History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

kijana mwenye ukakasi kama @ukwaju, Tatizo lako wewe na huyo mwenzako @kiranga ni Elimu ndogo! na bahati mbaya mnajifanya MNAJUA!

Na hili ndio tatizo linalowakuta wengi mno wa namna yenu!


Nadhani nimeshatoa darasa huko nyuma kuhusu KUWEPO KWA MUNGU! Na nikarudia mara kwa mara kuwafahamisha kanuni za kujua Mambo kama hayo. na hapa NTARUDIA TENA, manake mwalimu hachoki kufundisha.!

Mantiki ya dhana ya Mungu


Swali langu la kwanza kwenu nyie litakuwa: "Ni nini maana ya Mungu ?" Kwa mtu kusema hakuna Mungu, Unapaswa kujua nini maana ya Mungu.

Kama mimi nikishikilia kitabu na kusema kwamba 'hii ni kalamu', kwa mtu Mwingine kusema, 'Hio si kalamu', anapaswa kujua ufafanuzi wa kalamu ni KITU GANI, hata kama yeye hajui wala uwezo WA kutambua kitu hicho kilichoko katika mkono mwangu hana! Kwa yeye kusema hii si kalamu, anapaswa angalau kujua japo MAANA YA kalamu.

Vile vile kwa WEWE au hao wasio na elimu kina @kiranga kusema 'hakuna Mungu', mnapaswa angalau kujua JAPO MAANA ya Mungu. NA Dhana ya kuwepo Mungu itakuwa inatokana na mazingira mnayoishi nyie wenye kupinga kuwepo kwake.


Kila kitu ktk Huu ulimwengu ili wewe na mimi tupate kukijua au kukielewa au kukitekeleza basi lazima tufuate KANUNI YAKE.MAALUM !

na KILLA KITU KINA KANUNI.

Ntakupa mifano hapa!

1. UKITAKA UGALI lzm upate UNGA NA ukitaka unga sharti utwange au usage nafaka, na ili upate nafaka sharti upande mbegu kwenye ARDHI YENYE RUTUBA.

2 UKITAKA KUFAHAMU jumla ya namba, mfano 2 na 2 zinakuwa ngapi! basi sharti UTUMIE HESABU, LA SI HIVYO HUWEZI KUPATA JIBU.

3. Na ili wewe @ukwaju na huyo @kiranga mpate nguvu ya kuja hapa jukwaani kutumwagia mapovu, basi LAZIMA MLE CHAKULA! na msipokula HAMTOPATA NGUVU, na matokeao yake mtapoteza maisha!

SASA Kutokana na mifano hio michache hapo juu, ntajaribu kuwafundisha KANUNI IPI IFUATWE ILI MUWEZE KUMFAHAMU MUNGU NI NANI!

Naomba nikufahamishe kitu kimoja. kama mjuavyo kuwa MIMI NI MUISLAMU. Na ntajaribu kukuelimisheni kupitia ISLAMIC CONCEPT OF WHO GOD.

Kabla ya Kukimbilia kujiuliza MUNGU NI NANI, AU YUKO WAPI n.k Sharti tujiulize JE! NI NANI ALIYENIAMBIA MIMI KUWA KUNA MUNGU??

Manake kila mwenye imani ya KUWEPO KITU CHOCHOTE, Basi kuna chanzo ambacho Kimelezea kuwa Kile kitu au sehemu kuwa ipo, au kipo!

Tulipoambiwa kuwa ULIMWENGU WETU NI MDUARA WA umbo la yai! Cha kwanza tulichofanya ni kujiuliza je! nani kayasema haya?? na je! wana credibility gani hao waliosema hayo?? na baada ya kuwasoma hao wanasayansi na kuangalia ni namna gani wameelezea huo ugunduzi wao, Basi kwa kutumia AKILI ZETU pamoja na utafiti wa namna tofauti Tukaja kwenye HITIMISHO KUWA KWELI DUNIA YETU INA UMBO KAMA YAI!

Sasa kwa mimi Muislamu, Sehemu ilionifahamisha kuwa MUNGU YUPO NI QURAAN. Kitabu ambacho kwa mujibu wa HISTORIA kinadaiwa kuwa ni maneno ya MUNGU yaliopitia kwa Mtu mmoja aitwae MOHAMMAD IBN ABDILLAHI{s.a.w} aliyezaliwa huko bara ARAB miaka 1500 na kidogo iliyopita!ambae alidai kuwa yeye ni MTUME WA MUNGU!

Sasa kwa kufuata ile KANUNI ya UHAKIKI jambo la kwanza ni KUFANYA UPEKUZI WA KINA KUHUSU HIO QURAAN,!JE!HIO QURAAN KWELI NI MANENO YA MUNGU??

Tukisharidhika na hilo, Then SIDHANI KAMA TUTAKUWA NA HAJA YA KUCHUNGUZA MENGINE ZAIDI, manake kama tukiridhika na hilo, moja kwa moja tutakubali kuwa KILA LISEMWALO HUMO LITAKUWA LIMETOKA KWA HUYO AMBAE tunajiuliza kama yupo, au hayupo.

