wa tafiti zake.
Labda nichangie kidogo kwa kutumia elimu yangu ya darasa la 5B. Ningekuwa mimi ningeandika hivi.

...Katika kikao kilichokaa tarehe 40 december mwaka 196X, kikiwa na wajumbe X10 waiowakilisha ABCD za wakristo, iliamuliwa kwa njia za siri kuwa uislam ni adui wa wakristo na mikakati dhidi ya hujuma kupangwa.Habari hii imetoka katika chanzo kisichotajwa kwa sababu za maadili ya kiuandishi...

Hapa JF kuna jambo zuri sana, hata ukisema Joti kapigwa utaulizwa 'source please'. Watu wanajua kuwa kila mtu anaweza kusema chochote anachowaza na kukiwekea kinga ya 'ni siri' au ni utafiti ili mradi kukwepa ukweli.
Ikifika hapo inazidi kujidhihiri kuwa utafiti wa Mohamed una mapungufu makubwa na ya wazi, uandishi wake na mawasiliano kati yake na wasomaji una walakini sana.
 
Uongo kwa maneno wakati mwenzako anakupa evidence..unaweza kuendelea kama ulivyo-programmed ..who cares..

umetoa evidence (i.e. wewe mwenyewe.....si kusimuliwa kama alivyosimuliwa Brother MS).....nami nimetoa eveidence (i.e. mimi mwenyewe.....si kusimuliwa kama alivyosimuliwa Brother MS).......unaposema "who cares"........it leaves a lot to be desired about you....!
 
umetoa evidence (i.e. wewe mwenyewe.....si kusimuliwa kama alivyosimuliwa Brother MS).....nami nimetoa eveidence (i.e. mimi mwenyewe.....si kusimuliwa kama alivyosimuliwa Brother MS).......unaposema "who cares"........it leaves a lot to be desired about you....!

Ogah,

Hayo yamepita.

Sasa nakupa ugomvi kati ya Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na Nyerere Rais wa TANU.

