Hivi ATCL kufanya safari za ndege Chato, hakutaliletea hasara kibiashara Shirika hilo?

Hivi ATCL kufanya safari za ndege Chato, hakutaliletea hasara kibiashara Shirika hilo?

ATCL bila ruzuku toka magogoni au tuseme ikulu ya chamwino lingeshajifia kitambo.Sasa lazima wajipendekeze kwa kulipa fadhili kupeleka ndege zake Chato!
Jackal
Lazima utambue kuwa mwisho wa siku anayeumia ni Mimi na wewe, ambao tumelipa kodi zetu kikamilifu
 
Ili makijani wajue umuhimu wa ile katiba mpya nakwanini anasingizia gharama hataki itimie tutaichambua chato kabla na baada ya hii miaka kumi...
Ndipo utajua kunawatu wengi kijanini wanakosa maarifa kabisa bali uroho binafsi!!
 
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato.

Ninavyojua Mimi ni kuwa unapokuwa kwenye biashara ni lazima kwanza ufanye "feasibility study" kujua kama mpango wako utakuletea faida kabla ya kuanza kuutekekeza.

Ninajiuliza hivi hao ATCL wamefanya kweli hiyo "feasibility study" kabla ya shirika hilo kujitumbukiza kufanya safari za ndege kuelekea huko kijijini Chato?

Nina uhakika kuwa safari hizo za shirika za ndege la ATCL kuelekea Chato zitaliingizia hasara shirika hilo, sasa ni kwanini wajitumbukize kwenye huo mradi utakaowaletea hasara?

Je, shirika hilo la ATCL kufanya safari huko Chato ni katika "kujikomba" kwa Rais wa nchi hii, John Pombe Magufuli, ambaye ni nyumbani kwake huko Chato?

Kwa kuwa tunafahamu kuwa CAG wala Bunge halitakuwa na "ubavu" wa kulihoji shirika hilo kama limekula hasara, kwa kuwa shirika hilo limehamishiwa shughuli zake kwenye ofisi ya Rais, ambapo ni "marufuku" kufanya uchunguzi kwenye shughuli zozote ambazo ziko chini ya ofisi hiyo ya Rais!

Ninavyofahamu Mimi ni kuwa shirika hilo likipata hasara ya uendeshaji wake, litapata ruzuku kutoka serikalini, ambazo ni pesa za walipa kodi wa nchi hii, za kwako na za kwangu, kwa hiyo tuna haki ya kuhoji uendeshaji wa shirika hilo.

Nimekuwa nikijiuliza hivi huo ndiyo utawala bora unaozingatia sheria za nchi hii?

Tunamuomba Mtendaji Mkuu wa shirika hilo la ATCL, Stanslaus Matindi ajitokeze hadharani na kutujibia maswali haya kama shirika lake limefanya "feasibility study" ya kutosha na kujiridhisha kuwa kupeleka safari za ndege huko kijijini Chato, kutaliletea faida shirika hilo.
Mkuu ungeenza na Kigoma ningeelewa; ninachoona ni kama unachuki na JPM na Chato ni fursa ya kuonyesha chuki zako
1609768994778.png
 
Ni top 10 kwa kutembelewa na wageni toka nje ya nchi ndani sio kweli

Siko mbuga zina watalii wa ndani wa kufa mtu mfano mikumi national park kipindi cha sana sana train za TRC zenye mabehewa kibao hupeleka watalii

Mbuga hizo nazijua na nililipa laki saba kampuni ya kitalii kuondoka na gari ya kitalii kwenda ngorongoro unakuta kumejaa watalii wengi wa nje tu

Issue sio ku capture tu soko la nje ni ku capture la ndani pia maeneo mbalimbali
Watalii wa nje ndio wanaingiza pato kubwa. Burig chato wamekuja juzi tu. Huwez wapita akina kilimanjaro ,manyara ,akina serengeti, tarangire ,akina ngorongoro. Kwa mapato.
Ndio zinaongoza kwa watalii wa nje. Hao ndio target ya kibiashara.
Mbuga international ndio hizo. Watalii wa ndani hawaingiz pato kubwa. Kama wa nje.

Kila mgeni anaekuja lazima anaaze na mbuga kubwa zinazojulikana tz. Ziko arusha na moshi.
.
 
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato.

Ninavyojua Mimi ni kuwa unapokuwa kwenye biashara ni lazima kwanza ufanye "feasibility study" kujua kama mpango wako utakuletea faida kabla ya kuanza kuutekekeza.

Ninajiuliza hivi hao ATCL wamefanya kweli hiyo "feasibility study" kabla ya shirika hilo kujitumbukiza kufanya safari za ndege kuelekea huko kijijini Chato?

Nina uhakika kuwa safari hizo za shirika za ndege la ATCL kuelekea Chato zitaliingizia hasara shirika hilo, sasa ni kwanini wajitumbukize kwenye huo mradi utakaowaletea hasara?