LKN kama pia hukuridhika sana unaweza pia Kumchunguza huyo MUHAMMAD! JE ni kweli anachodai KUWA YEYE NI MTUME??

Sisi binaadamu wa sasa ambao Tumebahatika kuishi ktk karne ya sayansi na teknologia mambo yetu mengi tumekuwa tukitumia KANUNI za kisayansi ktk KUYAHAKIKI.

imefikia kipindi sasa hata ile nyanya pia tunatumia kanuni za sayansi ili tujue faida zake na hasara zake.

SASA BASI, Hebu tujaribu KUTUMIA KANUNI HIZO HIZO kutazama UWEZEKANO WA HIO QURAAN KUWA NI KITABU AU MANENO YA MUNGU.

Nadharia{kanuni} ya uwezekano au THEORY OF PROBABILITY.


Katika hisabati kuna nadharia inayojulikana kama ' nadharia ya uwezekano .Ambayo inakwenda kama hivi.

Kama una chaguzi mbili, ambayo moja ya SAHIHI, na moja ni SI sahihi, nafasi ya kuwa wewe utachagua moja sahihi ni nusu , yaani mmoja kati ya wawili watakuwa sahihi . Una 50 % nafasi ya kuwa sahihi.

Vile vile kama wewe utarusha sarafu juu, na ukaamua kuchagua upande wowote, nafasi ya wewe kuwa sahihi ni 50% (1 nje ya 2 ), yaani 1/2.

Kama utarusha sarafu mara ya pili, nafasi ya wewe kuwa utakuwa sahihi mara zote mbili INAPUNGUA KWA NUSU TENA yaani (1/ 2 x 1/2) ambayo ni sawa na 1/4 yaani 50% ya 50% ambayo ni sawa na 25%.

Kama utarusha sarafu mara ya tatu, nafasi ya wewe kuwa utakuwa ni sahihi mara zote tatu inapungua tena na inakuwa ni (1/2 x 1/ 2 x 1/2) kwamba ni 1/8 au 50% ya 50% ya 50% kwamba ni 12 ½% .



mfano wa pili wa nadharia ya UWEZEKANO.

Ukichukua kete yenye pande sita . Kama ukitupa kete na ukadhani idadi yoyote kati ya 1 hadi 6, nafasi ya kuwa dhana yako itakuwa sahihi ni 1/6 . Kama utatupa kete mara ya pili, nafasi ya wewe kuwa sahihi katika mara zote mbili ni (1/6 x 1/ 6) ambayo ni sawa na 1/36 .

Kama utatupa kete mara ya tatu, nafasi ya wewe kubahatisha mara zote tatu na ukawa sahihi ni (1/6 x 1/ 6 x 1/6) ni sawa na 1/216 ambayo ni chini ya 0.5%.






Hebu sasa TUIINGIZE HII nadharia hii ya uwezekano KTK Qur'an , na tudhani tu kuwa MOHAMMAD ALIBAHATISHA taarifa zote zilizotajwa katika Qur'an ambayo ilikuwa haijulikani wakati huo.

Hebu tujadili uwezekano wa kubahatisha kwoote huko KULIKO TAJWA ndani ya QURAAN kulikuwaje wakati huo huo kuwa sahihi mara ZOTE?? .



1.Wakati Qur'an ilinafunuliwa , watu walidhani dunia ilikuwa TAMBALALE, kuna chaguzi nyingine kadhaa kwa ajili ya kuitafakari sura ya dunia. wengine walisema Inaweza kuwa pembe tatu, inaweza kuwa quadrangular , pentagonal , hexagonal, heptagonal , octagonal , spherical, nk na kule kudhani kwao kuhusu sura na umbo la dunia kulikuwa na chaguzi mbalimbali 30.

Qur'an imeeleza Sawa sawa 100% kuwa Dunia ni spherical, ikiwa ni dhana peke yake basi nafasi ya dhana hii kuwa sahihi ni 1/30 .



2. Mwanga wa mwezi unaweza kuwa mwanga wake mwenyewe au mwanga unao akisi .

Qur'an imesema Sawa Sawa kuwa ni mwanga ulio akisiwa. Kama ni dhana peke yake , basi nafasi ya kuwa itakuwa ni sahihi ni 1/2.

na uwezekano kwamba quraan imeweza KUBAHATISHA vyote hivyo, yaani nchi ni spherical na mwanga wa mwezi ni mwanga yULIOAKISIWA ni 1/30 x 1/ 2 = 1/60 .



3. Zaidi ya hayo, Qur'an pia anataja kila kilicho hai chanzo chake ni MAJI. . Kila kilicho hai Kinawezakana kuwa na vyanzo vingi kama miti, mawe, shaba, aluminiam, chuma, fedha , dhahabu , oksijeni, nitrojeni, hidrojeni, mafuta , maji, saruji, , nk chaguzi hizi tumejifunza ktk HISTORI zimetajwa chaguzi zaidi ya 10,000.! ambazo watu walidhani ni nini chanzo cha UHAI.

