Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Hivi hakuna namna Yanga wanaweza kukata rufaa FIFA?

Mkiambiwa angalieni na mechi za nje hamuelewi.

Arsenal alifungwa goli ambalo macho yaliona mpira umetoka var ikasema haujatoka.

Juzi spurs kakataliwa goli ambalo macho yaliona mpira umevuka mstari ila var ikagoma.

Na haina kukata rufaa.
Hata Liverpool walionewa na bodi ya Marefa ikasema refa alifanya makosa ila Totenham wakabaki na point zao 3.
 
Kwa usahihi vp wakati iliamua sio goli? Basi Haji haji aende akairekebishe ikawe kwa usahihi,
VAR haiamui goal,baali wale wanao rudia kuangalia clip kwenye VAR ndio wanao amua na ndio maana nikasema haijatumika kwa usahihi.

Pili kuwa na VAR haina maana waamuzi hawato kosea na ndio maana EPL,kuna baadhi wamepewa adhabu kwa kushindwa kutumia VAR kwa usahihi.

Halafu naona matokeo ya jana yame wafanya msahau ya kwenu au ndio ile picha ya Try again na Mayele imewafariji.
 
VAR haiamui goal,baali wale wanao rudia kuangalia clip kwenye VAR ndio wanao amua na ndio maana nikasema haijatumika kwa usahihi.

Pili kuwa na VAR haina maana waamuzi hawato kosea na ndio maana EPL,kuna baadhi wamepewa adhabu kwa kushindwa kutumia VAR kwa usahihi.

Halafu naona matokeo ya jana yame wafanya msahau ya kwenu au ndio ile picha ya Try again na Mayele imewafariji.
Kuna vitu ukiwa hujui nyamaza mkuu, unaweza kuniambia kwa nini lomalisa hakuoneshwa red kwa kumchezea vibaya mudau wakati VAR ilitumika kwa refa, we huo sahihi ni upi, yaani hiyo VAR kwa lomalisa ionekane ni sahihi halafu kwa Aziz ionekane sio sahihi.
 
Kuna vitu ukiwa hujui nyamaza mkuu, unaweza kuniambia kwa nini lomalisa hakuoneshwa red kwa kumchezea vibaya mudau wakati VAR ilitumika kwa refa, we huo sahihi ni upi, yaani hiyo VAR kwa lomalisa ionekane ni sahihi halafu kwa Aziz ionekane sio sahihi.
Halafu umeongea kitu kizuri, why ile ya Lomalisa alienda kuhakikisha kwa nini hili goli hakwenda kuhakikisha?

Ile sio red card,labda kama unataka kuleta ushabiki na kubalance matokeo na ndio maana alienda kujiridhisha.
 
VAR haiamui goal,baali wale wanao rudia kuangalia clip kwenye VAR ndio wanao amua na ndio maana nikasema haijatumika kwa usahihi.

Pili kuwa na VAR haina maana waamuzi hawato kosea na ndio maana EPL,kuna baadhi wamepewa adhabu kwa kushindwa kutumia VAR kwa usahihi.

Halafu naona matokeo ya jana yame wafanya msahau ya kwenu au ndio ile picha ya Try again na Mayele imewafariji.
Tazama hiyo clip itakusaidia sana kujua nini kilitoea jana kama ukiitazama ukawa umeweka mahaba na timu yako basi hutaelewa Milele. Nimeishia hapa
 

Attachments

  • VID-20240406-WA0038.mp4
    1.8 MB
Halafu umeongea kitu kizuri, why ile ya Lomalisa alienda kuhakikisha kwa nini hili goli hakwenda kuhakikisha?

Ile sio red card,labda kama unataka kuleta ushabiki na kubalance matokeo na ndio maana alienda kujiridhisha.
Umekuja vzr unajua kwa nini huwa anakwenda au haendi
 
Tazama hiyo clip itakusaidia sana kujua nini kilitoea jana kama ukiitazama ukawa umeweka mahaba na timu yako basi hutaelewa Milele. Nimeishia hapa
Sasa ni tizame Clip kwani scenario zinafanana?

Wewe kitu gani kilicho kufanya kujua kwenye hiyo clip hilo sio goal?

Goal la Yanga,ukiangalia mpira unapodunda,unaiona line yote ile ya chake,pili unaona kuna distance ipo kati ya mpira na ile nyeupe, moja kwa moja ni goal.Uzuri kuanzia Commentator wa France na hata hawa wabongo waliconfirm goal palepale na SABC.

