cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee neng'enekaaa tyuuh, Lolmm siogopi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee neng'enekaaa tyuuh, Lolmm siogopi
Mfumo uliopo unaruhusu hivyotuvumiliane ty wasomi hawapewi nafas
mfumo mbovu ulitengenezwa tangu tumepata.uhuruMfumo uliopo unaruhusu hivyo
Bila chadema hakuna chama kingine kitaleta ukombozi nchini. Labda ipite miaka 100. Tuiunge mkono Chadema ili tupate ukombozi wa pili wa kiuchumi na kijamii. Haya mambo ya kuwa ili uletewe maji, umeme nk chagua fulani yataisha kwa chademakwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Wajumbe, namna wanavyopatikana na namna wanavyotekeleza maazimio yao ni mfumo fulani mgumu sana kuuelewa.mfumo mbovu ulitengenezwa tangu tumepata.uhuru
chadema ipi unayo izungumzia wewe?Bila chadema hakuna chama kingine kitaleta ukombozi nchini. Labda ipite miaka 100. Tuiunge mkono Chadema ili tupate ukombozi wa pili wa kiuchumi na kijamii. Haya mambo ya kuwa ili uletewe maji, umeme nk chagua fulani yataisha kwa chadema
tungojee labda kizazi kijachoWajumbe, namna wanavyopatikana na namna wanavyotekeleza maazimio yao ni mfumo fulani mgumu sana kuuelewa.
Chama chenye uwezo wa kupata kura zaidi ya milioni moja kwenye uchaguzi mkuu ni chama kikubwa sana.kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Tatizo ni legacy inayoachwa inakula na hicho kizazi kinachongojewatungojee labda kizazi kijacho
Swali hili linapendeza zaidi kuwauliza wadau kama bado wana imani na CCM ambayo inakataa kwamba hakuna aneyetekwa bali wanajitekenya ama kuigizakwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
Hakika, haipo haja ya kupuuzia jamboChama chenye uwezo wa kupata kura zaidi ya milioni moja kwenye uchaguzi mkuu ni chama kikubwa sana.
Imagine hao watu milioni moja wakaanzisha uasi, ni hasara kubwa sana kwa Taifa.
Tusipuuze hivi vyama vyenye watu wengi.
nchi inaharibiwa na watz wote sio ccm toa uchama hapo hakuna wazalendo now days
ushahid wa ilo unao?..wanatofautiana viwango.
..kibaya zaidi ktk Ccm ni haya mauaji.
..Ccm hawawezi kuacha kuteka, na kuua.
ushahid wa ilo unao?
Anataka mkubali kutekwa na kuuawa bila malalamiko. Wanasikitika kabla hawajamaliza ile list yao ya watu wa kuwatekana kuwaua, watu wamewajia juu. Hawa wauaji wote, hilo limewafanya wabakie kuhangaika na mada za ajabu ajabu, wakiamini labda zitawasaidia katika ushetani wao.Sawa tumekuelewa, Tufanyeje sasa?
Mtu uliyeridhika na utawala wa CCM, inakuwaje wakati huu unasumbuka na CHADEMA au upinzani kwa ujumla?kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
shida mnapotosha watu.Mtu uliyeridhika na utawala wa CCM, inakuwaje wakati huu unasumbuka na CHADEMA au upinzani kwa ujumla?
Halafu, kama Magufuli (aliyekuwa mtu muhimu sana kwako) alishaua upinzani nchini, tatizo liko wapi leo hii? Hiyo si "mission accomplished" kwako? Huu ni wakati wa raha tupu kwako. Shida ni nini tena?
Mwenzako huyo. Kazi yake ni kuipiga CHADEMA kwenye angle nyingine. Mpe support.Ukombolewe kutoka kwenye nini?