History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Kwa iyo uwezo wako umeshidwa kuthibitisha, iweje uthibitishe hayupo!?

Luka 10 : 21

10.21 Saa ile ile alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.

Mimi nakuambia nipe uthibitisho kwamba mungu yupo.

Is this the best you can do?
 
Mimi sijakuletea lolote ambalo hujalianzisha wewe.Umesema una simple research ku prove kuwepo kwa mungu.Sijaiona bado.
Inawezekana katika mkusanyiko wa matatizo yanayokusumbua kusoma nako ni moja wapo!! haya fanya revision hapo kama mara 12 according to the IQ yako then come up!!!Hawa wanaojiita atheists naomba niwaambie sio kila kitu mzungu anachowadangaya na nyie mnadanganyika kwa bei ya peremende unajua kabla hujakubali au kukanusha jambo unatakiwa ujirithishe kwa facts.ni ulimbukeni kwa mtu especially muafrika kupinga hakuna spiritual beings beyond physical realm kwanza kwa research fupi na rahisi ya terminologies zinazoelezea spiritual deities na discourses zake.nataka niseme hakuna old terminologies zilizotumika na ancients hadi sasa ziko zisizo na maana tokea karne na dahari kulikuwa na maneno kama ''mungu'' ''roho'' ''majini'' ''pepo'' ''kuzimu'' ''mbingu'' ''shetani'' na mengine lukuki ambayo yanahusiana na vitu vya kiroho.Haitawezekana hata siku moja mfanano huu utokee kwa all mankind lifestyles na culture alafu useme ni fiction to all generations and races never.Zipo lugha nyingi duniani ambazo hazina huu msamiati wa ''atheism'' ikiwemo kiswahili naomba usichnganye na Upagani au Paganism mpagani ni mtu asiyehuthuria congregations zozote lakini anaamini kuna Mungu unaweza kumkuta anaenda kwa waganga na kusoma nyota.huwezi kusema lugha zote duniani maarufu na zisizo maarufu [native tongues] zinayo haya maneno yametokea kwa bahati mbaya uki trace haya maneno kwenye articles utakuta yalikuwepo tokea mwanadamu alipokuja juu ya uso wa nchi lakini uki trace atheism hili neno limekuwa popular baada ya philosophies na theories za Darwinism atheism and the like nayo ni karne ya 19 awali hivi vitu havikuwapo.Nasema ni mshutuko kwa mwafrika kusema hakuna spiritual realm kutoka na history na life style ya waafrika anzia South Africa mpaka Libya njoo Somalia mpaka Liberia kote miaka na miaka wapo waganga wakienyeji wasoma nyota tena hapa tunayo records nzuri ukienda Mali Timbuktu waafrika tunajivunia kwamba ndicho chuo cha kwanza duniani na wasomi wa dunia wanaamini hivyo lakini hicho chuo kilikuwa kinahusu mambo ya falaki au unajimu sana majini na mambo mengi ya kiroho pia Egypt ndio nchi iliyokuwa na high standard of civilization 700 and 500 BC juu ya uso wadunia lakini walikuwa na Elite waliosababisha mafanikio makubwa kama hayo nao ni scribes, astronomers[hawa sio apollo bali ni wanafalaki] architects, mathematicians and artisans, administrators, priests [waganga/wachawi] hawa wote ndio walio establish the Ancient Egyptian society mpaka wakajenga pyramids ambazo America wamiweka katika dollar bill nembo ambayo haina uhusiano kabisa na historia ya marekani bali Egypt. Unaweza ukasema ipo lugha[maneno] rasmi yanayotumika katika mamlaka kama serikalini mahakamani taasisi za kielimu ambayo yana discourse au facts pale yanapotamkwa ni tofauti kabisa na maneno ya mitaani kama euphemisms au ironic words ambayo mara nyingi haya huongelewa na mob ambayo maisha yako huwezi kuyakuta yameandikwa kwenye official reports au Governmental documents kwani huko huandikwa kitu na