History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Kama nina akili hilo lina prove vipi kuwapo kwa mungu?

Nataka kujua kwa maelezo yaliyo logical.

For starters, maelezo yasiwe na contradictions.

Mfano ndugu Kiranga, umeenda shambani kwako ambako siku nyingi hujapita, kwa bahati ukakuta kuna nyumba

imejengwa katika shamba lako, bila shaka utataka kujua nani kaijenga nymba ile bila ya wewe kuwa na taarifa

kwakuwa unajua ya kwamba nyumba

ile haikujijenga wenyewe lazima kuna mtu aliyejenga. Hii maana yake ni kuwa lolote unaloliona katika dunia hii kuna aliye

nyuma yake. Angalia kuna jua linalotoka mashariki na kutua magharibi. Je katika hili hutaki kujua nani analitoa jua kutoka

mashariki kuelekea magharibi?.Nani analeta mvua? nani amekuumba wewe hata kuwa na akili za kuandika hapa JF? ikiwa

jambo dogo tu lile a nyumba unauliza nani kajenga nyumba, je haya makubwa hutaki kujua nani ameyafanya???
 
Matendo na alama gani hizo, na mimi nahitaji kuzijua jamani!

Mbona matendo mengi tu mfano, Najua una miaka kadhaa hapa duniani, najua kuwa huko njuma haukuwepo hapa duniani ilikuwa hakuna mtu aitwae CYBERTEQ, ulikuwa si mwenye kujulikana kabisa. kuwepo kwako wewe hapa ni alama ya kuwepo kwa mungu, yeye ndie aliyekuleta na atakuondosha.
 
Wacha kuleta utoto wewe jibu swali unajikanyaga tu umeaha kujibu vitu vya msingi unapambana na mambo ya Baby Class any way labda neme ku overdose.
Nice dreams or you want night stories?

wewe usilete mada za hewani jibu kwanza mungu gani unayemzungumzia maana miungu tunaisikai iko mingi kabla hujaleta attack lete mada!!! unapoleta mada za timbuktu sijui ancient egypt hakika tunazijua kuliko wewe sie tusieamin mambo ya mungu!!

anza kwa kujibu kwanza mungu ni nani? na mungu yupi unayemzungumzia wewe? na ushahidi uliosema ndio uo wa kutaja timbuktu what a joke???
 
huyu kijana anapoteza muda, kasome kuna thready ya mungu hayupo iko page kama 160 nk utapata majibu ya maswali yako mengi tu sio kuingia google na kucopy mambo ya ancient egypt na timbuktu!!!

tuliingia apa ulivyosema una simple proof??? mpaka sasa hujaiweka unabwa bwaja tu!!!
 
Kwa muktadha huo, umewezaje kuthibitisha Mungu hayupo? au umefuata mkumbo wa ma-atheist tu.

Sijawahi kusoma mchanganuo wowote unaopelekea wewe pale mwisho useme " Hence Mungu Hayupo", zaidi zaidi ya kusema tu Mungu hayupo na kukanusha kilichoelezewa.

Tunataka utoe points kama sisi tunazokupa kuthibitisha yupo.

Wapi nimesema nimethibitisha kwamba mungu hayupo?

Kazi ya kuthibitisha habari ya mungu ni ya wanaosema mungu yupo, wanaosema hayupo kazi yao ni kuomba kuthibitishiwa tu kwamba yupo, kitu ambacho nimefanya hapa.Kama hawakubali kwamba mungu yupo, wataanzaje kuthibitisha kitu ambacho hawakubali kwamba kipo? Especially because tushaona kitu kama hakipo hakithibitishiki?

One cannot prove a negative. Mimi nimesema hilo. Kwa hiyo mimi huyu huyu siwezi kusema nimethibitisha mungu hayupo.

Soma hapo juu, nimeandika kwamba I am more about asking for proof of god's existence and saying god is unverifiable and has not been verified so far than saying god can be proven to not exist.

Because, if he does not exist, I would not be able to prove he does not exist.

Just as I cannot prove that the Loch Ness Monster doea not exist.

