Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Matokeo kufutwa hutokana na kosa kufanywa na wachezaji

Wahusika wa hilo kosa ni marefa sio wachezaji

Hilo haliwezi kutokea hata siku moja.
Hata ikatokea wammiliki wa timu wamewanunua maarefa na wachezaji wa timu pinzanni bika wachezaji wenyewe kujua hiyo ni kosa kwa timu yote, ilitokea Italy na timu ilishushwa daraja sababu ya match fixing ambayo wala haikuhusisha wachezaji.
 
Mkiambiwa angalieni na mechi za nje hamuelewi.

Arsenal alifungwa goli ambalo macho yaliona mpira umetoka var ikasema haujatoka.

Juzi spurs kakataliwa goli ambalo macho yaliona mpira umevuka mstari ila var ikagoma.

Na haina kukata rufaa.
Anaeangalia VAR na yeye anatumia macho au makalio?
 
Hivyo hivyo, ila inabidi tudai fidia hata bilioni kadhaa, watu wanawekeza pesa kwennye mpira halafu refa anafanya uonevu ambao huwezi kuutetea, hivi VAR kazi yake nini sasa.., mi ninachojua Yanga kashaingia nusu fainali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nusu fainal ipi? RAMADHAN CUP?
 
Yanga wanatafuta huruma tu.....imeisha hiyo.

Dhulma afanyiwe mwenzako ukifanyiwa wewe inauma
😅😅mbona hili la yanga limewauma kuliko kutolewa kwenu?, kwani mtu anapoua kesi hua ni za nini mahakani?, unahisi wathu huenda kudai uhai wa mtu? Au kutaka haki ipatikane na wahusika wa mauaji wapatikane na Haki ipatikane hata kama uhai wa mtu haurudi?.
 
Maamuzi yakitolewa na refa hata kama ya kuonewa huwezi kuyabadilisha kukupa faida ile ambayo ungeweza kuipata endapo refa angefanya fair.

Maana yake ni kwamba there's no way Mamelodi wanaweza kuwa watuhumiwa kwenye hili tukio na kwa maana hiyo hakuna maamuzi ambayo yatailenga Mamelodi hata kama kesi ikionesha kweli Yanga imedhulumiwa.

Hapo mhanga ni refa na timu yake ya VAR kule control room ambao hao hawana impact kihivyo tofauti na timu

Kwenye adhabu za FIFA hata wakimfungia refa bado hawawezi kubatilisha matokeo kuipa advantage Yanga.

Kwasababu Mamelodi watajitetea kuwa ni makosa ya refa sio wao hivyo hakuna sababu yoyote ya wao kuhusishwa kwenye adhabu ambayo imetolewa kutokana na makosa ya refa.

vipi kama Mamelody wakituhumiwa kwa kupanga matokeo? Adhabu ya kupanga matokeo Una ijua?
 
Screenshot_20240406_083352_Adobe Acrobat.jpg
 
Siku ile zengeli anapiga mpira unadunda nje ya goalline na refa anasema ni goal si mlishangilia? Mnahisi Ihefu hawakuumia.
Basi mkae mkijua malipo ni hapa hapa duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wao wamekuja kupewa stahiki yao kwenye match muhimu.
Inaumajeeee sasa, woiiiiiih
 
Matokeo kufutwa hutokana na kosa kufanywa na wachezaji

Wahusika wa hilo kosa ni marefa sio wachezaji

Hilo haliwezi kutokea hata siku moja.
Kwanini lisittokee?, Sheria matokea yanahusishwa na match fixed na mhusika mkuu ni sehemu ya umiliki wa timu iliyopewa ushindi wa Bure... Ushahidi wote unaonesha refa alikuwa amepata maelekezo, VAR ipo kumsaidia refa, kama alikwenda kuangalia faulo ya Lomalisa why not Gori lenye utata.
 
Maamuzi yakitolewa na refa hata kama ya kuonewa huwezi kuyabadilisha kukupa faida ile ambayo ungeweza kuipata endapo refa angefanya fair.

Maana yake ni kwamba there's no way Mamelodi wanaweza kuwa watuhumiwa kwenye hili tukio na kwa maana hiyo hakuna maamuzi ambayo yatailenga Mamelodi hata kama kesi ikionesha kweli Yanga imedhulumiwa.

Hapo mhanga ni refa na timu yake ya VAR kule control room ambao hao hawana impact kihivyo tofauti na timu

Kwenye adhabu za FIFA hata wakimfungia refa bado hawawezi kubatilisha matokeo kuipa advantage Yanga.

Kwasababu Mamelodi watajitetea kuwa ni makosa ya refa sio wao hivyo hakuna sababu yoyote ya wao kuhusishwa kwenye adhabu ambayo imetolewa kutokana na makosa ya refa.
Kubadili matokeo ni only kama kutakuwa na ushahidi unaoonyesha kulikuwa na njama ya upangaji wa matokeo na timu iliyoshinda imeshiriki njama hizo. Kinyume na hapo adhabu huishia kwa referee tu.
 
Anatumia macho kama ya wengine yanayoona kwamba ni goli au sio goli, au anatumia makalio kuangalia?
Jielimishe bruv.
Una kifaa kina internet. You are just fingertips away from knowing every single thing.
Hauna haja ya kuandika neno makalio mara kwa mara ukadhani hoja yako ndiyo itaeleweka. Unatia kinyaa.

Kukujibu swali lako.
Hawatumii makalio, hawatumii macho pia.
 
Ni jukumu ka Refa kutumia nyenzo zilizopo ili kufanya uamuzi sahihi
sheria ya kuamua goal kwa techonology ni kutumia goal line sio VAR ,VAR inaangalia makosa kwenye goal ,hao waamuzi walijichanganya wakaona wakikubali goal kwa kutumia VAR watafungiwa ndio maana referee akafuta kila kitu kwa kuweka mikono juu ❌
 
Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.

Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??

View attachment 2955100
Waanze kukata rufaa mechi ya ihefu waliyozawadiwa goli ambalo halijavuka mstari,
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
 
Sheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
Huku gsm anavyonunua mechi hamuoni?karma hiyo
 
Back
Top Bottom