View: https://www.instagram.com/reel/C5ZJPjdNVXk/?utm_source=ig_web_button_share_sheet
 
Sasa ni tizame Clip kwani scenario zinafanana?

Wewe kitu gani kilicho kufanya kujua kwenye hiyo clip hilo sio goal?

Goal la Yanga,ukiangalia mpira unapodunda,unaiona line yote ile ya chake,pili unaona kuna distance ipo kati ya mpira na ile nyeupe, moja kwa moja ni goal.Uzuri kuanzia Commentator wa France na hata hawa wabongo waliconfirm goal palepale na SABC.
Shida mahaba yamekujaa, hiyo ya jana camera iliyotumika ni moja tu hakuna aerial camera kama hiyo clip we uko goba eti umeona kuna distance ya mstari mweupe na mpira mara commentator wa france amesema ni goli😅😅 hiyo clip niliyokuwekea hapo kabla ya aerial view si unaona ni goal baada ya aerial view je?
 
Shida mahaba yamekujaa, hiyo ya jana camera iliyotumika ni moja tu hakuna aerial camera kama hiyo clip we uko goba eti umeona kuna distance ya mstari mweupe na mpira mara commentator wa france amesema ni goli😅😅 hiyo clip niliyokuwekea hapo kabla ya aerial view si unaona ni goal baada ya aerial view je?
Nime kuuliza hapa huja nijibu.

Wewe kitu gani kilicho kufanya kujua kwenye hiyo clip hilo sio goal?

Mahaba yanijae mimi,Mzungu aliyekuwa akitangaza kwa Kingereza, SABC nk yaani hawa wote wana mahaba?

Sasa hawa SABC na Commentator wa kizungu nao wapo Goba, sababu Commentator anaccess ya Camera zote za uwanjani.
 
Nime kuuliza hapa huja nijibu.

Wewe kitu gani kilicho kufanya kujua kwenye hiyo clip hilo sio goal?

Mahaba yanijae mimi,Mzungu aliyekuwa akitangaza kwa Kingereza, SABC nk yaani hawa wote wana mahaba?

Sasa hawa SABC na Commentator wa kizungu nao wapo Goba, sababu Commentator anaccess ya Camera zote za uwanjani.
We jamaa kwa hiyo Mzungu akitangaza ndio linakuwa goli😅😅😅
 
We jamaa kwa hiyo Mzungu akitangaza ndio linakuwa goli😅😅😅
Sasa mtu ana access ya Camera zote kwa nini ni simuamini okay tuachane na mzungu na hili shirika la utangazaji la South Africa SABC nao wanakaa Goba.
 
Sasa mtu ana access ya Camera zote kwa nini ni simuamini okay tuachane na mzungu na hili shirika la utangazaji la South Africa SABC nao wanakaa Goba.
Basi Mkuu, andikeni barua lkn ujue kwa mujibu VAR sio goli na itabaki kuwa hivyo, au hilo shirika la utangazaji watutumie hizo access zao tujihakikishie
 
Hahahah
Sio kazi ya CAF, CAF au FIFA zinasimama kama mahakama kusikiliza mashtaka

Kwa hiyo ni jukumu la mlalamikaji kutoa ushahidi kuwa hiyo ni match fixed.

Unathibitishaje?
, CAF sio mahakama, ni chombo cha usimamizi na uendeshaji wa soka Afrika, bogus. Kwa muhibu wa kanuni zao, Ukiwapelekea tuhuma zozote, haijalishi zimeletwa na nani au dhidi ya nani, watachunguza kwa mbinu zao kujua ukweli au uongo na kutoa uamuzi kwa kadri ya kanuni!
 
Basi Mkuu, andikeni barua lkn ujue kwa mujibu VAR sio goli na itabaki kuwa hivyo, au hilo shirika la utangazaji watutumie hizo access zao tujihakikishie
VAR officers na watangazaji wote wanakuwa na access ya Kamera zote na kwenye production kuna kuwaga na director ambaye huongoza machaguo ya kamera ipi iende ipi isubiri, ukiona SABC na yule Commentator wa kizungu hadi wamesema goal jua ni goal halafu wale hawana ushabiki kama wewe.

Maamuzi ya mpira haya badiliki najua hilo, ila malalamiko ya Yanga yanaweza kubadilisha mpira wa Africa, hata goal line Technology ilianza baada ya Uingereza Lampard kunyimwa goal lake zidi ya Ujerumani mpira ulidundia ndani ukatoka nje. Uingereza walilamika FIFA,matokeo yake ni haya mabadidiliko kwani Kupitia malalamiko ya Uingereza leo hii tuna goal line technology.