Qur'an Sawa Sawa inasema kwamba kila kitu kilicho hai Basi CHANZO CHAKE NI maji. Kama ni DHANA nafasi ya kuwa itakuwa ni sahihi ni 1/10, 000.

na uwezekano wa Quraan KUBAHATISHA VYOTE VITATU yaani nchi ni spherical, mwanga wa mwezi ni mwanga ULIOAKISIWA na kila kitu KILICHO HAI Kitokana na maji kuwa sahihi ni 1/30 x 1/2 x 1/ 10, 000 = 1/ 60, 000 ambayo ni sawa na kusema 0.0017 %.



Qur'an inazungumzia kuhusu mamia ya mambo ambayo hayakujulikana kwa Mtu yoyote wakati wa ufunuo wake na tunashuku MUNGU leo sayansi imetusaidia kuyaona yale YALIOTAJWA KTK QURAAN MIAKA ZAIDI YA 1500 ILIOPITA!!.

The quraan speaks about hundreds of things that were not known to men at the time of its revelation. Only in three options the result is 0.0017!

i leave it up to you @ukwaju along with your partner @kiranga to work out the probability if all THE HUNDREDS OF UNKNOWN FACTS WERE GUESSES, The chances of all of them being guesses simultaneously and there being NOT A SINGLE ONE HAPPEN TO BE A WRONG GUESS.

It is beyond HUMAN CAPACITY to make all correct guesses without a single mistakes.

which itself is SUFFICIENT TO PROVE TO A LOGICAL PERSON THAT THE ORIGIN OF QURAAN IS DEVINE.



SASA bwana @ukwaju na huyu anaepinga MUNGU bila elimu @kiranga.
KAMA MMELEWA HILO SOMO HAPO JUU.

Tutaendelea na darasa la pili. na kama unaswali unakaribishwa kuuliza.


cc @polite @mipangomingi @wabara @khawarizm @ngongoseke @ritz @the big show @mdau35
mkuu tumekutana tena kwenye huu uzi wa kiranga, japo umeanza kwa povu jingi sana mpaka nikashindwa kujua kama kuna kitu uatsema hapa. kitu nachoweza kusema ni kuwa historia ya dunia inaeleza kuwepo kwa watu ambao ni exceptional kwa wakati wao. baadhi ya sources zinawataja jesus(power of faith), galileo(rotation of the earht), Darwin(fittest survive & theory of evolution)katika miaka ya zamani palipokuwa hakuna any advanced technology.

katika miaka ya karibuni kuna mtu anaitwa Albert Eistein aliyekuja na time travel(theory ya relativity ) pia ikumbukwe huyu jamaa aliweza kukosoa baadhi ya makosa ya Sir Isaac Newtons katika sayansi lakini mawazo aliyowaza mpaka leo kuhusu time travel yanaheshimika kwani anaonekana alikuwa juu sana kitechnolojia wakati ule, kulingana na sayansi ya wakati huu inavyothibitisha lakini hakuhubiri injili wala kutoa kitabu cha dini ama kujiita mungu. kitu nachotaka kusema hapa ni kuwa mtu anaweza kuzaliwa zamani lakini akawa ana kitu cha ziada cha kweli ambacho kinaweza kisikubaliwe wakati wake na kikasubiri mpaka karne zijazo na kuthibitishwa validity yake kisayansi.

mfano huku afrika kuna madai kuwa wazee wetu walikuwa hawataki ndugu kuoana wakidai ni janga lakini umekuwepo ushahidi wakisayansi kuwa inbreeding inaweza kupelekea inbreeding depression ambapo inapunguza ubora wa watoto wanaozaliwa kwa maana kuwa wanaweza kuzaliwa vilema. hapa inawafanya baadhi ya waafrika kuamini kuwa mababu zetu walikuwa wakizungumza na mizimu hivyo waanaamini mizimu ilikuwa sahihi. fahamu pia mababu waliweza kutabiri mvua, na mambo mengine hii haiwafanyi wao kuwa miungu ama kujua mungu.


hivyo kuwa na maandiko ama ushahidi wa zamani na kusema ni kweli na una upako sio lazima kwani hilo ni jambo linaloweza kumkuta mtu katika kipindi chake na lisiwe na uhusiano wowote na mambo yoyote yahusuyo mungu per se.
 
