ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unakuaga kama KahabaCCM baba lao
Rais Samia Mama lao
Tundu akae kwa kutulia, CCM ipo sanaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuaga kama KahabaCCM baba lao
Rais Samia Mama lao
Tundu akae kwa kutulia, CCM ipo sanaaaaaa
Anayo fanya SSH ndo upinzani walikua wanataka Haki,Usawa na Utu, upinzani unakufaje au ndio una imarika baada ya uovu kufichuliwa?Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea hivi mpaka 2025 upinzani utakua na wakati mgumu hasa kwenye nafasi ya Urais.
Ulilelewa vibaya kuaminishaa kua upinzani ni uaduiMama hauwi upinzani bali anajiua mwenyew na chama chake. Hawa watu hawana jema, jinsi uwabebavyo ndio jinsi uumiavyo. Jk aliwapa uhuru wa kufanya mambo yao na aliwabeba katika mambo fulani lkn mwisho wa siku kuwabeba kwake kuligeuka kaa la moto kwa yeye mwenyewe. Huruma yake kwao iliwafanya wamwite dhaifu, mpenda sifa nk. Kwa sasa mama anaona raha kushangiliwa kama alivyoanza kushangiliwa JK mwaka 2005 wakati anaingia lkn mwisho wa siku sifa hizo zikageuka majuto kwake. Ngoja siku atagusa masilahi yao ya kisiasa na kimaisha. "Ukicheza na mbwa sana ujiandae kufuatwa msikitini". Tuvute subira kidogo tuone baada ya mwaka mmoja hali ya siasa hapa nchini itakuaje ila atapoanza kushambuliwa asije kutumia nguvu kubwa kuwatuliza, maana atakuwa amewapa mwenyew njia ya kufanya hivyo.
Anaeamini kuwa upinzani au siasa ni uadui ni yule aliekimbilia ulaya kuomba watanzania tuwekewe vikwazo na kunyimwa misaada kwa sababu zake za kisiasa, bila kujali kwamba vikwazo hivyo vitaweza kuathiri watanzania wengi wakiwemo ndugu zake na wapinzani wenzake. Kitendo cha kulishwa bure ulaya, kuishi bure ulaya na kuongea utumbo wake bure katika nchi za ulaya kilimfanya asahau kabisa ndugu zake na wanachama wake ambao vikwazo hivyo vingewaathiri pakubwa.Ulilelewa vibaya kuaminishaa kua upinzani ni uadui
SaitakuajeChama-dola, katiba boya, tume boya, kila kitu boya - serikali aina ya oligarchy.
Bavicha ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tuPunguza jazba twende pole pole.
Nikweli Samia Na Magufuli Wote Ni CCM nakubali Ila Vipi Kuhusu Mitazamo Yao Inafanana Au Ni Tofauti?.
Unakuaga kama Kahaba
Kahamia kwenye kubetmama kamfanya kigogo anabishana mipira AC MILAN
Kwa sasa bavicha ni ccm B, bila shaka mwaka 2025 ccm na chadema watajiunga dhidi ya chama cha Zito ambacho ndo kitasimama kama chama cha upinzani.Bavicha ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu
Kwahyo kila mwenye mawazo tofauti na yako ni chadema ama kweli hizi ni akili mufilisi kabisa🤣🤣🤣Bavicha ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu