Pre GE2025 Hivi bado mna imani na CHADEMA bado kuja kuikomboa Tanzania?

Pre GE2025 Hivi bado mna imani na CHADEMA bado kuja kuikomboa Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwa nyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha Hayati Magufuli
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Inawezekana ni kweli, je ccm wanodhidi kuharibu nchi yetu, wanafanya kazi kwa ajiri ya nini?
Kuna adui mbele, ana siraha za, kutosha, na fedha,
Kuna kikundi cha wapiganaji tumekituma kipambane, wana siraha kidogo, na fedha chache, we umeona askari ka jikwa kaanguka, unasema, hafai,hatutashinda Vita,! Msaidie bro, mnyanyue, usimseme wakati wewe umejificha ndani, vitani huendi, lakini wakishinda Vita, utafaidika,
 
Inawezekana ni kweli, je ccm wanodhidi kuharibu nchi yetu, wanafanya kazi kwa ajiri ya nini?
Kuna adui mbele, ana siraha za, kutosha, na fedha,
Kuna kikundi cha wapiganaji tumekituma kipambane, wana siraha kidogo, na fedha chache, we umeona askari ka jikwa kaanguka, unasema, hafai,hatutashinda Vita,! Msaidie bro, mnyanyue, usimseme wakati wewe umejificha ndani, vitani huendi, lakini wakishinda Vita, utafaidika,
nchi inaharibiwa na watz wote sio ccm toa uchama hapo hakuna wazalendo now days
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Sawa tumekuelewa, Tufanyeje sasa?
 
Back
Top Bottom