Hivi Bungeni ni lazima kila mbunge achangie hoja? Babu Tale anatia aibu Sana

Hivi Bungeni ni lazima kila mbunge achangie hoja? Babu Tale anatia aibu Sana

2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Sio lazimaachangia kwa kuongea, kuna michango ya maandishi pia huw waziri husika huonyesha kuitambua na kuipokea
 
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Namshukuru sana mke wangu , alinidekeza - Babu Tale
 
Ipo haja ya kuandikwa upya vigezo vya mtu kuwa mbunge ili tupate wawakilishi wazuri.
Hili halitawezekana kwasabb ni lazima kifungu kibadilike kwenye katiba. Na kifungu kinabadilishwa na bunge. Wabunge wenyewe ndiyo akina Babu Tale, Msukuma, Lusinde, Maganga (wa Mbogwe), n.k unategemea kitabadilishwa??
 
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mimi huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mimi naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Afu alipita bila kupingwa,,,Ila Jiwe alaaniwe uko aliko
 
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.

Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.

Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mimi huwa naanza kuona aibu.

Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.

Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mimi naona aibu.

Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.

View attachment 2269048
Ukimponda huyu maana yake unawaponda na wananchi wake waliomchagua,nina uhakika watakuwa wanamsikia anapokuwa anatoa hoja zake,kwahiyo hao hao ndio watakao muhukumu uchaguzi ujao,na kama alipita kwa ajili ya pesa zake basi endelea tu kusubiri mpaka pesa zitakapomuishia...
 
Chadema wanataka kufunga ndoa na ccm hilo lipo wazi kwa maneno haya ya maridhiano kwisha habari yao sasa hao kina Halima mdee wote wanahitajika ACT na mwaka 2025 watakuwa ndio wengi bungeni maana li mbowe halikawii kumvuruga mama pamoja na favour alizopewa.
 
Back
Top Bottom