mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
Kule ni moto wa volkano sio kuniBora upinzani ufe kwa style ya kufurahisha umma ila sio ufe kwa kuumiza watu.
Malaika ongeza kuni huyu jamaa uko aliko aungue milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule ni moto wa volkano sio kuniBora upinzani ufe kwa style ya kufurahisha umma ila sio ufe kwa kuumiza watu.
Malaika ongeza kuni huyu jamaa uko aliko aungue milele
Wanafikiri mtu akiwa mpinzani basi si mtanzania tena au pengine anakuwa shetani. Ni akili zilizooza kabisaHamnaga akili nyingine zaidi ya kuua upinzani? Ukifa wewe unapata nini au mumeo anacheo huko ccm??
Tujadili Sera na vitu vya maana kwa ustawi wa nchi na watu wake acheni upumbafu
Wewe ulitaka afanyaje labda? Aendelee kukandamiza wapinzani?Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
2025 mkipata ata diwani mumoja mtakua mumeshinda uchaguzi mkuuu.Mi nadhani anafufua upinzani watu wanajenga chama watakavyo kwa raha zote. Pia itaongeza wabunge na madiwani uchaguzi ujao
Mwendazake na Samia wote ni ccm kenge weweWakati mwenda zake anatumia nguvu kupambana na upinzani mbona ulikua unashangilia au akili hizi zimekujia leo?
Punguza jazba twende pole pole.Mwendazake na Samia wote ni ccm kenge wewe
Mama ni civilized educated na matured kelele za bawaba hazimnyimi usingizi.Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Kwa hoja na haki ccm saa nne asubui chaliKutenda haki sio kuua upinzani. Sasa tutaenda kwenye ushindani wa hoja na sera ambao ni msingi wa femokrasia ya vyama. Tunaondokana na siasa za kibabe na kibeberu.
Lkn anatengeneza upinzani kwa "push gang". Na ndiyo maana unasema anapata sifa -hasa upinzani-. Maana yake baadhi ya wanaCCM mnamchukia sana.Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Hapo anawafufua wanyonge wenye mawazo mbadala.Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Kwa hiyo wewe uliktakaje?Mama hauwi upinzani bali anajiua mwenyew na chama chake. Hawa watu hawana jema, jinsi uwabebavyo ndio jinsi uumiavyo. Jk aliwapa uhuru wa kufanya mambo yao na aliwabeba katika mambo fulani lkn mwisho wa siku kuwabeba kwake kuligeuka kaa la moto kwa yeye mwenyewe. Huruma yake kwao iliwafanya wamwite dhaifu, mpenda sifa nk. Kwa sasa mama anaona raha kushangiliwa kama alivyoanza kushangiliwa JK mwaka 2005 wakati anaingia lkn mwisho wa siku sifa hizo zikageuka majuto kwake. Ngoja siku atagusa masilahi yao ya kisiasa na kimaisha. "Ukicheza na mbwa sana ujiandae kufuatwa msikitini". Tuvute subira kidogo tuone baada ya mwaka mmoja hali ya siasa hapa nchini itakuaje ila atapoanza kushambuliwa asije kutumia nguvu kubwa kuwatuliza, maana atakuwa amewapa mwenyew njia ya kufanya hivyo.
Anaweza yeye akabaki 2025 ila ule msitu ulochipukizwa katikati ya Dodoma utavunwa zaidi ya nusu.yaonyani wala mahindi na kisa cha mkulima,aliyekuwa akiwafukuza.
walilaani sana pilika za mwendazake juu yao,kumbe alisaidia hata wasikike wapo.
huyu mama ndio mbaya maana hatumii nguvu kuyeyusha upinzania kabisa.anajua aguse wapi,nyumbu walipuke kwa shangwe.
hiyo nafasi ya kufyeka wanaipata wapi wako wanademka tu saa hizi,walilia nafasi ya kufanya siasa bila kubanwa wanayo na wanaimba mapambio ya kumtukuza mama.Anaweza yeye akabaki 2025 ila ule msitu ulochipukizwa katikati ya Dodoma utavunwa zaidi ya nusu.yao
Aachane na siasa za mitandaoni ambazo zimesababisha wasiokuwa na kesi wapewe kesi, na wenye kesi wafutiwe kesi.Kwa hiyo wewe uliktakaje?
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.