kutambulika rasmi baada ya kujulikana basis na factual za maneno hayo.Ninachotaka nikujengee hapa ni namna neno God linavyotumika kwenye nyaraka za serikali na vitabu vya imani ambavyo vyote hivi vinahusiana na mabo ya kiroho vinavyotumika na serikali ambayo inatazamwa na wananchi kama the highest level ya educated factual intelligent and sophisticated knowledge govern the rest refer Pilate Theory.Nakuja kwa waafrika kwani nazungumza nao kwa namna waganga wa kienyeji na wachawi [samahani hawa ntawatumia sana kwani walikuwa kabla ya biashara ya utumwa na ukoloni] historia na makumbusho unaweza kwenda na kukuta picha moja inamuonesha mama mmoja huko bagamoyo mganga wao wanauita ''fundi'' akimpndisha mtu marohani ikumbukwe hapo makumbusho.unaweza kusema hawa waganga ni matapeli lakini je huo utapeli ulianzwa enzi za mababu mpaka sasa upo na sio afrika bali dunia nzima inakuwaje kwani duniani pote hakuna sehemu utakayokosa mambo ya kichawi pote chunguza utaona na yapo hata kabla ya uvumbuzi wa meli gari au Internet yani kabla ya muingiliano wa kiutamaduni kwa namna yoyote ile je nayo ni fiction?Atheist wanapinga uwepo wa Mungu lakini ''wanaamini'' BIG BANG nikikuuliza unaweza kunipa proof ya big bang kwamba imetokea wapi na nini sababu zake na kwa nini itokee watakosa la kukwambia ila watasema wanaamini yani hujawahi ona lakini labda niwaambie maana ya IMANI kwamba ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo [au yaliyokwisha kuwako] ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Hivyo kwa tafsiri hii kuamini kuwa kulikuwa na big bang ambayo hujawahi ona ikitokea hiyo ni imani.Hutakuwa na tofauti na anayemuamini Mungu ambaye hajawahi muona hivyo atheism ni imani kama imani nyingine ila imani hii inaamini katika bigbang na sio Mungu ila wako watu pia wanaoamini jua ng'ombe mwezi nyoka mti n.k lakini sio Mungu hivyo hawana tofauti na atheist.Darwin anasema binadamu ni advanced apes facts zake zimebase kwenye environment [phenotype] kitu ambacho hakiwezi kubadilisha genes za kiumbe na kuathiri traits za kiumbe genetipycally huwezi kusema a certain type of gas or physial condition an affect the genes of an organism completely and left others unchanged.ni wazi tunaelewa traits za binadamu zinaamishwa through genes from ancestor to his descendants hizi traits ni body morphology, skin color, aye color, tallness, tongue rolling, early baldness, diseases, albinism, blood type, sex, etc. ni kitu kisichokaa kiwezekane phenotype ikaathiri genotype code hata siku moja na hii ni nature ya viumbe wote.Kwa namna technology ilivyopanuka kwa sasa tungeweza kutengeneza mazingira yaliyowafanya apes kuwa mwanadamu katika eneo/chumba fulani tuka apply hizo gases na all conducive environment zilizopelekea mabadiliko yote ya mwanadamu then tukachunguza mabadiliko yatakayojitokeza lakini sio kwamba haijafanyika shida ni kutangaza matokeo litakaloathiri brainwashed all over the surface kwani watajua Darwinism ni Vanity and nullity hauwezi ku prove lakini wanaamini then wanapinga dini wakati wote tunaamini nguvu fulani ya tofauti sema tunatofautiana mtazamo.Conclusion ni kwamba hakuna Atheism duniani hata wao wanaimani na kuishikilia kama wengine wanaweza kukuambia Bible ni manmade lakini muulize hizo ''facts'' zinazotetea theory yako ni mawazo yako sio kwamba ulisoma novel ya Charls Darwin and the like ikakuvutia na wewe ukaamini?soma hapaSamahani kwa kuchanganya lugha.
 
