mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Voronà imepata msaidi wa kuipumzisha.Tatizo vita ya Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voronà imepata msaidi wa kuipumzisha.Tatizo vita ya Ukraine
Sawa, lakini acha utoto!Nunua external GB 500 weka movie nunua deki ya CD nunua bongo movie ila ukitaka DSTV toa pesa upate uduma lawama haita saidia
Sawa mkongwe!Acheni kulialia.
Hiki ndio kilichobaki, haiwezekani nilipie 50k kwa mwezi halafu bado nikapambane na vibanda umiza.Tafuta king'amuzi kingine mkuu
[emoji23][emoji23] acha uwongo... ina maanisha channel ya aljazeera ni bure endapo kifurushi kimeisha?!Lakini siku hizi kifurushi kikiisha Al Jazeera unapata na chanel nyingine nyingi tu, ile zile pendwa za muvi hupati
Ndio, mimi mbona napata, kifurushi kikiisha chaneli nyingi tu napata ikiwemo hiyo Alazeera[emoji23][emoji23] acha uwongo... ina maanisha channel ya aljazeera ni bure endapo kifurushi kimeisha?!
Kama star times, nadhani ni EPL tu ndiyo hawaonyeshi............Hiki ndio kilichobaki, haiwezekani nilipie 50k kwa mwezi halafu bado nikapambane na vibanda umiza.
Ww ushaambiwa Kila Kitu Kitapanda Unaalama Nini? Wasiliana na Jumong mlimalizeSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Tulia dawa iwaingie ,uchumi WA Kati WA niokoSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Hujalazimishwa kununuaSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Mko radhi kuandamana kushibisha matumbo yenu Kwa muda Ila hampo radhi kuingia madarakani kuifurusha madarakani serikali ya CCM iliyowafukarisha babu zenu , Baba zenu , nyie wenyewe na hata vitukuu wenuUkisema wanaoweza kuandamana watoke mbele kupinga mfumuko wa bei.
Trust me utajikuta peke yako barabarani.
vita ya Ukraine na UrusiSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Wanajiona keki sana, dawa yao iko jokoniSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Najua!Hujalazimishwa kununua
Mimi kikiisha hawakat mazima, wanaonndoa channel pendwa kwanza siku ya kwanza, halafu siku ya pili wanaacha local halafu ya tatu zote. Sema home now nina cha demo kuna mtu kaniachia nikifaidi mpaka hapo atakapokihitaji. Full channel free bila malipo[emoji23][emoji23] acha uwongo... ina maanisha channel ya aljazeera ni bure endapo kifurushi kimeisha?!