Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Tanganyika ilikuwa na majimbo 8 wakati inapata uhuru 1961.

1. Jimbo la Kati
2. Mashariki
3. Ziwa
4.Kaskazini
5. Nyanda za juu kusini.
6. Jimbo la Tanga.
7. Nyanda.

MWAKA 1966 NYERERE aliunda mikoa 15 nayo ni:-
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Pwani .
4. Dodoma
5.Tanga
6. Kigoma
7. Mara
8. Mbeya
9. Morogoro
10 .Mwanza
11. Ruvuma
12.Shinyanga.
13. Singida
14 Tabora

BAADAE MKAPA NA KIKWETE WAMEUNDA MIKOA

1. Katavi- Ulianzishwa na Pinda, akaweka wilaya na halmashauri mpya baada ya kuumega mkoa wa Sumbawanga (Ufipa)

2. Njombe- Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ndio alianzisha, alipewa kama zawadi, sijui umemsaidia nini, anyway ukabila, mambo ya Uhehe na Ubena.

3. Geita- Kikwete alimzawadia jamaa mjoja wa Nanii maalum, simtaji
4. Simiyu
Manyara- Sumaye akiwa Waziri mkuu, aliona hawezi tawaliwa na WAmeru , akaona akae na Wa-arusha na Wamasai, wambulu, barbaig, huu nao ni ukabila
5 Mwanga- Cleopa Msuya akiwa waziri mkuu alipambana akitaka mkoa wa PARE akaambulia wilaya ya Mwanga ila mpaka sasa wapare wa Mwanga na Same hawapatani, hata hawana ushirikiano na huu ni upuuzi mtupu..

6. CHATO, - JIWE alipambania iwe Mkoa then jiji ,.

KATAVI-

SASA hii tabia ya kila mkoa na wilaya kutaka kujitenga huu ni UKABILA MKUBWA SANA, mfano , Arusha ilimegwa na Manyara , Arusha imekuwa ya Wa-Arusha na Wa- Meru, walikuwa wamoja lakini waarusha na wameru wamekuwa kama Israel na Palestina.
Haya yote yameletwa na wapelestina.

Haya , Magufuli amekuja na staili yake ya kutaka mkoa wa CHATo na baadae iwe jiji, nashangaa anagawa mikoa badala ya kupata umoja, unagawa mikoa minne iwe mkoa wa CHATO, hao watu wa Chato REgion watakuwa wahaya, wasukuma ama warwanda?

Haya mambo kesh utaskia Upare ijitenge na Moshi, huu ni ukabila alafu hapo .

Msifurahie mambo ya kugawa mikoa, ni ukabila mkubwa sana, huu umeletwa awamu ya nne natano, tusikubali kugawana kidogo kilichopo.

Waligawa manyara kusema eti maendeleo karibu na wananchi, them hao wananchi wamepata maendeleo gani?

wanasiasa ni wapuuzi sana.
 
Tupambane kwa hali na mali tulijenge taifa letu, Itikadi za kisiasa zisitufanye tutengane sisi sote ni watanzania 🇹🇿
 
Kuundwa mikoa mipya kadri muda unavyokwenda zipo faida zake. Sisi wa Ngara tunaijua faida ya mkoa wa Chato. Utakuwa karibu kwetu kulinganisha na mwendo wa kuitafuta Bukoba mjini.

Ukiiongelea mikoa ukiwa Dar huwezi kuelewa hii mikoa mipya inakwenda kuongeza kitu gani kipya. Ni mpaka uwe mwenyeji wa sehemu husika ndio utaelewa.

Inaongezeka mikoa, lakini lugha ya taifa inabakia ile ile kiswahili na muingiliano wetu wa kimakabila ni ule ule wa siku zote.
 
Hakuna ubaya kugawa mikoa kama itarahisisha kupeleka huduma za kijamii karibu zaidi kwa wananchi, cha muhimu kusiwe na upendeleo tu, bado Morogoro na Tabora kuna uhitaji wa kuigawa zaidi ili kuwasogezea huduma wananchi.
Maendeleo gani mkuu unayoyasema, ya Wananchi au viongizi? Toka nipate fahamu sijasikia USA wala Ujerumani wakiongeza Majimbo kwa kuyakata mengine kwa kisingizio cha maendeleo!
 
