shida mnapotosha watu.
..ukiingia Ccm uwe tayari kutoa watu roho siku moja, kupokea ushindi uliopatikana kwa mauaji, au kufumbia macho mauaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida mnapotosha watu.
CCM mna mbinu nyingi sana za kuwapumbaza wajinga ikiwemo hii!Hao ndugu zangu kabila langu ?!!!😲😲
Labda huwajui wewe....usiongee usilolijua....
Ndio maana Nyerere aliwakataa baadhi ya watu......
Wapinzani wa maana walikuwa akina maalim Seif na wenzake walipokuwa CUF kabla ya kupinduliwa na mapindikizi akina Lipumba.kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
kweli ksbisa upinzani wa 2015 ulikuwa mzuri sana up nikasema tz inakuwa sasa kisiasa baada ya hapo ni watu kupambania njaa zaoWapinzani wa maana walikuwa akina maalim Seif na wenzake walipokuwa CUF kabla ya kupinduliwa na mapindikizi akina Lipumba.
Ahaa. Kumbe. Yaani CHADEMA iliyouawa na Magufuli bado ina jeuri ya kupotosha Watanzania? Basi sawa, endelea na hiyo kazi adhimu ya kushtua Watanzania kuwa, wasidanganyike, upinzani ulishakufa kabla ya Magufuli.shida mnapotosha watu.
Wala si pumbazo...CCM mna mbinu nyingi sana za kuwapumbaza wajinga ikiwemo hii!
Wapinzani wa maana walikuwa akina maalim Seif na wenzake walipokuwa CUF kabla ya kupinduliwa na mapindikizi akina Lipumba.
Chadee hawakati tamaa tu! Kazi wanayo
Nawe una imani na hawa vibaka waliopo?.kwasasa tusidanganyane hakuna Chama cha siasa cha umpizani kinachoshawishi CHADEMA sio Chama cha kukitegemea hata viongozi wake wenyewe bado hawajajitambua na kwanyakati hizi hatuna viongozi au wanasiasa wenye ushawishi wengi wanatetea matumbo yao acheni kujichosha hakuna upinzani now ulishakufa kipindi cha magufuli
..bora chama kiwe na wachumia tumbo kuliko genge la wauwaji.
..Ccm imeshamwaga DAMU za watu na haiwezi kuacha.
..ukipigia kura Ccm ujue unachagua ufisadi, utekaji, utesaji, na mauaji.
Sio kizaz hilki.hakuna.wakunyukana hap tz wakiona magar ya jeshi tu mbio