Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Huyu mMachame nilizaa nae miaka 17 ilio pita nilivo mgudua kwamba sitafika mbali nae kwa tabia zake tukaachana nae kwa maelewano kwasbb nilijua udhaifu wake ni pesa mali nikamuachia mali za aina tatu na pesa tasilimu ili nipate uhuru wangu na tuachane kwam amani after all Lipata ujauzito tukiwa bado chuoni, sasa hivi ni mwanamke wale wa "age go" ni mzee hana mvuto tena.

Tangia hapo nimelea my two sons kwenye malezi ya wastini kwa standards zetu hapa watoto wamesomo Ems na wamemaliza form four, wameenda kwake mara mbili likizo fupi tangu tuachane nae
Katika hi likizo ndefu ya miazi 8 nimeona ni la busara huyu mama nimpatie hao watoto wamjue zaidi wajue na wajomba zake, eli wawe na "a sense of belonging" na life confedence.

Lakini sasa wamekamilisha mwezi ila kila siku ni simu kutoka mzazi mwenzangu njoo uwachukue watoto wako mimi nina safari, mara nikopesha kiasi ni nunue chakula cha kutosha mara watoto wako hawali ugali wanapenda chips nk.nk Wakati kazini kwake mshahara wake ni 650k kwa kila mwezi tuseme huyu age go wangu hizo pesa hawezi kuhudumia watoto wake mpaka ni mhudumie mimi?

Wakati yeye kazalishwa mtoto mgine na anamhudumia yeye kama "singo maza' baba kapotea mazima. Nyie wanawake tukiwa wastaharabu mstuchukulie kama fala, hao mapacha nina uwezo wa kukuachia uwasomeshe mpaka form five na ni kublock kwenye simu zangu zote.
 
Watoto napenda wajue ujomba wao ili angalau wajisikie kua na amani sio kwamba nina nia ya kuacha huko mlele ila nashangaa mwanamke ndl hivo alivo
komaa
 
Mkuu umelewa au ? Sijaelewa mantiki hapa,,,, ulizaa na mwenzio, watoto wakaenda kwake likizo, anaomba matumizi,,, ! Sio mbaya, mpatie na mkadirie kwa muda watoto watakuwa pale mpe hio pesa,,, watoto wa miaka 17 hawali ugali wanataka chips tu ? Kingine maswala ya kuachwa na mzazi mwenzie haikuhusu tena, ww angalia wanao,,, move on, ! Sometimes hawa viumbe hata kama wana vipato, bado wanataka chochote kutoka kwetu !
 
Umetaja tabia ya wanawake wengi kama si wote, halafu uka kolezea na neno " Mmachame" it was not necessary, tulia unyooshwe.
Hahaha mkuu sikua na nia mbaya na mimi nimakaa nao sanaa ila ndo hivo ananionyesha roho mbaya huyu mama.
 
Mkuu umelewa au ? Sijaelewa mantiki hapa,,,, ulizaa na mwenzio, watoto wakaenda kwake likizo, anaomba matumizi,,, ! Sio mbaya, mpatie na mkadirie kwa muda watoto watakuwa pale mpe hio pesa,,, watoto wa miaka 17 hawali ugali wanataka chips tu ? Kingine maswala ya kuachwa na mzazi mwenzie haikuhusu tena, ww angalia wanao,,, move on, ! Sometimes hawa viumbe hata kama wana vipato, bado wanataka chochote kutoka kwetu !
Ila kinacho niuma kuna mtoto mgine anae mrisha bila kusumbua baba mzazi kwanini wakwangu mpaka aniombe msaada?
 
Mzee wangu ni mtu wa kaskazini na sina mawasiliano nae mpaka kesho.

Ni tabia ya mtu haihusiani na kanda au kabila.
Mkuu pole sanaa neenda ukamtafute damu ni muhimu katika maisha yetu wanaume.
 
Ila kinacho niuma kuna mtoto mgine anae mrisha bila kusumbua baba mzazi kwanini wakwangu mpaka aniombe msaada?
Siku zote mwanamke ni kiumbe mbinafsi. Unaweza kuwa naye kwenye mahusiano bado hamjaoana na bado hamuishi pamoja na ana kazi inayomuingia hela ila huyo mwanamke kununua chakula chake yaani cha kula yeye anaona kama anapoteza hela. Anataka wewe ndiyo umhudumie
Ukipata naye watoto, hao yeye siyo watoto wake. Kwenye suala la kuwahudumia anaona kama anapoteza hela zake. Ila watoto wakikua, ndiyo anajifanya yeye ndiyo alikuwa anatumia pesa zake.
 
Wakati yeye kazalishwa mtoto mgine na anamhudumia yeye kama "singo maza' baba kapotea mazima. Nyie wanawake tukiwa wastaharabu mstuchukulie kama fala, hao mapacha nina uwezo wa kukuachia uwasomeshe mpaka form five na ni kublock kwenye simu zangu zote
Kiukweli baadhi ya Wanawake wana roho mbaya sana.

Huyo bado ana hasira na wewe.

Badala awapokee watoto tena awalee kwa upendo maana ni watoto wenu. Lakini anazidi kuketa mbambamba kibao hadi watoto hawajisikii amani na furaha kabisa.

Huu ni wito kwa kataa ndoa group, ukikataa ndoa basi usizae nje hovyo hovyo tabu iko pale pale
 
Back
Top Bottom