Polisi anayesema nyumbani kwako kuna madawa ya kulevya hawezi kukutaka u prove kwamba hamna madawa ya kulevya. Hata ukitumia miaka 1,000 huwezi ku prove hilo. Ila yeye anayesema kwamba kuna madawa ya kulevya ana wajibu wa ku prove hilo. Ndiyo maana kuna search warrants na procedure ya kuverify na ku prove / kuonesha madawa yapo, si kwa ku prove kuwa madawa hayapo.

The burden of proof is on the one who says something is there. The dissenting side has to only ask for proof.

Which I did.

So far, no proof has been supplied.

Bado nasubiri hiyo simple research ambayo inaonekana kuwa not so simple anymore.

Hujaona mchanganuo wangu wowote? Unanifuatilia hapa au umeanza kusoma jana?

Ushasoma argument kwamba an omnipotent, omnibenevolent, omniscient godhead couldn't have created a world full of evil and suffering as this one?

Better yet, do you even know what those omni terms mean without looking them up?

Because if you don't, maybe that's the issue.

I may be talking graduate school level philosophy of religion issues to someone who hasn't mastered basic comprehension skills and has never heard of Plantinga or Mbiti.
 
Mbona matendo mengi tu mfano, Najua una miaka kadhaa hapa duniani, najua kuwa huko njuma haukuwepo hapa duniani ilikuwa hakuna mtu aitwae CYBERTEQ, ulikuwa si mwenye kujulikana kabisa. kuwepo kwako wewe hapa ni alama ya kuwepo kwa mungu, yeye ndie aliyekuleta na atakuondosha.

Hahahah.

Kwa kuwa gari la Ford lipo, linatembea barabarani, na limeundwa 2007, basi ni lazima limeundwa na Mluguru Kibaha!

What a leaping non sequitur.

Huja prove kwamba mungu yupo.

Umetaja mambo fulani tu.

Your description does not show kwamba mungu yupo, let alone prove.
 
Mfano ndugu Kiranga, umeenda shambani kwako ambako siku nyingi hujapita, kwa bahati ukakuta kuna nyumba

imejengwa katika shamba lako, bila shaka utataka kujua nani kaijenga nymba ile bila ya wewe kuwa na taarifa

kwakuwa unajua ya kwamba nyumba

ile haikujijenga wenyewe lazima kuna mtu aliyejenga. Hii maana yake ni kuwa lolote unaloliona katika dunia hii kuna aliye

nyuma yake. Angalia kuna jua linalotoka mashariki na kutua magharibi. Je katika hili hutaki kujua nani analitoa jua kutoka

mashariki kuelekea magharibi?.Nani analeta mvua? nani amekuumba wewe hata kuwa na akili za kuandika hapa JF? ikiwa

jambo dogo tu lile a nyumba unauliza nani kajenga nyumba, je haya makubwa hutaki kujua nani ameyafanya???

Nimesha argue hapa, kwamba, kama kila complexity ni lazima iumbwe, kilichoumba nacho, ambacho kinakuwa an even higher complexity, ni lazima kiwe kimeumbwa.

Ad infinitum, ad absurdum.

Kwa hiyo ukiendelea na mfano huo, utajikuta unasema mungu naye kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa, na aliyemuumba aliyemuumba naye kumbwa, hakuna mwisho katika chain hii.

Huyu ndiye mungu unayemuongelea?

Kukosa kujua mvua inakujaje si proof kwamba mungu kaleta mvua. In fact swali la "nani analeta mvua" ni wrong question, kwa sababu lina pre suppose mvua inaletwa na fulani.

Umejuaje ni "nani" na si "nini"?

Kwa nini swali lako liwe "nani analeta mvua" na si "nini kinaleta mvua"?

Shule ulisoma? Ushakitana na kitu kinaitwa mzunguko wa maji?
 
Mungu waliyemwandika kwenye dollar bills,hawamaanishi Mungu Muumba,ila ni Mungu ambaye hata kwenye Tshirt anazouza Kanye west YEEZUS za mafuvu chini yake zimeandikwa GOD WANTS YOU(jiulize uhusiana uliopo kati ya mafuvu na Mungu kukuhitaji.Mara nyingi wanaopinga uwepo wa Mungu muumba wa mbingu na dunia na wanadamu, huwa wanaamini katika ibada za giza na kumsujudia shetani.
Kama kuna nguvu za giza basi pia kua nguvu za nuru , kwa sababu tunaishi kwenye dunia ya duality ,sasa jiulezeni katika giza na nuru nani anahusika nazo kama si shetani na MUNGU kwa nafasi zao!
 
