Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Na ujinga mkubwa tunao sisi Wananchi tulipaswa kukemea na hata kuandamana kudai Bunge imara kuna yule sijui wa Iramba Mojoni sijui kila akisimama lazima apost picha FB. Mungu ameliokoa taifa na maaafa makubwa. Kuna mtu alijiona yeye ndio kila kitu.
Morogoro Vijijini.Anaongoza jimbo gani huyu muheshimiwaaaa😁
Watani zangu waluguru hii si sawa😁Morogoro Vijijini.
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio mwakilishi wa mtu
Anawakilisha aina ya wananchi wake waliomchagua
Ipo haja ya kuandikwa upya vigezo vya mtu kuwa mbunge ili tupate wawakilishi wazuri.2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.
Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.
Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.
Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.
Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.
Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.
View attachment 2269048
Mamaaminaaa...[emoji350] [emoji1]nilidhani ni mimi tu ninaye ona aibu2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.
Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.
Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.
Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.
Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.
Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.
View attachment 2269048
Morogoro Kusini huko! Aliwaotea Waruguru wa watu, akahonga! Mwisho wa siku, eti akapita bila kupingwa!!Anaongoza jimbo gani huyu muheshimiwaaaa😁
2020 kulikuwa na uchaguzi mkuu (hapana, uchafuzi mkuu ) uliowaingiza bungeni watu wasiofaa kuwa hata mabalozi wa nyumba kumi.
Hawatambui hadhi yao,
Hawatambui majukumu yao,
Hawajui chochote.
Miongoni mwa watu hao ni Babu Tale. Akisimama bungeni ili atoe mchango wake mm huwa naanza kuona aibu.
Anaongea vioja na vihoja muda wote. Maelezo yake yanakosa mtiririko mithili ya mtoto anayejifunza kuongea, yaani hana hoja, hajui anachotaka kusema na anarudia rudia neno moja hata mara 5 ili kupoteza muda.
Narudia tena, Babu Tale akisimama bungeni ili kuchangia mm naona aibu.
Sasa nauliza; ni lazima kila mbunge achangie bungeni? Kama hakuna ulazima Babu Tale akae kimya.
View attachment 2269048
Yule shetani mkuu kila ukimtaja mwili wangu unasisimka. Nahisi kama anaweza kufufuka. Uwe unamwita Jiwe, shetani, mbwa, dikteta, n.kHao wasanii walipewa ubunge na Magufuli ili waisaidie CCM kupata mvuto.
Pamoja na uchafuzi lakini yasemekana alimtoa mpaka mkewe kafara.Hivi hujui juhudi zilizomfikisha ukumbini?
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio mwakilishi wa mtu
Anawakilisha aina ya wananchi wake waliomchagua
Hilo dongo limelengwa kwa marehemumbona kama unatukana watu sasa
Huyu anamuwakilisha DiamondTale ni mwakilishi anaongea hivo sasa fikiria uwezo wa wannachi wake waliobaki jimboni wanaweza kusema nini
He is a ritualistHivi hujui juhudi zilizomfikisha ukumbini?