Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wa zamani + Ujinga wa sasa = Ujinga
Imehamishiwa katika package ya Compact plus Broh.
Canal+ shida Iko KWENYE malipoo.nunua dishi la free to air wala hautalipia hata senti au nunua decoda ya canal+ bei zao kitonga na unaona ligi zote za ulaya na movies za kutosha kwa 30000 tu ila lugha kifaransa
We mbona muongo sana?unahisi uongo utakusaidia nini?ch 223 ipo COMPACTImehamishiwa katika package ya Compact plus Broh.
malipo yanasumbua nini kwasasa dunia kama kijiji,ngoja niangalie kwanzaCanal+ shida Iko KWENYE malipoo.
Vita ni mbayaaaa sanaaaa aloooo unaeza kuta unabadilishiwa adi mke ivi iviiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣Salaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?
Mimi 24/7 nachekigi Ile channel Yao no.100,Ni the best.Asante sana DSTVMi ndio maana napendaga cartoon Tu.....maaana ndio hazibadilishwi badilishwi kijinga
Mafundi madishi mna maneno.Tafta hela acha kulalamika
Wamebadilisha lugha kutoka kifaransa?nunua dishi la free to air wala hautalipia hata senti au nunua decoda ya canal+ bei zao kitonga na unaona ligi zote za ulaya na movies za kutosha kwa 30000 tu ila lugha kifaransa
Kama account yako ipo active utapiga *150*53# kisha utaangalia salio, kisha chagua "Add Movies", utaletewa kiasi unachopaswa kulipiaHii njia unaweza kunielewesha?
Ukilipia movies kama una internet, unapewa access ya showmax, kule ni bando lako tuMovies zenyewe wanazirudia rudiaaa
[emoji1787]Mimi 24/7 nachekigi Ile channel Yao no.100,Ni the best.Asante sana DSTV
Pambana na hali yako mkuu.Mtanzania utamjua kwa majibu yake ya kitumwa! Mtumwa ndiye ukimuuliza kwa nini hutembei kufurahia maisha kama watu wengine anakumbia ''bwana anakataza''! Bila shaka wewe exposure yako ni sifuri na pia elimu yako imedunda! Biashara haihalalishi wafanyabiashara kufanya watakavyo!
Taja chaneli moja iliyohamishwa kwenda compact plusSalaam WanaJF!
Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!?
Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa imehamishiwa katika kifurushi kingine ambacho ni cha gharama zaidi.
Yaani Kifurushi cha COMPACT ambacho tunalipia Tsh 50000+ kwa mwezi nacho kimeshakuwa useless, chaneli pendwa wamezisogeza kwenye kifurushi cha COMPACT plus ambacho unatakiwa kulipia Tsh 90000+ kwa mwezi.
Huu ni utapeli kwa Watanzania, sijui mnatuchukuliaje DSTV!!?