Ugomvi huu ulitokea pale New Street mwaka 1958 mara tu baada ya kutoka Tabora kwenye Kura Tatu. Huenda haya yakakupa mwanga kwa haya unayosoma hapa na kusikia mitaani:
"Sheikh Haidar Mwinyimvua, mjumbe waBaraza la Wazee wa TANU na mjumbe wa Kamati Kuu ya TANU katika mwaka 1958 naaliyekuwa rafiki mkubwa wa Sheikh Suleiman Takadir, anakumbuka jinsi SheikhTakadir ghafla alipotoa dukuduku lake kwa Nyerere, dukuduku ambalo lilionekanalilikuwa halina sababu: Ilikuwa katika ofisi ya zamani ya TANUtukisubiri kufanya mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa. Ghafla tu SheikhTakadir alisimama wima akishikilia fimbo yake ya kutembea akimuelekezea Nyererehuku akisema, ëHuyu mtu katu hatakuja kutujali sisi atakuja kuwajali nduguzake. Usipoziba ufa utajenga ukutaí. Sheikh Takadir alirudia maneno haya marambili. Sisi sote katika kile chumba cha mkutano tulipigwa na butwaa kutokana namaneno yale. Nilimwona Nyerere akilia. Nyerere alitugeukia sisi na kutuuliza,ëJe, Sheikh Suleiman amesema maneno yale kwa niaba yenu?í Tulijibu kwa pamojakuwa hatukuwa na habari kuhusu shauri lile; na mkutano ukavunjika hapo hapo.Sheikh Takadir alikuwa miongoni mwa watuwa mwanzo kabisa kumuunga mkono Nyerere na alikuwa ameifanyia kampeni TANU kwabidii kubwa, akihutubia mikutano jukwaa moja na Nyerere. Halikadhalika alikuwaamesaidia kufutilia mbali Ukristo wa Nyerere kwa watu wa Dar es Salaam kiasikwamba watu mjini Dar es Salaam hawakumnasibisha Nyerere na Kanisa Katoliki ilana TANU kama chama cha wananchi. Wadhifa wa Sheikh Takadir mwenyewe kamamwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU ulikuwa wa heshima kubwa. Haikuwa kwambawale wote waliokuwemo ndani ya chumba kile hawakuelewa kile alichodokeza SheikhTakadir. Walielewa kila neno alilotamka na maana yake halisi hasa kwa uongoziwa TANU. Kile ambacho hawakufahamu, kutambua au kusadiki kilikuwa ule ukwelikuwa Nyerere, mtoto wao mpendwa na kiongozi wao, iko siku moja atawageukaWaislam na kuwatazama kama adui zake na mahasimu kwa imani yake ya Kikristo.Lakini kwa wakati ule hili lilikuwa wazo lililokuwa mbali sana na lisilokuwa namaana yeyote kwao. TANU na chama kilichotangulia, African Association,hazikuundwa kwa ajili ya masilahi ya kikundi fulani pamoja na ukweli kuwaWaislam ndiyo waliounda vyama hivyo viwili na kuviongoza. Sheikh Takadiralikuwa ametonesha jambo nyeti sana. Njia pekee ya kuzuia mgogoro huu mpya usikueilikuwa kwa Nyerere kuthibitisha kuwa Waislam watatendewa haki baada ya uhurukupatikana. Kwa wakati ule, umoja wa wananachi ulikuwa muhimu kwa ajili yaharakati. Umoja wa Watanganyika ukawa ndiyo hoja kuu ya Nyerere katika hotubazake zote kuanzia mkasa wa Takadir utokee na alishikilia hoja ya umoja katikakila hotuba yake hadi kufikia uchaguzi wa kura tatu.Halmashauri Kuu ya Taifa ya TANU iliamuakuunda kamati ya haraka haraka kwenda nyumbani kwa Sheikh Takadir Mtaa waMsimbazi kumuuliza kwa nini alimshutumu Nyerere. Miongoni mwa wajumbe wa kamatihiyo walikuwa Idd Faiz, Mwenyekiti wa Halmashauri ya TANU, Idd Tulio na JumbeTambaza. Sheikh Takadir aliiambia kamati hiyo kuwa Nyerere alikuwa akitumiasharti la elimu katika uchaguzi wa kura tatu ili kuwaweka Wakristo wenzakemadarakani kwa hoja kwamba wanazo zile sifa zitakiwazo kushika majukumu yaserikali. Kisha Sheikh Takadir akarudia tena maneno yale yale aliyomwelezeaNyerere, neno kwa neno, akiongeza kwamba hana majuto yoyote kwa msimamo wakehuo. Wajumbe wa kamati hiyo wakiongozwa na Idd Tulio walisimama na kuondokakimya kimya. Matokeo yake ikawa Sheikh Takadir kufukuzwa kutoka TANU kwakuanzisha suala la udini, ambalo lilidhaniwa lingewagawa wananchi. Idd Tulioakachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU kushika nafasi yaSheikh Takadir. Kuingizwa kwa watu kama Eliofoo,Mwakangale, Sijaona, Bomani, Kahama na wengine katika Baraza la Kutunga Sheriaili kuwakilisha TANU kuliwatia wasiwasi idadi kubwa ya wanachama Waislamwaliokuwepo makao makuu ya TANU. Lakini kwa hakika viongozi hawa walikuwawazalendo wakiwakilisha sehemu muhimu nchini Tanganyika ambazo kwa mfano walekutoka vyama vya ushirika kama Bomani kutoka Jimbo la Ziwa, walijitoa mhangasana katika harakati. Hakuna namna ambayo Nyerere angeweza kuwakwepa kwa hofuya kuujaza uongozi katika TANU na Baraza la Kutunga Sheria na Wakristo. Kwaupande mwingnine halikadhalika haikufikiriwa kuwa ni lazima kuwa na uwakilishiulio sawasawa baina ya Waislam na Wakristo katika TANU au katika Baraza laKutunga Sheria. Wakati ule tatizo la udini lilikuwa halijulikani kabisa.Ghafla Sheikh Takadir akageuka kuwa kamamkoma. Watu wa Dar es Salaam wakampiga pande. Sheikh Takadir alikuwa dalali naalikuwa akifanya shughuli zake nyumbani kwake. Siku za nyuma mnadani kwakekulikuwa ndiyo baraza la mazungumzo la wana-TANU. Katika siku za mwanzo za TANUSheikh Takadir alikuwa akiendesha biashara hiyo nyumba iliyokuwa Mtaa waNyamwezi mali ya Mwinjuma Digosi, jumbe wa serikali ya kikoloni. MwinjumaDigosi alipotambua kuwa Nyerere alikuwa akifika pale kumfuata Sheikh Takadir,Digosi akamueleza Sheikh Takadir kuwa itabidi ahame kwa kuwa yeye ni jumbe waserikali hawezi kuwa na mpangaji ambae anaigeuza nyumba yake mahali pa kukutanana watu wakorofi kama Nyerere. Wanachama wa TANU walikuwa wakikutana kwaSheikh Takadir kunywa kahawa, kupoteza wakati na kujadili siasa. Baada ya yeyekufukuzwa kutoka TANU mahali hapo palihamwa na hakuna aliyekwenda pale kamailivyokuwa mazoea hapo siku za nyuma. Sheikh Takadir alipokwenda sokoniKariakoo kununua mahitaji yake hakuna mfanyabiashara aliyegusa fedha zake auhata kule kumtizama tu. Alipotoa salam hakuna aliyemwitikia. Sheikh Takadiralisuswa na jamii yake na TANU. Sheikh Takadir aliuhisi hasa uzito kamili wakupigwa pande na jamii. Biashara yake ikaanza kuanguka na vivyo hivyo afya yakeikaanza kuathirika. Akawa mpweke sana na mtu mwenye fadhaha. Enzi zilealipokuwa akisoma surat fatíha na kusoma dua kabla ya kumtambulisha Nyerere kwawatu wa Dar es Salaam katika mikutano ya awali ya TANU katika viwanja vya MnaziMmoja zilikuwa zimepita. Yalikuwa ya kale wakati Sheikh Takadir akijenga vyemataswira ya Nyerere akimkweza hadi kufikia kiwango cha kumnasibisha na mtume.Haukupita muda mrefu Sheikh Takadir alifariki. Lakini kabla ya kufariki SheikhTakadir aliwaachia usia. Kikundi cha Waislam walikuwa wamekwendanyumbani kwake kumdhihaki, wakimtukana na kumkebehi, wakipiga makele hukuwakiimba kwa sauti kubwa mwimbo, ëTakadir mtaka dini!í Kikundi hiki kilivamianyumba yake baada ya kutoka mkutanoni ambako Nyerere alitoa hotuba yakumshambulia Sheikh Takadir. Sheikh Takadir, inasemekana, alitoka nje ya nyumbayake kuwakabili wale Waislam na akawaambia, "iko siku mtanikumbuka." [1]

