Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

Umeanza vizuri ila ulipoleta habari za ukabila nimekuona wewe ni jaji mfawidhi wa milembe.
 
Mikoa iongezwe napongeza wote wanafanikisha mikoa kuongwezwa maana inachochea maendeleo na huduma karibu, watu wa vijijini hajachamka kabisa na shughuli zao nyingi ni za uvivu kadili muda unavyoenda shughuli za kulipa kodi na kulipia huduma wanategemea watu wa mjini hata kulima siku hizi hawalimi mazao ya kuuza zaidi ya mazao ya kula na mazao ya kuuza wanasubiri watu wa mjini waende wakalime, mikoa ikiongezwa huko vijijini nyumba zitajengwa na huduma zinazoingiza vipato na kuhimiza watu wafanye kazi zitafika maana shughuli za kimkoa zitafanyika kwa viwango vya juu na tutapunguza watu kulindikana sehemu moja ambampo ni mjini kwa kazi za ajabu ajabu ambazo zinaleta umasikini na soga vijiweni.
 
Hakuna lolote lililojificha kuhusu ubaya wa Magufuli katika kufanya mambo kama haya.

Magufuli hakuwa kiongozi wa kuwaunganisha raia; ilikuwa ni kama raha kwake kuona mifarakanyo ndani ya jumuia!
Kazi ya kuunganisha raia waliifanya kina Nyerere miaka ya Awamu ya kwanza yeye kazi yake ilikuwa kuifungua nchi ili marais wanaofuatia wapate urais wa kukuza uchumi.
 
unagawa mikoa minne iwe mkoa wa CHATO, hao watu wa Chato REgion watakuwa wahaya, wasukuma ama warwanda?
Huu ni ujinga uliopita kiasi. Tangu lini ugawaji wa mikoa au wilaya unafanywa kwa kutumia kigezo cha kuhesabu makabila? Mtu mzima ovyo, mkabila mkubwa!
 
Kazi ya kuunganisha raia waliifanya kina Nyerere miaka ya Awamu ya kwanza yeye kazi yake ilikuwa kuifungua nchi ili marais wanaofuatia wapate urais wa kukuza uchumi.
Kubomoa misingi yote ya watu kuwa na mahusiano mazuri kati yao wewe unayaita "kukuza uchumi"?Mbona unapenda sana kujidhalilisha na mawazo ya namna hii!
 
Kama ni hivyo kila wilaya iwe mkoa sasa
Kuundwa mikoa mipya kadri muda unavyokwenda zipo faida zake. Sisi wa Ngara tunaijua faida ya mkoa wa Chato. Utakuwa karibu kwetu kulinganisha na mwendo wa kuitafuta Bukoba mjini.

Ukiiongelea mikoa ukiwa Dar huwezi kuelewa hii mikoa mipya inakwenda kuongeza kitu gani kipya. Ni mpaka uwe mwenyeji wa sehemu husika ndio utaelewa.

Inaongezeka mikoa, lakini lugha ya taifa inabakia ile ile kiswahili na muingiliano wetu wa kimakabila ni ule ule wa siku zote.
 
Tufanye kila wilaya iwe mkoa
Ni shida sana, ilivyoletwa kigamboni na ubungo watu hawakulalamika, Ila kuundwa Chato itakuwa ni ukabila!!

Wengi huwa wanaongea wasichokijua kwa undani, from Kakonko mpaka Ujiji ni masaa 5, from Kakonko to Chato almost masaa 2 na nusu, sawasawa na watu wa ngara, mtu anatoka Kabanga anaenda Bukoba mjini kwa shida ya kimkoa watu hawaoni haya!

Moa wa Shinyanga ilikuwa si mkubwa sana by then lakini namna ulivyokuwa umekaa ilikuwa shida wakaamua kuugawa, Arusha pia ikazaa manyara, Rukwa ikazaa katavi, mikoa iliyobaki ni Tabora na Morogoro, mtu yuko Malinyi na ulanga anakuja Morogoro mjini safari ya masaa zaidi ya 8, ndani ya mkoa mmoja.

Katika kuundwa mikoa tunaamini serikali unaona umuhimu wake ndio maana wanaona waongeze eneo kiutawala
 
Hakuna ubaya kugawa mikoa kama itarahisisha kupeleka huduma za kijamii karibu zaidi kwa wananchi, cha muhimu kusiwe na upendeleo tu, bado Morogoro na Tabora kuna uhitaji wa kuigawa zaidi ili kuwasogezea huduma wananchi.
Hivi bila kugawa mikoa huduma hazisogei!?? Manyara imetengwa na Arusha nini cha maana kimefanyika!??
 
