Hivi gari kama hii inatakiwa mafuta ya Tsh ngapi uweze kula nayo misele mjini hasa kipindi hiki cha holiday

Hivi gari kama hii inatakiwa mafuta ya Tsh ngapi uweze kula nayo misele mjini hasa kipindi hiki cha holiday

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
FB_IMG_1735578967389.jpg
FB_IMG_1735578967389.jpg
 
Inategemea utakavyojiingiza pamoja na muda, hiyo nikianza naipiga starter kwa 100k kuanzia saa saba usiku, naondoka nayo saa kumi naendesha mpaka kesho yake jioni saa 11 kwa mafuta ya 50k tu.
 
Back
Top Bottom