Pre GE2025 Hivi bado mna imani na CHADEMA bado kuja kuikomboa Tanzania?

Pre GE2025 Hivi bado mna imani na CHADEMA bado kuja kuikomboa Tanzania?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuamini CHADEMA itatukomboa inawezekana sio kweli, ila kuamini tukiacha CCM madarakani tutakombolewa huo ni UWENDAWAZIMU uliotukuka.
Kuweka Hatima ya Nchi kwenye kikundi cha watu ni upumbavu usio mithilika, yeye kama Mwananchi amechukua jukumu gani kubadilisha hali hii ya ukandamizwaji? Tunatawaliwa Kidikteta kwasababu tumeshindwa kuwajibika kama Wananchi, tunakaa kuwalaumu Wanasiasa wakati Sisi wenyewe hatuwajibiki hata kidogo.
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
NDIO
 
Kuamini CHADEMA itatukomboa inawezekana sio kweli, ila kuamini tukiacha CCM madarakani tutakombolewa huo ni UWENDAWAZIMU uliotukuka.
Nakubaliana na wewe Mkuu 100% kuamini Chadema ni mbadala wa CCM ni upumbavu na kuamini hakitakiwi chama kingine zaidi ya CCM ni upumbavu uliotukuka maana viongozi wote wa vyama hapa Tanzania wapo kwa ajili ya matumbo Yao na sikwaajili ya Wananchi
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Wewe ni mtoto wa mwanamke malaya siyo bure
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Hakuna Chama kinachoaminika 100% mpaka muda huu, vyote vinachechemea tu, ila tunahitaji mabadiliko yawe ndani ya CCM au nje ya CCM.
Rejea kauli ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa ".....Watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyaona au wasipoyapata ndani ya CCM watayataguta nje ya CCM".
 
Hakuna Chama kinachoaminika 100% mpaka muda huu, vyote vinachechemea tu, ila tunahitaji mabadiliko yawe ndani ya CCM au nje ya CCM.
Rejea kauli ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa ".....Watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyaona au wasipoyapata ndani ya CCM watayataguta nje ya CCM".
nje ya ccm hakuna kitu ni njaaa tup imagine mtu uchaguzi bado ila kashapanga baraza lake la mawaziri ni sawa kweli?
 
nje ya ccm hakuna kitu ni njaaa tup imagine mtu uchaguzi bado ila kashapanga baraza lake la mawaziri ni sawa kweli?
Hata ndani nako ipo haja ya kujiweka sawa, hakuna usafi huo unaodhani ndiyo maana kuna watu wakipewa microphone wanaropoka ujinga kama hawajajifunza uongozi.
 
kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Ungejua CCM wanavyoiogopa Chadema usingekuwa na mawazo hayo
 
hawaiogopi ila chadema inachafua ccm hasa inamchafua rais
Frankly speaking kuna mahali pia CCM inajichafua yenyewe, tuseme tu ukweli ili kukiimarisha chama zaidi, ni suala la kukubali na kujirekebisha tu ila kujitetea, kusifiasifia hakusaidii zadi ya kupunguza uwajibikaji na kutafuta pa kutupia lawama "comfort zone".
 
Back
Top Bottom