Inawezekana katika mkusanyiko wa matatizo yanayokusumbua kusoma nako ni moja wapo!! haya fanya revision hapo kama mara 12 according to the IQ yako then come up!!!Hawa wanaojiita atheists naomba niwaambie sio kila kitu mzungu anachowadangaya na nyie mnadanganyika kwa bei ya peremende unajua kabla hujakubali au kukanusha jambo unatakiwa ujirithishe kwa facts.ni ulimbukeni kwa mtu especially muafrika kupinga hakuna spiritual beings beyond physical realm kwanza kwa research fupi na rahisi ya terminologies zinazoelezea spiritual deities na discourses zake.nataka niseme hakuna old terminologies zilizotumika na ancients hadi sasa ziko zisizo na maana tokea karne na dahari kulikuwa na maneno kama ''mungu'' ''roho'' ''majini'' ''pepo'' ''kuzimu'' ''mbingu'' ''shetani'' na mengine lukuki ambayo yanahusiana na vitu vya kiroho.Haitawezekana hata siku moja mfanano huu utokee kwa all mankind lifestyles na culture alafu useme ni fiction to all generations and races never.Zipo lugha nyingi duniani ambazo hazina huu msamiati wa ''atheism'' ikiwemo kiswahili naomba usichnganye na Upagani au Paganism mpagani ni mtu asiyehuthuria congregations zozote lakini anaamini kuna Mungu unaweza kumkuta anaenda kwa waganga na kusoma nyota.huwezi kusema lugha zote duniani maarufu na zisizo maarufu [native tongues] zinayo haya maneno yametokea kwa bahati mbaya uki trace haya maneno kwenye articles utakuta yalikuwepo tokea mwanadamu alipokuja juu ya uso wa nchi lakini uki trace atheism hili neno limekuwa popular baada ya philosophies na theories za Darwinism atheism and the like nayo ni karne ya 19 awali hivi vitu havikuwapo.Nasema ni mshutuko kwa mwafrika kusema hakuna spiritual realm kutoka na history na life style ya waafrika anzia South Africa mpaka Libya njoo Somalia mpaka Liberia kote miaka na miaka wapo waganga wakienyeji wasoma nyota tena hapa tunayo records nzuri ukienda Mali Timbuktu waafrika tunajivunia kwamba ndicho chuo cha kwanza duniani na wasomi wa dunia wanaamini hivyo lakini hicho chuo kilikuwa kinahusu mambo ya falaki au unajimu sana majini na mambo mengi ya kiroho pia Egypt ndio nchi iliyokuwa na high standard of civilization 700 and 500 BC juu ya uso wadunia lakini walikuwa na Elite waliosababisha mafanikio makubwa kama hayo nao ni scribes, astronomers[hawa sio apollo bali ni wanafalaki] architects, mathematicians and artisans, administrators, priests [waganga/wachawi] hawa wote ndio walio establish the Ancient Egyptian society mpaka wakajenga pyramids ambazo America wamiweka katika dollar bill nembo ambayo haina uhusiano kabisa na historia ya marekani bali Egypt. Unaweza ukasema ipo lugha[maneno] rasmi yanayotumika katika mamlaka kama serikalini mahakamani taasisi za kielimu ambayo yana discourse au facts pale yanapotamkwa ni tofauti kabisa na maneno ya mitaani kama euphemisms au ironic words ambayo mara nyingi haya huongelewa na mob ambayo maisha yako huwezi kuyakuta yameandikwa kwenye official reports au Governmental documents kwani huko huandikwa kitu na kutambulika rasmi baada ya kujulikana basis na factual za maneno hayo.Ninachotaka nikujengee hapa ni namna neno God linavyotumika kwenye nyaraka za serikali na vitabu vya imani ambavyo vyote hivi vinahusiana na