Hivi anavyofanya Rais Samia ndio kuua upinzani

Hamnaga akili nyingine zaidi ya kuua upinzani? Ukifa wewe unapata nini au mumeo anacheo huko ccm??
Tujadili Sera na vitu vya maana kwa ustawi wa nchi na watu wake acheni upumbafu
Wanafikiri mtu akiwa mpinzani basi si mtanzania tena au pengine anakuwa shetani. Ni akili zilizooza kabisa
 
Upinzani hauwezi kufa hata kwenye familia upinzani unakuwepo sio lazima uuone wazi wazi..


Upinzani huanzia kwenye fikra sio yote asemayo baba ndio ya mdomoni itakua sawa na moyoni ..wanaweza kufanya ila wasifanye kwa moyo na ufanisi ukawa duni huo ni upinzani pia
 
Wewe ulitaka afanyaje labda? Aendelee kukandamiza wapinzani?
 
Hapa home wife alikuwa kwa DIKTETA....Sasa leo mimi namsapoti MAMA.....zamu kwa zamu
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta

Bavicha wote sasa hivi wanashangilia ccm
 
Mwendazake na Samia wote ni ccm kenge wewe
Punguza jazba twende pole pole.

Nikweli Samia Na Magufuli Wote Ni CCM nakubali Ila Vipi Kuhusu Mitazamo Yao Inafanana Au Ni Tofauti?.
 
Mama ni civilized educated na matured kelele za bawaba hazimnyimi usingizi.
Chura hawamzui kunywa maji
 
Kutenda haki sio kuua upinzani. Sasa tutaenda kwenye ushindani wa hoja na sera ambao ni msingi wa femokrasia ya vyama. Tunaondokana na siasa za kibabe na kibeberu.
Kwa hoja na haki ccm saa nne asubui chali
 
Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Lkn anatengeneza upinzani kwa "push gang". Na ndiyo maana unasema anapata sifa -hasa upinzani-. Maana yake baadhi ya wanaCCM mnamchukia sana.
 
Hapo anawafufua wanyonge wenye mawazo mbadala.
 
Kwa hiyo wewe uliktakaje?
 
Anaweza yeye akabaki 2025 ila ule msitu ulochipukizwa katikati ya Dodoma utavunwa zaidi ya nusu.yao
 
Anaweza yeye akabaki 2025 ila ule msitu ulochipukizwa katikati ya Dodoma utavunwa zaidi ya nusu.yao
hiyo nafasi ya kufyeka wanaipata wapi wako wanademka tu saa hizi,walilia nafasi ya kufanya siasa bila kubanwa wanayo na wanaimba mapambio ya kumtukuza mama.
 

..Mnakosea sana kufikiria " kuua " upinzani.

..Watu wenye mawazo mbadala hawawezi kupotea ktk ardhi ya Tz au hapa duniani.

..Rais Samia au CCM haiwezi kutatua changamoto zote ktk maisha ya Watz.

..Kutokana na UKWELI huo hakuna uwezekano wa kutokuwepo chama au kikundi cha watu kitakacho-propose namna bora au tofauti ya kushughulika na matatizo ya Watz.

..Mama Samia anaweza kuajiri Watz wote walioko mtaani. Lakini anaweza kutokea "mpinzani" akajenga hoja kwamba mishahara ni midogo, au mazingira ya kazi siyo mazuri,...na wananchi wakamchagua wakavutiwa na hoja zake.

..Again, upinzani hauwezi kufa, au kukosa hoja, unless Watz wameacha kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…