mkuu tumekutana tena kwenye huu uzi wa kiranga, japo umeanza kwa povu jingi sana mpaka nikashindwa kujua kama kuna kitu uatsema hapa. kitu nachoweza kusema ni kuwa historia ya dunia inaeleza kuwepo kwa watu ambao ni exceptional kwa wakati wao. baadhi ya sources zinawataja jesus, galileo, katika miaka ya zamani palipokuwa hakuna any advanced technology.
katika miaka ya karibuni kuna mtu anaitwa Albert Eistein aliyekuja na time travel(theory ya relativity ) pia ikumbukwe huyu jamaa aliweza kukosoa baadhi ya makosa ya Sir Isaac Newtons katika sayansi lakini mawazo aliyowaza mpaka leo kuhusu time travel yanaheshimika kwani anaonekana alikuwa juu sana na technolojia ya wakati ule kulingana na sayansi ya wakati huu. kitu nachotaka kusema hapa ni kuwa mtu anaweza kuzaliwa zamani lakini akawa ana kitu cha ziada cha kweli ambacho kinaweza kisikubaliwe wakati wake na kikasubiri mpaka karne zijazo na kuthibitishwa validity yake. hivyo kuwa na maandiko ama ushahidi wa zamani na kusema ni kweli na una upako sio lazima kwani hilo ni jambo linaloweza kumkuta mtu katika kipindi chake na lisiwe na uhusiano wowote na mambo yoyote yahusuyo mungu per se.

Point muhimu sana.

What if in a thousand years, watu watacheka imani ya kuwepo kwa mungu kama leo tunavyocheka waliofikiri kwamba dunia ni ubapa na si duara?
 
Una point broo.. Tunaoamini Uwepo wa Mungu tunaamini pia free will kuamini uwepo wake na kumfuata.. 🙂🙂🙂
 
mkuu tumekutana tena kwenye huu uzi wa kiranga, japo umeanza kwa povu jingi sana mpaka nikashindwa kujua kama kuna kitu uatsema hapa. kitu nachoweza kusema ni kuwa historia ya dunia inaeleza kuwepo kwa watu ambao ni exceptional kwa wakati wao. baadhi ya sources zinawataja jesus(power of faith), galileo(rotation of the earht), Darwin(fittest survive & theory of evolution)katika miaka ya zamani palipokuwa hakuna any advanced technology.

katika miaka ya karibuni kuna mtu anaitwa Albert Eistein aliyekuja na time travel(theory ya relativity ) pia ikumbukwe huyu jamaa aliweza kukosoa baadhi ya makosa ya Sir Isaac Newtons katika sayansi lakini mawazo aliyowaza mpaka leo kuhusu time travel yanaheshimika kwani anaonekana alikuwa juu sana kitechnolojia wakati ule, kulingana na sayansi ya wakati huu inavyothibitisha lakini hakuhubiri injili wala kutoa kitabu cha dini ama kujiita mungu. kitu nachotaka kusema hapa ni kuwa mtu anaweza kuzaliwa zamani lakini akawa ana kitu cha ziada cha kweli ambacho kinaweza kisikubaliwe wakati wake na kikasubiri mpaka karne zijazo na kuthibitishwa validity yake kisayansi.

mfano huku afrika kuna madai kuwa wazee wetu walikuwa hawataki ndugu kuoana wakidai ni janga lakini umekuwepo ushahidi wakisayansi kuwa inbreeding inaweza kupelekea inbreeding depression ambapo inapunguza ubora wa watoto wanaozaliwa kwa maana kuwa wanaweza kuzaliwa vilema. hapa inawafanya baadhi ya waafrika kuamini kuwa mababu zetu walikuwa wakizungumza na mizimu hivyo waanaamini mizimu ilikuwa sahihi. fahamu pia mababu waliweza kutabiri mvua, na mambo mengine hii haiwafanyi wao kuwa miungu ama kujua mungu.


hivyo kuwa na maandiko ama ushahidi wa zamani na kusema ni kweli na una upako sio lazima kwani hilo ni jambo linaloweza kumkuta mtu katika kipindi chake na lisiwe na uhusiano wowote na mambo yoyote yahusuyo mungu per se.


Kwanza nikufahamishe tu.kuwa HUU SIO Uzi wa huyo asie na elimu.

Pili Nadhani hukuelewa kitu gani nimejaribu kuelekeza hapo juu!
Nakushauri usome tena.

Huwezi kulinganisha watu waliokuwepo wakati wa uhai wa hao Mitume na sisi wa karne hii.

Wale watu kwa mujibu wa scriptures waliona miujiza na waliishi na hao Manabii.

Sisi tuna relying purely on Scriptures along with scientific evidences!

Sasa kama ukipata combination ya evidence along with a bit of Faith you will go along way!

Sio hao wana bwata bila elimu wa reasons zinazo ingia akilini!

Unajitu zima linakwambia Mungu hayupo! Ukiuliza eti huyo unaesema hayupo ni nani hasa!? Jibu hupati.!

Halafu mtu anapoteza wakati wake kutuletea vitu vinavyoitwa "THEORIES"
Na mtu mzima na akili yake timam mpaka anakufa anaamini kuwa yeye na nyani ni mtu na mjomba wake!
 
Point muhimu sana.

What if in a thousand years, watu watacheka imani ya kuwepo kwa mungu kama leo tunavyocheka waliofikiri kwamba dunia ni ubapa na si duara?
Kiranga mi naona Jamaa hapo juu ameelezea vizuri. Tatizo hamekosea tu sehemu moja ambayo wewe waitaka

Hivyo vigezo walivyotumia kusema kuwa Hiki ni kitabu cha Mungu na Huyu Muhammad ni Mtume wake ndo wewe wavitaka..

