Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Sasa mpaka uombwe hela ya matumizi ndiyo ufurahi? Usipoombwa unapiga kimya
Mimi ningekuona wa maana kama ungeweka bajeti kabisa hata kufungua account bank. Mwanamke anatoa pesa tu haina haja ya kuombwa, Kila mwezi kwenye account unaweka milion 1 au 3 kabisa ili usiombwe hela.
Unaongea sana, punguza maneno 😂
 
Bado sio mzee kama ana kazi na anakula mshahara huyo bado analipa
Mkuu kweli anaonekana vizuri ila kwangu ni "age Go" kama uko huru nikupe mawasiliano huenda unaweza ikamjlea zaidi na kumshauri, ana rangi mrefu sura nzuri ila mshikirah uko chini kwenye miguu, mkuu mimi sina roho mbaya nakuachia[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji850][emoji850]
 
Miongoni mwa makabila yanayopenda watoto na hawawezi kuacha dam zao ninwatu wa kaskqzini
Jamaa kaamua kudanganya bila uoga kabisa. Wanawake wakichaga ni kama simba jike ni ngumu sana kuwatelekeza watoto wao.
 
Jamaa kaamua kudanganya bila uoga kabisa. Wanawake wakichaga ni kama simba jike ni ngumu sana kuwatelekeza watoto wao.
Hongera kama wote wana upendo na wako tayari kutumia kutumia kipato chao kuchunga familia zao, mimi nina bahati mbaya huyu mchanga anapenda pesa kuliko damu yake.
 
Mshahara 650k ndo unaona mkubwa sana kulea watoto watatu?
Kawachukue watoto wako au peleka matumizi.
 
Mfano 1
Kuna rafiki yangu alikuwa ameoa ana mtoto mmoja naye. Wakipishana kidogo, mwanamke hapiki chakula, anahama chumba, hafui nguo wala hafanyi usafi wowote na hawasemeshani hadi nyinyi marafiki zake mnanuniwa. Kupishana kupo ila mambo yote huwa yanaendelea kama kawaida hadi unyumba unapewa na story zinapigwa kama kawaida. Kama wewe mwanaume unaweza kuendelea na hii ndoa?
Mfano 2.
Kuna wanawake wanapenda kukutawala na kukufanya kuwa hauna maamuzi kwasababu ya hela zake, dini yake au mila zake. Hapo utasema mwanaume tafuta hela ili mkeo asikuzidi. Ndiyo jambo jema, kukiwa kuna ushindani ndani ya ndoa yaani mmoja wenu kwakuwa ana hela basi ampelekeshe mwenzake kwa kuwa hana basi hiyo siyo ndoa kwasababu ndoa ni upendo, kuvumiliana na kuheshimiana wala siyo kuwa na ushindani miongoni mwenu kwasababu nyie ni mwili mmoja (maendelo ni ya kwenu nyote) Kila mtu ana ridhiki yake kwahiyo huwezi kushindana au kumdhuia mwenza wako asikudhidi kipato ndiyo akuheshimu. Kama kipato chake ndiyo kinamfanya hakudharau, mwache aishi na kipato chake maana kipato chake ndiyo mume wake.
Well
 
Huyu mMachame nilizaa nae miaka 17 ilio pita nilivo mgudua kwamba sitafika mbali nae kwa tabia zake tukaachana nae kwa maelewano kwasbb nilijua udhaifu wake ni pesa mali nikamuachia mali za aina tatu na pesa tasilimu ili nipate uhuru wangu na tuachane kwam amani after all Lipata ujauzito tukiwa bado chuoni, sasa hivi ni mwanamke wale wa "age go" ni mzee hana mvuto tena.

Tangia hapo nimelea my two sons kwenye malezi ya wastini kwa standards zetu hapa watoto wamesomo Ems na wamemaliza form four, wameenda kwake mara mbili likizo fupi tangu tuachane nae
Katika hi likizo ndefu ya miazi 8 nimeona ni la busara huyu mama nimpatie hao watoto wamjue zaidi wajue na wajomba zake, eli wawe na "a sense of belonging" na life confedence.

Lakini sasa wamekamilisha mwezi ila kila siku ni simu kutoka mzazi mwenzangu njoo uwachukue watoto wako mimi nina safari, mara nikopesha kiasi ni nunue chakula cha kutosha mara watoto wako hawali ugali wanapenda chips nk.nk Wakati kazini kwake mshahara wake ni 650k kwa kila mwezi tuseme huyu age go wangu hizo pesa hawezi kuhudumia watoto wake mpaka ni mhudumie mimi?

Wakati yeye kazalishwa mtoto mgine na anamhudumia yeye kama "singo maza' baba kapotea mazima. Nyie wanawake tukiwa wastaharabu mstuchukulie kama fala, hao mapacha nina uwezo wa kukuachia uwasomeshe mpaka form five na ni kublock kwenye simu zangu zote.
Wewe ndo mjinga kweli, uliona matatizo ya huyo mzazi mwenzio ukaingia mitini, akaja mwanaume mwingine nae kaingia mitini, sasa unakuwa fala tena. Chukua watoto wako acha kulialia humu jf.
 