mabo ya kiroho vinavyotumika na serikali ambayo inatazamwa na wananchi kama the highest level ya educated factual intelligent and sophisticated knowledge govern the rest refer Pilate Theory.Nakuja kwa waafrika kwani nazungumza nao kwa namna waganga wa kienyeji na wachawi [samahani hawa ntawatumia sana kwani walikuwa kabla ya biashara ya utumwa na ukoloni] historia na makumbusho unaweza kwenda na kukuta picha moja inamuonesha mama mmoja huko bagamoyo mganga wao wanauita ''fundi'' akimpndisha mtu marohani ikumbukwe hapo makumbusho.unaweza kusema hawa waganga ni matapeli lakini je huo utapeli ulianzwa enzi za mababu mpaka sasa upo na sio afrika bali dunia nzima inakuwaje kwani duniani pote hakuna sehemu utakayokosa mambo ya kichawi pote chunguza utaona na yapo hata kabla ya uvumbuzi wa meli gari au Internet yani kabla ya muingiliano wa kiutamaduni kwa namna yoyote ile je nayo ni fiction?Atheist wanapinga uwepo wa Mungu lakini ''wanaamini'' BIG BANG nikikuuliza unaweza kunipa proof ya big bang kwamba imetokea wapi na nini sababu zake na kwa nini itokee watakosa la kukwambia ila watasema wanaamini yani hujawahi ona lakini labda niwaambie maana ya IMANI kwamba ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo [au yaliyokwisha kuwako] ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Hivyo kwa tafsiri hii kuamini kuwa kulikuwa na big bang ambayo hujawahi ona ikitokea hiyo ni imani.Hutakuwa na tofauti na anayemuamini Mungu ambaye hajawahi muona hivyo atheism ni imani kama imani nyingine ila imani hii inaamini katika bigbang na sio Mungu ila wako watu pia wanaoamini jua ng'ombe mwezi nyoka mti n.k lakini sio Mungu hivyo hawana tofauti na atheist.Darwin anasema binadamu ni advanced apes facts zake zimebase kwenye environment [phenotype] kitu ambacho hakiwezi kubadilisha genes za kiumbe na kuathiri traits za kiumbe genetipycally huwezi kusema a certain type of gas or physial condition an affect the genes of an organism completely and left others unchanged.ni wazi tunaelewa traits za binadamu zinaamishwa through genes from ancestor to his descendants hizi traits ni body morphology, skin color, aye color, tallness, tongue rolling, early baldness, diseases, albinism, blood type, sex, etc. ni kitu kisichokaa kiwezekane phenotype ikaathiri genotype code hata siku moja na hii ni nature ya viumbe wote.Kwa namna technology ilivyopanuka kwa sasa tungeweza kutengeneza mazingira yaliyowafanya apes kuwa mwanadamu katika eneo/chumba fulani tuka apply hizo gases na all conducive environment zilizopelekea mabadiliko yote ya mwanadamu then tukachunguza mabadiliko yatakayojitokeza lakini sio kwamba haijafanyika shida ni kutangaza matokeo litakaloathiri brainwashed all over the surface kwani watajua Darwinism ni Vanity and nullity hauwezi ku prove lakini wanaamini then wanapinga dini wakati wote tunaamini nguvu fulani ya tofauti sema tunatofautiana mtazamo.Conclusion ni kwamba hakuna Atheism duniani hata wao wanaimani na kuishikilia kama wengine wanaweza kukuambia Bible ni manmade lakini muulize hizo ''facts'' zinazotetea theory yako ni mawazo yako sio kwamba ulisoma novel ya Charls Darwin and the like ikakuvutia na wewe ukaamini?soma hapaSamahani kwa kuchanganya lugha.

First thing first, jifunze kuandika kwa kituo.
 
Mimi nakuambia nipe uthibitisho kwamba mungu yupo.

Is this the best you can do?

We ndo ulitakiwa uthibitishe hayupo, kwani tulitegemea kipya kutoka kwako kitakachotufumbua macho.
Yani mkeo akuambie mfano, "nahisi ninaumwa maleria" we utoke mapovu kwa kusema tu kwa mdomo hauna maleria.
Kifupi ilitakiwa ka we ni dr UMPIME na useme, kwa kuwa nimekuta hichi na hichi, nathibitisha huna maleria bali ni typhoid/mimba.

Ukimwambia mkeo athibitishe, atakwambia nahisi, kichwa kina uma, viungo, vimelegea na kichefuchefu.

Sisi tumeshakwambia kwa vigezo hivi, tunajua na kuamini Mungu yupo, wewe unasema hayupo na tuthibitishe, hii ni akili au matope.
 
Vizuri ni nini?

Kwa mtu mwingine kuwa na uwezo wa ku spend $ 100- $200 dining out every week ni maisha mazuri.

Wengine wasipoweza kuleta world peace na kumaliza vita zote kwa miaka yote iliyobaki, kuondoa pollution yote na kumaliza racial tensions za aina yote, maisha yao hayajaenda vizuri.

Sasa unakusudia nini kwa kuandika "vizuri" ?

Sawa ndugu, tunaenda vizuri; nakusudia akili ya kufanya jambo lolote ambalo umelieleza hao juu je wewe unayo au

huna?, au

nieleze tu katika mambo yako yoyote unayoyafanya unatumia akili? Nikuulize swali lingine kama hutajali, umenieleza ya

kuwa unataka kujua kuwa kuna mungu, swali unataka kujua vipi? je kwa kumuona ndio utajua au

hata kuoneshwa alama/matendo yake tu?
 
There is clear and present proof that Big Bang did happen -expanding universe as evidenced by doppler shifts of radiation from distant planets. Weather Big Bang did or did not happen is settled......it happened about 15 billion years ago. WHY it happened strictly speaking ,is no concern of science may be philosophy and theology may give us a clue.
 
Sawa ndugu, tunaenda vizuri; nakusudia akili ya kufanya jambo lolote ambalo umelieleza hao juu je wewe unayo au

huna?, au

nieleze tu katika mambo yako yoyote unayoyafanya unatumia akili? Nikuulize swali lingine kama hutajali, umenieleza ya

kuwa unataka kujua kuwa kuna mungu, swali unataka kujua vipi? je kwa kumuona ndio utajua au

hata kuoneshwa alama/matendo yake tu?

Kama nina akili hilo lina prove vipi kuwapo kwa mungu?

Nataka kujua kwa maelezo yaliyo logical.

For starters, maelezo yasiwe na contradictions.
 
There is clear and present proof that Big Bang did happen -expanding universe as evidenced by doppler shifts of radiation from distant planets. Weather Big Bang did or did not happen is settled......it happened about 15 billion years ago. WHY it happened strictly speaking ,is no concern of science may be philosophy and theology may give us a clue.

As long as this big bang is based out of a singularity, by definition, you don't have a clear proof.

I take it you do understand what a singularity in this context is.

Be very wary of anybody talking about clear proofs without a frame of reference or margin of error.
 
We ndo ulitakiwa uthibitishe hayupo, kwani tulitegemea kipya kutoka kwako kitakachotufumbua macho.
Yani mkeo akuambie mfano, "nahisi ninaumwa maleria" we utoke mapovu kwa kusema tu kwa mdomo hauna maleria.
Kifupi ilitakiwa ka we ni dr UMPIME na useme, kwa kuwa nimekuta hichi na hichi, nathibitisha huna maleria bali ni typhoid/mimba.

Ukimwambia mkeo athibitishe, atakwambia nahisi, kichwa kina uma, viungo, vimelegea na kichefuchefu.

