Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan mi nilikuaga na washkaji wale wanapenda sifa na shule so hawakuamini kabisaa ukiwapa mawazo yako 😂 bas bwana nikawa naona isiwe tabu.Mimi kazi yangu ilikuwa ni kutaja registration namba yangu tu ili tutimize namba kwenye group 😆
Kila mara unaambiwa nipo discussion subiri kidogo, sasa najiuliza huko chuo watu hawana muda wa kusoma wenyewe? Au discussion ni lazima chuoni?
😂😂😂😂😂😂 dah!!!!Halafu nilihisi tu nikataka kusema hivyo maana kuna watu mkifanya nao discussion wanawarudisha nyuma bora asiwepo afanye vitu vingy😂
Haukifanya Group Assignments piaSijawah kusoma kwa discussion toka vidudu mpaka chuo
Nimeshalijibu hili tayar chiefHaukifanya Group Assignments pia
UshapigwaKila mara unaambiwa nipo discussion subiri kidogo, sasa najiuliza huko chuo watu hawana muda wa kusoma wenyewe? Au discussion ni lazima chuoni?
😂 hatakiwiDem kashakuacha huyo tafuta mwingine. Japo anachosema kinaukweli
We lazima ulikuwa dojaHapana...Walikua wanafanya mi kazi yangu ilikua kutumwa tumwa kwenda ku print..
Kwa sisi ambao tulikuwa hatuhudhurii madarasa mara kwa mara kutokana na pilika zingine discussion ilikuwa muhimu sana, na nimehudhuria kama mara zoteKila mara unaambiwa nipo discussion subiri kidogo, sasa najiuliza huko chuo watu hawana muda wa kusoma wenyewe? Au discussion ni lazima chuoni?