Tupe yako uliyofanya mwenyewe, ili tukuamini, usi-google.

Kama nimefanya mwenyewe au wengine wamefanya si muhimu. Muhimu ni kama ni kweli au si kweli.

Nikikuelekeza njia sahihi, kwamba naisoma njia kwenye ramani haipunguzi ukweli kwamba ni njia sahihi.

Ninachoandika hapa ni kitu nilichosoma, naandika kwa maneno yangu, na hata wasomi wote wa dunia hakuna anayeandika kitu na kujivunia kuandika mwenyewe bila kusoma wengine.

Mawazo yaliyojaa ujinga wa ego tu ndiyo yanayoweza kusisitiza kuto refer kwa wengine.

Hata string theory ilitoka katika margins za vitabu vya zamani.
 
Nimesha argue hapa, kwamba, kama kila complexity ni lazima iumbwe, kilichoumba nacho, ambacho kinakuwa an even higher complexity, ni lazima kiwe kimeumbwa.

Ad infinitum, ad absurdum.

Kwa hiyo ukiendelea na mfano huo, utajikuta unasema mungu naye kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa, na aliyemuumba aliyemuumba naye kumbwa, hakuna mwisho katika chain hii.

Huyu ndiye mungu unayemuongelea?

Kukosa kujua mvua inakujaje si proof kwamba mungu kaleta mvua. In fact swali la "nani analeta mvua" ni wrong question, kwa sababu lina pre suppose mvua inaletwa na fulani.

Umejuaje ni "nani" na si "nini"?

Kwa nini swali lako liwe "nani analeta mvua" na si "nini kinaleta mvua"?

Shule ulisoma? Ushakitana na kitu kinaitwa mzunguko wa maji?

mkuu Kiranga nipo nafyonza ilmu...


cc gombesugu mkuu wa karbu nawe nipate bayana zako
 
Last edited by a moderator:
Mungu waliyemwandika kwenye dollar bills,hawamaanishi Mungu Muumba,ila ni Mungu ambaye hata kwenye Tshirt anazouza Kanye west YEEZUS za mafuvu chini yake zimeandikwa GOD WANTS YOU(jiulize uhusiana uliopo kati ya mafuvu na Mungu kukuhitaji.Mara nyingi wanaopinga uwepo wa Mungu muumba wa mbingu na dunia na wanadamu, huwa wanaamini katika ibada za giza na kumsujudia shetani.
Kama kuna nguvu za giza basi pia kua nguvu za nuru , kwa sababu tunaishi kwenye dunia ya duality ,sasa jiulezeni katika giza na nuru nani anahusika nazo kama si shetani na MUNGU kwa nafasi zao!

Nimeomba mleta mada afafanue anapoandika mungu anamaanisha nini, hakijibu.

Mimi sipo katika kukubali "nguvu za giza", kwa sababu sikubali kwamba kuna super natural power yoyote.

Kwangu habari za mungu na shetani ni pande mbili za shilingi ile ile.

Zote hazithibitishiki.

Sikubali uwepo wa mungu wala wa shetani.

Na so far hakuna aliyeweza ku prove uwepo wa mungu wala wa shetani.

Kama mungu na shetani wapo, kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao muovu kama shetani anawezekana.kuwepo?

Ina maana alishindwa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekaniki kuwepo?

Au aliweza hakutaka tu?
 
The absence of evidence isn't the evidence of absence, in another word simply because you don't evidence that something does exist, it doesn't mean that you have evidence something doesn't exit.
 
Nimeomba mleta mada afafanue anapoandika mungu anamaanisha nini, hakijibu.

Mimi sipo katika kukubali "nguvu za giza", kwa sababu sikubali kwamba kuna super natural power yoyote.

Kwangu habari za mungu na shetani ni pande mbili za shilingi ile ile.

Zote hazithibitishiki.

Sikubali uwepo wa mungu wala wa shetani.

