Hivi Corona bado ipo?

Hakuna corona yoyote, wewe ndio corona yenyewe na unatakiwa KUONDOSHWA.

I wish i could be IGP, nyie VIRUS ningewachanja DAWA MAALUMU mnapukutika kiulaini.
 
Infection kwenye damu? Au ulienda Boch pale mbezi? Maana ukienda hapo lazima wakwambie kuwa una hilo tatizo, maana pale huo ugonjwa ni kama reception yao
 
THE PROPAGANDIST ON THE BEAT

Kwa kweli hata ungekufa ingekuwa vizuri.

You are a VIRUS that needs to be GUNNED DOWN.
hiyo ni kwa uweza na Baraka na Neema za Mwenyezi Mungu.

we huwezi fanya ikatokea iwe kwa ajili yako mwenyewe, kwajili yangu au wengine zaidi sana ni kujichakaza zaidi kinafsi na kiroho kwa chuki.

Kwangu mie si kitu nakupuuza kisha nakuombea mema na roho ya mauti ikuepuke
 
THE PROPAGANDIST HIMSELF 🤣🤣

Mtaacha lini kuhadaa watu nyie MAKASUKU!?

Wewe una MAGONOREA umeyaokota kwenye madanguro, KAPIME.

Usisingizie magonjwa yasiyokuwapo 🤣🤣🙌
mbona izo ni infectious za kawaida zina dawa watu wanapata maambukizi na zinatibika Aise...
Ukiwa na iyo shida kuwa muwazi tu...

ile ya kutisha ni umeme acha kabisa unakufa wew na wewe pekeyako ukijiona tena saii unakufa na afya yako muzuri....

yaani, unaongelea utu tuugonjwa tudogotudoga ambae unaeweza elezea ata marafiki zako kijiweni au kwenye kahawa,

Pata umeme kama utasema,
Unafaa nchezo nini
 
Uliweza kuwa online muda wote huo wa mafua makali?

Maana Kila siku umo humu, tena active.🙄
 
Acha kujishaua.

Kameze MADAWA huko!
 
Korona inawapata zaid mnaoshinda kwenye baridi majumbani unategemea hewa ya mzungu iyo covid inskuachaje Tuache kwanza tuko na bei mpya za usafirishaji
 
We jamaa sikuamini, hii kitu ikitangazwa IPO, nahisi utanufaika nayo!!
Muamini Mungu pekee na usiogope...

Kuna watu wanaugua acha kabisaa, mimi si kati ya unaweza sema ati nagonjeka lahashaa...

mimi ni kasiku kamoja nilikwama nayo sana,
Jpili nikapiga maombi nikazama hospital for checkup,

nikapewa dawa tamu ya maji ya kifua na ingine ya mafua nikameza usiku Asubuhi niko sawa ila macho ni kama imevimba, I think ni alegy na kwahiyo siwezi kunywa tena hiyo dawa..

Kwa ufupi ni hayo
 
Duh!! Aya bana pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…