Mohamed
 
Maswali yanajitokeza kwa sababu mtafiti hakuwasiliana na hadhira yake katika taratibu za uandishi wa tafiti zake.
Labda nichangie kidogo kwa kutumia elimu yangu ya darasa la 5B. Ningekuwa mimi ningeandika hivi.

...Katika kikao kilichokaa tarehe 40 december mwaka 196X, kikiwa na wajumbe X10 waiowakilisha ABCD za wakristo, iliamuliwa kwa njia za siri kuwa uislam ni adui wa wakristo na mikakati dhidi ya hujuma kupangwa.Habari hii imetoka katika chanzo kisichotajwa kwa sababu za maadili ya kiuandishi...

Hapa JF kuna jambo zuri sana, hata ukisema Joti kapigwa utaulizwa 'source please'. Watu wanajua kuwa kila mtu anaweza kusema chochote anachowaza na kukiwekea kinga ya 'ni siri' au ni utafiti ili mradi kukwepa ukweli.
Ikifika hapo inazidi kujidhihiri kuwa utafiti wa Mohamed una mapungufu makubwa na ya wazi, uandishi wake na mawasiliano kati yake na wasomaji una walakini sana.

Nguruvi3,

Upungufu katika kazi yoyote ya mikono ya binadamu haiwezi kuepukika.
Unachohitajika kufanya ni kuja na "paper" kwa uchache na kurekebisha huo
upungufu.

Hili nimerudia mara nyingi sana, sana, sana.

Mohamed
 
Kuna siri nzito kuliko maongezi ya Ikulu kati ya Rais Mwinyi na Profesa Malima? Mbona Mohamed ameweka wazi, kama ni utafiti ina maana alipata ridhaa yao.

Linapokuja swali gumu, basi tutasikia kila aina ya visingizio. Kumbuka Mohamed hakubainisha mahali kuwa alikuwa na chanzo ambacho hatakitaja.

