Hivi anavyofanya Rais Samia ndio kuua upinzani

Anayo fanya SSH ndo upinzani walikua wanataka Haki,Usawa na Utu, upinzani unakufaje au ndio una imarika baada ya uovu kufichuliwa?
 
Ulilelewa vibaya kuaminishaa kua upinzani ni uadui
 
Ulilelewa vibaya kuaminishaa kua upinzani ni uadui
Anaeamini kuwa upinzani au siasa ni uadui ni yule aliekimbilia ulaya kuomba watanzania tuwekewe vikwazo na kunyimwa misaada kwa sababu zake za kisiasa, bila kujali kwamba vikwazo hivyo vitaweza kuathiri watanzania wengi wakiwemo ndugu zake na wapinzani wenzake. Kitendo cha kulishwa bure ulaya, kuishi bure ulaya na kuongea utumbo wake bure katika nchi za ulaya kilimfanya asahau kabisa ndugu zake na wanachama wake ambao vikwazo hivyo vingewaathiri pakubwa.
 
Punguza jazba twende pole pole.

Nikweli Samia Na Magufuli Wote Ni CCM nakubali Ila Vipi Kuhusu Mitazamo Yao Inafanana Au Ni Tofauti?.
Bavicha ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu
 
Bavicha ni mwendo wa kusifu na kuabudu ccm tu
Kwa sasa bavicha ni ccm B, bila shaka mwaka 2025 ccm na chadema watajiunga dhidi ya chama cha Zito ambacho ndo kitasimama kama chama cha upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…