Hivi hawa DSTV wanatuchukuliaje Watanzania?

Hivi hawa DSTV wanatuchukuliaje Watanzania?

Imehamishiwa katika package ya Compact plus Broh.

Acha uongo we jamaa, channel 223 bado ipo kwenye kifurushi cha Compact.
IMG_8638.jpg
 
nunua dishi la free to air wala hautalipia hata senti au nunua decoda ya canal+ bei zao kitonga na unaona ligi zote za ulaya na movies za kutosha kwa 30000 tu ila lugha kifaransa
Canal+ shida Iko KWENYE malipoo.
 
Salaam WanaJF!

Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?

Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.

Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.

Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Vita ni mbayaaaa sanaaaa aloooo unaeza kuta unabadilishiwa adi mke ivi iviiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
nunua dishi la free to air wala hautalipia hata senti au nunua decoda ya canal+ bei zao kitonga na unaona ligi zote za ulaya na movies za kutosha kwa 30000 tu ila lugha kifaransa
Wamebadilisha lugha kutoka kifaransa?
 
Mtanzania utamjua kwa majibu yake ya kitumwa! Mtumwa ndiye ukimuuliza kwa nini hutembei kufurahia maisha kama watu wengine anakumbia ''bwana anakataza''! Bila shaka wewe exposure yako ni sifuri na pia elimu yako imedunda! Biashara haihalalishi wafanyabiashara kufanya watakavyo!
Pambana na hali yako mkuu.
 
Salaam WanaJF!

Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?

Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.

Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.

Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Taja chaneli moja iliyohamishwa kwenda compact plus
 
Back
Top Bottom