Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
ila ndio hawajapata nafasiMbona wapo....
Wako ndani ya CCM......tele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ndio hawajapata nafasiMbona wapo....
Wako ndani ya CCM......tele
mm nimeuliza tu mm siamin kitu hapa ccm foreverSema hata uzi ungesema hatua mini.
Naona tunaenda pamoja kabisa
Cutie bibi zako wa Likuyufusi wanakusalimu hapa..... 🤣Umegeukiaa kwenye Siasa, kazii ipooo,
Wooiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ww tena wakat muogaBICHWA KOMWE ataikomboa Tanganyika.
wewe unahis ni rais yupi atakubali kufanya ivyTunataka mfumo wa haki wa uchaguzi kuanzia ngazi ya kata mpaka urais.
Tunataka matokeo ya urais kupingwa mahakamani.
Tunataka mgombea huru.
Tukiendelea na mfumo huu wa sasa wa uchaguzi tutakuwa maskini mpaka Yesu arudi.
Hapana mbona wamezipata.....wengi tu....ila ndio hawajapata nafasi
Wee huogopiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikitekwa uanze kampeni ya kunililia
Rais Nyerere tu ndiye alikuwa anachukia wizi na ufukara.wewe unahis ni rais yupi atakubali kufanya ivy
nikitekwa uanze kampeni ya kunililia
😍Mkombozi wa nchi yako ni wewe mwenyewe kutegemea jirani yako akukomboe huo ni ujinga wa hali ya juu.
mm siogopiWee huogopiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja tuoneHapana mbona wamezipata.....wengi tu....
Kwani hata misa ya kanisa inakosa waamini ambao ni wachawi ?!!
Kanisa lina waamini wengi wema......
hakuna.wakunyukana hap tz wakiona magar ya jeshi tu mbioRais Nyerere tu ndiye alikuwa anachukia wizi na ufukara.
Itafika mahali labada miaka 30 ijayo wakati wa kizazi hicho wataamua kunyukana ili wapate katiba nzuri kama Kenya
wananchi wenyewe waogaHii nchi utakombolewa na either wananchi wenyewe watakapo choka au Jeshi. Hao BAVICHA sijui Chann, Hawana maajabu
Umpinzani❎kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Watu kama nyie tunawaita “denialists “ na ni another form ya manipulators. Hawa waliopo nje tusiwaamini kwasababu wataenda kupambania familia zao, Sawa… Je hawa waliopo wanafanyaje? Au wao ndio wana hati miliki ya kupambania familia zao na wengine wote hawaruhusiwi?usiamin mtu akilamba utamu atakumbuka kwao na ndugu zake na kuangaika kutokomeza umasikini wa familia yake
sio kitoto embu chunguza vzr kuna kiongozi mwenyewe ana uchungu na hii nchiWatu kama nyie tunawaita “denialists “ na ni another form ya manipulators. Hawa waliopo nje tusiwaamini kwasababu wataenda kupambania familia zao, Sawa… Je hawa waliopo wanafanyaje? Au wao ndio wana hati miliki ya kupambania familia zao na wengine wote hawaruhusiwi?
Unajadili kitoto 🗑️
Unaweza usiwe mzuri, kuliko kuendea kuchagua viongozi wenye akili ndogo wabinafsi kilasiku .mfumo up unaona mzuri
Ukombolewe kutoka kwenye nini?kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli