barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
vipi hapa yanga na dk 7?Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
refa akawaongezea na dk 2 tena bado hamna kitu.View attachment 1084985
Aliyewaita vyura mbute mbute gongo wazi hakukosea. Akili zenu ziko makalioni kama chura ya snura
Umenikumbusha enzi za ferguson na fergie time!! Walikutana na wajomba liver muda wa nyongeza torres km sikosei akawafunga.Hizo dk zilizoongezwa JKT haiwahusu?simba pekee walikuwa uwanjani ?je kwenye hizo dk JKT wangefunga goli mgelalamika?
Vyura Nye wa ajabu jana Azam wamenyimwa goli la wazi lile la ngoma halafu Leo mnaleta midomo.
Tulieni sindano iwaingie vizuri.
Yule refa ndo refa bora kwa misimu miwili iliyopita
Mkuu soka ni mchezo mpana sana nafikiri ungeanza kufanya utaratibu wa kuanza kufuatilia golf
Wahenga walikuwa timamu kweli kweli eti Nyani haoni kundule.Hiyo na Lipuli ziliongezwa Dakika 7 lakini hapo unaona ni Dakika ya 99 View attachment 1085003
Siku zote huwa Nyani haoni...........Lipuli FC na Yanga ziliongezwa dakika 7, hata hivyo Vyura walimiminiwa Kamwene [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1084984
vipi hapa yanga na dk 7?View attachment 1085008
zimeongezwa dakika saba halafu goli limefungwa dakika ya 98, hawa marefa wanaibeba simba wazi kabisa
Hizo dakika saba si walikua wanacheza wote?
Hujielewizimeongezwa dakika saba halafu goli limefungwa dakika ya 98, hawa marefa wanaibeba simba wazi kabisa
Umemuuwa huyu chura kijerumani kabisaHiyo na Lipuli ziliongezwa Dakika 7 lakini hapo unaona ni Dakika ya 99 View attachment 1085003
Akaangalie rede aone chupiMkuu soka ni mchezo mpana sana nafikiri ungeanza kufanya utaratibu wa kuanza kufuatilia golf
Kama zilivyoongezwa mlipocheza na Lipuli mkashindwa kusawazisha??kwanini mlishindwa kusawazisha ila sisi tuliweza kupata LA ushindi??Hapo ndipo ilipo tofauti yetu na nyinyi
Mkuu unawasema yanga?!!Naona mnaweweseka sana.