Conclusion inabaki pale pale kwamba hawakutumia vigezo vyovyote vile. Bali waliamini tu bali hawakujua.. maana watu wa zamani walichokiona kwenye Quran hawajawahi kukiona maishani mwao ni kitu kipya. Sawa na sisi hapa kwamba Tukiona UFO huko hewani tunaamini ni ALLIENS na wengine wanaamini ni Ishara za Mungu na wengine wanasema ni miungu.

Kwahiyo jamaa alichokisema hapo juu ni kitetea tu imani si kuhakikisha asemacho ni Kweli.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nikufahamishe tu.kuwa HUU SIO Uzi wa huyo asie na elimu.

Pili Nadhani hukuelewa kitu gani nimejaribu kuelekeza hapo juu!
Nakushauri usome tena.

Huwezi kulinganisha watu waliokuwepo wakati wa uhai wa hao Mitume na sisi wa karne hii.

Wale watu kwa mujibu wa scriptures waliona miujiza na waliishi na hao Manabii.

Sisi tuna relying purely on Scriptures along with scientific evidences!

Sasa kama ukipata combination ya evidence along with a bit of Faith you will go along way!

Sio hao wana bwata bila elimu wa reasons zinazo ingia akilini!

Unajitu zima linakwambia Mungu hayupo! Ukiuliza eti huyo unaesema hayupo ni nani hasa!? Jibu hupati.!

Halafu mtu anapoteza wakati wake kutuletea vitu vinavyoitwa "THEORIES"
Na mtu mzima na akili yake timam mpaka anakufa anaamini kuwa yeye na nyani ni mtu na mjomba wake!

Sasa huku ni kupanic.. Kwan mtu lazima umwambie yeye ni jitu... sasa nani hana elimu hapa

Wewe ambaye una argue mpk unatukana ndo unasema una elimu? ?.. ukiona kama imani yako inaingiliwa sana na hupend watu waseme kuwa hakuna Mungu unaweza ukahama jukwaa tu


Watu wanaelimishana hapa...
 
Ndio zao hao wajifanyaga watu wa sir God, aka clean peole.

Hao mkuu usipoteze muda kulalama kwann wanatusi utajichosha bure mana ndio jadi yao.

Hawa ni kuwajibu kwa hoja za hekima na akili.
Wanaelewaga sema basi tu wanajifanya kushupaza shingo.
 
Sasa huku ni kupanic.. Kwan mtu lazima umwambie yeye ni jitu... sasa nani hana elimu hapa

Wewe ambaye una argue mpk unatukana ndo unasema una elimu? ?.. ukiona kama imani yako inaingiliwa sana na hupend watu waseme kuwa hakuna Mungu unaweza ukahama jukwaa tu


Watu wanaelimishana hapa...

Unapoweka comments za namna hii basi unatakiwa kutazama na comments za huyo niliemjibu. Na sio kutazama zangu tu na kutoa conclusion zako.

Au na wewe macho yako yanaona kama mwewe! (Upande mmoja).
 
Kiranga mi naona Jamaa hapo juu ameelezea vizuri. Tatizo hamekosea tu sehemu moja ambayo wewe waitaka

Hivyo vigezo walivyotumia kusema kuwa Hiki ni kitabu cha Mungu na Huyu Muhammad ni Mtume wake ndo wewe wavitaka..

Conclusion inabaki pale pale kwamba hawakutumia vigezo vyovyote vile. Bali waliamini tu bali hawakujua.. maana watu wa zamani walichokiona kwenye Quran hawajawahi kukiona maishani mwao ni kitu kipya. Sawa na sisi hapa kwamba Tukiona UFO huko hewani tunaamini ni ALLIENS na wengine wanaamini ni Ishara za Mungu na wengine wanasema ni miungu.

Kwahiyo jamaa alichokisema hapo juu ni kitetea tu imani si kuhakikisha asemacho ni Kweli.

Umapojaribu kupinga hoja ambazo zimeambatana na Scientific evidence basi ni kanuni ya kawaida kuleta zako zenye kanuni hio hio inayo ambatana na evidence!

Kutuletea myths za UFO na story za hao viumbe wenye vichwa vya blue. Hapo unageuza mdahalo kutoka kwa thinkers to story telling!

Nimetoa mifano chungu mzima kuhusu vitu au mambo ambayo hao wanaojiita atheist WANAYAAMINI ktk maisha yao ya kila siku na Ukiwauliza HAWAYAJUI.
Na nikaelezea kwa mifano hai.

Sasa cha kushangaza ni how hypocritical atheist are!

On one side wao wanakubali kuwa kuna vitu au mambo ambayo HUWEZI KUYAJUA bali Huna budi KUYAAMINI! lkn linapokuja suala la KUWEPO MUNGU kufuata ile.ile kanuni ambayo wanaitumia kwa mambo mengine HAWATAKI. wanachotaka ni KUJUA!