Na so far hakuna aliyeweza ku prove uwepo wa mungu wala wa shetani.

Kama mungu na shetani wapo, kwa nini mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao muovu kama shetani anawezekana.kuwepo?

Ina maana alishindwa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekaniki kuwepo?

Au aliweza hakutaka tu?
akili yangu si kubwa kuweza kuhoji kwa nini Mungu muumba aliamua tuishi na shetani duniani na maisha yawe kama yalivyo,naamini Shetani aliumbwa na Mugu huyuhuyu ,ila kwamba ni kwa nini hajamua kumpoteza baada ya kuwa muovu ,hiyo imekuwa ngumu kufahamu na hainifanyi niamini kama Mungu muumba hayupo.
Uthibitisho wa uweza wa Mungu wathibitika katika kitabu cha Biblia hasa pale wanaesrael wanapotoka Egypt kuelekea nchi ya ahadi Kaanan. (kama unaamini matukio ya maandiko katika biblia basi itakuwa ni mwanzo mzuri kwako kuamini uwepo wa Mungu, halafu imani si kuona ,ni kukuali katika moyo baada ya matukio kadhaa ambayo katika hali ya kawaida inakuwa ngumu kuwa.mf Bahari kugawanyika na kufanya njia ya watu kupita! ref Kitabu cha kutoka Biblia takatifu
 
The absence of evidence isn't the evidence of absence, in another word simply because you don't evidence that something does exist, it doesn't mean that you have evidence something doesn't exit.

It is also not the evidence of presence.

The only conclusive evidence is the evidence of presence, or even better, proof of presence.

Which is what I have requested here, to no avail.
 
akili yangu si kubwa kuweza kuhoji kwa nini Mungu muumba aliamua tuishi na shetani duniani na maisha yawe kama yalivyo,naamini Shetani aliumbwa na Mugu huyuhuyu ,ila kwamba ni kwa nini hajamua kumpoteza baada ya kuwa muovu ,hiyo imekuwa ngumu kufahamu na hainifanyi niamini kama Mungu muumba hayupo.
Uthibitisho wa uweza wa Mungu wathibitika katika kitabu cha Biblia hasa pale wanaesrael wanapotoka Egypt kuelekea nchi ya ahadi Kaanan. (kama unaamini matukio ya maandiko katika biblia basi itakuwa ni mwanzo mzuri kwako kuamini uwepo wa Mungu, halafu imani si kuona ,ni kukuali katika moyo baada ya matukio kadhaa ambayo katika hali ya kawaida inakuwa ngumu kuwa.mf Bahari kugawanyika na kufanya njia ya watu kupita! ref Kitabu cha kutoka Biblia takatifu

Kimsingi unajibu kwamba hujui unachotetea. In an unapologetically lazy and subliminal Deus ex machina.

Mungu wako ana nguvu zote, ana upendo wote, ana ujuzi wote, kisha anaumba ulimwengu wenye maovu na shida, ambao shetani anawezekanika. Does that make sense to you?

Wewe mwanadamu tu, usiye na uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote unaweza kumpa sumu mwanao wakati una uwezo wa kumpa maziwa?

Kama hujui kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao shetani anawezekanika kwa sababu akili yako si kubwa unajuaje kwamba akili yako ni kubwa kujua mungu hayupo kama hayupo?

Where do you draw the line?

Kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, huwezi kutumia kitabu cha mungu huyu ambaye hajathibitishwa kwamba yupo kama uthibitisho.

That is a cyclical argument.

Kiranga: Mungu yupo?

Singo: Yupo.

Kiranga: Unajuaje hilo?

Singo: Kitabu chake kimeandika hivyo.

Kiranga: Kabla hujathibitisha kwamba yupo, utajuaje kwamba hicho kitabu ni chake na si cha wanadamu tu?

Na vipi kama mungu alikuwepo, katoa kitabu, halafu kajifia. Utasema yupo kwa sababu kitabu kinasema yupo?

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayumkiniki kuumba ulimwengu wenye maovu kama huu. Hata binadamu tu wasio na sifa hizo wana aspire zaidi.

Ulweli kwamba dunia ina maovu na shida ni ushahidi kwamba mungu huyu hayupo.
 
