Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana; refa ndiye mwamuzi wa mwisho. Muda mfupi kabla mchezo haujaanza nilipata maono kuwa refa atainyima Yanga ushindi wa wazi; ndipo kiherehere kikaanza kunisumbua. Niliandika kwenye post hii hapa:Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100
Labda ukute Malinzi ndiye anaongoza FIFAYaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100
TUMEONEWA FOOTBALL CLUBKazi za motsepe hizo, si mliwataka mamelodi,🤣🤣View attachment 2955166
Hakuna cha kuonewa,Malengo yao yalikua ni makundi kwisha,CAF wanaangalia na malengo yako.Yanga mmekula kodi yetu. bure bure tu tunaomba mrudi nyumbani kabla hatujaanza kuwadai
mbona EPL wanapokwa pointi wao wanatumia kanuni ipi au mpira wa Africa unasheria zake? umesahau ile ya simba kuchezesha mchezaji asiye stahiki? bado yanga wakipanga karata vzr wanaweza wakapindua meza kibabe, staki kuamini kuwa VAR inakuwa ARVMaamuzi yakitolewa na refa hata kama ya kuonewa huwezi kuyabadilisha kukupa faida ile ambayo ungeweza kuipata endapo refa angefanya fair.
Maana yake ni kwamba there's no way Mamelodi wanaweza kuwa watuhumiwa kwenye hili tukio na kwa maana hiyo hakuna maamuzi ambayo yatailenga Mamelodi hata kama kesi ikionesha kweli Yanga imedhulumiwa.
Hapo mhanga ni refa na timu yake ya VAR kule control room ambao hao hawana impact kihivyo tofauti na timu
Kwenye adhabu za FIFA hata wakimfungia refa bado hawawezi kubatilisha matokeo kuipa advantage Yanga.
Kwasababu Mamelodi watajitetea kuwa ni makosa ya refa sio wao hivyo hakuna sababu yoyote ya wao kuhusishwa kwenye adhabu ambayo imetolewa kutokana na makosa ya refa.
Watalalamika tu na baada ya malalamiko kuonekana ni sahihi wataadhijiwa VAR officials, kesi inafungwa.Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100
🤣🤣🤣.uzalendo kwanza.Yaani nasikia raha wanavoumia yaani🤣🤣🤣
Waongelewe na nani wameliwa matundu yote mawiliHiviii 5imba wallcheza janaa ? Mbona hawaongelewiiii
Matokeo ya mpira hata uonewe vipi hayajawahi kubadilishwa na rufaa,kinacho badilishwa na rufaa labda kadi nyekundu. Tuvumilie ndio mpira huo, tuombe Mungu kuwe na goal line technology, ila matokeo ndio yamesha simama na haya badiliki.Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100