wanaume dizain yake wengi mchicha mwibANdugu acha mimi nikwambie ukweli. Malezi ya watoto ni jukumu lako kwa mila zetu za kiafrika. Mwanaume kamwe haupaswi kulalamika kuhusu gharama za malezi ya watoto au kumwachia mama yao. Mwanaume wa kiafrika analea watoto wake.