Twende na penati ya T. Prisons, refa anatoa red card kwa mtu aliyeangushwa ndani ya penati area.Tuanzie lile la dhidi kagera, tuje kona goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende na penati ya T. Prisons, refa anatoa red card kwa mtu aliyeangushwa ndani ya penati area.Tuanzie lile la dhidi kagera, tuje kona goli
Na hi ndio point ya mwisho watanzania watulie hkn mabadiliko yoyiteNi timu ipi ilipokwa point kutokana na makosa ya refa ?
Everton walipokwa point kutokana na kukiuka sheria ya FFA. Kwa sasa wanaendelea kuichunguza Man city japo kuna tetesi huenda wakabadirisha sheria. Hapo ndio ujue mwenye pesa si mwenzako.
Ili timu ipokwe point inapaswa kosa lithibitike limefanywa na timu husika. Mfano wangemchezesha mchezaji asiyetakiwa kucheza.
Kosa la jana ni kosa la mwamuzi sio kosa la timu. Achaneni na motivational speakers wanaowadanganya. Hapo sana sana refa atafungiwa kwisha habari
Kolo tulia hii kesi kubwa, kosa sio la refa Pekee kwa kutoangalia VAR ewe mbumbumbu, ni kosa pia la VAR room crew, kwa kutoonesha tukio kwa camera za angles zote na kumwambia refa uongo kuwa sio goli wakati video inaonesha Mpira ulimpita kipa aliekuwa kwenye mstari wa goli na ukadundia ndani wote,Ni timu ipi ilipokwa point kutokana na makosa ya refa ?
Everton walipokwa point kutokana na kukiuka sheria ya FFA. Kwa sasa wanaendelea kuichunguza Man city japo kuna tetesi huenda wakabadirisha sheria. Hapo ndio ujue mwenye pesa si mwenzako.
Ili timu ipokwe point inapaswa kosa lithibitike limefanywa na timu husika. Mfano wangemchezesha mchezaji asiyetakiwa kucheza.
Kosa la jana ni kosa la mwamuzi sio kosa la timu. Achaneni na motivational speakers wanaowadanganya. Hapo sana sana refa atafungiwa kwisha habari
Na hili pia tulianzieTwende na penati ya T. Prisons, refa anatoa red card kwa mtu aliyeangushwa ndani ya penati area.
Kolo tulia hapo VAR hakuna ulitakaje? Halafu goli lenyewe haliumi goli la tano bila, ndo maana mwenye akili mmoja tu Rage wengine wote mbumbumbu including you au unabisha?Na hili pia tulianzie
Wakuamua hivyo ni refa. Speculation zako haziwezi ku interfere majukumu ya refa
Wakuamua hivyo ni refa. Speculation zako haziwezi ku interfere majukumu ya refa
Hiyo silent check ni matukio ya kitoto Kama hoja yako ilivyo hoja yako.... Sio tukio kubwa kama Hilo kwa mechi yenye uzito wa robo fainal.Labda kama hujui maana ya silent check through earpiece ndio unaweza kuona ni utoto
Lakini injinia si mwenyekiti wa virabu afrika naeSheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
Kama mm tu 😁 nafurahi sana 😅Yaani nasikia raha wanavoumia yaani🤣🤣🤣
Kilichopelekea muamzi kufika kwenye VAR na kuangalia Nini?, uhusiano wa moja kwa moja Kati mmiliki wa timu na uongozi wake CAF. Kulikuwa hakuna video review iliyoonesha moja kwa moja kutoka VAR room kuja kwa watazamaji kuthibisha Hilo sio GoriNini kinathibitisha kuwa ni fixed match na sio makosa ya refa ?
Kama mm tu 😁 nafurahi sanaYaani nasikia raha wanavoumia yaani🤣🤣🤣
Katika sura ya Sheria hakuna hoja dhaifu ikiendana na mazingira ya mechi ... Yote haya n matukio yaliyotokea uwanjani... Why hayakupewa uzito sawa wakati yote yamekuwa na utata?.Sio necessary
Hiyo ni hoja dhaifu sana kama ndio mtepeleka utetezi wa aina hiyo kudai haki yenu basi mtakuwa ignored kirahisi
Yanga hakuwa na 3 keys/potential players ulitaka ajuaje ubora wa kipa wa Mamelody Sundowns?Hiyo ndio kufa kiume sasa sio Caf wala Fifa inayoweza kumuokoa "Mwakarobo Jr"
Hiyo ndio kufa kiume ajipange tena mwakani
Sasa unaandika upuuzi gani? Mwenyekiti wa vilabu ana uhusiano gani katika gori?.Lakini injinia si mwenyekiti wa virabu afrika nae
KUFA KIBINGWA ndiyo msamiati wetu Utopolo, huo wenu una mkosi zaidi ya mara 5 zote bakini nao huko huko umbumbumbuni [emoji4]Mlikataa msamiati wakufa kiume leo mmeuona,kuvuka robo cafcl sio vyepesi hivyo swine
Sasa Una replay upuuzi gani raisi wa caf ana uhusiano gani katika goli? correction pleaseSasa unaandika upuuzi gani? Mwenyekiti wa vilabu ana uhusiano gani katika gori?.
Sasa Una replay upuuzi gani raisi wa caf ana uhusiano gani katika goli? correction please
(goli✔️) not gori❌ 🆗
Kama una uthibitisho wa upangaji matokeo mfano voice note, sms, video n.k unaweza kukata rufaa na mamelod akapokonywa ushindi na kufungiwa kabisa otherwise utaandika tu barua na ikionekana ni uzembe wa refa na timu yake ya VAR basi hao ndio watawajibishwa ila matokeo yatasimama vile vileYaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100