Je, shirika hilo la ATCL kufanya safari huko Chato ni katika "kujikomba" kwa Rais wa nchi hii, John Pombe Magufuli, ambaye ni nyumbani kwake huko Chato?

Kwa kuwa tunafahamu kuwa CAG wala Bunge halitakuwa na "ubavu" wa kulihoji shirika hilo kama limekula hasara, kwa kuwa shirika hilo limehamishiwa shughuli zake kwenye ofisi ya Rais, ambapo ni "marufuku" kufanya uchunguzi kwenye shughuli zozote ambazo ziko chini ya ofisi hiyo ya Rais!

Ninavyofahamu Mimi ni kuwa shirika hilo likipata hasara ya uendeshaji wake, litapata ruzuku kutoka serikalini, ambazo ni pesa za walipa kodi wa nchi hii, za kwako na za kwangu, kwa hiyo tuna haki ya kuhoji uendeshaji wa shirika hilo.

Nimekuwa nikijiuliza hivi huo ndiyo utawala bora unaozingatia sheria za nchi hii?

Tunamuomba Mtendaji Mkuu wa shirika hilo la ATCL, Stanslaus Matindi ajitokeze hadharani na kutujibia maswali haya kama shirika lake limefanya "feasibility study" ya kutosha na kujiridhisha kuwa kupeleka safari za ndege huko kijijini Chato, kutaliletea faida shirika hilo.
Rubbish country!! Rubbish advisers!! Rubbish rubbish!!!! Our taxes have no one to look after!! We are damned!!
 
Waende tu Chato wakipata hasara shauri zao maana haitupunguzi wala kutuongezea chochote
 
Mleta mada

Ujinga wako ni hapo ulipoandika kijijini Chato

Chato sio kijiji ni Mji
Naona hujawahi hata fika unaandika upumbavu wako hapa
Usitumie nguvu nyingi kumfahamisha asiyefahamu, tupiamo na tupicha picha basii.
 
Subiri safari zianze usiseme una uhakika wakati biashara haijaanza
 
Huyo anayejiita mwendawazimu hajali kama ndege zitaenda tupu na kurudi tupu Dar na hivyo kutuingiza walipa kodi kwenye hasara kubwa sana ya mabilioni. Anachojali yeye ni uwanja wale wake wa Kimataifa usio na tija kwa Watanzania kutumika.
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato.

Ninavyojua Mimi ni kuwa unapokuwa kwenye biashara ni lazima kwanza ufanye "feasibility study" kujua kama mpango wako utakuletea faida kabla ya kuanza kuutekekeza.

Ninajiuliza hivi hao ATCL wamefanya kweli hiyo "feasibility study" kabla ya shirika hilo kujitumbukiza kufanya safari za ndege kuelekea huko kijijini Chato?

Nina uhakika kuwa safari hizo za shirika za ndege la ATCL kuelekea Chato zitaliingizia hasara shirika hilo, sasa ni kwanini wajitumbukize kwenye huo mradi utakaowaletea hasara?

Je, shirika hilo la ATCL kufanya safari huko Chato ni katika "kujikomba" kwa Rais wa nchi hii, John Pombe Magufuli, ambaye ni nyumbani kwake huko Chato?

Kwa kuwa tunafahamu kuwa CAG wala Bunge halitakuwa na "ubavu" wa kulihoji shirika hilo kama limekula hasara, kwa kuwa shirika hilo limehamishiwa shughuli zake kwenye ofisi ya Rais, ambapo ni "marufuku" kufanya uchunguzi kwenye shughuli zozote ambazo ziko chini ya ofisi hiyo ya Rais!

Ninavyofahamu Mimi ni kuwa shirika hilo likipata hasara ya uendeshaji wake, litapata ruzuku kutoka serikalini, ambazo ni pesa za walipa kodi wa nchi hii, za kwako na za kwangu, kwa hiyo tuna haki ya kuhoji uendeshaji wa shirika hilo.

Nimekuwa nikijiuliza hivi huo ndiyo utawala bora unaozingatia sheria za nchi hii?

Tunamuomba Mtendaji Mkuu wa shirika hilo la ATCL, Stanslaus Matindi ajitokeze hadharani na kutujibia maswali haya kama shirika lake limefanya "feasibility study" ya kutosha na kujiridhisha kuwa kupeleka safari za ndege huko kijijini Chato, kutaliletea faida shirika hilo.
 
Mleta mada

Ujinga wako ni hapo ulipoandika kijijini Chato

Chato sio kijiji ni Mji
Naona hujawahi hata fika unaandika upumbavu wako hapa
Chato kuna mradi mingi sasa ya kumwaga fuata nyuki ule asali,by December 2025 ni fire.
 
Back
Top Bottom