Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Yanga mmekula kodi yetu. bure bure tu tunaomba mrudi nyumbani kabla hatujaanza kuwadai
 
Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.

Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??

View attachment 2955100
Hapana; refa ndiye mwamuzi wa mwisho. Muda mfupi kabla mchezo haujaanza nilipata maono kuwa refa atainyima Yanga ushindi wa wazi; ndipo kiherehere kikaanza kunisumbua. Niliandika kwenye post hii hapa:

 
Mkiambiwa angalieni na mechi za nje hamuelewi.

Arsenal alifungwa goli ambalo macho yaliona mpira umetoka var ikasema haujatoka.

Juzi spurs kakataliwa goli ambalo macho yaliona mpira umevuka mstari ila var ikagoma.

Na haina kukata rufaa.
 
Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.

Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??

View attachment 2955100
Labda ukute Malinzi ndiye anaongoza FIFA
 
Yanga mmekula kodi yetu. bure bure tu tunaomba mrudi nyumbani kabla hatujaanza kuwadai
Hakuna cha kuonewa,Malengo yao yalikua ni makundi kwisha,CAF wanaangalia na malengo yako.
 
Wanajua goal lile limetughalimu kiasi gani watanzania hisia zetu kwa kukosa kusonga mbele kwa kukataa goal la wazi kabisa
 
Hiyo ni kama kwenda kupinga matokeo ya uchaguzi ze hegi 🐼
 
Maamuzi yakitolewa na refa hata kama ya kuonewa huwezi kuyabadilisha kukupa faida ile ambayo ungeweza kuipata endapo refa angefanya fair.

Maana yake ni kwamba there's no way Mamelodi wanaweza kuwa watuhumiwa kwenye hili tukio na kwa maana hiyo hakuna maamuzi ambayo yatailenga Mamelodi hata kama kesi ikionesha kweli Yanga imedhulumiwa.

Hapo mhanga ni refa na timu yake ya VAR kule control room ambao hao hawana impact kihivyo tofauti na timu

Kwenye adhabu za FIFA hata wakimfungia refa bado hawawezi kubatilisha matokeo kuipa advantage Yanga.

Kwasababu Mamelodi watajitetea kuwa ni makosa ya refa sio wao hivyo hakuna sababu yoyote ya wao kuhusishwa kwenye adhabu ambayo imetolewa kutokana na makosa ya refa.
mbona EPL wanapokwa pointi wao wanatumia kanuni ipi au mpira wa Africa unasheria zake? umesahau ile ya simba kuchezesha mchezaji asiye stahiki? bado yanga wakipanga karata vzr wanaweza wakapindua meza kibabe, staki kuamini kuwa VAR inakuwa ARV
 
Inawezekana refa alipewa maelekezo ahakikishe nani anashinda, sioni sababu kwanini refa hakutaka kabisa kuisogelea VAR wakati ilikuwepo, alijua wazi ingemuumbua hivyo kumlazimisha kwenda kinyume na maelekezo aliyopewa na wakubwa zake.

Mourinho aliwahi kuisifia VAR ya Afrika, ila kwa lile tukio la jana naamini hata naye atakuwa hana hamu tena.
 
Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.

Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??

View attachment 2955100
Watalalamika tu na baada ya malalamiko kuonekana ni sahihi wataadhijiwa VAR officials, kesi inafungwa.
 
Mlikataa msamiati wakufa kiume leo mmeuona,kuvuka robo cafcl sio vyepesi hivyo swine
 
Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.

Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??

View attachment 2955100
Matokeo ya mpira hata uonewe vipi hayajawahi kubadilishwa na rufaa,kinacho badilishwa na rufaa labda kadi nyekundu. Tuvumilie ndio mpira huo, tuombe Mungu kuwe na goal line technology, ila matokeo ndio yamesha simama na haya badiliki.

VAR yenyewe ya EPL mara kibao waamuzi wanatoa maboko, ila matokeo hubakia vilevile.
 
Back
Top Bottom