Sasa mtu kama huyo ukimwita kuwa hana elimu au jitu! Inakuwa HUJAMTUKANA bali umempa sifa yake.
 
Last edited by a moderator:
What went wrong in bracket! Mr know it all??

We huna elimu na kiwango chako cha kujenga hoja ni kidogo mno!

Maji yakifika shingoni always unapindisha mada kwa kutafuta typing errors au spelling mistakes!
As if baba yako anaitwa mr johnson.!

Na huo ni utumwa wa kiakili!
Jitu zima unakuja jukwaa na kuanza kijitangaza eti ulienda pata lunch karibu na Time square!

We mbeba box ukale lunch time square! Teh teh teh teh!

I! Mzaramo wa msata leo kaona ulaya. Maskini anatukana mpaka wazee wake! Na kuwaambia hadharani kuwa WALIKUWA WAJINGA! Na wamekufa na Dhana ya kuwa kuna Mungu! Kwa hivyo wao ni wajinga wasio na akili.


We ungekuwa na elimu ungejiita KIRANGA? ukifahamu ukifahamu kuwa maana yake ni "MANYEGE"?

Na ukisemacho ni kweli kabisa.!

Kila unapoongelea "mungu" nashindwa kumuelewa ni yupi hasa unaemtaja hapo..

Mimi always namuongelea "M"ungu.

Na nnapojadili na yyt kuhusu Mungu napendelea watu wenye elimu!
Na sio viruka njia wasiojua asili zao. Na wasio kuwa na haya mpaka inafikia kuwakashifu wazazi wake waliomzaa!

Kasome kwanza ndio uje kujadili kuhusu MUNGU!
otherwise stick of what you know best!
And that is .....mhhhh! NOTHING!!

Inawezekana kabisa kwamba sisi tunaohoji uwepo wa mungu hatuna elimu, lakini hii mipasho uliyobwabwaja hapa ndio elimu yenyewe hiyo unayosema hatuna? Jazba, ngiliba, mapovu, mipasho ndio "proof" ya uwepo wa mungu?

Mbona mistari aliyokuomba Kiranga ya uthibitisho wa hayo madai yako uliyoyatoa kwenye Quran hujayaleta, kwamba quran ilikua ya kwanza kusema dunia ina umbo la yai n.k, kitabu ambacho mwenyewe unasema kina takribani miaka 1500, are you serious?

Wewe unayetaka kutumia njia za kisayansi kuthibitisha myth ya uwepo wa mungu, hujui hata ni lini Galileo alisema nini kuhusu umbo la dunia?

Kalaghabao!F
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana kabisa kwamba sisi tunaohoji uwepo wa mungu hatuna elimu, lakini hii mipasho uliyobwabwaja hapa ndio elimu yenyewe hiyo unayosema hatuna? Jazba, ngiliba, mapovu, mipasho ndio "proof" ya uwepo wa mungu?

Mbona mistari aliyokuomba Kiranga ya uthibitisho wa hayo madai yako uliyoyatoa kwenye Quran hujayaleta, kwamba quran ilikua ya kwanza kusema dunia ina umbo la yai n.k, kitabu ambacho mwenyewe unasema kina takribani miaka 1500, are you serious?

Wewe unayetaka kutumia njia za kisayansi kuthibitisha myth ya uwepo wa mungu, hujui hata ni lini Galileo alisema nini kuhusu umbo la dunia?

Kalaghabao!F

Umeamua kuchagua jina la kireno!
Na nadhani unafahamu tabia za kireno! I say nothing!

Teh teh teh teh!

Nimekuwekea ushahidi wa kitabu chenye umri wa zaidi ya miaka 1500!
Kinakwenda sambamba na 21st Century technology!

Kuna hundreds of scientific proofs in the Quraan which could blow your mind!
All you need to do is READ THE QURAAN!

mara nyingi watu kama wewe na hao wenye midomo mirefu ya kupinga kuwepo Mungu 99% mnakuwa mmetoka ktk Christian back ground! Kama yule mwenzako anaejiita Kiranga!
Kwa maelezo yake mwenyewe Wazazi wake walikuwa Roman Catholic!
Sasa hapo ndipo matatizo yalipoanzia!
Hebu KASOMENI QURAAN kwanza! Halafu jaribuni kui challenge hio Quraan muone outcome yake!

Mkifanya hivyo atleast naweza kusema nyie MNAHAMU YA KUELIMIKA!
sasa mkuu ukiniletea habari za galileyo hapa sijui kama tutafika mbali na huu mdahalo.

Halafu hilo neno la mwisho naomba uandike kiswahili!
Sio.wote wajita au wakerewe humu jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Umeamua kuchagua jina la kireno!
Na nadhani unafahamu tabia za kireno! I say nothing!

Teh teh teh teh!

Nimekuwekea ushahidi wa kitabu chenye umri wa zaidi ya miaka 1500!
Kinakwenda sambamba na 21st Century technology!