Kimsingi unajibu kwamba hujui unachotetea. In an unapologetically lazy and subliminal Deus ex machina.

Kama hujui kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao shetani anawezekanika kwa sababu akili yako si kubwa unajuaje kwamba akili yako ni kubwa kujua mungu hayupo kama hayupo?

Where do you draw the line?

Kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo, huwezi kutumia kitabu cha mungu huyu ambaye hajathibitishwa kwamba yupo kama uthibitisho.

That is a cyclical argument.

Na vipi kama mungu alukuwepo, katoa kitabu, halafu kajifia. Utasema yupo kwa sababu kitabu kinasema yupo?

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayumkiniki kuumba ulimwengu wenye maovu kama huu. Hata binadamu tu wasio na sifa hizo wana aspire zaidi.

Ulweli kwamba dunia ina maovu na shida ni ushahidi kwamba mungu huyu hayupo.

unaweza kutengeneza hoja,labda nikuulize unaamini matukio ya kitabu cha biblia kama yana uhusiano na Mungu muumba?, kama hilo tu utakuwa haumini, basi itakuwa ngumu kwangu kukushawishi juu ya imani yangu kwa Mungu Muumba.
Chukulia Mungu hayupo,inakuathili vip ukiamini kama yupo il hali hayupo
 
unaweza kutengeneza hoja,labda nikuulize unaamini matukio ya kitabu cha biblia kama yana uhusiano na Mungu muumba?, kama hilo tu utakuwa haumini, basi itakuwa ngumu kwangu kukushawishi juu ya imani yangu kwa Mungu Muumba.
Chukulia Mungu hayupo,inakuathili vip ukiamini kama yupo il hali hayupo

Sitaki kuamini, si habari hizi tu, habari zozote.

Nataka kujua.

Kuamini, yeyote anaruhusiwa kuamini chochote. Mradi asivunje sheria tu. Katiba inatoa uhuru wa kuamini, Umoja wa Mataifa una maazimio ya kutetea uhuru wa kuamini, kwa hiyo kuhoji imani ni kukosa kuelewa imani ni nini.

Imani is arbitrary, not subject to verification, personal etc. That is not interesting at all to me.

Unaruhusiwa kuamini kwamba mungu ni ule mti uliopo Kurasini Mivinjeni kituoni pale. As long as unaamini hamna tabu, unaruhusiwa.

Unaruhusiwa kuamini kwamba mungu ni funza aliyemo mguuni mwa babu yako. As long as unaamini, hamna tatizo.

Mimi ninachohoji si imani, ni ujuzi, kwa sababu kuna mtu kasema ana simple proof kuonesha mungu yupo.
 
Mbona matendo mengi tu mfano, Najua una miaka kadhaa hapa duniani, najua kuwa huko njuma haukuwepo hapa duniani ilikuwa hakuna mtu aitwae CYBERTEQ, ulikuwa si mwenye kujulikana kabisa. kuwepo kwako wewe hapa ni alama ya kuwepo kwa mungu, yeye ndie aliyekuleta na atakuondosha.

Mungu ndiye alinileta?!!!!....kwa maana hiyo baba na mama yangu ndiyo Mungu? I agree.
 
Nimesha argue hapa, kwamba, kama kila complexity ni lazima iumbwe, kilichoumba nacho, ambacho kinakuwa an even higher complexity, ni lazima kiwe kimeumbwa.

Ad infinitum, ad absurdum.

Kwa hiyo ukiendelea na mfano huo, utajikuta unasema mungu naye kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa, na aliyemuumba aliyemuumba naye kumbwa, hakuna mwisho katika chain hii.

Huyu ndiye mungu unayemuongelea?

Kukosa kujua mvua inakujaje si proof kwamba mungu kaleta mvua. In fact swali la "nani analeta mvua" ni wrong question, kwa sababu lina pre suppose mvua inaletwa na fulani.

Umejuaje ni "nani" na si "nini"?

Kwa nini swali lako liwe "nani analeta mvua" na si "nini kinaleta mvua"?

Shule ulisoma? Ushakitana na kitu kinaitwa mzunguko wa maji?

Mungu ninayezungumzia Mimi nI Yule aliyeumba na wala hakuumbwa. Hiyo kanuni uliyoitaja kila aliyeumba na yeye kaumbwa haitumiki kwa mungu. Ninachokiona hapa ni kuwaunataka umuone mungu kwa macho yako, kwa hilo usahahu utaondoka kwenye dunia hii bila kumuona. Uislamu , dini usiyoitambua
ndio pekee inayoweza kundosha hizo complexities unazozieleza umemtaja mungu ni nani: uislamu unasema mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hakuna anayefanana nae. Sasa hapo utazidi kushangaa!!. Nakwambia tena kamwe hutamuona mungu mpaka kufa kwako.hujajibu swali nani analitoa jua mashariki na kulipeleka magharibi?
 
Mungu ninayezungumzia Mimi nI Yule aliyeumba na wala hakuumbwa. Hiyo kanuni uliyoitaja kila aliyeumba na yeye kaumbwa haitumiki kwa mungu.

Kwa nini haitumiki kwa mungu na inatumika kwingine? Huoni kwamba, kwa kuwa haitumiki kwa mungu hii kanuni si universal na inakosa universality wa kuifanya itumike popote? Na kama haitumiki popote kwa nini tuamini imetumika katika uumbaji wa binadamu?

Mnasema kanuni haitumiki kwa mungu wakati mungu mwenyewe hamumuelewi, mmeulizwa, kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika, sijaona jibu.

Kama mungu mwenyewe hamumuelewi, mtajuaje kanuni gani inatumika kwa mungu na kanuni gani haitumiki?

Ninachokiona hapa ni kuwaunataka umuone mungu kwa macho yako, kwa hilo usahahu utaondoka kwenye dunia hii bila kumuona.

Wapi umeliona hili? Naandika sana kuhusu logical and philosophical abstracts hapa, naalika dissenting views, je hayo nayo ni kutaka kumuona mungu kwa macho yangu?

Kuandika mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuumba dunia yenye uovu na shida kama hii ni nkutaka kumuona mungu kwa macho yangu?

Uislamu , dini usiyoitambua
ndio pekee inayoweza kundosha hizo complexities unazozieleza umemtaja mungu ni nani:

Uislamu gani? Huu uliojaa contradictions kama methali za Kiswahili au mwingine?

uislamu unasema mungu ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa, wala hakuna anayefanana nae. Sasa hapo utazidi kushangaa!!. Nakwambia tena kamwe hutamuona mungu mpaka kufa kwako.hujajibu swali nani analitoa jua mashariki na kulipeleka magharibi?

Hujathibitisha kwamba mungu yupo. Nitauchana uislamu katika context ya "knowledge system", si katika context ya "faith/ belief system" kwani, for the latter nilishasema kila kitu ni halali mradi kifuate sheria tu (ingawa versions nyingine za militant islam do not even make this cut)

Kama ni kusema tu, hata mimi naweza kusema "Mungu muumba mbingu na nchi ni Mchaga mwenye macho matatu aliyepo juu ya mlima Kilimanjaro" tena afadhali mimi nitakuwa namsema mungu wa nchini mwangu, si mungu wa kumfuata kuhiji Mecca.

Nikisema hivyo, je ni kweli mungu huyu wa macho matatu aliye juu ya mlima Kilimanjaro ndiye atakayekuwa kweli muumba wa mbingu na nchi?

Usiseme tu, thibitisha unachosema.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu wa uislamu ndiye mungu wa kweli?

Na kwa kuthibitisha simaanishi kuniletea maandiko yaliyo empty, namaanisha thibitisha logically angalau usiwe na contardictions for starters.

Dini yako yenyewe inavyoanza kusema kuhusu mungu inaji contradict.

"la ilaha illa allah". Hakuna mungu ila mungu.

Kama hakuna mungu, hakuna ila.

Kama kuna ila, huwezi kusema hakuna mungu.

Inaonesha wazi kwamba walioandika hiki kitabu walikuwa na challenges za literacy, coherency na comprehension.

Na si kitabu cha mungu, ni cha binadamu tu. Tena ambao hata uandishi ulikuwa tabu kwao.
 
Back
Top Bottom