Hivi hakuna njia nyingine ya kupunguza Vitambi/Mafuta mwilini?

Hivi hakuna njia nyingine ya kupunguza Vitambi/Mafuta mwilini?

Habari ya mjini ni puto mloganzila nyingine hizo ni mbwembwe
 
Ttizo kila mtaalam wa mitishamba anakwambia dawa yake ni kiboko lakini wapi! ...nina mwaka wa tano sasa nahangaika na hili tumbo linanyima sana raha wakuu.....
Mi falsafa yangu inasema. Vile unaamini kiujumla ndo unapendelea kuwa hivyo kimwili.

Kama una imani kali kuhusu kuwekeza/kutunza kwenye miradi unayoweza kuiconvert kuwa pesa maishani fasta. Ndivyo hivyohivyo unavyotunza mafuta ya kuweza kuyabadili kuwa nishati mwilini fasta.

Wajerumani wana msemo how you do one thing is how you do everything.
NB, hii ni nadharia
 
Na mimi nataka ni nenepe kwa haraka najiona mwembamba .nitumie vyakula vya haina gani kwa wingi
Hata kama hautumii bhangi bado unayo bhangi ya kutosha mwilini ndio maana.

Bhangi humfanya mtu kujijua na kujiona mkubwa sana.
Mtu mkubwa huwa hategemei kulindwa na vitu vingine sana anajitosheleza. Ndio maana hakusanyi, bali anawaza kusambaza ndo maana kagoma kunenepa wala kuwa na hela za akiba nyiiiingi. Alizonazo hata kama ni nyingi basi ni za kutumia almost.

Inaitwa amotivation syndrome. Mixer na nadharia zangu.

Ili unenepe mindset yako yoote itabidi ipige abautani
 
1.Practice OMAD na Autophagy
2.Epuka kula mikate au chakula chochote kinachotokana na ngano!
3.Acha kula fried foods na fast foods!
4.Kunywa sana maji utakapokua una practice OMAD,
5.Epuka sukari, pasteurized foods, juice za dukani na ndugu yake soda, pia jitahidi kuacha na pombe kabisa.
6.Mwisho fanya mazoezi rahisi kama push up, usihangaike na kukimbia kwanza kwa sasa mpaka baada ya miezi mi3 utaona mabadiliko makubwa mwilini, hapo ndo utaanza kukimbia na mazoezi ya aina hiyo!.


Una option mbili uridhike ukae na hicho kitambi kiendelee kuchanua au uchukue huo ushauri hapo juu kitoke!.


Natanguliza shukurani!
 
JARIBU HII NJIA YA KUPUNGUZA MUDA WA KUWEKA CHAKULA.MWILINI
INAITWA INTERMITTENT FASTING (16/8)

.The practice of 16/8 intermittent fasting involves limiting your intake of foods and calorie-containing beverages to a set window of 8 hours per day. You abstain from food for the remaining 16 hours, though you're still allowed to drink water and other no-calorie beverages, like plain coffee or tea.

INAFANYAJE KAZI
hapa ni unaacha kunywa chai pekee asubuh
Unakula kuanzia saa 6 mchana adi saa 2 usiku
Then
Unaacha kula kuazia saa 3 usiku adi kesho yake saa 6 mchana ama saa 7 mchana
(Hapo umefunga kwa masa 16)
Na muda ule wa masaa 8 kula chochote utakacho.hakuna ukomo wa chakula ila yale masaa 16 ya kufunga unatumia maji.kahawa ama chai isiyo na sukari.na usinywe hata soda
.Binafsi natumia njia hii mwezi wa pili sasa na zimepungua Kg 6 tangu nimeanza
Ukiwa na nafasi kuna Application
Playstore zinaongoza kufanya hii kitu
Cheers.
 
JARIBU HII NJIA YA KUPUNGUZA MUDA WA KUWEKA CHAKULA.MWILINI
INAITWA INTERMITTENT FASTING (16/8)

.The practice of 16/8 intermittent fasting involves limiting your intake of foods and calorie-containing beverages to a set window of 8 hours per day. You abstain from food for the remaining 16 hours, though you're still allowed to drink water and other no-calorie beverages, like plain coffee or tea.

INAFANYAJE KAZI
hapa ni unaacha kunywa chai pekee asubuh
Unakula kuanzia saa 6 mchana adi saa 2 usiku
Then
Unaacha kula kuazia saa 3 usiku adi kesho yake saa 6 mchana ama saa 7 mchana
(Hapo umefunga kwa masa 16)
Na muda ule wa masaa 8 kula chochote utakacho.hakuna ukomo wa chakula ila yale masaa 16 ya kufunga unatumia maji.kahawa ama chai isiyo na sukari.na usinywe hata soda
.Binafsi natumia njia hii mwezi wa pili sasa na zimepungua Kg 6 tangu nimeanza
Ukiwa na nafasi kuna Application
Playstore zinaongoza kufanya hii kitu
Cheers.
Hakuna kupungua km utakula kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 2 ucku, never

Anapaswa kutokula chochote kuanzia saa 12 jion mpaka let say saa 4 asubuh..

Kula wakati wa ucku n chanzo kikubwa cha unene, uzito, obesity
 
Back
Top Bottom