Kuna hundreds of scientific proofs in the Quraan which could blow your mind!
All you need to do is READ THE QURAAN!

mara nyingi watu kama wewe na hao wenye midomo mirefu ya kupinga kuwepo Mungu 99% mnakuwa mmetoka ktk Christian back ground! Kama yule mwenzako anaejiita Kiranga!
Kwa maelezo yake mwenyewe Wazazi wake walikuwa Roman Catholic!
Sasa hapo ndipo matatizo yalipoanzia!
Hebu KASOMENI QURAAN kwanza! Halafu jaribuni kui challenge hio Quraan muone outcome yake!

Mkifanya hivyo atleast naweza kusema nyie MNAHAMU YA KUELIMIKA!
sasa mkuu ukiniletea habari za galileyo hapa sijui kama tutafika mbali na huu mdahalo.

Halafu hilo neno la mwisho naomba uandike kiswahili!
Sio.wote wajita au wakerewe humu jukwaani.

Thibitisha mungu yupo.

Kabla hujafanya hiki, hujafanya kitu.

Nioneshe wapi nilipoandika kwamba wazazi wangu walikuwa Roman Catholic.

Unaelewa unachoandika au unajiandikia tu?
 
Last edited by a moderator:
Una point broo.. Tunaoamini Uwepo wa Mungu tunaamini pia free will kuamini uwepo wake na kumfuata.. 🙂🙂🙂

Kuamini unaruhusiwa, hata kuamini kwamba mungu ni funza aliyepo mwenye mguu wa babu.

Kujua ni kitu tofauti, kunahitaji proof.
 
Umapojaribu kupinga hoja ambazo zimeambatana na Scientific evidence basi ni kanuni ya kawaida kuleta zako zenye kanuni hio hio inayo ambatana na evidence!

Kutuletea myths za UFO na story za hao viumbe wenye vichwa vya blue. Hapo unageuza mdahalo kutoka kwa thinkers to story telling!

Nimetoa mifano chungu mzima kuhusu vitu au mambo ambayo hao wanaojiita atheist WANAYAAMINI ktk maisha yao ya kila siku na Ukiwauliza HAWAYAJUI.
Na nikaelezea kwa mifano hai.

Sasa cha kushangaza ni how hypocritical atheist are!

On one side wao wanakubali kuwa kuna vitu au mambo ambayo HUWEZI KUYAJUA bali Huna budi KUYAAMINI! lkn linapokuja suala la KUWEPO MUNGU kufuata ile.ile kanuni ambayo wanaitumia kwa mambo mengine HAWATAKI. wanachotaka ni KUJUA!

Sasa mtu kama huyo ukimwita kuwa hana elimu au jitu! Inakuwa HUJAMTUKANA bali umempa sifa yake.

Talking about scientific evidence, first thing first, give us scientific evidence and proof that god exists.
 
Talking about scientific evidence, first thing first, give us scientific evidence and proof that god exists.

Now when I told that you have a very little knowledge and may be you have NO knowledge at all, some brothers accused me of being unfair!

Now look what kind of question you are asking!
Even my 5 yrs son wont ask a st.upid question like that!

To prove how st.upid your question is, here is the other examples.

Try to Use scientific evidence to proof there is death!
And please dont show me the pictures of corpse! 😕

Try to use scientific evidence to prove to me that "intelligence" do exists!

Try to use scientific evidence to prove that there is something called "LIFE".

Again! DO NOT show me THE EFFECT of those things! Rather prove it to me THOSE things exists!

Because if you ask me to prove it to you THE EFFECT OF GOD and not (god) I have plenty in stock!
 
Now when I told that you have a very little knowledge and may be you have NO knowledge at all, some brothers accused me of being unfair!

Now look what kind of question you are asking!
Even my 5 yrs son wont ask a st.upid question like that!

To prove how st.upid your question is, here is the other examples.

Try to Use scientific evidence to proof there is death!
And please dont show me the pictures of corpse! 😕

Try to use scientific evidence to prove to me that "intelligence" do exists!

Try to use scientific evidence to prove that there is something called "LIFE".

Again! DO NOT show me THE EFFECT of those things! Rather prove it to me THOSE things exists!

Because if you ask me to prove it to you THE EFFECT OF GOD and not (god) I have plenty in stock!

Sasa kama unajua huwezi kuprove the existence of god by using scientific method kwa nini unakuja hapa highfalutun about the scientific provess and evidence?

How do we know what you call the effect of god are actually the effects of god and not something else?
 
Sasa kama unajua huwezi kuprove the existence of god by using scientific method kwa nini unakuja hapa highfalutun about the scientific provess and evidence?

Kujaribu kukuelekeza wewe ni kama jujaribu kumfundisha mjaluo kuimba nyimbo za kiarabu. Wakati hio taarabu peke yake haiwezi.

Binaadamu mwenye ufahamu wa kawaida tu hahitaji kupata black and white evidence ku hakiki kuwa hicho akitafutacho kipo!

