Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Wacha tugawane cake ya taifa ifikie na makabila wasiotegemea kuushika urais.
Wagawe mikoa kwa kigezo kile kile cha huduma kufikia wananchi kwa ukaribu.
Mwanza iligawanywa kuwa Geita na Mwanza, kabla hawajagawanya zaidi eneo moja, waangalie na hii mikoa ambayo ni mikubwa kuliko Geita na haijawahi kutoa Rais wa kuipigia chapuo igawanywe, basi waigawe hii mikoa kwanza.

Unaruhusiwa kunihukumu bali huruhisiwi kunitusi, tupingane hoja siyo kuzidiana matusi.

Everyday is Saturday............................... 😎
inauma sana, alafu kuna nyegere wanasema wanatetea legacy ya mwenda zake, hivi wanajua tulivyopigwa na huyu jamaa.?
 
Hakuna ubaya kugawa mikoa kama itarahisisha kupeleka huduma za kijamii karibu zaidi kwa wananchi, cha muhimu kusiwe na upendeleo tu, bado Morogoro na Tabora kuna uhitaji wa kuigawa zaidi ili kuwasogezea huduma wananchi.
Sababu za kisiasa hizi.kwa nini hizo huduma zisipelekwe huko waliko sasa
 
Sisi sote ni watanzania tena huru kwahiyo tujitahidi sana tunapotoa hoja zetu au maoni yetu tuhakikishe hatukandamizi kabila au dini ya mtu..
 
Tanganyika ilikuwa na majimbo 8 wakati inapata uhuru 1961.

1. Jimbo la Kati
2. Mashariki
3. Ziwa
4.Kaskazini
5. Nyanda za juu kusini.
6. Jimbo la Tanga.
7. Nyanda.

MWAKA 1966 NYERERE aliunda mikoa 15 nayo ni:-
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Pwani .
4. Dodoma
5.Tanga
6. Kigoma
7. Mara
8. Mbeya
9. Morogoro
10 .Mwanza
11. Ruvuma
12.Shinyanga.
13. Singida
14 Tabora

BAADAE MKAPA NA KIKWETE WAMEUNDA MIKOA

1. Katavi- Ulianzishwa na Pinda, akaweka wilaya na halmashauri mpya baada ya kuumega mkoa wa Sumbawanga (Ufipa)

2. Njombe- Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ndio alianzisha, alipewa kama zawadi, sijui umemsaidia nini, anyway ukabila, mambo ya Uhehe na Ubena.

3. Geita- Kikwete alimzawadia jamaa mjoja wa Nanii maalum, simtaji
4. Simiyu
Manyara- Sumaye akiwa Waziri mkuu, aliona hawezi tawaliwa na WAmeru , akaona akae na Wa-arusha na Wamasai, wambulu, barbaig, huu nao ni ukabila
5 Mwanga- Cleopa Msuya akiwa waziri mkuu alipambana akitaka mkoa wa PARE akaambulia wilaya ya Mwanga ila mpaka sasa wapare wa Mwanga na Same hawapatani, hata hawana ushirikiano na huu ni upuuzi mtupu..

6. CHATO, - JIWE alipambania iwe Mkoa then jiji ,.

KATAVI-

SASA hii tabia ya kila mkoa na wilaya kutaka kujitenga huu ni UKABILA MKUBWA SANA, mfano , Arusha ilimegwa na Manyara , Arusha imekuwa ya Wa-Arusha na Wa- Meru, walikuwa wamoja lakini waarusha na wameru wamekuwa kama Israel na Palestina.
Haya yote yameletwa na wapelestina.

Haya , Magufuli amekuja na staili yake ya kutaka mkoa wa CHATo na baadae iwe jiji, nashangaa anagawa mikoa badala ya kupata umoja, unagawa mikoa minne iwe mkoa wa CHATO, hao watu wa Chato REgion watakuwa wahaya, wasukuma ama warwanda?

Haya mambo kesh utaskia Upare ijitenge na Moshi, huu ni ukabila alafu hapo .

Msifurahie mambo ya kugawa mikoa, ni ukabila mkubwa sana, huu umeletwa awamu ya nne natano, tusikubali kugawana kidogo kilichopo.

Waligawa manyara kusema eti maendeleo karibu na wananchi, them hao wananchi wamepata maendeleo gani?

wanasiasa ni wapuuzi sana.
Pole sana, Tanganyika wakati tunapata uhuru ilikuwa na Majimbo tisa, siyo manane kama unavyotaka kudanganya. Yalikuwa majimbo manane kabla ya mwaka 1959. Ilipofika mwaka huo Jimbo la Ziwa liligawanywa na kupata jimbo la Ziwa magharibi na kufanya nchi kuwa na majimbo tisa hadi uhuru wa Tanganyika mwaka 1961. Aidha, mwaka 1974 wakati wa utawala mwl Nyerere iliundwa mikoa ya Lindi baada ya kugawa mkoa wa Mtwara, Dar es Salaam baada ya kugawa mkoa wa Pwani Rukwa baada ya kuchukua Mpanda toka Tabora na Sumbawanga toka Mbeya.
 
