Huwezi kuwa mchezaji ukakosa timu. Kama Yikpe ana timu Bangala angekosaje timu?Tatizo mmeumia kuona mlitaka mumpoteze Bangala ila Mungu kasaidia jamaa katua Azam. Lengo lenu la kwamba jamaa afulie kwa kukosa timu limefeli
Hata kama ni kupata timu mlitamani kusikia katua Singida mlipotaka kumpeleka kwa mkopo au Ihefu,NamungoHuwezi kuwa mchezaji ukakosa timu. Kama Yikpe ana timu Bangala angekosaje timu?
Mzize ametoka Simba? Kwa nini Simba msisajiri under 20 kuja timu ya wakubwa? Kwani hamna under 20? Kwa nini muhangaike kusajili wachezaji wa nje?Ifike wakati viongozi wa Utopolo wawe wanazaa wachezaji wao wenyewe.
Wanachukia sana wachezaji hawa hasa wakiwadai.Wamekuwa kama chama kijani.Hata kama ni kupata timu mlitamani kusikia katua Singida mlipotaka kumpeleka kwa mkopo au Ihefu,Namungo
Kabisa sasa jamaa wanapaniki niniHuwezi kuwa mchezaji ukakosa timu. Kama Yikpe ana timu Bangala angekosaje timu?
Hesabu huanza na 1,2,3+...+n hivyo tusubiri tuone na Fei itakuajeAzam hawana uongozi mzuri, wanashindwa kutathminini mambo kwa kina.
Hakuna mchezaji yoyote waliye wahi mchukua kutokea Yanga akiwa nyota akafanya vizuri Azam. Ngasa alijaribu ila ikashindikana.
Kuanzia Kavumbagu, Domayo,Ngasa, Ngoma n.k kama yupo mnaye mfahamu aliye wika akiwa Azam mni kumbushe.
Fei ashapiga hatricAzam hawana uongozi mzuri, wanashindwa kutathminini mambo kwa kina.
Hakuna mchezaji yoyote waliye wahi mchukua kutokea Yanga akiwa nyota akafanya vizuri Azam. Ngasa alijaribu ila ikashindikana.
Kuanzia Kavumbagu, Domayo,Ngasa, Ngoma n.k kama yupo mnaye mfahamu aliye wika akiwa Azam mni kumbushe.
Mimi sio mtabiri, ila ni mambo ambayo yameshatokea kwa wachezaji wengi walio toka pale Yanga kwa vishindo wakienda Azam.Fei ashapiga hatric
ZuzuFei ashapiga hatric
Wanajulikana kua ni Dada zao makolo ndio maana tunawabonda kisawasawa kila tukikutana naoHave you noticed kwamba kipindi simba anashinda kombe la league 4 years consecutively, Azam hakuwai kuwa serious na kulitaka kushindania kombe ila ghafla Yanga akianza kushinda back to back league title, ghafla Azam anakuwa serious kum-challenge yanga kuliko hata watani zetu wenyewe. That team is full of weird shit and led by clowns