Maendeleo gani mkuu unayoyasema, ya Wananchi au viongizi? Toka nipate fahamu sijasikia USA wala Ujerumani wakiongeza Majimbo kwa kuyakata mengine kwa kisingizio cha maendeleo!
USA wanatumia serikali za counties na majimbo kujiamulia mambo mengi ya maendeleo ya wananchi husika wakati Tz serikali kuu ndio ina maamuzi ya maendeleo ya kila mkoa, kwa Tz kusogezwa karibu na hizi ofisi ni nafasi ya kusogeza huduma za kijamii, Hospitali, shule na kila kitu vitajengwa tena.
 
Mbona mindset ya ukabila kwenye kugawa mikoa haimo, ndio kwanza naiskia leo kwako.

Na interaction hii inavyokua huo ukabila unapatawa wap nafasi mkuu ?

That's not a fact
Jaribu kufuatilia namna mipaka ya mikoa na wilaya inavyowekwa utagundua kuwa inatenganisha makabila na tamaduni. Hii ni hatari kwa umoja wa kitaifa!
 
Ni shida sana, ilivyoletwa kigamboni na ubungo watu hawakulalamika, Ila kuundwa Chato itakuwa ni ukabila!!

Wengi huwa wanaongea wasichokijua kwa undani, from Kakonko mpaka Ujiji ni masaa 5, from Kakonko to Chato almost masaa 2 na nusu, sawasawa na watu wa ngara, mtu anatoka Kabanga anaenda Bukoba mjini kwa shida ya kimkoa watu hawaoni haya!

Moa wa Shinyanga ilikuwa si mkubwa sana by then lakini namna ulivyokuwa umekaa ilikuwa shida wakaamua kuugawa, Arusha pia ikazaa manyara, Rukwa ikazaa katavi, mikoa iliyobaki ni Tabora na Morogoro, mtu yuko Malinyi na ulanga anakuja Morogoro mjini safari ya masaa zaidi ya 8, ndani ya mkoa mmoja.

Katika kuundwa mikoa tunaamini serikali unaona umuhimu wake ndio maana wanaona waongeze eneo kiutawala
 
Binafsi nisingekuwa na tatizo kama mikoa mipya ingetokea Morogoro, Tabora au Pwani.
Tena Morogoro unapatikana mkoa huko wa Kilombero, Ifakara, Malinyi, Mbingu, Ngeta, Mlimba...wala hauibi wilaya wala eneo la mikoa mingine.
Hakuna mgogoro wakati wa ugawaji wa mipaka. Kunakuwa na migogoro ya ardhi katika hili zoezi la umegaji ardhi.

Ila Chato aisee hapana! Hii nchi yetu sote

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwaiyo point yako ni kwamba waameru wamemega ardhi ya waarusha na wapalestina wamemega ardhi ya wayahudi, kwa maana nilivyoelewa wapalestina na waameru ni wavamizi, OR?
 
Baada ya hapo mkoa wa Chato unaweza kuchagiza kuwa wana udugu zaidi na nchi jirani kuliko Tanganyika.

Busara itumike wakati wa kugawa mikoa ijiepushe na 'harufu' ya kuchochea ukabila na udugu.

Pia inawezekana wakatamani wajiunge na upande wa pili kwa kuona maendeleo makubwa yaliyopo nchi jirani na kuwa wanacheleweshwa kuwepo ndani ya Tanganyika.

Tujiulize kwanini Idara ya Uhamiaji Tanzania ina kuwa makini na watu wa Kigoma ni kwa sababu ya historia na utamaduni. Je watu wa Chato kujigawa mnataka kuangaliwa kwa jicho la kipekee kama ndugu zenu wa Kigoma?

FAHAMU SIRI YA WAZI YA WATU WA KIGOMA KUHOJIWA SANA NA IDARA YA UHAMIAJI :

Historia inasema Kigoma ulikuwa sehemu ya Ruanda-Urundi ya Belgiji mpaka mwaka 1924 hivyo watu wa Kigoma walikuwa ndani ya utawala wa Mfalme wa Ubelgiji na ndiyo maana utaona watu wengi wa Kigoma Ngara Kasulu waliweza kwenda kuishi Buyenzi Bujumbura kuoa kuolewa na kuzunguka ndani ya Ruanda-Urundi iliyokuwa inajumuisha na maeneo ya Kigoma.

