dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Hhajaj [emoji1787][emoji1787]Mlikataa msamiati wakufa kiume leo mmeuona,kuvuka robo cafcl sio vyepesi hivyo swine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhajaj [emoji1787][emoji1787]Mlikataa msamiati wakufa kiume leo mmeuona,kuvuka robo cafcl sio vyepesi hivyo swine
Matokeo hufutwa ikithibitika kulikuwa na match fixing. Tusubiri. Haijaisha hadi iishe. Ziko timu za Italy zishawahi kufutiwa matokeo. Hapa ni Yanga kufungua kesi FIFA kudai wahusika wa VAR na marefa wote wahojiwe mmoja mmoja wakiwatuhumu kwa match fixing. Swali kubwa ni kuwa kwanini VAR haikuonesha marudio ya picha kwa camera za angles zote. Pia refa aseme alipewa maelezo gani na nani toka VAR room na kwanini hakuyathibisha hayo maelezo kwa kuangalia tukio kwenye screen. Dunia ya soka iko nyuma ya Yanga wasikubali Huu upuuzi wa Motsepe upite tutaonewa kila siku na kukosa mabilioni ya nusu fainali wakati nasisi tumewekezaMatokeo kufutwa hutokana na kosa kufanywa na wachezaji
Wahusika wa hilo kosa ni marefa sio wachezaji
Hilo haliwezi kutokea hata siku moja.
Wanajilisha tu upepo.Yah kwa sababu hi nawaonya wanasias wa Tanzania kina mwanfa na Steve masele waache kuwadangany umma kuwa Kuna kitu tunaweza fanya ili kupittaa
Waache ujinga wa kiccm kwenye soka
Match fixed unaithibitisha kupitia maamuzi ya refa?Matokeo hufutwa ikithibitika kulikuwa na match fixing. Tusubiri. Haijaisha hadi iishe. Ziko timu za Italy zishawahi kufutiwa matokeo. Hapa ni Yanga kufungua kesi FIFA kudai wahusika wa VAR na marefa wote wahojiwe mmoja mmoja wakiwatuhumu kwa match fixing. Swali kubwa ni kuwa kwanini VAR haikuonesha marudio ya picha kwa camera za angles zote. Pia refa aseme alipewa maelezo gani na nani toka VAR room na kwanini hakuyathibisha hayo maelezo kwa kuangalia tukio kwenye screen. Dunia ya soka iko nyuma ya Yanga wasikubali Huu upuuzi wa Motsepe upite tutaonewa kila siku na kukosa mabilioni ya nusu fainali wakati nasisi tumewekeza
Una ushahidi wamiliki kuwanunua marefa au unazungumza kujifariji?Hata ikatokea wammiliki wa timu wamewanunua maarefa na wachezaji wa timu pinzanni bika wachezaji wenyewe kujua hiyo ni kosa kwa timu yote, ilitokea Italy na timu ilishushwa daraja sababu ya match fixing ambayo wala haikuhusisha wachezaji.
Wewe ni kiazi... Kasome ww hizo taratibu za matumizi ya VAR.Hauna kitu unajua kuhusiana na VAR tafuta elimu ni bure bundle sio la kuangalia pornography na kuingia ista
Hayo yote yatajulikana iwapo Yanga watashitaki directly claiming for match fixing na itaendeshwa kesi na marefa wa kwenye pitch pamoja na wa VAR kuhojiwa. Haki haiombwi bali hudaiwa kwa nguvu. Yanga wasikubali kirahisi kupoteza mabilioni ya haki yao ya kucheza semi final.Una ushahidi wamiliki kuwanunua marefa au unazungumza kujifariji?
😅😅😅 Tukio lilikuwa tata Kama ilivyokuwa la Lomalisa as long as alivyofanya kwa Lomalisa why not kwenye tukio mhimu zaid ya hilo?.Ndip hivyo hivyo unaweza kujiuliza pia kuwa kama lilikuwa goli mbona hakuruhusu mpira kati?
Jibu utalopata hapo ndio jibu hilo hilo litalojubu swali kwenye maamuzi ya kadi ya njano ya Lomalisa badala ya nyekundu
Kwahiyo hilo tukio lilikuwa linachelewesha muda? Alikaa dk ngap kabla hajafanya maamzi?. So far it was unfear hata wachezaji wa Mamelod walionesha reaction pia refa.... VAR sio kitu hata km angeenda kuangalia alishapata maelekezo.Kuna silent check ambayo hutumia earpiece kufanya mawasiliano na control room
Hiyo inaweza kutumika kuamua tukio kwasababu ya kuokoa muda
😅😅😅😅 huu Sasa utoto asee...Huu ni utetezi mwepesi
Sio kila tukio lazima refa aende kuangalia VAR.
Hakuna ulazima huo
Sanasana atapewa adhabu refa mwisho wa siku lefa anaweza kupewa mpunga mrefu mambo yakaisha
Umeona eehh.😅😅😅😅 huu Sasa utoto asee...
Tobaaaaah hili sio goal? Bas Yanga waache upuuzi, lile sio goal wallah.Mechi ya spurs
Sio necessary😅😅😅 Tukio lilikuwa tata Kama ilivyokuwa la Lomalisa as long as alivyofanya kwa Lomalisa why not kwenye tukio mhimu zaid ya hilo?.
Nini kinathibitisha kuwa ni fixed match na sio makosa ya refa ?Sheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
Labda kama hujui maana ya silent check through earpiece ndio unaweza kuona ni utoto😅😅😅😅 huu Sasa utoto asee...
Wana hasira haoYaani nasikia raha wanavoumia yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakuamua hivyo ni refa. Speculation zako haziwezi ku interfere majukumu ya refaKwahiyo hilo tukio lilikuwa linachelewesha muda? Alikaa dk ngap kabla hajafanya maamzi?. So far it was unfear hata wachezaji wa Mamelod walionesha reaction pia refa.... VAR sio kitu hata km angeenda kuangalia alishapata maelekezo.
Ni timu ipi ilipokwa point kutokana na makosa ya refa ?mbona EPL wanapokwa pointi wao wanatumia kanuni ipi au mpira wa Africa unasheria zake? umesahau ile ya simba kuchezesha mchezaji asiye stahiki? bado yanga wakipanga karata vzr wanaweza wakapindua meza kibabe, staki kuamini kuwa VAR inakuwa ARV