Tanganyika ilikuwa na majimbo 8 wakati inapata uhuru 1961.

1. Jimbo la Kati
2. Mashariki
3. Ziwa
4.Kaskazini
5. Nyanda za juu kusini.
6. Jimbo la Tanga.
7. Nyanda.

MWAKA 1966 NYERERE aliunda mikoa 15 nayo ni:-
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Pwani .
4. Dodoma
5.Tanga
6. Kigoma
7. Mara
8. Mbeya
9. Morogoro
10 .Mwanza
11. Ruvuma
12.Shinyanga.
13. Singida
14 Tabora

BAADAE MKAPA NA KIKWETE WAMEUNDA MIKOA

1. Katavi- Ulianzishwa na Pinda, akaweka wilaya na halmashauri mpya baada ya kuumega mkoa wa Sumbawanga (Ufipa)

2. Njombe- Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ndio alianzisha, alipewa kama zawadi, sijui umemsaidia nini, anyway ukabila, mambo ya Uhehe na Ubena.

3. Geita- Kikwete alimzawadia jamaa mjoja wa Nanii maalum, simtaji
4. Simiyu
Manyara- Sumaye akiwa Waziri mkuu, aliona hawezi tawaliwa na WAmeru , akaona akae na Wa-arusha na Wamasai, wambulu, barbaig, huu nao ni ukabila
5 Mwanga- Cleopa Msuya akiwa waziri mkuu alipambana akitaka mkoa wa PARE akaambulia wilaya ya Mwanga ila mpaka sasa wapare wa Mwanga na Same hawapatani, hata hawana ushirikiano na huu ni upuuzi mtupu..

6. CHATO, - JIWE alipambania iwe Mkoa then jiji ,.

KATAVI-

SASA hii tabia ya kila mkoa na wilaya kutaka kujitenga huu ni UKABILA MKUBWA SANA, mfano , Arusha ilimegwa na Manyara , Arusha imekuwa ya Wa-Arusha na Wa- Meru, walikuwa wamoja lakini waarusha na wameru wamekuwa kama Israel na Palestina.
Haya yote yameletwa na wapelestina.

Haya , Magufuli amekuja na staili yake ya kutaka mkoa wa CHATo na baadae iwe jiji, nashangaa anagawa mikoa badala ya kupata umoja, unagawa mikoa minne iwe mkoa wa CHATO, hao watu wa Chato REgion watakuwa wahaya, wasukuma ama warwanda?

Haya mambo kesh utaskia Upare ijitenge na Moshi, huu ni ukabila alafu hapo .

Msifurahie mambo ya kugawa mikoa, ni ukabila mkubwa sana, huu umeletwa awamu ya nne natano, tusikubali kugawana kidogo kilichopo.

Waligawa manyara kusema eti maendeleo karibu na wananchi, them hao wananchi wamepata maendeleo gani?

wanasiasa ni wapuuzi sana.

Na mikoa ya Iringa, Rukwa na Ruvuma iliundwa mwaka gani? Na hakuna mkoa unaoitwa Sumbawanga!
 
Kama hujui historia ya nchi hii bora ungefanya utafiti kwanza. Nani alikwambia kwamba Tanganyika ilikuwa na majimbo 10 wakati tunapata uhuru ? Ngoja nikusaidie ni hivi, kabla ya mwaka 1959 Tanganyika ilikuwa majimbo 8 nayo ni 1. Jimbo la ziwa 2. jimbo la Magharibi 3. Jimbo la kati 4. Jimbo la Tanga 5. Jimbo la Kaskazini 6 Jimbo la kusini 7. Jimbo la Mashariki 8. Jimbo la nyanda za juu kusini. Mwaka 1959 jimbo la ziwa liligawanywa na kupata jimbo jipya la Ziwa Magharibi, hivyo kuifanya nchi kuwa na majimbo 9 hadi tunapata uhuru mwaka 1961. Kwa taarifa yako mwaka 1974 Nyerere aliunda mikoa mitatu ambayo ni Dar es salaam, Lindi na Rukwa. Mkoa wa Manyara uliundwa wakati wa Mkapa na mikoa ya Geita, Njombe, Katavi, Simiyu na Songwe imeundwa wakati wa Utawala wa Kikwete. Upo hapo ?

Upo sahihi kabisa!
 
