mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Hata wangejenga Katoro ili watu wa migodi wa Bulyanhulu watumie.Kutoka Geita mpaka chato kuna miji midogo midogo inazidi ukubwa Chato. Kwa kweli kule wamebugi. Walishindwa nini kuweka Geita mjini?
Kuliko kujenga CHATO Tena kijijini,ililazimishwa kupewa wilaya.