Kambulanga
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 261
- 97
Kwani dunia ndio nini? Acheni kipumbavu mnaonekana mmekata tamaa, kama vipi andamaneni.Mnajitoa akili kuhalalisha ushindi wa wizi mlioupata, acheni kujidanganya kama watoto, dunia yote imeuona ujinga mliofanya.
1. UshogaNaomba kukumbushwa ilani ya Chadema ilikuwa na nini zaidi ya Ushoga??
Yaani hiki kidada kinaandika upuuzi tu kwenye Kila mada, sijui hata kimeishiaga darasa la ngapi!Hayaaa tutaandaa uchaguzi mwinginee eeeh ntoto nzuri eeeeh. Haya nyamazaaa ntoto nzuri eeeeeh. Ooooooh ooooh nyamaza eeeeeehhhhhhhh
Kweli kabisa, tulijitahidi sana kuwashauri, lakini tulichoambulia ni matusi. Matokeo yake ndio haya sasa, kipigo cha mbwa mwizi!Tulikauka koo kwa kuwashauri, kuwapigia magoti, kuwasisitiza, jamani acheni kuwa WANAHARAKATI, jitahidini muwe WANASIASA, raia wawaelewe na kuwapenda ili wawapigie kura mpate KULA, wao vichwa ngumu, wabishi kama mishipa, wanajifanya watoto wa mjini, waking'ang'ania mitandaoni kama dada Mange, kama vile kura wapate kula zapigwa mitandaoni, angalia walivyogalagazwa! Kama bibi aliyekula vyetu tukaamuwa kuumla kibabe!
Mbururura kabisa hawa, wamekipata kichapo cha mbwa koko, mpaka waweze ku-recover sijuwi mwisho wa Dunia!
Who knows, labda wewe ndio unaweza kuwa wa kwanza kuondoka. Kuwa mnyenyekevu, usijivike uwezo wa Mungu wa kuamua nani ataondoka kwanza. Please .....!Magufuli na wapwa zake wanadhani wanaweza kumdhihaki Mungu mpaka unazunguzia uchaguzi wa 20125 wakati tutafanya uchaguzi mwingine tena ulio huru na wa haki kabla ya 2025. Nature inafanya kazi yake na kuna mtu anakwenda kumfuata Mkapa alikokwenda kabla ya hiyo 2025.
Does it make difference?Who knows, labda wewe ndo unaweza kuwa wa kwanza kuondoka. Kuwa mnyenyekevu, usijivike uwezo wa Mungu wa kuamua nani ataondoka kwanza. Please .....!
Matokeo yapi? Kipigo kipi? Hakuna uchaguzi hapo kuna maigizo ya kuulawiti kuubaka uchaguzi hakuna uchaguzi umefanyika hapo ebu CCM acheni ushetaniKweli kabisa, tulijitahidi sana kuwashauri, lakini tulichoambulia ni matusi. Matokeo yake ndo haya sasa, kipigo cha mbwa mwizi!
Yes, it does: we are all in the same boat. Huwezi kumuamulia Mungu na kusema fulani atakufa kwanza. Uwe mnyenyekevu mbele za MunguDoes it make difference?
Kwa JF hakingestahili kuwepo hapa kwa great thinkers kangeendelea kukomaa na tiktok na InstagramHicho kidada j lowasa hushinda kikivuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba
Ogopa mtu anayejifanya kutaja taja Mungu kila saa kama wewe! Nyie ni wanafiki na wadhambi wakubwa. Nyie ni sampuli ya kina Gwajima wanaotapeli fedha za maskini makanisani halafu wanakwenda kustarehe na makahaba huku wakijichukuwa clip za video. Nyie ni wadhambi wakubwa na jina la Mungu mnalitaja tu kunufaisha nafsi zenu. Unakuta jitu linabandika picha kila mahali likijiita eti ni linyeyekevu na kumtaja Mungu kila dakika wakati kifichoni linapanga kuua watu. Koma na ulaanike!Yes, it does: we are all in the same boat. Huwezi kumwamulia Mungu na kusema fulani atakufa kwanza. Uwe mnyenyekevu mbele za Mungu
Basi heri yako wewe usiyekuwa na dhambi!Ogopa mtu anayejifanya kutaja taja Mungu kila saa kama wewe! Nyie ni wanafiki na wadhambi wakubwa. Nyie ni sampuli ya kina Gwajima wanaotapeli fedha za maskini makanisani halafu wanakwenda kustarehe na makahaba huku wakijichukuwa clip za video. Nyie ni wadhambi wakubwa na jina la Mungu mnalitaja tu kunufaisha nafsi zenu. Unakuta jitu linabandika picha kila mahali likijiita eti ni linyeyekevu na kumtaja Mungu kila dakika wakati kifichoni linapanga kuua watu. Koma na ulaanike!
Dhambi ninazo lakini siyo za kununua kama nyie wanafiki. Mtu unaiishi kwa utapeli wa kudanganya watu kanisani kila siku na kuzini na wanawake halafu unasema ''heri ya asiye na dhambi''? Au unaamuru watu wauawe bila sababu za msingi halafu unajiita mnyenyekevu kwa Mungu! Mbona watu wanataka kumfanya Mungu kama chombo chao cha maovu? Enyu mafarisayo acheni unafiki!Basi heri yako wewe usiyekuwa na dhambi!
Mkuu weka akiba ya maneno coz najua unafahamu kwamba muda haukuwahi kudanganya. Nina imani baada ya miaka mitano utatamani kuufuta huu uzi ama utakaa mahali nakuona ulikosea kufikri sana.Wadau, amani iwe kwenu.
Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.
Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.
Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.
Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.
Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.
Nawasilisha.
Wadau, amani iwe kwenu.
Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.
Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.
Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.
Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.
Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.
Nawasilisha.
Dua la kuku halimpata mwewe Tanzania mpya inakuja, JPM alikua anapanga team yake miaka mitano iliyopita ulikua chamtotoNatamani tunyimwe misaada na wafadhili ili tuimbe wimbo mmoja.
Ni yeye mafi mafi tu, mi nilijua tu mwenye nyumba hawaachi maana mwisho mwisho wa kampeni alikua na jazba sana akiongea sasa kaamua kuwabwagilia Pwani kwa spidi ya mv Ukara na kuwaaacha hapoNi yeye Ni yeye Ni yeyeye
Matokeo yapi? Kipigo kipi? Hakuna uchaguzi hapo kuna maigizo ya kuulawiti kuubaka uchaguzi hakuna uchaguzi umefanyika hapo ebu CCM acheni ushetani
walikuwa wanahubili mihemko ya kipuuz toka ubelgijiWadau, amani iwe kwenu.
Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.
Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.
Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.
Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.
Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.
Nawasilisha.