Hivi Bungeni ni lazima kila mbunge achangie hoja? Babu Tale anatia aibu Sana

Hivi Bungeni ni lazima kila mbunge achangie hoja? Babu Tale anatia aibu Sana

2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Ipo haja ya kuandikwa upya vigezo vya mtu kuwa mbunge ili tupate wawakilishi wazuri.
 
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Mamaaminaaa...[emoji350] [emoji1]nilidhani ni mimi tu ninaye ona aibu
 
Hicho ni kikao cha wananchi.

Kila aina ya watu wanapaswa kuwamo humo.

Anawawakilisha watu wa aina yake na wanamuelewa.
 
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048

Hao wasanii walipewa ubunge na Magufuli ili waisaidie CCM kupata mvuto.
 
Back
Top Bottom