Sisi tumeshakwambia kwa vigezo hivi, tunajua na kuamini Mungu yupo, wewe unasema hayupo na tuthibitishe, hii ni akili au matope.

Kile ambacho hakipo hakithibitishiki.

Hakithibitishiki kwamba kipo.

Hakithibitishiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo. Utathibitisha vipi wakati kitu hakipo?

Wewe uliyesema kuna simple proof kuonesha mungu yupo tupe uthibitisho.
 
Kile ambacho hakipo hakithibitishiki.

Hakithibitishiki kwamba kipo.

Hakithibitishiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo.

Wewe uliyesema kuna simple proof kuonesha mungu yupo tupe uthibitisho.
Tuthibitishie "kile ambacho hakipo hakithibitishiki".
 
Tuthibitishie "kile ambacho hakipo hakithibitishiki".

For starters, huwezi kukithibitisha kwa sababu hakipo, ili kuthibitishika inabidi kiwepo.

Niambie namna moja unayoweza kuthibitisha kwamba kile ambacho hakipo hakipo, au kipo.

Nikikwambia kwamba kuna taa ya Aladdin ya dhahabu inaelea sebuleni mwako, utawezaje kuthibitisha kwamba haipo?
 
Mimi sikuyatafuta hayo yote, hayo yote yameletwa na mleta mada.
Kuna wakati ulimwengu mzima watu walitambua kwamba dunia ni bapa, si tufe.
Je hilo liliifanya dunia kuwa bapa na si tufe?
Ulikusanya maoni ulimwengu mzima ukawauliza hayo maswali wakakujibu hivyo?
Tupe statistics tangible za muda huo zinazodhibitisha Ulimwengu mzima Walikuwa wakiamini hivyo.
Ulimwengu maana yake ni dunia na sayari nyingine zote.
Haya twende kwenye swali la msingi ni kipi kimekupa uhakika duniani kote Walikuwa hawajui ukweli.
Usije ukasema oral tradition tu.
Tatizo lenu na hasason ni utoto wala sio Elimu
kwani mmeambiwa Watu waliamini Dunia yetu ni bapa lakini kina Columbus, Vasco Da Gama, Magellan na wengineo wali-Prove Dunia ni duara kwa kuzunguka na merikebu
sasa na ninyi mprove MUNGU tunayeamini yupo, mmekutana naye wapi? (km Columbus

Jibu swali la msingi. Sio mambo ya sijui we uko kwenye kichwa changu ukaona kwamba sijui?
Unajaza tu server za jf kwa mashudu huna lolote.
Kumuelimisha huyo ni sawa na kumpaka mbwa make-up!!
Kabebe box huko time is rash au kama ni mda wa kulala kalale huko usije kukosa a bite kesho.
Kusema Member anajaza Server za JF nashudu au akabebe BOX hapo sasa umeshindwa kuchangia maana unaingiza maudhi na matusi ambapo kwa Kiranga hawezi fanya hivyo
Jibu kistaha huwezi kuthibitisha Mada ya jamaa yako kaa pembeni, POTEZEA maana huna Proof km MUNGU yupo hata hiyo Historia mmeCopy picha za kuchora za WaMisri ili mje watafutia watu BAN hapa ambao tunataka Elimu za Member wengine na mawazo yao HASI unaweza kukuta ni CHANYA
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu na hasason ni utoto wala sio Elimu
kwani mmeambiwa Watu waliamini Dunia yetu ni bapa lakini kina Columbus, Vasco Da Gama, Magellan na wengineo wali-Prove Dunia ni duara kwa kuzunguka na merikebu
sasa na ninyi mprove MUNGU tunayeamini yupo, mmekutana naye wapi? (km Columbus





Kusema Member anajaza Server za JF nashudu au akabebe BOX hapo sasa umeshindwa kuchangia maana unaingiza maudhi na matusi ambapo kwa Kiranga hawezi fanya hivyo
Jibu kistaha huwezi kuthibitisha Mada ya jamaa yako kaa pembeni, POTEZEA maana huna Proof km MUNGU yupo hata hiyo Historia mmeCopy picha za kuchora za WaMisri ili mje watafutia watu BAN hapa ambao tunataka Elimu za Member wengine na mawazo yao HASI unaweza kukuta ni CHANYA

Wanahitaji msisitizo wako, waambie.