Wewe ndo mjinga kweli, uliona matatizo ya huyo mzazi mwenzio ukaingia mitini, akaja mwanaume mwingine nae kaingia mitini, sasa unakuwa fala tena. Chukua watoto wako acha kulialia humu jf.
Mkuu lengo sio kulea wanangu na huyu mama ila lengu kuu ni mtoto ajue ujombani kwao na ndugu wa mama ake kesho au kesho kutwa watakua wa mihimu.
 
Mshahara 650k ndo unaona mkubwa sana kulea watoto watatu?
Kawachukue watoto wako au peleka matumizi.
Mmh unaona hizo pesa ni ndogo kweli kwa mkoa anao ishi wakati kuna mtumishi nae mjua ana watoto watano mshahara wake ni 470k kila mwezi
 
Mmh unaona hizo pesa ni ndogo kweli kwa mkoa anao ishi wakati kuna mtumishi nae mjua ana watoto watano mshahara wake ni 470k kila mwezi
Hiyo pesa ni ndogo hata kwa mtu mmoja. Kwani matumizi ni chakula pekee?
 
Lea watoto si ulipeleka moto
Alijua kumwaga mbegu, hakujua kuwa kuna siku atakuja kuwajibika kwa watakaozaliwa.
Maneno ya uchungu sana yamemtoka alipoandika "nina uwezo wa kukuachia uwasomeshe mpaka form five na ni kublock kwenye simu zangu zote"
Hii inaonyesha kabisaa anataka kukimbia kuwajibika na sababu anaitafuta na bibie age go kashtukia mchezo mmachame hataki ujinga.
 
Mkuu kweli anaonekana vizuri ila kwangu ni "age Go" kama uko huru nikupe mawasiliano huenda unaweza ikamjlea zaidi na kumshauri, ana rangi mrefu sura nzuri ila mshikirah uko chini kwenye miguu, mkuu mimi sina roho mbaya nakuachia[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji850][emoji850]
Mshikiraa ndio nini
 
Watoto napenda wajue ujomba wao ili angalau wajisikie kua na amani sio kwamba nina nia ya kuacha huko mlele ila nashangaa mwanamke ndl hivo alivo
Watoto wana haki ya kujua ndugu zao at all cost.

Wazungu wanatuzidi kwenye hili
 
Ndugu acha mimi nikwambie ukweli. Malezi ya watoto ni jukumu lako kwa mila zetu za kiafrika. Mwanaume kamwe haupaswi kulalamika kuhusu gharama za malezi ya watoto au kumwachia mama yao. Mwanaume wa kiafrika analea watoto wake.
 
Huyu mMachame nilizaa nae miaka 17 ilio pita nilivo mgudua kwamba sitafika mbali nae kwa tabia zake tukaachana nae kwa maelewano kwasbb nilijua udhaifu wake ni pesa mali nikamuachia mali za aina tatu na pesa tasilimu ili nipate uhuru wangu na tuachane kwam amani after all Lipata ujauzito tukiwa bado chuoni, sasa hivi ni mwanamke wale wa "age go" ni mzee hana mvuto tena.

Tangia hapo nimelea my two sons kwenye malezi ya wastini kwa standards zetu hapa watoto wamesomo Ems na wamemaliza form four, wameenda kwake mara mbili likizo fupi tangu tuachane nae
Katika hi likizo ndefu ya miazi 8 nimeona ni la busara huyu mama nimpatie hao watoto wamjue zaidi wajue na wajomba zake, eli wawe na "a sense of belonging" na life confedence.

Lakini sasa wamekamilisha mwezi ila kila siku ni simu kutoka mzazi mwenzangu njoo uwachukue watoto wako mimi nina safari, mara nikopesha kiasi ni nunue chakula cha kutosha mara watoto wako hawali ugali wanapenda chips nk.nk Wakati kazini kwake mshahara wake ni 650k kwa kila mwezi tuseme huyu age go wangu hizo pesa hawezi kuhudumia watoto wake mpaka ni mhudumie mimi?

Wakati yeye kazalishwa mtoto mgine na anamhudumia yeye kama "singo maza' baba kapotea mazima. Nyie wanawake tukiwa wastaharabu mstuchukulie kama fala, hao mapacha nina uwezo wa kukuachia uwasomeshe mpaka form five na ni kublock kwenye simu zangu zote.
Jamani fanyeni vyote lakini wapeni watoto Furaha na amani. Wachukue wanao
 
una element za kishoga au unaonekana wewe ni mwanaume dhaifu usiejielewa.

upo na mtoto ana 17yrs manake upo 40+ lakini bado mpumbavu mwanaume dizaini yako manatakiwa mpigwe viboko pumbav
 
Back
Top Bottom