Udugu huu wa enzi na enzi ulio maalum hauwezi kufa hivyo ni sahihi Burundi ya sasa kutuma Chama cha CNN-FDD cha Burundi cha mpongeza Dr. Mpango kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais salama kwa ndugu zao wa damu waliotenganishwa na dola za ulaya kupeana vipande vya nchi mwaka 1924. Na ghafla kukuta wajomba, mashangazi, binamu, kaka na kaka au dada na dada kujikuta wanahesabika kukaa ktk nchi tofauti. Kwanza 1890 waBelgiji na Ujerumani waligawana mapande ya Mwami ya Ruanda-Urundi. Kisha 1919 waRuanda-Urundi wa Kigoma wakajikuta tena wanasikilizia hatima yao kama watapelekwa Tanganyika ya Uingereza au kubakia Kigoma ya Beljii (Belgium). Suala hilo lilicheleweshwa mpaka 1924 na kujikuta wametupwa Tanganyika ya Uingereza kufuatia Muafaka wa Brussels wa mwaka 1924 kuwatoa watu wa Kigoma toka kwa waBelgiji na kuingiza chini ya utawala wa Mwingereza .
https://www.informea.org › treaties
Exchange of notes accepting the Protocol signed at Kigoma, 5 ...
Exchange of notes accepting the Protocol signed at Kigoma, 5 August 1924, relative to the ... Minister for Foreign Affairs at Brussels establish by letter the boundaries of Tanganika Lake

22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 May 192646,47​

(46League of Nations, Treaty Series, vol. 54, p. 239.)

(47See also the Agreement between the United Kingdom and Belgiun regarding Water Rights on the Boundary between Tanganyika and Ruanda-Urundi, London, 22 November 1934, in Legislative Texts and Treaty Provisions concerning the Utilization of International Rivers for Other Purposes than Navigation (United Nations publication, Sales No. 63.V.4), p. 97.)

No. 1 - The British Ambassador at Brussels to the Belgian Minister for Foreign Affairs

Brussels, 17 May 1926

Monsieur le Ministre,

I have the honour, under instructions from His Majesty's Principal Secretary of State for Foreign Affairs, to convey to Your Excellency by the present note the formal acceptance by His Majesty's Government of the Protocol signed at Kigoma on 5 August 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

I am at the same time instructed to draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and to invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that, at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

I should be grateful if Your Excellency would be good enough to confirm to me that the Belgian Government is in agreement with His Majesty's Government with regard to the arrangements indicated in the preceding paragraph.

I avail myself of this opportunity, etc.

No. 2 - The Belgian Minister for Foreign Affairs to the British Ambassador at Brussels

Brussels, 17 May 1926

Your Excellency,

I have the honour to acknowledge receipt of your letter of today's date, in which you are good enough to inform the Royal Government that His Britannic Majesty's Government accepts the Protocol signed at Kigoma on August 5, 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika Territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

The Belgian Government also approves these documents.

At the same time you draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

The Belgian Government has the honour to confirm to Your Excellency that they are in agreement with His Britannic Majesty's Government with regard to these arrangements.

................................................................
9 December 2020

Rais Magufuli aeleza sababu ya somo la Historia kuwa la lazima​


Magufuli : Historia ya kweli ifundishwe, vijana lazima waifahamu historia yetu tumetoka wapi. Haiwezekani watoto wetu wafahamu historia ya Mansa Mussa wa huko Afrika ya Magharibi lakini hata ya "kwetu" hawaifahamu. ( Kigoma iliyokuwa ndani ya Ruanda-Urundi mpaka 1924 chini ya utawala wa Ubeljii) hawaifahamu.....



Watu wa Manyema DR Congo, Ruanda-Urundi na Kigoma wanastahili Pongezi
Na
kukumbukwa kwa kushiriki kumshinda vita Mjerumani wa iliyokuwa Ujerumani ya Afrika Mashariki

Nyarugusu, Tanzania



Source : Tanganyika TV

VITA VYA DUNIA HISTORIA YA MBAVU MOYA​

SHUJAA TOKA TARAFANI FIZI Wakati huu wa kumbukumbu la Vita vya Kwanza vya Dunia (Première Guerre mondiale ) vya 1914-1918 ambavyo uitwa pia "Vita vikuu" (Grande guerre),tumkumbuke afisa (officier) shujaa toka Fizi wa Force Publique ya Congo-Belge,1er Sergent Major Mbavu Ndogo Michel (wengine wanamwita Mbavu Moya).

Kwa mwaka wa 1916, Ubeljiji (Belgique) iliamua kufukuza Wajermani katika inchi zao za ukoloni hasa Urundi (Burundi, kwa leo) na Tanganyika (Tanzania, kwa leo).Kamanda Mkuu wa Force Publique aliitwa Jemadari Charles Henri Marie Ernest Tombeur.

Sergent Mbavu Ndogo alikuwa kamanda wa kikosi kilichoitwa "Brigade du sud ". Le 6 juin 1916, alivamia Usumbura (Bujumbura, kwa leo) na kufukuza wa Allemands, chini ya uongozi wa afisa mbeleji Lieutenant-Colonel Frédérick Olsen.Tarehe 27 juillet 1916, Sergent Mbavu Ndogo kazibiti Kigoma.

Hapo Le 28 juillet 1916, akakamata Ujiji. Le 19 septembre 1916 akazibiti Tabora chini ya uongozi wa Général Tombeur. Le 9 octobre 1916, akadhibiti Mahenge chini ya uongozi wa Afisa mwengine wa kibeleji Lieutenant-Colonel Armand Huyghe. Sergent Mbavu Ndogo aliwafukuza wa Allemands Burundi na Tanzania. Général Tombeur alipewa tunzo kama "Baron Charles Tombeur de Tabora".

Lieutenant Colonel kapewa tunzo kama "Chevalier Armand de Mahenge". 1er Sergent Major Mbavu Ndogo kakumbukwa kwa mwaka wa 1958 baada ya Vita vya pili vya dunia (Deuxième Guerre mondiale 1940-1945) ambako huyo afisa shujaa wa RDC alipigana mara tena zidi ya Wajermani.

Kama tunzo : 1) Alipewa pete ya 1er Sergent Major wa Force Publique na akatumwa Bukavu. 2) Picha yake ilitiwa kwenye noti ya franka kumi (10 Fr) ya Banque Centrale du Congo-Belge et du Ruanda-Urundi. Benki kuu hiyo ilichapisha picha ya 1er Sergent Major Mbavu Ndogo Michel le 01 décembre 1958. 3) Wengine wanasema kwamba pale Bukavu/Kadutu Carrefour palikuwa monument yake.

Kwa leo, hakuna trace hata moja ya monument zaidi ya mitaa ya Kinshasa na Lumbumbashi nchini Free Congo State wakati wa Ukoloni wa mBelgiji kupewa majina ya “Avenue Kigoma”, “Avenue Tabora”, “Avenue Mahenge” na mji wa Boma kuwa na kambi ya kijeshi ya “Camp Tabora”. Mobutu Sese Seko pia alipata kuwa Mcongomani wa kwanza kupewa cheo cha Sajenti pengine ndiyo maana akaamua kumuenzi Master Sajenti Mbavu Ndogo Moya kwa ujasiri kupambana na dola uliyokuwa na nguvu ya Ujerumani chino ya Kaiser.

Source: VITA VYA DUNIA HISTORIA YA MBAVU MOYA

Noti ya kutambua utumishi wa kutukuka iliyotolewa na Mfalme wa Ubelgiji kwa Sajenti-Major Mbavu Ndogo Moya

43879615_182126672664801_2217129751045210112_n.jpg
Congratulations to 1st Sergent Major Mbavu
 
Ndo vizur , ifikie hatua tuje tugawane kila mtu chake , ili kudhalilishana kikabila kupungue .....
Wewe umewahi kudhalilishwa kikabila?

Ule utani wa kabila A kwa kabila B usiuchukulie kama ni kitu cha kweli.
 
Back
Top Bottom