Mimi bado nangojea hiyo "the simple research" ya ku "prove" kuna mungu.
 
Ulivoanza tu kujadili nikaona hauna substance kwenye mjadala wako, nani kakwambia atheist anaiga mzungu? atheism ni kujua kwamba hakuna mungu, atheism haijaanzishwa na mtu kama dini zenu za kuletwa na meli, atheism ni origin ya mwanadamu, kama wewe unaona atheism imeletwa na wazungu basi fikiria vizuri huenda unafikiria dini (hakuna mungu bila dini, na dini imeanzisha na binadamu, tumia kichwa). Pamoja na makala ndeeefu umepoteza muda bila kuthibitisha uwepo wa mungu! UWONGO NI UWONGO, HAUJAALISHI UNAZUNGUMZWA NA WATU WA NGAPI, UTABAKI KUWA UWONGO.
 
Tatizo lenu na hasason ni utoto wala sio Elimu
kwani mmeambiwa Watu waliamini Dunia yetu ni bapa lakini kina Columbus, Vasco Da Gama, Magellan na wengineo wali-Prove Dunia ni duara kwa kuzunguka na merikebu
sasa na ninyi mprove MUNGU tunayeamini yupo, mmekutana naye wapi? (km Columbus





Kusema Member anajaza Server za JF nashudu au akabebe BOX hapo sasa umeshindwa kuchangia maana unaingiza maudhi na matusi ambapo kwa Kiranga hawezi fanya hivyo
Jibu kistaha huwezi kuthibitisha Mada ya jamaa yako kaa pembeni, POTEZEA maana huna Proof km MUNGU yupo hata hiyo Historia mmeCopy picha za kuchora za WaMisri ili mje watafutia watu BAN hapa ambao tunataka Elimu za Member wengine na mawazo yao HASI unaweza kukuta ni CHANYA

Mtu wa hivyo wala usipoteze muda wa kumjibu, he is just a kid, hawezi kuhimili mijadala ya wakubwa, MTUPIE KWENYE IGNORE LIST TU!
 
Sawa ndugu, tunaenda vizuri; nakusudia akili ya kufanya jambo lolote ambalo umelieleza hao juu je wewe unayo au

huna?, au

nieleze tu katika mambo yako yoyote unayoyafanya unatumia akili? Nikuulize swali lingine kama hutajali, umenieleza ya

kuwa unataka kujua kuwa kuna mungu, swali unataka kujua vipi? je kwa kumuona ndio utajua au

hata kuoneshwa alama/matendo yake tu?

Matendo na alama gani hizo, na mimi nahitaji kuzijua jamani!
 
For starters, huwezi kukithibitisha kwa sababu hakipo, ili kuthibitishika inabidi kiwepo.

Niambie namna moja unayoweza kuthibitisha kwamba kile ambacho hakipo hakipo, au kipo.

Nikikwambia kwamba kuna taa ya Aladdin ya dhahabu inaelea sebuleni mwako, utawezaje kuthibitisha kwamba haipo?

Kwa muktadha huo, umewezaje kuthibitisha Mungu hayupo? au umefuata mkumbo wa ma-atheist tu.

Sijawahi kusoma mchanganuo wowote unaopelekea wewe pale mwisho useme " Hence Mungu Hayupo", zaidi zaidi ya kusema tu Mungu hayupo na kukanusha kilichoelezewa.

Tunataka utoe points kama sisi tunazokupa kuthibitisha yupo.
 
Back
Top Bottom