Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Alitupa pia historia yake siku moja tulikuwa home kwake anatupiga pindi,jamaa alikuwa na watoto hardly wamepishana labda miezi 9 tisa...sasa akawa anasema..unajua vijana,my classical (wife wake) tulikuwa tunamgombania na Busanji,nikapiga mimba ya kwanza,heee busanji boy bado akawa anafukuzia,nikapiga ya pili haraka haraka(klaaa shabash),jamaa bado hakukata tamaa,nikatandika ya tatu haraka haraka...busanji mikono juu..mkanda ni nini..mkanda boy...klaaa!

Kamanda Moshi we c uliishi Mapinduzi 2 na akina Mrisho,Mponda kweli?!
 
Lilikua jina lake huyo M-pcm kutoka pwan bila shaka!, we huwakumbu kina Regan Rajuu mpga msuli!,kina Bonge au Jakson andason!,akina dudubaya ila wote hawa ni wa Mapinduz!
 
Hahaha vijana wa taboraboys wanafanya vizuri sana ila mazingira bado sio mazuri
 
Umemsahau "So much" alinifundisha chemistry tuisheni pale makongo na rafiki yake 'Makumaku'

Duh! Nakumbuka mwaka 2003 pale Makongo palikuwa na wataalam wakalina maarufu kuliko wote Tanzania. The so much ( huyu alikuwa mtata sana maana alijua mathematics na chemistry na tuishen zake ziliitwa THE SO MUCH ACADEMY), Busanji ( physics), makumaku ( bios), Mzee tilia ( huyu ndie alikuwa bingwa Wa chemistry ambaye sijapata kumuona zaidi yake mpaka sasa na alikuwa retired akitokea Mkwawa, pia alikuwepo mtaalam Wa physics Mzee Kazibure (marehemu)naskia alisona na Nelkon darasa moja!pia alikuwepo Dr Mkoma mtaalam Wa Inorganic chemistry ( sasa ni senior lecturer SUA)
 
mm nilisoma shuleni kwake mkandawile high school nilimaliza pale mwaka 2009 but aftr 2 yearz nackia alifilidika kutokana na sababu mbali mbali but now nackia yupo mwanza na mambo yake sio mazuri ndio amerudi kujipanga..nitajitahidi by 2mr niwadondoshee namba take ya cm..hata tukimkumbuka kwa cm 2 atafarijika coz anetusaidia wengi..
 
please any update ya mkandawile, alinipiga tafu kunisukumia medical skul kwa chemistry, Mama Shija alikua Azania tena akifundishia tuishen DIT kiindi fulani, Busanji yupo wapi? Makumaku pia kwa Biology Mnazi mmoja 2000?
 
"Jinalo we kote linatajikaa..hapa alisomeshwa Baba yetu wa Taifa,Tabora School kichwa cha Tanzaniaaa"...dah umenikumbusha mbali sana!!hapo napiga msuli wa Chemia chini ya mwembe,huku nawaza disko na Tabora Girls!au kwenda Tukutuku!

Hahahaaaa unakumbusha mbali sana we jamaa. Tukutuku na Ng'ambo kwa bibi
 
Watu humu wanamsifia sana Mkandawile,lakini kama wangewahi kumsikiliza Mama Shija huyu mama anajua sana chemistry
 
Duh mkandawileee kanifundisha aisee! @ Pugu anatisha!!!
 
mm nilisoma shuleni kwake mkandawile high school nilimaliza pale mwaka 2009 but aftr 2 yearz nackia alifilidika kutokana na sababu mbali mbali but now nackia yupo mwanza na mambo yake sio mazuri ndio amerudi kujipanga..nitajitahidi by 2mr niwadondoshee namba take ya cm..hata tukimkumbuka kwa cm 2 atafarijika coz anetusaidia wengi..

aliendekeza stare he zikamtia kidole,aliuza hadi nyumba aliyokuwa amepanga.A boy au Ambrose na yeye alifuata mtindo huohuo Wa maisha
 
aliendekeza stare he zikamtia kidole,aliuza hadi nyumba aliyokuwa amepanga.A boy au Ambrose na yeye alifuata mtindo huohuo Wa maisha

Mkandawile alikuwa anaishi nyumba aliyojenga mwenyewe Pugu karibu na kwa Busanji
 
Muddy physics, hidden, mtata de mtatuzi.....

"Nataka kumfanya Mariam Mie fanyaaa" (Kumbe anafanya swali )- hidden

"Ladies and gentlemen let us end here for this particular... So astalavista manyanaa " - muddy
 
Back
Top Bottom