Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na group assignment ukawa unafanya aloneSijawah kusoma kwa discussion toka vidudu mpaka chuo
Umeshaachwa mzee kubali kuachikaKila mara unaambiwa nipo discussion subiri kidogo, sasa najiuliza huko chuo watu hawana muda wa kusoma wenyewe? Au discussion ni lazima chuoni?
Hapana...Walikua wanafanya mi kazi yangu ilikua kutumwa tumwa kwenda ku print..Na group assignment ukawa unafanya alone
Kwani una uhakika bro kafika elimu ya chuo?Wewe ulivyosoma chuo ulikuwa na discussion kwa kiasi unachoambiwa!!?
Kama siyo ukiona manyoya jua kuku kaliwa
Mimi kazi yangu ilikuwa ni kutaja registration namba yangu tu ili tutimize namba kwenye group 😆Hapana...Walikua wanafanya mi kazi yangu ilikua kutumwa tumwa kwenda ku print...
Halafu nilihisi tu nikataka kusema hivyo maana kuna watu mkifanya nao discussion wanawarudisha nyuma bora asiwepo afanye vitu vingy😂Hapana...Walikua wanafanya mi kazi yangu ilikua kutumwa tumwa kwenda ku print..
you can read from her tone, rhythm and reason.Kila mara unaambiwa nipo discussion subiri kidogo, sasa najiuliza huko chuo watu hawana muda wa kusoma wenyewe? Au discussion ni lazima chuoni?