MWAKA 1966 NYERERE aliunda mikoa 15 nayo ni:-
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Pwani .
4. Dodoma
5.Tanga
6. Kigoma
7. Mara
8. Mbeya
9. Morogoro
10 .Mwanza
11. Ruvuma
12.Shinyanga.
13. Singida
14 Tabora
Tuambie nani aliiunda mikoa ya;
  1. Iringa
  2. Dar
  3. Mtwara
  4. Lindi
  5. Rukwa
  6. Kagera
 
Na mikoa ya Iringa, Rukwa na Ruvuma iliundwa mwaka gani? Na hakuna mkoa unaoitwa Sumbawanga!
Mkoa wa Rukwa makao makuu Sumbawanga. Wakati unaundwa mkoa huu mwaka 1974 walichukua wilaya ya Mpanda iliyokuwa mkoa wa Tabora na wilaya ya Sumbawanga iliyokuwa mkoa wa Mbeya ukaundwa mkoa wa Rukwa na makao Makuu ya mkoa huo yalikuwa Sumbawanga.
 
Ukiona limwanasiasa linapigania kugawa nchi Jua Halina uwezo!!! JKn angeweza kufanya butiama mkoa!!!! BWM angeweza kufanya masasi mkoa!!! JK angeweza kufanya chalinze mkoa!!! Hawajufanya
 
Ukiona limwanasiasa linapigania kugawa nchi Jua Halina uwezo!!! JKn angeweza kufanya butiama mkoa!!!! BWM angeweza kufanya masasi mkoa!!! JK angeweza kufanya chalinze mkoa!!! Hawajufanya
 
Tufanye kila kijiji kiwe mkoa
Kuundwa mikoa mipya kadri muda unavyokwenda zipo faida zake. Sisi wa Ngara tunaijua faida ya mkoa wa Chato. Utakuwa karibu kwetu kulinganisha na mwendo wa kuitafuta Bukoba mjini.

Ukiiongelea mikoa ukiwa Dar huwezi kuelewa hii mikoa mipya inakwenda kuongeza kitu gani kipya. Ni mpaka uwe mwenyeji wa sehemu husika ndio utaelewa.

Inaongezeka mikoa, lakini lugha ya taifa inabakia ile ile kiswahili na muingiliano wetu wa kimakabila ni ule ule wa siku zote.
 
Tukisema kila kanda itumie resources zake vipi
 
Kama jambo haliathiri maendeleo ya jamii na wanajamii hata kama watasema kila wilaya iwe mkoa it's ok. Hatujengi nchi jirani tunajenga Tanzania..
images.jpg
 
USA wanatumia serikali za counties na majimbo kujiamulia mambo mengi ya maendeleo ya wananchi husika wakati Tz serikali kuu ndio ina maamuzi ya maendeleo ya kila mkoa, kwa Tz kusogezwa karibu na hizi ofisi ni nafasi ya kusogeza huduma za kijamii, Hospitali, shule na kila kitu vitajengwa tena.
Bado hoja yako haina mashiko, kwa nini usipiganie maendeleo yapelekwe wilayani na kwenye kata ambako ndiyo jirani na watu? Asilimia 85 ya watanzania wako vijijini, hivyo huduma muhimu ziwafuate huko badala ya wao wazifuate huko mikoa ni. Mimi naweza kwenda likizo kijijini Moshi na nikamaliza likizo yote bila ya kwenda Moshi mjini kwa sababu huduma muhimu pale Kijijini na kwenye kata zinapatikana.
 
Naona kuna sababu za kisiasa zaidi(udhibiti)kuliko maendeleo juu ya umegaji wa mikoa.
 
Pole sana, Tanganyika wakati tunapata uhuru ilikuwa na Majimbo tisa, siyo manane kama unavyotaka kudanganya. Yalikuwa majimbo manane kabla ya mwaka 1959. Ilipofika mwaka huo Jimbo la Ziwa liligawanywa na kupata jimbo la Ziwa magharibi na kufanya nchi kuwa na majimbo tisa hadi uhuru wa Tanganyika mwaka 1961. Aidha, mwaka 1974 wakati wa utawala mwl Nyerere iliundwa mikoa ya Lindi baada ya kugawa mkoa wa Mtwara, Dar es Salaam baada ya kugawa mkoa wa Pwani Rukwa baada ya kuchukua Mpanda toka Tabora na Sumbawanga toka Mbeya.
umenogesha jukwaa na kuendeleza nilichoandika, sasa nakukubali sema lugha umetumia ya mbagala magengeni.
 
Mimi nashangaa huwezi sikia Marekani wanayagawa majimbo yao.Sababu ya kugawa mikoa zimekaa kisiasa zaidi yaani wagawe kisha watawale.Eti huduma ziwe karibu na wananchi wakati gharama za uendeshaji zinaongezeka hii ni akili mufilisi kabisa.Kwa taarifa yenu wazungu wanafurahia sana tunayoyafanya.
Jimbo la Texas la marekani ni kubwa sawa na nusu ya Tanzania lakini maendeleo yapo.
Waafrika tutazidi kutwaliwa tu.Hivi mnafikikiri kwanini wazungu hawataki United States of Africa? aliyokuwa anaitaka Ghadhafi na ndio maana wakamuua.Mtoa post ahsante kuona hilo na post yako nzuri
 
Back
Top Bottom