Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Hivi hao viumbe hawana mapenzi na watoto wao wa kiume au wamezoa mseleleko tu?

Lakini waliachana. Wangetaka kuwalea wote wangekuwa pamoja.

Kumbuka pia ametambia huyu Mwanamke alishaanzisha familia nyingine
Wanawake ni waigizaji wazuri sana wa tabia. Akisha jenga ufalme wake na akaona sasa yupo sehemu salama ndiyo anaanza kutoa makucha yake. Unagundua tabia chafu ambazo hazikuwepo kabla. Kuna tabia za wanawake hata ungekuwa unaroho nzuri kama ya malaika utashindwa kuvumilia na utaondoka.
 
Wanawake ni waigizaji wazuri sana wa tabia. Akisha jenga ufalme wake na akaona sasa yupo sehemu salama ndiyo anaanza kutoa makucha yake. Unagundua tabia chafu ambazo hazikuwepo kabla. Kuna tabia za wanawake hata ungekuwa unaroho nzuri kama ya malaika utashindwa kuvumilia na utaondoka.
Nakubaliana na wewe, hizo tabia ni kama zipi?
 
Umejuaje kama haombi msaada huko kwingine? tunza watoto wako acha kulialia, wenzako tunafurahi tukiombwa pesa za matumizi kwa watoto wetu 😂😩
Sasa mpaka uombwe hela ya matumizi ndiyo ufurahi? Usipoombwa unapiga kimya
Mimi ningekuona wa maana kama ungeweka bajeti kabisa hata kufungua account bank. Mwanamke anatoa pesa tu haina haja ya kuombwa, Kila mwezi kwenye account unaweka milion 1 au 3 kabisa ili usiombwe hela.
 
Mbona shuleni huo ugali wana ula japo mimi nyumbani sipendelee sana ugali, ila mara moja moja tunaula nao ni uongo anataka kupiga mizinga tu.
Upo vizuri mkuu mimi ugali ni Kila siku mchana kutokana na kazi ngumu ngumu
 
Sema sishangai 2009 tunamaliza masomo yule mwanadada nimekutana nae juzi nikamsalimia shikamoo sister akasema wewe umenisahau wewe si fulani tuliosoma wote Chuo
Na walianza pamoja🤣🤣 anamwita Age Go
 
Usiogope kuzaa watoto na mwanamke kisa ana roho mbaya (mwanamke ni muigizaji mzuri sana). Wanawake wote ni wabinafsi, mwanamke anaweza kukuigizia hata mkapata watoto wa 4 halafu pepo lake la roho mbaya likafumuka. Ukawa unajiuliza huyu ndiyo yule mke wangu?
Wewe jiulize, mwanamke mwenye watoto wawili anapataje nguvu ya kuchepuka au kuvunja ndoa? Haya maisha, unaweza ukaoa halafu walio single ukawaona kama wajinga. Baada ya miaka kadhaa, ndoa yenu ikavunjika, hapo umeshapata watoto wawili na ukaoa mwanamke mwingine ukapata naye watoto 3. Hao watoto wawili wanakuwa wapo nje ya ndoa au hawa watoto watatu ndiyo wanakuwa wapo nje ya ndoa? Ukikua ndiyo utalijua hili ila sasa hivi huwezi kuelewa.
Bigup umeliweka sawa very excellent [emoji108] dude
 
Sasa mpaka uombwe hela ya matumizi ndiyo ufurahi? Usipoombwa unapiga kimya
Mimi ningekuona wa maana kama ungeweka bajeti kabisa hata kufungua account bank. Mwanamke anatoa pesa tu haina haja ya kuombwa, Kila mwezi kwenye account unaweka milion 1 au 3 kabisa ili usiombwe hela.
Kuna kipindi nilijifanyaga mzungu eti nafungulia mtoto wangu account ya benki kwa jina la mama yake alio kua amamlea eti akifika kuenda shule ada iwe imewekwa ya kutosha loh sotasahau nilipigwa na kitu kizoto kichwani, na mtoto nika rudishiwa, wanawake ni watu waajaabu likija suala la pesa.
 
Kuna kipindi nilijifanyaga m,ungu eti nafungulia mtoto wangu account ya benki kwa jina la mama yake alio kua amamlea eti akifika kuenda shule ada iwe imewekwa ya kutosha loh sotasahau nilipigwa na kitu kizoto kichwani, na mtoto nika rudishiwa, wanawake ni watu waajaabu likija suala la pesa.
Heheeh......sio kwamba wewe ndio ulibadilika na kuwa tabia mbaya mbaya hivyo mama naye akakasirika?

Sometimes behaviour za wanawake ni Reaction kwa matendo tuliyowafanyia.
 
Don't Punic brother

Relax
Ndo maana nimeleta hi mada hapo kama sehemu ya kupata relaxation, wadao jf wadharao kwa mada zingine ila sio za mahusiano wamepitia mengi wadao wana practicle nyingi watakushairi watakupa uzoefu wao utaridhika tu nakujua plan B
 
Nakubaliana na wewe, hizo tabia ni kama zipi?
Mfano 1
Kuna rafiki yangu alikuwa ameoa ana mtoto mmoja naye. Wakipishana kidogo, mwanamke hapiki chakula, anahama chumba, hafui nguo wala hafanyi usafi wowote na hawasemeshani hadi nyinyi marafiki zake mnanuniwa. Kupishana kupo ila mambo yote huwa yanaendelea kama kawaida hadi unyumba unapewa na story zinapigwa kama kawaida. Kama wewe mwanaume unaweza kuendelea na hii ndoa?
Mfano 2.
Kuna wanawake wanapenda kukutawala na kukufanya kuwa hauna maamuzi kwasababu ya hela zake, dini yake au mila zake. Hapo utasema mwanaume tafuta hela ili mkeo asikuzidi. Ndiyo jambo jema, kukiwa kuna ushindani ndani ya ndoa yaani mmoja wenu kwakuwa ana hela basi ampelekeshe mwenzake kwa kuwa hana basi hiyo siyo ndoa kwasababu ndoa ni upendo, kuvumiliana na kuheshimiana wala siyo kuwa na ushindani miongoni mwenu kwasababu nyie ni mwili mmoja (maendelo ni ya kwenu nyote) Kila mtu ana ridhiki yake kwahiyo huwezi kushindana au kumdhuia mwenza wako asikudhidi kipato ndiyo akuheshimu. Kama kipato chake ndiyo kinamfanya hakudharau, mwache aishi na kipato chake maana kipato chake ndiyo mume wake.
 
Back
Top Bottom