Kwa wewe kuona ATHARI TU za uhai. Kama vile kuvuta pumzi. Kula. Moyo kufanya kazi. N.k UNAKUWA NA UHAKIKA 100% kuwa hapo UHAI (LIFE ) upo!

Kwa kuona Athari ya sumaku au umeme tu kweny taa unakuwa na UHAKIKA 100% kuwa hapo kuna UMEME!

Kwa kuona ATHARI tu ya maongezi ya mtu na kumtahini kidogo kwa maswali unapata UHAKIKA kuwa HUYO ana busara (intelligence) au Hana.

Sasa kama kuona ATHARI PEKE YAKE kunasababisha wewe KUKUBALI 100% kuwa hivyo vitu vipo! How come Ukionyeshwa ATHARI za kuwepo kwa MUNGU! ambazo scientists wenyewe wame hakiki UKATAE KUWA HAKUNA MUNGU??

All I can say again and again.!

Wewe elimu yako ya ku reasons ni NDOGO MNO! tena saana!

Ukiwezacho wewe ni kama wale matapeli wa mjini!

Ukimwambia "A" yeye anakwambia "C" na ukimuuliza mbona unasema C" wakati ni A"? anakwambia hapana ni "Q"!

The only reasons I keep on replying to your pointless arguments ni kwa sababu KUNA WATU WENGINE WANAPATA FAIDA YA HAYA MAJIBU!

Thats all.!

Otherwise I will never discuss anything with someone who "doesn't even know that HE DONT KNOW".
and thats you!
 
Kujaribu kukuelekeza wewe ni kama jujaribu kumfundisha mjaluo kuimba nyimbo za kiarabu. Wakati hio taarabu peke yake haiwezi.

Binaadamu mwenye ufahamu wa kawaida tu hahitaji kupata black and white evidence ku hakiki kuwa hicho akitafutacho kipo!

Kwa wewe kuona ATHARI TU za uhai. Kama vile kuvuta pumzi. Kula. Moyo kufanya kazi. N.k UNAKUWA NA UHAKIKA 100% kuwa hapo UHAI (LIFE ) upo!

Kwa kuona Athari ya sumaku au umeme tu kweny taa unakuwa na UHAKIKA 100% kuwa hapo kuna UMEME!

Kwa kuona ATHARI tu ya maongezi ya mtu na kumtahini kidogo kwa maswali unapata UHAKIKA kuwa HUYO ana busara (intelligence) au Hana.

Sasa kama kuona ATHARI PEKE YAKE kunasababisha wewe KUKUBALI 100% kuwa hivyo vitu vipo! How come Ukionyeshwa ATHARI za kuwepo kwa MUNGU! ambazo scientists wenyewe wame hakiki UKATAE KUWA HAKUNA MUNGU??

All I can say agai and again.!

Wewe elimu yako ya ku reasons ni NDOGO MNO! tena saana!

Ukiwezacho wewe ni kama wale matapeli wa mjini!
Ukimwambia "A" yeye anakwambia "C" na ukimuuliza mbona unasema C" wakati ni A"? anakwambia hapana ni "Q"!

The only reasons I keep on reply to your pointless arguments ni kwa sababu KUNA WATU WENGINE WANAPATA FAIDA YA HAYA MAJIBU!

Thats all.!

Otherwise I will never discuss anything with someone who "doesn't even know that HE DONT KNOW".
and thats you!

Unajuaje kwamba athari hizo ni za mungu na si za kitu kingine?
 
Unajuaje kwamba athari hizo ni za mungu na si za kitu kingine?

Teh teh teh teh!

You see now!

We hujajua hata hizo ATHARI ZENYEWE NI ZIPI! wala HUJAULIZA!
Halafu moja kwa moja unaanza KUBISHA na kuweka defenceless ARGUMENTS!

I am glad you can see for yourself what kind of IQ you possess!

UNAANZA KUPINGA KITU AMBACHO HATA HUJAKIJUA??

I think I have rest my case!

N:B Wale walikuwa wanasema mimi nina tabia mbaya ya kumponda huyu mtu. Hebu someni wenyewe kitu gani anaandika. Halafu labda mtafahamu kwanini mimi namuita huyu mbulula bin akilimbovu!
 
Teh teh teh teh!

You see now!

We hujajua hata hizo ATHARI ZENYEWE NI ZIPI! wala HUJAULIZA!
Halafu moja kwa moja unaanza KUBISHA na kuweka defenceless ARGUMENTS!

I am glad you can see for yourself what kind of IQ you possess!

UNAANZA KUPINGA KITU AMBACHO HATA HUJAKIJUA??

I think I have rest my case!

N:B Wale walikuwa wanasema mimi nina tabia mbaya ya kumponda huyu mtu. Hebu someni wenyewe kitu gani anaandika. Halafu labda mtafahamu kwanini mimi namuita huyu mbulula bin akilimbovu!

Hujajibu swali.
 
Back
Top Bottom