Sidhani kama tangazo linalowahusu wakristo hasa viongozi wao kwa mamia linaweza kuwa siri.

Swali hili limeelekezwa kwa mwandishi ambaye amenitahadharisha kutowasiliana nawe ( rejea maswali niliyokupa na majibu ya Mohamed).
Nami naafikiana naye kwasababu kuna alichokiona cha maana.

Nguruvi3,

Ili niweze kuendelea na darsa nabandika "lessons."
Nakuomba pitia masomo hayo.

Najua kuna mengi huyajui.
Insha Allah niulize maswali ya kwenda mbele tusiwe tunarudia humo kwa humo.

Mohamed
 
Brother MS.......hapa sio suala la kuamini na kumeza unachoandika..............hapa ni suala la kuchambua pumba na mchele...........tume-acknowledge mchango wa wazee wako wa gerezani (mamluki) kwenye kupigania uhuru...........lakini mengine ya udini tunasema hapana..........

Ogah,

Hapana neno.
Tuendelee na darsa.

Nimeweka masomo.
Tafadhali soma naamini kunamengi mapya kwako.

Mohamed
 
Kumbe hujaufahamu moto wa JF Brother MS............maana ya kupambana ni pana............hapa hata kama inatolewa mistari miwili...........au hata mmoja...............huo huo mstari mmoja unakuwa na hoja ya maana kuliko mistari ya hadithi ambazo kw akiwango kikubwa ni uongo............hao waandishi unaowa-quote na kuweka vipande vyao humu.............haileti maana yeyote ya kuwa wameandika ukweli............ukweli tunaujua sisi wenyewe Watanganyika.............sio atokee MAMLUKI eti atusemee ukweli..............mambo mengi sana umeyaandika Brother MS........nin hakika kabisa moyo wako unakusuta......kwani hayana ukweli........... mfano
1.kuhusu elimu na nambari za mitihani na kuwa iliwatenga Waislamu.......UONGO
2.kuhusu baadhi ya watu kuwa walionewa na hawakupewa nafasi eti kwa kuwa ni Waislamu......UONGO

hiyo mifano hapo juu......najitolea mimi binafsi na ndugu zangu ninakuthibitishia kuwa ni UONGO tena wa mchana kweupe.................!!

Na tusonge mbele tusikwame katika hilo.

Nimeweka somo humu lipitieni Insha Allah.

Mohamed
 
............Ghafla tu SheikhTakadir alisimama wima akishikilia fimbo yake ya kutembea akimuelekezea Nyererehuku akisema, ëHuyu mtu katu hatakuja kutujali sisi atakuja kuwajali nduguzake. Usipoziba ufa utajenga ukutaí.


Hivi hicho chama kilianzishwa kwa masilahi ya Waislamu peke yao?.......iweje mtu ajiulize kuwa huyu bwana hatakuja kutujali? kutujali alikuwa akimaanisha akina nani? na kwa misingi ipi?.....ya uanzilishi wa chama au Uislamu wao?


.........Sheikh Takadir aliiambia kamati hiyo kuwa Nyerere alikuwa akitumiasharti la elimu katika uchaguzi wa kura tatu ili kuwaweka Wakristo wenzakemadarakani kwa hoja kwamba wanazo zile sifa zitakiwazo kushika majukumu yaserikali. .............


Hizi ndizo huitwa "prejudices"

.........Kuingizwa kwa watu kama Eliofoo,Mwakangale, Sijaona, Bomani, Kahama na wengine katika Baraza la Kutunga Sheriaili kuwakilisha TANU kuliwatia wasiwasi idadi kubwa ya wanachama Waislamwaliokuwepo makao makuu ya TANU. .....................Mohamed

Kwa nini watu waingie wasiwasi Watanganyika wengine kuingia Barazani?........huo umoja wa Kitaifa la Tanganyika unakuwaje hapo?


..........Sheikh Takadir alihitaji nini hasa.....kwa kuwa yeye na Waislamu wenzake walianzisha chama basi wasije wengine kuongoza chama? ambacho madhumuni yake ni kushika uongozi wa nchi yenye watu wenye imani na makabila mbali mbali.......ambao nao pia walipigana vilivyo ili kupata uhuru wa Tanganyika..........
 
Back
Top Bottom