Najua ww ni mnazi wa 5imba ,lile ni goal halali ila waamuzi wameshindwa kuitumia hata hiyo tools ya VAR kufanya maamuzi ya goal.
 
VAR officers na watangazaji wote wanakuwa na access ya Kamera zote na kwenye production kuna kuwaga na director ambaye huongoza machaguo ya kamera ipi iende ipi isubiri, ukiona SABC na yule Commentator wa kizungu hadi wamesema goal jua ni goal halafu wale hawana ushabiki kama wewe.

Maamuzi ya mpira haya badiliki najua hilo, ila malalamiko ya Yanga yanaweza kubadilisha mpira wa Africa, hata goal line Technology ilianza baada ya Uingereza Lampard kunyimwa goal lake zidi ya Ujerumani mpira ulidundia ndani ukatoka nje. Uingereza walilamika FIFA,matokeo yake ni haya mabadidiliko kwani Kupitia malalamiko ya Uingereza leo hii tuna goal line technology.

Najua ww ni mnazi wa 5imba ,lile ni goal halali ila waamuzi wameshindwa kuitumia hata hiyo tools ya VAR kufanya maamuzi ya goal.
Hayo maumivu uliyonayo, ndio waliyapata geita, ihefu, kagera, halafu huyo mzungu unaempambania ambae akisema ndio linakuwa goli naomba namba zake anitumie access alizotumia kusema ni goli wakati VAR imetafsiri sio goli
 
Hayo maumivu uliyonayo, ndio waliyapata geita, ihefu, kagera, halafu huyo mzungu unaempambania ambae akisema ndio linakuwa goli naomba namba zake anitumie access alizotumia kusema ni goli wakati VAR imetafsiri sio goli
Nilikuuliza kwenu huku VAR?

Sijajua ww jana uliangalia mpira kwa lugha gani, ila kama kwa aliye tizama matangazo kwa lugha ya Kingereza alikisikia alicho kiongea. Yaani upewe access ya hizo video kama nani?

OK una hizo video na hizo mechi matokeo yake yalikuwaje........?
 
Hahahah

, CAF sio mahakama, ni chombo cha usimamizi na uendeshaji wa soka Afrika, bogus. Kwa muhibu wa kanuni zao, Ukiwapelekea tuhuma zozote, haijalishi zimeletwa na nani au dhidi ya nani, watachunguza kwa mbinu zao kujua ukweli au uongo na kutoa uamuzi kwa kadri ya kanuni!
Kama ulikuwa hujui CAF ni taasisi yenye idara nyingi ndani yake

Moja kati ya hizo idara imetengwa kwa ajili ya kushughulikia kesi za wanachama wake.

CAF hawachunguzi madai, CAF wanachunguza ushahidi ulioletwa na mleta madai.

Ngoja nikueleweshe.

Kwenye scenario ya jana na ile controversial ya goli la Azizi Ki, mkasema mpeleke madai CAF kuwa mmedhulumiwa maana yake ushahidi ambao mtaambatana nao ni ile clip ya kuonesha mpira ulivyovuka goal line.

Kwa maana hiyo CAF wao watajizatiti katika ushahidi wenu kuangalia ni kweli ule mpira ulivuka au haukuvuka.

Ikithibitika kuwa mpira ulivuka basi adhabu itatolewa kwa refa bila kuathiri matokeo aliyoyaamua.

Kwa maana hiyo ni kuwa mtakuwa mmefanya tu kulipiza kisasi kwa refa ili aadhibiwe lakini haiwezi kubadilisha maamuzi yake aliyoyafanya kwa kukataa goli.

Lakini ukasema utumie clip hiyo kama madai ya kusema ni match fixed, basi safari hii, clip peke yake haitatosha kuwa ushahidi, utaombwa ushahidi mwingine kusapoti hoja yako.

Kwasababu mpaka hapo ushahidi wako wa mwanzo hauoneshi match fixed bali unaonesha uzembe wa refa. Kwa hiyo uzembe wa refa unathibitishaje moja kwa moja kuwa ni conspiracy ya kupanga matokeo?

Ukiombwa uthibitisho utaweza kuutoa?

Match fixed huwa zinafanywa kwa protocol kali na za kisiri watu wanafiriki hafi kutumia dark web wasionekane na ndio maana maamuzi ya kuamua kuwa hii ni match fixed hayatolewi kwa kuangalia matukio yaliyotokea uwanjani.
 
Back
Top Bottom