Hivi ATCL kufanya safari za ndege Chato, hakutaliletea hasara kibiashara Shirika hilo?

Hivi ATCL kufanya safari za ndege Chato, hakutaliletea hasara kibiashara Shirika hilo?

Mtalii gani mwenye akili zake timamu aende akatalii chato.

Hata wewe mwanalumumba na mfia magufuli ukiulizwa kati ya chato kilimanjaro au Arusha unapenda ukatalii wapi utachagua Arusha au Kilimanjaro na siyo.
Nenda mwanza mjini uone watu wanavyofurika kutalii Mbuga ya Chato

Yaani msukuma atoke shinyanga aende kutalii mbuga za Arusha na Moshi aache iliyo hapo jirani?

Ni afunge safari toka kigoma au kagera au Tabora aende kutalii Arusha na Moshi ?

Mbuga ni huduma ya Jamii ndio maana watu wamesogezewa karibu wawaone a jirani kwa gharama nafuu miliki wangefunga safari kulipa malaki nauli na malazi kwenda Arusha na Kilimanjaro

Baada ya kupelekwa wanyama watalii wameongezeka sana mfano mbuga ya kisiwa cha sanane Mwanza Mjini week end kunafurika watalii wa kufa mtu
 
My bet wamelazimishwa ili kuhalalisha uwepo wa uwanja wenyewe. Feasibility study ilipaswa ianze na uwanja wenyewe.
Chato kuna mbuga ya wanyama kuna mahoteli ya kitalii na kampuni kibao za Tours za binafsi zenye magari ya kubeba watalii

hao wote unafikiri wapo Chato bila kufanya feasibility study kuwa business zao zitalipa?
 
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato...
Wateja wengi wa Geita, Kahama (kwenye mafini) waliokuwa wanashukia mwanza, sasa watashukia Chato ambapo ni karibu!
 
Chato nzima wenye kumudu kupanda Ndege awafiki 10
Huyo utafiti uliufanyia wapi?

Geita kuna mgodi mkubwa barani Africa wa Dhahabu wa Geita Gold mine yenye wafanyakazi kibao

Kuna wachimbaji Dhahabu binafsi kibao wenye mgodi
Kuna mahoteli ya kutalii kibao kuna kampuni za Tours kibao

Kuna matajiri wa mabasi na malori kibao

Kuna maofisa wa serikali wamiliki vituo vya mafuta biashara nk

Hizo takwimu zako mmmmm
 
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato...
Tambua kuwa chetro sahiv ni sehem ya utalii kuna mbuga nzuri tu ambayo moja kati ya kaz za mabaloz huko ulaya walipo ni pamoja na kuitangaza chetro kwa nguvu zao za ziada ili chetro iongoze kwa kuingiza watalii wengi na hivo pesa ya kigen itaongezeka.

Chetro itakua sehem nzuri ya biashara na makaz salama kwa watz hivyo patachangamka na punde si punde patakua jiji l chetro. Mji hutengenezwa na chetro inatengenezwa
 
Yaani msukuma atoke shinyanga aende kutalii mbuga za Arusha na Moshi aache iliyo hapo jirani?
Usitusemee tafadhali! Pambavuuuu! Yaani tuache kwenda kuangalia wanyama wa maana Ngorongoro tuje tuhangaike na swala wa kutafuta?
 
Tambua kuwa chetro sahiv ni sehem ya utalii kuna mbuga nzuri tu ambayo moja kati ya kaz za mabaloz huko ulaya walipo ni pamoja na kuitangaza chetro kwa nguvu zao za ziada ili chetro iongoze kwa kuingiza watalii wengi na hivo pesa ya kigen itaongezeka...
Chetro itakua sehem nzuri ya biashara na makaz salama kwa watz hivyo patachangamka na punde si punde patakua jiji l chetro...
Mji hutengenezwa na chetro inatengenezwa
Napendekeza hata ATCL waweke makao yao makuu Chato. Halafu anzeni kupanga mawe na madongo mtengeneze mlima Chato
 
Mkuu nakupongeza kwa huu uzi, hata ukitaka aseme hivyo, atajitokeza na atasema hivyo. Lakini haimaanishi ni lazima awe anasema ukweli. Kwa sasa serikali kusema uongo ni jambo la kawaida kabisa.
Wanasema anachotaka Mkuu kusikia...............

Kwa kuwa Jiwe anapenda kusikia taarifa za kudanganywa, basi wasaidizi wake ndiyo wanavyojitahidi kuongopa!
 
Kimei aliwahi kusema wkt anafungua branch ya CRDB kule chato 'kutokana na utafiti alioufanya mh. No.1 imeonekana Chato panafaa kuwekwa bank'.

So kwa sasa hivi hatujajua 'feasibility study' ya kupeleka ndege huko ilifanywa na nani.
Nakumbuka sana hii kauli, kwa wenye kuelewa, Meko alikuwa ametukanwa tusi kubwa sana.

Nimetafuta video ya hili tukio nimekosa kabisa, hii kauli inapaswa kuingia kwenye historia; miaka 100 ijayo watu wakisoma kuhusu huu utawala waione
 
Huyo utafiti uliufanyia wapi?

Geita kuna mgodi mkubwa barani Africa wa Dhahabu wa Geita Gold mine yenye wafanyakazi kibao

Kuna wachimbaji Dhahabu binafsi kibao wenye mgodi
Kuna mahoteli ya kutalii kibao kuna kampuni za Tours kibao

Kuna matajiri wa mabasi na malori kibao

Kuna maofisa wa serikali wamiliki vituo vya mafuta biashara nk

Hizo takwimu zako mmmmm

Kama majiji makubwa tu na hazijawahi jaa sembuse chattotown
 
Huyo utafiti uliufanyia wapi?

Geita kuna mgodi mkubwa barani Africa wa Dhahabu wa Geita Gold mine yenye wafanyakazi kibao...
Kwahiyo Hao wafanyakazi wa GGM ndio abiria wa hizo ndege?

Kuna matajiri wa mabasi na malori kibao, kuna maofisa wa serikali, wamiliki bwa vituo vya mafuta, biashara nk! Sifa hizi kwa hapa Tanzania ziko Dar, mikoa mingine kama Mwanza na Arusha ni kidogo mno, ndio itakuwa Chato?

Hata wakati Mobutu amejenga uwanja wa ndege kijijini kwao, alikuwa na watetezi kama ww, leo hii hao wapambe hawathubutu hata kwenda kuangalia dhambi ya midomo yao kwa wingi wa majoka yaliyoko katikati ya huo uwanja wa ndege.
 
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato...
Mtu anapeleka ndege zake kwao nyie mnahoji?
 
Kwahiyo Hao wafanyakazi wa GGM ndio abiria wa hizo ndege?

Kuna matajiri wa mabasi na malori kibao, kuna maofisa wa serikali, wamiliki bwa vituo vya mafuta, biashara nk! Sifa hizi kwa hapa Tanzania ziko Dar, mikoa mingine kama Mwanza na Arusha ni kidogo mno, ndio itakuwa Chato? Hata wakati Mobutu amejenga uwanja wa ndege kijijini kwao, alikuwa na watetezi kama ww, leo hii hao wapambe hawathubutu hata kwenda kuangalia dhambi ya midomo yao kwa wingi wa majoka yaliyoko katikati ya huo uwanja wa ndege.
Hao wanaLumumba ndiyo zao hizo.

Siku akitoka madarakani huyu Jiwe tutaanza waona wakisema ilikuwa makosa makubwa sana kujenga uwanja huko.
 
Back
Top Bottom