Yan magu angekua Rais kwa miaka 10 na ili mingine ndungai na kundi lake waliotaka aongezewe hii nchi ingekua kitu cha ajabu sana
Ndio maana sisi "tusio na dini " ytunasema Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Yesu lihimidiwe!
Kama Tanzanite ilishauzwa Rwansda, yote , hivi angefika 2025 si hata Dar ingeshauzwa?
 
Ukweli kabisa Majimbo yalituunganisha na kuwa wamoja kwani Jimbo moja lilikuwa na Makabila zaidi ya matatu. Sasa hii mikoa ukiitaja tu haraka haraka unapata hisia ya Kabila fulani hapo.
ambapo JIWE na wenzake waroho wa madaraka ndio walikuwa wanatupeleka huko.
 
Hivi bila kugawa mikoa huduma hazisogei!?? Manyara imetengwa na Arusha nini cha maana kimefanyika!??
Hili swali linatakiwa waulizwe warogho wa madaraka, yaani hii nchi kuna vichaa wachache wanatupelekesjha, :
Eti huduma,
 
Ndo vizur , ifikie hatua tuje tugawane kila mtu chake , ili kudhalilishana kikabila kupungue ..... Ili tuone ukanda gani utaumia , mana sasa inaonekana hii nchi ni ya watu Fulani , wakikosekana serikalin wanaumia
SUKUMA GANG walikuja kwa nguvu sana , Saa hii "remote ya Msoga " inasambaratisha huo mtandao wa SUKUMA GANG.
 
Ombi la kuwa na Mkoa wa Chato tulilisikia wakati wa Msiba wa JPM na halikuwasilishwa na Serikali bali Wananchi. Kama ni zuri au baya, tuwaachie wataalam wa Serikali waamue. Otherwise ni umbea na kueneza chuki.
Wananchi walipiga kelel kuomba Mkoa? Pumbav kabisa!
Eti wananchi wakati JIWE alishaanza kujenga hospital, makao makuu VETA, Burigi, Mataa ya kuvukia punda, uwanja wa ndege ambao kwa sasa wanataka kuanikia nafaka, hortel ya nyota 5, na makao makuu ya utalii kanda ya ziwa, the autangaze kuwa mkoa na aufanyejiji na kuua GEITA, Watanganyika si wajinga mjue ninyi SUKUMA GANG.
 
Binafsi nisingekuwa na tatizo kama mikoa mipya ingetokea Morogoro, Tabora au Pwani.
Tena Morogoro unapatikana mkoa huko wa Kilombero, Ifakara, Malinyi, Mbingu, Ngeta, Mlimba...wala hauibi wilaya wala eneo la mikoa mingine.
Hakuna mgogoro wakati wa ugawaji wa mipaka. Kunakuwa na migogoro ya ardhi katika hili zoezi la umegaji ardhi.

Ila Chato aisee hapana! Hii nchi yetu sote

Everyday is Saturday............................... 😎
pwani , moro na Tabora igawiwe ili nini?

Upumbavu tu na kutengeneza nafasi za kisiasa.
mimi ningekuwa mwansiasa nikiingia madarakani narudisha mikoa inakuwa 10 tu na ukabila unakufa.

Leo ukigawa mkoa wa kilimanjaro, unapata mkoa wa Pare na Chagaa, kesho upare watadai hawa waSame na hawa mwanga, watagawana tena, ni upumbav tu.
 
pwani , moro na Tabora igawiwe ili nini?

Upumbavu tu na kutengeneza nafasi za kisiasa.
mimi ningekuwa mwansiasa nikiingia madarakani narudisha mikoa inakuwa 10 tu na ukabila unakufa.

Leo ukigawa mkoa wa kilimanjaro, unapata mkoa wa Pare na Chagaa, kesho upare watadai hawa waSame na hawa mwanga, watagawana tena, ni upumbav tu.
Wacha tugawane cake ya taifa ifikie na makabila wasiotegemea kuushika urais.
Wagawe mikoa kwa kigezo kile kile cha huduma kufikia wananchi kwa ukaribu.
Mwanza iligawanywa kuwa Geita na Mwanza, kabla hawajagawanya zaidi eneo moja, waangalie na hii mikoa ambayo ni mikubwa kuliko Geita na haijawahi kutoa Rais wa kuipigia chapuo igawanywe, basi waigawe hii mikoa kwanza.

Unaruhusiwa kunihukumu bali huruhisiwi kunitusi, tupingane hoja siyo kuzidiana matusi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom