Hivi anavyofanya Rais Samia ndio kuua upinzani

Hivi anavyofanya Rais Samia ndio kuua upinzani

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

CCM itaendelea kupeta

2025 Samia atashinda kwa 99%


CCM baba lao
Rais Samia Mama lao

Tundu akae kwa kutulia, CCM ipo sanaaaaaa
 
Tokea mama Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga.

Mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya uraisi.
Hamnaga akili nyingine zaidi ya kuua upinzani? Ukifa wewe unapata nini au mumeo anacheo huko ccm??
Tujadili Sera na vitu vya maana kwa ustawi wa nchi na watu wake acheni upumbafu
 
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
acha kuwadanganya waTanzania. Kifupi jikite kwenye mambo ya kujenga uchumi
 
Tokea mama Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga.

Mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya uUpizani si kupinga kila kitu bali kukosoa pale penye hitilafu ili maisha katika jamii yawe bora. Kama Mama anafanya yale ambayo wapinzani wanayapigia kelele, kuwepo upinzani si muhimu.
 
Mama hauwi upinzani bali anajiua mwenyew na chama chake. Hawa watu hawana jema, jinsi uwabebavyo ndio jinsi uumiavyo. Jk aliwapa uhuru wa kufanya mambo yao na aliwabeba katika mambo fulani lkn mwisho wa siku kuwabeba kwake kuligeuka kaa la moto kwa yeye mwenyewe. Huruma yake kwao iliwafanya wamwite dhaifu, mpenda sifa nk. Kwa sasa mama anaona raha kushangiliwa kama alivyoanza kushangiliwa JK mwaka 2005 wakati anaingia lkn mwisho wa siku sifa hizo zikageuka majuto kwake. Ngoja siku atagusa masilahi yao ya kisiasa na kimaisha. "Ukicheza na mbwa sana ujiandae kufuatwa msikitini". Tuvute subira kidogo tuone baada ya mwaka mmoja hali ya siasa hapa nchini itakuaje ila atapoanza kushambuliwa asije kutumia nguvu kubwa kuwatuliza, maana atakuwa amewapa mwenyew njia ya kufanya hivyo.
 
nyani wala mahindi na kisa cha mkulima,aliyekuwa akiwafukuza.

walilaani sana pilika za mwendazake juu yao,kumbe alisaidia hata wasikike wapo.

huyu mama ndio mbaya maana hatumii nguvu kuyeyusha upinzania kabisa.anajua aguse wapi,nyumbu walipuke kwa shangwe.
 
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Ingekuwa sahihi kama haya ma - uchafu ya uonevu, uvunjivu Wa haki za binadamu, mauaji, utesaji watu anayojaribu kuyafuta au kuyarekebisha yasingekuwa yamefanyika kabisa na kusababisha vilio kila mahali....

Lakini hapa sikubaliani na wewe. Hakuna anachofanya yeye bali Mungu muumba anarekebisha mwenyewe palipokuwa pameharibiwa...

Kuna mambo ya hovyo sana yaliyotendeka wakati Wa utawala wa Mwendazake huku yeye akiwa msaidizi wake wa karibu, kama akijaribu kuyaweka sawa, basi kishindo cha matokeo yake hakitamwacha salama hadi yeye, lazima atupwe chini angukie pua...

Kwa kifupi kidogo anachojaribu kukuruka nacho na kufanya kwa kurekebisha huyu mama, ni uthibitisho wa moja kwa moja kuwa CCM ni hatari, ni chama cha kigaidi...

Ni suala la wakati tu. Lakini kila ubaya aliotendewa binadamu yeyote, kila kisicho cha haki kilichotendeka kwa nia ovu, lazima kifunuliwe na kuwekwa wazi na waliohusika walipe gharama yake...
 
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Unadhani upinzani unakufa kirahisi hivyo
 
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.

Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Kutenda haki sio kuua upinzani. Sasa tutaenda kwenye ushindani wa hoja na sera ambao ni msingi wa femokrasia ya vyama. Tunaondokana na siasa za kibabe na kibeberu.
 
Back
Top Bottom