Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

na wamesahau kuwa, kuigiza nako unatakiwa kutumia akili nyingi sana, zinazotakiwa zichanganywe na usomi, kwasababu wasikilizaji/watazamaji ni wa aina tofauti (wasomi na wasiosoma).
 
yaani degree za kutafutiza?hahahaha, siwacheki kwasababu hawajasoma, kwasababu hata mimi nimesoma kwa neema ya Mungu tu kulingana na uchumi wa familia yangu ulivyokuwa....lakini hawa bongo movie wanapata hela nyingi tu lakini hawataki hata kujiendeleza. wametia aibu sana kweney script zao wanazotafsiri toka kiswahili kwenye kiingereza, ni aibu tupu, na wana hela lakini hawataki hata kuajiri mtu anayejua lugha awasaidie, kila kitu anafanya mtu mmoja, mmiliki wa movie, kuanzia director hadi mwigizaji, hani msanifu..everything. na movie moja inakamilika ndani ya miezi mitatu. wanakuambia ndani ya mwaka mmoja wanao uwezo kutengeneza movie tatu (kwa jinsi wanavyoona wanafanya kazi kwa bidii), wakati marekani movie moja inatumia miaka kadhaa.
Sasa Mtu kama Ray Kigosi kaishia darasa la saba unafikiri mpaka afike Degree si atakua Mzee tayari??
Tena hapo asiwe anafeli na kichwa kishachanganya na mambo ya mademu uanze kumuuliza factors influencing population distribution si utamuua??
 
hapo kwenye red, that's why we say mwende shule kabla ya kuanza kuigiza. ni ranking ya wapi Africa, na mwaka gani ambayo udsm haipo ndani ya 30s? wakati kuna kipindi ilishashika nafasi ya 11 Africa, vyuo 9 vikiwa vyote vya Africa kusini, kimoja Misri na kingine somewhere kama sikosei. go to school bro ndio urudi kuigiza.
Ona unavyojitia aibu na ku-prove nilichosema kwamba wengi wenu hamna tofauti yoyote na hao Bongo Movie mnaowakejeli!! Eti nafasi ya 11... Unajisifu usomi wakati hufahamu hata maana ya ranking by academic performance!

Hakuna chuo Tanzania ambacho kimewahi kushika hiyo nafasi lakini kwavile nawe ndo wale wale, unakurupuka tu na sources za kuokoteza!!

So, here's a thing!! Badala ya kuniambia eti nirudi shule basi ningeshauri tumia huo ushauri wako kwa manufaa yako mwenyewe kwa sababu bado mweupe hata kwa vitu vidogo!!

Kama unashindwa hata kufahamu hizo ranking, sioni kama una tofauti yoyote na akina Steve Nyerere! Or else, weka hapa hiyo source inayosema UDSM or any Tanzanian University kilicho among Top 20 let alone hiyo top 10!

I am 100% SURE huna ubavu wa kutoa hiyo source thus proving nilichosema!!!
 
Kama wana hela, hizo degree sio ishu sana. Hela ndo za msingi. Kujisifia degree ni kizamani sn mkuu. Mi mwnyw na elimu yng maisha yananipiga vitasa vya uso kichizi yn. Bora hata ile miaka mi3 ya chuo, ningekuwa nipo kitaa nasaka noti.
WEWE hujaelewa inaonesha nikatika HAO waluokosa HIYO degree SUALA hapa NI vipi wataigiza kimafanikio bila ya vichwa VYAO kuwa Na upewo mkubwa Wa kufaham mambo?? Hatuongelei mafanikio ya kifedha HAPA hata uwenazo IZO hela bado Elimu itaitwa Elimu tuu
 
Hiki ulichokiandika kinahusiana vipi na swali langu?

Diamond kukosa hata Diploma kunahusiana vipi na swali langu?

Diamond ni msanii wa Bongo Movie?

Mbona hata Msukuma au Bashite hawana shule, maisha yao yakoje?

Usionekane tu kua umechangia, changia kitu cha maana.Changia kitu chenye mantiki.
NI ktk wale walioikosa hao hvyo mchukulie tuu
 
Hiki ulichokiandika kinahusiana vipi na swali langu?

Diamond kukosa hata Diploma kunahusiana vipi na swali langu?

Diamond ni msanii wa Bongo Movie?

Mbona hata Msukuma au Bashite hawana shule, maisha yao yakoje?

Usionekane tu kua umechangia, changia kitu cha maana.Changia kitu chenye mantiki.
NI ktk wale walioikosa hao hvyo mchukulie tuu
 
WEWE hujaelewa inaonesha nikatika HAO waluokosa HIYO degree SUALA hapa NI vipi wataigiza kimafanikio bila ya vichwa VYAO kuwa Na upewo mkubwa Wa kufaham mambo?? Hatuongelei mafanikio ya kifedha HAPA hata uwenazo IZO hela bado Elimu itaitwa Elimu tuu
Hilo umetunga swali lako au ni swali la mleta mada..?? Angeuliza hivi ningejibu tofauti na nilivyojibu.

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
 
Shahada ya nn sasa wakati sanaa ni kipaji na ubunifu sio hizo elimu za kukariri.
 
Halafu elimu za darasani hailipi siku hizi,labda zamani Kwa ulimwengu wa SAA hizi kitakiwacho ni unajua nn kuhusu maisha,au nani anahitaji nn kuangali wapi kuna gap uijaze kubadili wazo au hitaji kuwa faida ndo msingi,
 
Back
Top Bottom