Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuchaa ....kumekuchaaa...Li Motsepe litolewe kwenye hicho kiti cha cuf.....
Linauwa soka.....
Kumbe wale wamoroco wakati wa afcon walikuwa sahihi
Kwa akili hizi unastahili kuwa shabiki wa YangaSheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
OK, jamaa yupo CAF na sio CUF.Li Motsepe litolewe kwenye hicho kiti cha cuf.....
Linauwa soka.....
Kumbe wale wamoroco wakati wa afcon walikuwa sahihi
Khaaaaa mjiii umetulizana only Yanga tuuiWaongelewe na nani wameliwa matundu yote mawili
Tuanze kuuliza je ni kazi ya VAR kukubali au kukataa goli?Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100
Wee ni lionngo sanaa. [emoji23][emoji23][emoji23]Hapana; refa ndiye mwamuzi wa mwisho. Muda mfupi kabla mchezo haujaanza nilipata maono kuwa refa atainyima Yanga ushindi wa wazi; ndipo kiherehere kikaanza kunisumbua. Niliandika kwenye post hii hapa:
Ngoma ngumu kwa Mamelody, washusha kiingilio. Injinia awashika pabaya
Yanga na Mamelodi wamekutana wajanja kwa wajanja wote Njano-Kijani. Wote wanaogopana. Mwazoni mara baada ya droo kupangwa, Yanga iliiogopa sana Mamelodi ndipo wakaanza kampeini ya kujijengea confidence kwa nguvu sana. Ila sasa hivi baada ya mechi ya kwanza kibao kimegeukia kwa Mamemodi ndio...www.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkiambiwa angalieni na mechi za nje hamuelewi.
Arsenal alifungwa goli ambalo macho yaliona mpira umetoka var ikasema haujatoka.
Juzi spurs kakataliwa goli ambalo macho yaliona mpira umevuka mstari ila var ikagoma.
Na haina kukata rufaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nasikia raha wanavoumia yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe sio muelewa, hebu soma vizuri uelewe.mbona EPL wanapokwa pointi wao wanatumia kanuni ipi au mpira wa Africa unasheria zake? umesahau ile ya simba kuchezesha mchezaji asiye stahiki? bado yanga wakipanga karata vzr wanaweza wakapindua meza kibabe, staki kuamini kuwa VAR inakuwa ARV
Hivyo hivyo, ila inabidi tudai fidia hata bilioni kadhaa, watu wanawekeza pesa kwennye mpira halafu refa anafanya uonevu ambao huwezi kuutetea, hivi VAR kazi yake nini sasa.., mi ninachojua Yanga kashaingia nusu fainali.Hata wakikata rufaa ni kmetoka zaid refa atachukuliwa hatua ila kwenda mbele ni ndoto
Hakuna ni kama vile Matokea yakishatangazwa NEC hayahojiwi sehemu yoyote.Yaani ni jambo la ajabu sana kukataaa goal la wazi km hili how yaani var ikatae hii ni aibu sana kwa rais wa caf matsope sijui na team yake ya mamelod yaani ni aibu kwenye mpira wa africa kabisa.
Mimi nataka kujua haiwezekani kukata rufaa kama umedhulumiemwa kwenye hatua hizi za robo fainali champions caf??
View attachment 2955100
Mbona kwenye uchaguzi watu wanavunjwa miguu....sembuse pira la ngozi tuHivyo hivyo, ila inabidi tudai fidia hata bilioni kadhaa, watu wanawekeza pesa kwennye mpira halafu refa anafanya uonevu ambao huwezi kuutetea, hivi VAR kazi yake nini sasa.., mi ninachojua Yanga kashaingia nusu fainali.
Yanga wanatafuta huruma tu.....imeisha hiyo.Hakuna ni fungu.lakukosa
Nakubaliana na wewe, lakini ili kukomesha hila za Motsepe Yanga file case ya malalamiko na ushahidi.Matokeo kufutwa hutokana na kosa kufanywa na wachezaji
Wahusika wa hilo kosa ni marefa sio wachezaji
Hilo haliwezi kutokea hata siku moja.
Yanga anaweza kurudishiwa ushindi wake alioporwa, hii inaweza kwenda hata FIFA pia, hakuna namna yeyote ile VAR inaweza kukataa hilo goli, na hii ndio mara kwanza hapa duniani kwa VAR amabyo kil mtu anaona inakataa goli lililoingia, na kila mtu including refa ameona.Hata wakikata rufaa ni kmetoka zaid refa atachukuliwa hatua ila kwenda mbele ni ndoto
Exactly, kama kuna viashiria vya wazi wazi kama hivi kwa mtu mwenye mamlaka katika chama na ndiye mmliki wa timu husika kufannya match fixing kwa kumtumi refa, hiyo inawahisi mamelodi moja kwa moja, hakuna utetezi..Sheria zipo hapa ... Matokeo yanaweza kufutwa coz hii ni fixed match .. na mmiliki wa timu ni Rais wa chama Cha soka.
We una akili gani? Au ndio mnaongozwa kizombie afu mnashangilia magungu oyeeeeee!.Kwa akili hizi unastahili kuwa shabiki wa Yanga